Urusi kaonesha mfano mbaya, Venezuela naye anafuata: Dunia inaanza kuharibika

Acha kuruka Falkland pale pamekuaje na uk na kule guantanamo na us pamekuaje kuaje
Venezuela avamie tu sababu ni mambo yakawaida hatakama hayapendezi
 
Kwahio kama jambo limetokea miaka ya 80s ndio liachwe lisiongelewe
Kama hvyo hata Crimea inapiga kura kumchagua rais wa Russia na pia ina wawakilishi wote na inatumia nyenzo zote kotekea Moscow hvyo basi napo paishakua pakwao
Venezuela avamie tuuu
 
Acha kuruka Falkland pale pamekuaje na uk na kule guantanamo na us pamekuaje kuaje
Venezuela avamie tu sababu ni mambo yakawaida hatakama hayapendezi
Maswali yako yote yanaonyesha ufinyu wako kwani hujui kuwa Falklands ni kisiwa ambacho hakikuwa kinakaliwa na mtu yoyote miaka hiyo ya 1700 kabla ya Uingereza kuanza kuweka makazi yake pale, na Guantamano siyo ardhi ya US ila imekodiwa na US kama ambavo Hong Kong ilivyokuwa imekodiwa na Uingereza. Baada ya Mkataba wa ukodishaji Guantanamo itarudi Cuba
 
Sasa hamujiulizi kama haya yanayotokea sasa nimatokeo mabaya ya kufumbia macho yalokua yanatokea zamani
Mkitaka haya majambo yaishe lazma huo ulimwengu mnaodai umestaarabika ukae chini urekebishe makosa ya zamani halaf ugeukia na haya makosa mapya
Yaani kuikalia kimya marekani inayoikalia guantanamo bay kinguvu nimoja kwamoja kua unahalalisha anachokifanya Russia pale Ukraine na analotaka kulifanya Venezuela
 
Kwahio kama jambo limetokea miaka ya 80s ndio liachwe lisiongelewe
Kama hvyo hata Crimea inapiga kura kumchagua rais wa Russia na pia ina wawakilishi wote na inatumia nyenzo zote kotekea Moscow hvyo basi napo paishakua pakwao
Venezuela avamie tuuu
80s ni baada ya UN kuweka taratibu za Mpaika. Watu hapa wanakopi mambo yaliyotokea kabla ya UN kuwapo, na huo ndio ujinga wenyewe.
 
Umesahau Tanganyika na Zanzibar,
 
Acha kupotosha watu
Guantanamo ilipiga kura ama walikubaliana cuba na us kuungana baadae Cuba wakavunja makubaliano na us wa kataka ardhi yao us wakagoma
Hakuna sehem cuba wameikodisha us guantanamo uache kuona watu wajinga kijana
Unajua mgogoro ulipo baina ya Havana na Washington dc kisa nini
Venezuela na wengine wakijisikia kuvamia wavamie tu kama wanauwezo hakuna cha UN wala nini hao ndio wanasababisha yote haya kutokea
 
Tanganyika kuikalia Zanzibar
Morocco kwa Sahara
Hahahahahaha
 
80s ni baada ya UN kuweka taratibu za Mpaika. Watu hapa wanakopi mambo yaliyotokea kabla ya UN kuwapo, na huo ndio ujinga wenyewe.
Sawa golan heights na israhell pale Syria mwaka 1960s
Au UN haikua imezaliwa bado
 
Safi sana Venezuela [emoji1263] kama muna haja yakufanya hivyo nauwezo munao nikiwa kama mpenda amani nawaunga mkono
Nanyie kama mnaweza vamieni tu baadae msije mkaanza kulialia maisha yamekua magumu
Akil zko fupi
 
Hayo maswali unataka ajibu km nan ? Kwan usiandike km nyongeza badala ya kuifanya km attack , je ww ni raia wa urusi kubehave hivyo?
 
kwa urusi inataka kurudisha nchi zake zote zilizokuwa jamhuri, USSR, labda kama atataka kumega zile nchi ambozo hazikuwa shirikisho lake.
Ussr sio nchi ya urusi ila umoja wa mataifa mbali mbali ikiwemo Urusi
 
Huo mfano mbaya kwanini iwe Urusi na Venezuela,na sio Uingereza, Ufaransa, Israel, Marekani,ambao wote wapo kwenye ardhi za nchi nyingine kinyume cha sheria?
Kiufup ww sio mrusi unapaswa kujiuliza je ni sahihi kuvamia nchi nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…