kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Kumbe Allah kwake kuna ukafir wenye nafuu na usio nafuu.ukafiri wa urusi una nafuu kuliko Marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Allah kwake kuna ukafir wenye nafuu na usio nafuu.ukafiri wa urusi una nafuu kuliko Marekani
Una umri gani? Mazayuni wanawaua Wqpalestina toka mwaka 1948.Kwani Hamas walivyoanzisha vagi walotarajia kutatokea nini?
Hata hao Hamas wao kifo sio issue kwahiyo wamekutana watu wasioogopa kifo hapohakuna mshindi abadani.unaitizama Israel kama Burundi si ndio? waisrael wamekulia hofu ya kifo mpk leo wameizoea so usifikirie wanahofia kifo
Ulihadithiwa na nani kwamba pale ndiyo kwao hao Wayahudi?Hiyo ardhi ilipogawanywa na UN Israel walipewa 55% na Wapalestina wakapewa 45% wakakataa wakitaka 100% yote. Wapalestina mpaka leo kuna makundi yanataka maeneo ambayo Israel haiwezi yatoa nayo yawe sehemu ya Palestina. Au wengine wanataka kabisa Israel ifutike waende sijui wapi na ardhi nzima iwe Palestina.
Kama unadhani Israel inatishika na mikutano wewe jidanganye tu, hiyo ni mikwara mbuzi kwao. Hakuna taifa la Palestina litaanzishwa kwa maeneo yaleyale wanayodai Wapalestina. Na hakuna taifa lolote litailazimisha Israel ikubali taifa la Palestina kinyume na msimamo wao wa do or die.
Pale suluhu ilikuwa ni mataifa mawili jambo ambalo wote hawataki. Huwezi wafukuza Wapalestina sababu walipolowea hapo baada ya Waisraeli kupigwa na Babylonian empire, utawala wa Byzantine, Roman empire na Muslim crusaders walizaliana hivyo ni kwao. Waisraeli walikimbia eneo lao sababu ya kuteswa na kunyanyaswa na kila jirani na kila state, hawakuikana au kuisahau ardhi yao (rejea wimbo wao wa taifa - Hatikva). Walikuwa goigoi, leo hii huwatoi hapo bora uwaue.
Huwezi waondoa Waisraeli sababu zaidi ya miaka 1400 nyuma ile ni ardhi yao, wana historia nayo na ushahidi kama magofu ya temple ya Suleiman upo.
Kwa akili ya kawaida tu, jiulize Wayahudi kwao wapi? Walijikusanya kutoka Uingereza, Ufaransa, Marekani, Canada, Misri, Uturuki, Urusi na kote uko walikuwa na tamaduni zilezile, lugha ileile na dini ileile. Kwahiyo Myahudi wa Marekani ilitokea zari tu akafanana kilakitu na Myahudi wa Uturuki maelfu ya kilometers mbalimbali? Jibu ni lazima kuna chimbuko lao, ndio hapo Israel sasa.
Ukitaka kuunda Palestina kwa masharti ya Wapalestina hawa basi waue Waisraeli wote. Nao wamejipanga kukusubiri, wakiwa na machungu na hasira za kuzunguka dunia nzima wakinyanyaswa kisa wamekimbia kwao. Sasa jichanganye waweke pembeni sheria za kimataifa waingie kwenye death mode.
Umri wangu ndiyo chanzo cha vifo?Uwe na maswali ya maana.Mwaka 1948 tu?Uliza Kaini alimuua Abili mwaka gani?Una umri gani? Mazayuni wanawaua Wqpalestina toka mwaka 1948.
bila USA Israel ni nyuki wa mashineniUhuru wa Palestina hauwezi kupatikana bila usuluhishi wa pande zote 2 kuhusishwa na kukubaliana. Palestina atataka baadhi ya maeneo na miji kutoka Israel ili aanzishe taifa hilo, je Israel atakubali takwa hilo? Hicho kitu haliwezekani, jambo jema ambalo lingezaa matunda ni kuundwa kwa taifa moja tu la jamuhuri ya muungano wa Israel na Palestina ili iwe jamii moja, Hamas waache misimamo yao ya kidini. Bila hivyo itazuka vita vya 3 vya dunia, Israel hatanii na wala hawezi kuogopa mikwara ya Russia, China hata USA, tusubiri vita vikali sana kati ya Israel na maarifa ya kiarabu
Hao ndio wale ukiwambia 1 Mara 1 ni Moja. Wao wanasema 2.Hana uwezo kwa vipi kwani hujaona alivyowanyang'anya Ukraine Advidiika ?
Wewe kweli punguani hata huweleki unaandika nini.Umri wangu ndiyo chanzo cha vifo?Uwe na maswali ya maana.Mwaka 1948 tu?Uliza Kaini alimuua Abili mwaka gani?
walipanga mashambuli baada ya kuona hakuna njia na kwa kuchagua vyema wakati baada ya matayarisho makubwa ya kivita kwa kadri ya hali zao.Kwani Hamas walivyoanzisha vagi walotarajia kutatokea nini?
Basi ni vema kama walijiandaa kwa maumivu wang'ate kamba sauti ya mayowe isitoke sana.walipanga mashambuli baada ya kuona hakuna njia na kwa kuchagua vyema wakati baada ya matayarisho makubwa ya kivita kwa kadri ya hali zao.
Walijua nini kitatokea mwisho wake na baada ya maumivu makubwa.Ndio hiki cha kuundwa kwa taifa la Palestina.
historia ya dunia na kivita itawapandisha hadhi sana Hamas.
Hapo ndipo huwa unaonesha kiwango chako cha kufikiri kilivyo chini.Matusi ya nini?Wewe kweli punguani hata huweleki unaandika nini.
Wewe si unasema Hamas ndiyo waliaznsha vagi, waliazisha wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha fitina mkuuMakafir Russia wanapatanisha? Hamas wanakaa vipi meza moja kupatanishwa na kafir Russia?
Baadhi ya unayosema yana msingi.Tatizo hujaliona kuwa mayahudi wana tabia ya kuona maumivu yao tu makali na ya wengine si chochote.Na hawataki kutoa haki za wengine .Wanajimilikisha kila kitu na kufanya ukatili mkubwa kuzuia haki za wengine.Hiyo ardhi ilipogawanywa na UN Israel walipewa 55% na Wapalestina wakapewa 45% wakakataa wakitaka 100% yote. Wapalestina mpaka leo kuna makundi yanataka maeneo ambayo Israel haiwezi yatoa nayo yawe sehemu ya Palestina. Au wengine wanataka kabisa Israel ifutike waende sijui wapi na ardhi nzima iwe Palestina.
Kama unadhani Israel inatishika na mikutano wewe jidanganye tu, hiyo ni mikwara mbuzi kwao. Hakuna taifa la Palestina litaanzishwa kwa maeneo yaleyale wanayodai Wapalestina. Na hakuna taifa lolote litailazimisha Israel ikubali taifa la Palestina kinyume na msimamo wao wa do or die.
Pale suluhu ilikuwa ni mataifa mawili jambo ambalo wote hawataki. Huwezi wafukuza Wapalestina sababu walipolowea hapo baada ya Waisraeli kupigwa na Babylonian empire, utawala wa Byzantine, Roman empire na Muslim crusaders walizaliana hivyo ni kwao. Waisraeli walikimbia eneo lao sababu ya kuteswa na kunyanyaswa na kila jirani na kila state, hawakuikana au kuisahau ardhi yao (rejea wimbo wao wa taifa - Hatikva). Walikuwa goigoi, leo hii huwatoi hapo bora uwaue.
Huwezi waondoa Waisraeli sababu zaidi ya miaka 1400 nyuma ile ni ardhi yao, wana historia nayo na ushahidi kama magofu ya temple ya Suleiman upo.
Kwa akili ya kawaida tu, jiulize Wayahudi kwao wapi? Walijikusanya kutoka Uingereza, Ufaransa, Marekani, Canada, Misri, Uturuki, Urusi na kote uko walikuwa na tamaduni zilezile, lugha ileile na dini ileile. Kwahiyo Myahudi wa Marekani ilitokea zari tu akafanana kilakitu na Myahudi wa Uturuki maelfu ya kilometers mbalimbali? Jibu ni lazima kuna chimbuko lao, ndio hapo Israel sasa.
Ukitaka kuunda Palestina kwa masharti ya Wapalestina hawa basi waue Waisraeli wote. Nao wamejipanga kukusubiri, wakiwa na machungu na hasira za kuzunguka dunia nzima wakinyanyaswa kisa wamekimbia kwao. Sasa jichanganye waweke pembeni sheria za kimataifa waingie kwenye death mode.
Kuonesha kuwa lengo ni kutafuta umoja ili kuendeleza Oslo accord juu ya kuundwa kwa taifa la Palestina.Baada ya hapo ikaendelea kama hivi....UONGO mtupu..
Hiyo link haisemi hivyo. Kinachoongelewa hapo ni Urusi kujaribu kufanya upatanishi wa makundi hasimu ya Palestina.
-‐--------------------------
Palestinian Authority's Mohammed Shtayyah has revealed that Russia is set to host Palestinian factions for reconcilliation talks in its capital.
"Russia has invited all Palestinian factions who will be meeting on the 26 of this month in Moscow. We will see if Hamas is ready to come to the ground with us" Mohammad Shtayyeh told the Munich Security Conference.
Hamas has always welcomed Russian reconciliation efforts. Leaders of the Palestinian Islamist factions have repeatedly visited Moscow, which maintains good relations with Hamas.
Hamas and the Palestinian Authority have failed to end their power disputes since 2007. Hamas and the smaller Islamic Jihad group demand to join the PLO but say it should be reformed.......
Kumbe ndiyo maana hizi habari zenu ni matokeo ya kujipotosha ambako huwa mmafanya kwa kushindwa kuelewa?Urusi baada ya kupata ushindi mnono kule Advidika dhidi ya Ukraine imejiona ina wajibu wa kushauriana na makundi yote ya kipalestina wakati ambapo vita vya Gaza navyo viko ukingoni kumalizika.
Inawezekana harakati hizo za Urusi ni kupiga hatua za mbele za mbele katika mchakato wa kuundwa kwa taifa la Palestina kuwahi kupata ushawishi mkubwa kwenye taifa hilo jipya ambalo tayari mataifa kadhaa ya Ulaya yameshatoa wito kwa Benjamin Netanyahu aondoe vikwazo vyake visivyokuwa na mashiko kuhusiana na taifa hilo.
Makundi yaliyoalikwa huko Moscow ni pamoja na Hamas wenyewe,Islamic Jihad yenye makao makuu Syria,PLO iliyoanzishwa na Yasser Arafat na makundi kadhaa mengine.kIkao hicho kinatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Katika siku za karibuni viongozi wa Ufaransa,Uiengereza,Hispania na Ujerumani wamekuwa wakimshinikiza sana waziri mkuu wa Israel aache vipingamizi dhidi ya uundwajji wa taifa la Palestina.Macron wa Ufaransa amesema taarifa za kudai kuundwa kwa taifa la Palestina si siri tena na kwamba anataka ifanyike haraka.
Raisi wa Brazil kwa upande wake amepuuza sasa madai ya vifo vingi vya holocast.
Russia invites Palestinian factions to meet next week: Palestinian Authority PM