Urusi kukutana na makundi yote ya kipalestina kwa mashauriano. Ni mchakato wa kuundwa taifa huru la Palestina

Urusi kukutana na makundi yote ya kipalestina kwa mashauriano. Ni mchakato wa kuundwa taifa huru la Palestina

Ile nchi za kiarabu kuanza kurudisha uhusiano na Israel ndicho kilichowapa nguvu Hamas kufanya mipango madhubuti ya kutibua na kujitetea.
Hivy alichofanya Hamas kama utafikiria kiume na kiubindadamu ni sawa kabisa.

Alwaz:m Una hakika wametibua? Egpty ingekuwa inazidi kufunga mpaka wake leo.....Kila Nchi ya Kiarabu ina experience yake na huu mgogoro, Egypt ilishindwa 1967, ilishindwa 1973 na kupoteza the entire Sinai Pensular, angalia ramani yako uone ukubwa wa Sinai Pensular, njia ya kuirudisha ilikuwa tu ni kukaa Mezani na Israel na 1980 wakarudisha uhusiano.

Warabu sio wajinga kurudisha uhusiano na Israel.......Hivi unajua Qatar na Saudia ni nini Wanakitaka toka Israel.....Sio wajinga kama unavyodhani.

Njia ya Hamas ya hamaki pasipo akili haiwasukumi mbali katika inachowapigania....Historia ya hapo mahali imeonyesha hivyo
 
Alwaz:m Una hakika wametibua? Egpty ingekuwa inazidi kufunga mpaka wake leo.....Kila Nchi ya Kiarabu ina experience yake na huu mgogoro, Egypt ilishindwa 1967, ilishindwa 1973 na kupoteza the entire Sinai Pensular, angalia ramani yako uone ukubwa wa Sinai Pensular, njia ya kuirudisha ilikuwa tu ni kukaa Mezani na Israel na 1980 wakarudisha uhusiano.

Warabu sio wajinga kurudisha uhusiano na Israel.......Hivi unajua Qatar na Saudia ni nini Wanakitaka toka Israel.....Sio wajinga kama unavyodhani.

Njia ya Hamas ya hamaki pasipo akili haiwasukumi mbali katika inachowapigania....Historia ya hapo mahali imeonyesha hivyo
Bado hujaona mahesabu ya Hamas yalivyokuwa na hekima na jinsi yanavyoleta mafanikio
Naamini kwa mafanikio ya Hamas kuna nchi zilizokuwa zinaiogopa sana Israel mpaka zikaamua kurudisha uhusiano kwa sasa wamebadili mwelekeo na wanaanza kuunga mkono kitu ambacho hapo mwanzo walikwishakata tamaa nacho ni kudai taifa la Palestina hadharani.
 
Marekani ameongoza dunian kwa kuuza silaha huko Israel Kila siku wanafyatua mabom ili Israel isianguke , mpaka hapo ilipofika kama sio marekan euro .nakuhakikishia hatachakula cha hao wanaheshi wangekosa
Umesema Marekani anauza, kama vipi na hao Waarabu waifanye Marekani iwauzie.
We unadhani ushawishi wa kimataifa ni matako kwamba kila mtu anayo?

Yani striker anapiga chenga anafunga, mpinzani unajitetea eti asingepiga chenga asingefunga. Nawe piga mashuti kivyako ufunge zaidi yake.
 
Mkuu HAKUNA JAMII ILIYOPEWA ARIDHI HAPA DUNIANI NA MUNGU

Binadamu ni kiumbe wa kuhama hama vinginevyo wahindi wekundi wangedai aridhi yao na kuwafukuza wahamiaji wote
Wahindi wekundu walishindwa wakapotezwa kama ambavyo Waisraeli wakishindwa watapotezwa. Ni kazi ya jamii kuhamua hatma yake, Israel imechagua kutokubali kupotezwa.
Mipaka ya nchi ilijitengeneza baada ya binadamu kuzidi kustaarabika baada ya vita za kugombania maeneo

Leo hii unaambiwa Wangoni asili yao SA, Wairaki asili yao Somalia nk nk
Leo hii tunaambiwa Waarabu wote asili yao ni mashariki ya kati lakini walikuja kulowea Afrika nk nk
Hivi Waarabu walipolowea Misri, Algeria, Tunisia, Morocco na Libya ardhi ya Waafrika weusi kwanini wamekuwa dominant kuliko weusi asilia? Kilitokea kitu gani hapo katikati mpaka weusi wakapotea.
Ndio yaleyale ya Waarabu kuingia ardhi ya Wayahudi kuzaliana na baadae kuifanya yao.
Ustaarabu wa mipaka ulipoanza kufanyika basi jamii iliokua inaishi sehemu husika ndio walitambulika kama eneo lakwao

Wapalestina wapo pale kwa miaka zaidi ya 600, wamezaliana vizazi kwa vizazi pale ni kwao
Waisraeli walikuwepo pale vizazi na vizazi pia kabla ya kuhamishwa. Nao wana haki pale.
Tatizo kubwa la mgogoro huu ni Waisrael kuamini ile ni aridhi yao kwa mujibu wa imani yao walipewa na invincible God ambaye HAYUPO
Huna jukumu la kupanga Mungu ni yupi na yupi sio Mungu, kama unatetea haki za binadamu Wapalestina kuishi hapa unataka kuvunja mojawapo ya fundamental human rights ya Waisraeli, haki ya kuabudu.
Kwa mujibu wa taratibu za kidunia ile aridhi ni halali kwa wapalestina walioishi pale kwa miaka zaidi ya 600

Hakuna namna waarabu wa Afrika wanaweza kwenda nchi yoyote ya Mashariki ya kati na kudai ni kwao
Nchi ipi na mji upi, Waarabu wa mji wa Misrata pale Libya wanajua chimbuko lao ni mji gani nchi gani kwamba warudi, wana ushahidi wa kihistoria wa magofu, walifukuzwa kwamba itabidi warudi kama ilivyofanyika kwa Waisraeli?

Au haiwezekani hata kwa Black America kuja Africa kudai Afrika ni kwao..... wao ni wamarekani
Black American yupi anaongea mfano kilugha cha Igbo kinachotumika Nigeria na kuabudu mungu wa Waigbo kwamba atarudi ajue kwao ni wapi.

Wote hawajui kwao wapi, wataenda kudai nini.
Tatizo hili alilizalisha Mwingereza baada ya kuwa ignore wapalestina na kuanzisha mchakato wa taifa la waisrael kwenye aridhi yao walio ikalia miaka kwa miaka kisa imani ya dini yao inayosema ile ni aridhi walipewa na Mungu na kuna mahekalu yao
Baada ya hapo wakaanza kuokotezwa waisrael popote pale duniani na kuanza kuletwa Palestine
Na mbaya zaidi ni pale Umoja wa mataifa wa enzi hizo kukubali ombi la Waisrael kuanzisha taifa bila kushirikisha pande zote mbili na kuainisha mipaka anuai
Mgawanyo ulikuwa 55/45. Walipopigana ndio kila Israel ikishinda inafanya annexation.
Ushahidi wa kihistoria upo, sio suala la imani wala dini. Nabii Issa bin Mariam kazaliwa wapi na alikuwa kabila gani.
Tatizo kubwa la mgogoro huu watu wengi hawajui Wapalestina wanadai nini?

Two states solution bado inakuwa inawapendelea zaidi Waisrael
Ilianza na 60/40 sasa hivi ipo almost 80/10

Kuna watu hata hawajui maisha ya Gaza na West Bank yakoje
Wanaona ni kama wanavyoishi kwenye nchi zao tu
Gaza ni JELA ya wazi ile
West Bank inakaliwa kibabe kuliko hata makaburu walivyo ikalia Soweto

Dunia nzima tumewa lebel wapalestina kama MAGAIDI as if jamaa ni wajinga sana kudai HAKI yao

Kwa hali ilivyo sasa hakuna pa kuwapeleka mahali Waisrael wala wapalestina

Taifa moja haitakuja kukaa iwezekane.... chuki ni kubwa mmno

Two state solution ya 50/50 ikiwemo Jerusalem angalau ikifanikiwa inaweza kuleta amani
Two state solution ya 50/50 ni ngumu sana kufikiwa maana hata 45% Wapalestina waliikataa mwanzoni, wala sidhani kama Israel itakubali 55% kwa sasa.
Wajaribu kukubaliana kama hawataki waendelee kupigana muda bado upo. Dunia ina mambo mengi ya kufanya sio vifo vyao tu.
 
Wahindi wekundu walishindwa wakapotezwa kama ambavyo Waisraeli wakishindwa watapotezwa. Ni kazi ya jamii kuhamua hatma yake, Israel imechagua kutokubali kupotezwa.

Hivi Waarabu walipolowea Misri, Algeria, Tunisia, Morocco na Libya ardhi ya Waafrika weusi kwanini wamekuwa dominant kuliko weusi asilia? Kilitokea kitu gani hapo katikati mpaka weusi wakapotea.
Ndio yaleyale ya Waarabu kuingia ardhi ya Wayahudi kuzaliana na baadae kuifanya yao.

Waisraeli walikuwepo pale vizazi na vizazi pia kabla ya kuhamishwa. Nao wana haki pale.

Huna jukumu la kupanga Mungu ni yupi na yupi sio Mungu, kama unatetea haki za binadamu Wapalestina kuishi hapa unataka kuvunja mojawapo ya fundamental human rights ya Waisraeli, haki ya kuabudu.

Nchi ipi na mji upi, Waarabu wa mji wa Misrata pale Libya wanajua chimbuko lao ni mji gani nchi gani kwamba warudi, wana ushahidi wa kihistoria wa magofu, walifukuzwa kwamba itabidi warudi kama ilivyofanyika kwa Waisraeli?


Black American yupi anaongea mfano kilugha cha Igbo kinachotumika Nigeria na kuabudu mungu wa Waigbo kwamba atarudi ajue kwao ni wapi.

Wote hawajui kwao wapi, wataenda kudai nini.

Mgawanyo ulikuwa 55/45. Walipopigana ndio kila Israel ikishinda inafanya annexation.
Ushahidi wa kihistoria upo, sio suala la imani wala dini. Nabii Issa bin Mariam kazaliwa wapi na alikuwa kabila gani.

Two state solution ya 50/50 ni ngumu sana kufikiwa maana hata 45% Wapalestina waliikataa mwanzoni, wala sidhani kama Israel itakubali 55% kwa sasa.
Wajaribu kukubaliana kama hawataki waendelee kupigana muda bado upo. Dunia ina mambo mengi ya kufanya sio vifo vyao tu.

Mkuu TI4 Armata:

Mojawawapo ya false narrative inayouzwa na Wapelestina kubwa ni kuwa Waisrael waliletwa pale na Waingereza, pale sio kwao, ukweli unabakia Waisrael hapo ni kwao, wako waliokuwa uhamishoni, lakini wako waliobakia hapo.

Kurudi taratibu kwa Waisraeli hapo kuko documented katika Miaka ndani ya Utawala wa Ottoman empire, kuna wimbi kubwa liliingia miaka ya 1882-1902 (First Aliyah) Na wimbi jingine kubwa la pili liliingia 1904-14( Second Aliyah) Idadi kama 40,000, Hapa ni Kabla ya Ottoman Empire haijaangushwa na waingereza.

Jambo jingine ambalo wengi hawalijui ni kuwa Waingereza hawakuinda Israel 1948, Mandate yao ilikwisha 1948, lakini Partition ya UN 1947 Ndio ilitengeneza Arab State na Jewish State, Waraabu wakaikataa na Israel ikakubali ilichopewa na UN, Je hii Resolution 181 ya kuundwa Two States haikuwa halali?

Huu upumbavu wa Hamas unaongozwa mostly na jazba za kidini kuliko facts za historia, na kuataka kutumia nguvu hauwezi kuwafikisha popote, Gaza walipewa 2005, baada ya kuijenga wakajiandaa kwa vita, sasa tusubiri itawafikisha wapi, unaona wazi wanaenda kugonga ukuta tu, na kurudi mduara ule ule wa 1948, 1967, 1973.
 
Taifa la palestina ni sawa na Kufuga majini(mapepo) au kunguni. Dawa ya gaidi ni kifo tu, hajalishi ni gaidi la kike au la kiume, toto au zee.
 
Hakuna taifa la Palestina litakaloundwa kwa shinikizo la vikundi vya kigaidi kama Hamas na wala uingiliaji kati wa taifa la kiimla kama Russia pia hauwezi kuleta mafanikio yoyote.

Hao watu hakuna wanachofanya ni kujipotezea muda tu. Wapalestina waongee na Saudi Arabia wawagawie ardhi hilo linaweza kuwasaidia ila kinyume cha hapo, watakuwa wanasubiri mtumbwi mlimani.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakati wanapewa kwani walikua wapi kwao hawapajui au ilikuaje

Una hata "abc' ya Historia Mkuu Kisanganyakiswata? Kuna maswali ambayo mtu akiuuliza unaona sana sana yanafunua ufahamu wa Mtu au upewo wa akili wa muulizaji! .....Kwa kukusaidia tu, naamini una smartphone, nenda hata UN Webisites itakupa angalau mwanga! Labda utauuliza tena Website ya UN nitaipata wapi.....Hilo Moderators wanaweza kukusaidia....
 
Una hata "abc' ya Historia Mkuu Kisanganyakiswata? Kuna maswali ambayo mtu akiuuliza unaona sana sana yanafunua ufahamu wa Mtu au upewo wa akili wa muulizaji! .....Kwa kukusaidia tu, naamini una smartphone, nenda hata UN Webisites itakupa angalau mwanga! Labda utauuliza tena Website ya UN nitaipata wapi.....Hilo Moderators wanaweza kukusaidia....

Kama huwezi kuipata Website ya UN....Labda hii itakupa the basics...


View: https://www.youtube.com/watch?v=t5JbNNtNKLc
 
Urusi...? Ndio kitu gani hicho?

Parestine atachelewa sana akuwekeza nguvu zake kwa Urus, hawa jamaaa wangeliamua tu wawe nchi mpja ya Israel basi

Waungane tu ili wakae kwa amani
Kabla ya kuwatetea wabariki ushoga jifunze kwanza kuandika
 
Urusi ndio mbabe wao ngoja tusubiri wayahudi wa daslam utasikia urusi inaendeshwa na wayahudi [emoji1787]
Sidhani kama Daslam kuna black mayahudi wengi kama uchagani, mbeya na baadhi ya mikoa mingine. darussalaam ni jiji lililo na waislamu.
 
Shida urusi kutafuta upinzani wa nguvu.sehemu zilizo pandikizwa na urusi ni nchi za kidikteta sana alafu usishangae al qaida mpaka bokoharamu wakawa wanaungwa mkono na urusi
 
Back
Top Bottom