Urusi kukutana na makundi yote ya kipalestina kwa mashauriano. Ni mchakato wa kuundwa taifa huru la Palestina

Urusi...? Ndio kitu gani hicho?

Parestine atachelewa sana akuwekeza nguvu zake kwa Urus, hawa jamaaa wangeliamua tu wawe nchi mpja ya Israel basi

Waungane tu ili wakae kwa amani
 
unaitizama Israel kama Burundi si ndio? waisrael wamekulia hofu ya kifo mpk leo wameizoea so usifikirie wanahofia kifo
Hata hao Hamas wao kifo sio issue kwahiyo wamekutana watu wasioogopa kifo hapohakuna mshindi abadani.
 
Ulihadithiwa na nani kwamba pale ndiyo kwao hao Wayahudi?

Hizo hadithi za biblia ya mchongo unaziamini na bado tukuite umestaraabika na unajitambua kwa kuamini myth?
 
bila USA Israel ni nyuki wa mashineni
 
Umri wangu ndiyo chanzo cha vifo?Uwe na maswali ya maana.Mwaka 1948 tu?Uliza Kaini alimuua Abili mwaka gani?
Wewe kweli punguani hata huweleki unaandika nini.

Wewe si unasema Hamas ndiyo waliaznsha vagi, waliazisha wapi?
 
Kwani Hamas walivyoanzisha vagi walotarajia kutatokea nini?
walipanga mashambuli baada ya kuona hakuna njia na kwa kuchagua vyema wakati baada ya matayarisho makubwa ya kivita kwa kadri ya hali zao.
Walijua nini kitatokea mwisho wake na baada ya maumivu makubwa.Ndio hiki cha kuundwa kwa taifa la Palestina.
historia ya dunia na kivita itawapandisha hadhi sana Hamas.
 
Si anakalia Jerusalem ambayo huko nyuma ilishakubaliwa kuwa itakuwa makao makuu ya nchi ya Palestina.
Israel wataachiwa kule kule Tel Aviv japo nako ni sehemu ya taifa hilo la Palestina.
Sasa akina Netanyahu wanataka wachukue kila kitu na wasitoe chochote .Matokeo yake wanaweza wakakosa pakubwa.
 
Basi ni vema kama walijiandaa kwa maumivu wang'ate kamba sauti ya mayowe isitoke sana.
 
Kwa maoni yangu naona Russia inatafuta platform ya kimataifa ili kuionyesha jumuia ya Kimataifa kuwa bila Russia dunia haina uwezo wa kumaliza migogoro mbali mbali ya kivita, nk
Marekani na nchi za Magharibi licha ya kupiga kelele Israel isitishe vita zimeshindwa! Diplomasia yao kimataifa kutatua mgogoro imeshindwa!
Kwa muda mrefu Israel imekuwa ikiitaka Russia kuingilia kati mgogoro huo!
Russia inaushawishi mkubwa kwa pande zote!
Russia kuwaita Wapalestina ni jitihada za kuwashawishi kusitisha vita na kuirudishia Israel mateka wao!
Sambamba na kuundwa kwa Taifa la Palestina!
Tukubalieni tu kwa sisi pro-Israel, Israel imeshindwa kutimiza lengo yake ya kukofuta kikundi cha Hamasi ili kuwakomboa Mateka wanaoshikiliwa na Hamas!
 
Baadhi ya unayosema yana msingi.Tatizo hujaliona kuwa mayahudi wana tabia ya kuona maumivu yao tu makali na ya wengine si chochote.Na hawataki kutoa haki za wengine .Wanajimilikisha kila kitu na kufanya ukatili mkubwa kuzuia haki za wengine.
Hapo ndipo wanapotibua kila kitu na kuwafanya na wengine waamue kupambana nao.
 
Urusi ndio mbabe wao ngoja tusubiri wayahudi wa daslam utasikia urusi inaendeshwa na wayahudi [emoji1787]
 
Kuonesha kuwa lengo ni kutafuta umoja ili kuendeleza Oslo accord juu ya kuundwa kwa taifa la Palestina.Baada ya hapo ikaendelea kama hivi....

"We are ready to engage. If Hamas is not then that's a different story. We need Palestinian unity," he said, adding that to be part of that unity Hamas needed to meet certain prerequisites.

Set up as part of the 1993 Oslo Peace Accords between Israel and the Palestine Liberation Organization (PLO) that raised hopes of Palestinian statehood, the PA has seen its legitimacy steadily undermined by Israeli settlement building in the occupied West Bank.

Many Palestinians now regard it as corrupt, undemocratic and out of touch.
 
Kumbe ndiyo maana hizi habari zenu ni matokeo ya kujipotosha ambako huwa mmafanya kwa kushindwa kuelewa?
1. Russia hana uwezo wa kuleta hiyo suluhu. Yaani akae na wapalestina kufanya maamuzi bila kuihusisha Israel? Mbona mnawafanya Rusia waonekani ni wapuuzi fulani wa level yenu?

2. Hakuna mahala Russia kasema anawaita na kuwakutanisha, yeye amesema aya host, uelewe kwamba hosting haina maana kwamba wao watakuwa mediators. Ukumbuke kuwa hawa viongozi wa vikundi vya kipalestina wanaishi sehemu mbalimbali, anachofanya Russia ni kutaka kugharamia ili wakutane wakaongee mambo na mustakabali wao
 
Hapa ndio huwa nakuona uko mpumbavu[beyond ignorant].
Upumbavu wangu uko wapi.We unadhani mimi nazungumza porojo kama wewe.
Mimi natumia vipengele vya Usuulul fiqh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…