Ombea amani na usalama wa dunia. Huna maswali ya msingi. Yote uliyouliza ni mepesi na inaonyesha kuna vitu huvijui. Amani amani. 🙏🙏🙏Wabongo mna shida sana.
Unaulizwa maswali unashindwa kuyajibu na badala yake unapiga blablaa ambazo ni tofauti na ulichoulizwa. Si bora ungeuchuna tu ungeepuka aibu ya kukosa hoja.
Hahahahaaah ndo maana wanaitaga Tour, 'I had a tour in Iraq and Afghanstan' utawaskia.Unapoingia vitani huendi kufanya mzaha, hasa vita unayojua ni kwa uhai wa nchi yako, tofauti kabisa na kwenda kutalii kule kwa akina Taliban.
Kuwazunguka kutokea wapi? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umewahi hata kupitia JKT?Inasemekana Ukraine yuko on flanks anataka awazunguke
Kweli ni hasara, kwanini ametumia muda mrefu? Lakini Kuna maswali Je idadi ya askali waiiokufa inaakisi uzito wa Vita. Kweli nihao au pungufu au zaidi ,vip adui yake NATO. YEYE amepata faida gani? Tuangalia Kwa jicho la tatu hivi ni vita vya kuchoshana sio kutafuta ushindi wa haraka.Wangetaka haraka wangetumia nyuklia. Pia ilikuepusaha maafa ya askali wengi SASA hivi Urusi anapigana Kwa uangalifu kuliko pale mwanzoni sababu ameshajua kuwa anapigana na NATO na washirika wao. HIVI NI VITA VYA KISASA ZAIDI KUWAHI KUPIGANWA. UNAHITAJI KUMSOMA ADUII WAKATI UNAENDELEA KUPIGANA
Lengo la putini ni kurudisha ukreni yote iwe ya urusi na ndo lengo na alishasema yeye ni peter the great.Lini Putin alitamka hilo? Hebu tutajie tu siku na tarehe aliyotamka hilo
Kwa mfuatiliaji mzuri wa vita hii, nadhani aliisikia ile kauli kuwa wataivuta vita hii kwa muda mrefu kadiri inavyowezekana mpaka watakapohakikisha Urusi siyo tishio tena kwa Taifa lolote.5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Nadhani ungefatilia usingeuliza hili la ukreni kupiga urusiUkweli Urusi ndiyo anaenda vizuri kwani Ukraine licha ya misaada yote kashindwa kuyafukuza majeshi ya Urusi tokea ndani ya Ukraine na hata Ukraine wameshindwa kutuma ndege za kivita Moscow?vita ni piga nikupige sasa mbona Ukraine haendi kupiga Urusi ?kashindwa vipi kufika Urusi?
Nadhani huyo Covax siyo mfuatliaji mzuri wa hiyo vita. Vifo vya askari wa Urusi ni vingi sana, na hiyo siyo kwa hisia bali kwa uthibitisho toka upabde wa Russia. Hata mkuu wa Wagner aliongea akiwa amesimama katikati ya maelfu ya majeneza ya askari waliokufa vitani akilalamika kuwa askari wake wamekuwa wanakufa kwa maelfu kutokana na kutokuwa na silaha za kutosha. Akatishia hata kuwaondoa askari waliobakia hai.Usikimbie au kuteleza kiaina bila kutujibu maswali haya tafadhari.
1. Hebu tueleze ni kwa namna gani Russia anajihakikishia usalama kwa kuchukua Bakhmut na Soledar?
2. Umekataa kuwa Russia/Wagner hawajapoteza wanajeshi zaidi ya 30,000 kwa Bakhmut na Soledar. Wamepoteza wanajeshi wangapi?
3. Kwa kuwa Russia katumia Mercenaries unataka kutuaminisha hao mercenaries siyo sehemu ya Russia kama unavyodai?
4. Hao Red Army wamekufa wangapi Bakhmut na Soledar?
Hebu tujibu hayo maswali tafadhari
Ukraine hawana chaguo jingine zaidi ya kupigana. Huwezi kuuliza eti wanapata faida gani!! Adui ameingia nchini kwao ametwaa maeneo, utakaa kimya?Kweli ni hasara, kwanini ametumia muda mrefu? Lakini Kuna maswali Je idadi ya askali waiiokufa inaakisi uzito wa Vita. Kweli nihao au pungufu au zaidi ,vip adui yake NATO. YEYE amepata faida gani? Tuangalia Kwa jicho la tatu hivi ni vita vya kuchoshana sio kutafuta ushindi wa haraka.Wangetaka haraka wangetumia nyuklia. Pia ilikuepusaha maafa ya askali wengi SASA hivi Urusi anapigana Kwa uangalifu kuliko pale mwanzoni sababu ameshajua kuwa anapigana na NATO na washirika wao. HIVI NI VITA VYA KISASA ZAIDI KUWAHI KUPIGANWA. UNAHITAJI KUMSOMA ADUII WAKATI UNAENDELEA KUPIGANA
Upo wrong kabisa. Fuatilia historia ya mgogoro kuanzia 2014.Nadhani hana lengo la kumchakaza myukreini, labda inapobidi ili kutimiza lengo la SMO.
Ila lengo ni ulinzi zaidi ndio maana anapambana apate kushikilia maeneo strategic kiusalama sasa hivi na baadae.
Warusi na wayukreini mbona ni ndugu kabisa hao, anihilation sio lengo ila domination.
Kushinda vita ingekuwa ni rahisi kama hii kauli yako, Urusi ingekuwa aliishaikamata Ukraine ndanibya masaa 72 kama alivyotamka Putin.Urusi atashinda vita hii hata Nato waje na propaganda zipi hawataweza kumshinda Urusi
Kama mleta mada ni dhaifu, wewe utakuwa ni dhaifu mara 4 yake.Urusi hana sabau wala nia ya "kuichukua Ukraine yote", kwa hiyo hapa ndipo uchambuzi wako unapoonyesha udhaifu wake na katika mambo mengine uliyoyataja kwenye mada yako.
Sitayaghusa hayo mengine na kuyapa ufafanuzi kwa sasa hivi.
Mkuu umeanza mada vizuri sana kuelezea umuhimu wa Bakhmurt kwa ufasaha kabisa.Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.
Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.
Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.
Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.
Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.
Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.
Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQM 53.9. Bakhmut ina SQM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;
1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQM 53.9 zimempa hasara au faida?
2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQM 53.9 ambao ni wastani wa SQM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQM 482,960 ?
3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?
4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?
5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
Hebu tutajie misaada ambayo Ukraine amepata kutoka NATO ni ipi na ni liniUkweli ni Urusi yupo Ukraine kwa miezi kibao sasa na Uongo ni Ukraine kudai atawapiga Urusi licha ya kupata misaada mingi tokea NATO
Afadhali umemjibu na hiyo no.2Kwahiyo wewe umeona kweli kuhakikisha usalama na kuwepo kwa Russia ni gharama ndogo kweli? Analysis yako ni ya layman militarily kuna sehemu ndogo 10km lakini ina umuhimu kuliko eneo lenye 10000 Square kilometer, nani kakwabia kwa 30.000 jeshi ndo walikufa Russia katimia macenary sio Red army......bado urusi inanguvu hata Nato inakubali kabisa.
Kwa mfuatiliaji mzuri wa vita hii, nadhani aliisikia ile kauli kuwa wataivuta vita hii kwa muda mrefu kadiri inavyowezekana mpaka watakapohakikisha Urusi siyo tishio tena kwa Taifa lolote.
Ushindi kwa nchi za Magharibi dhidi ya Urusi, wala siyo kuikomboa Bakhmut bali ni kuifanya Urusi imalize resources zake zote kwenye vita. Na baada ya hapo iwe Taifa dhaifu ambalo halitaweza kuwa tishio kwa usalama wa mataifa jirani, na wala asiwe na uwezo ya kusaidia tawala za kidikteta Duniani.
Hiyo ndiyo sababu ya kauli inayorudiwa mara kwa mara, 'tutaendelea kuisaidia na kuiunga mkono Ukraine bila ya kujali vita itachukua muda mrefu kiasi gani'.
Na sasa hivi, tayari uchumi wa Urusi umeanza kuyumba, sarafu inaanguka, mauzo ya mafuta na gas yanashuka, na India ambaye ni mnunuzi mkuu wa mafuta ya Russia amepewa onyo kuwa kama ataendelea kununua mafuta ya Russia, hataruhusiwa kuuza bidhaa yoyote inayotokana na mafuta kwa nchi za Magharibi. Vijana, hasa wataalam wa fani mbalimbali wanazidi kuikimbia Russia wakuenda nchi za Magharibi.
Wewe tumainie una uandishi fulani wa kiboya sana. Eti unasema "kuna siri siwezi kuziandika hapa" !! Una siri gani wewe mlamba makombo wa Sukuma Gang?5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Hapo kwenye SQM uko sahihi kweli!!!?? Yaani mji uwe na SQM 53!!!???Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.
Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.
Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.
Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.
Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.
Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.
Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQM 53.9. Bakhmut ina SQM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;
1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQM 53.9 zimempa hasara au faida?
2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQM 53.9 ambao ni wastani wa SQM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQM 482,960 ?
3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?
4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?
5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
Sitaki kuamini kuwa unamaanisha ulichoandika! Kama unamaanisha basi pole sana, ujinga ni mzigo.5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.