Urusi na China; Kuanguka kwa Dola na kuinuka kwa Yuan

napenda mawazo mbadala kama ulivyochambua mleta uzi. Nadhani wengi wetu tunaangalia huu mgogoro kwa upande mmoja zaidi( mtazamo wa kimagharibi) lakini tunasahau huyu Urusi(mtazamo wa kimashariki) kuna mambo mengi alijifunza baada ya vita baridi kwaiyo akawa Kobe akainama chini sasa hii inaweza ikawa ndio ujio wa kurekebisha makosa. Ngoja tuendelee kuagiza popcorns
 
Putin ni Kama jiwe tuu ukimwona anavyoropoka utadhani wa maana kumbe fala tu
 
Satan's code is being decoded.

Somewhere I read that without his mark [authorization] one will never sell or buy.

Iran was sanctioned, North Korea, China...

Hopefully, Putin is bringing this madness to the end.
Are you serious brother to put story about North Korea in major issue like that??
Even Iran is just an Imaginary enemy of Western
 
Are you serious brother to put story about North Korea in major issue like that??
Even Iran is just an Imaginary enemy of Western
Who gave your western god the power/authority to sanction other nations?
 
ila ww umemzidi MKUU[emoji848][emoji848][emoji848]
 

Budget ipi wewe mkuu Ujerumani Sasa mafuta Lira Euro 2. Karibu kila kitu juu. Mambo ya ujenzi 200%. Nk. Hatari. So Acha hadithi mambo magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…