Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Nilipo ona magufuli nikaacha na kusoma uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe wasemaPutin ni Kama jiwe tuu ukimwona anavyoropoka utadhani wa maana kumbe fala tu
Nakushauri utumie kiingereza... Hiki Kijerumani hukiwezi kabisaTheir having power of sunction because their own major part of world economy
NakaziaNakushauri utumie kiingereza... Hiki Kijerumani hukiwezi kabisa
Wewe waweza kuwa kilaza wa TBC au gazeti la Uhuru, maana unaandika UONGO mtupu🙄-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.
Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).
Vijana Wana njaaa sana. Ndio wanamuona mrusi anaweza kupambana na tembo USA, France, UK, Italy, Germany, Canada na JapanHivi mnapomalizaga kwa kuweka namba ya simu huwa mnataka nini ?
Mleta mada ana upeo mdogo sana lakini kajaza CV yenye mivyeti kibao wakati kichwani mweupeWewe waweza kuwa kilaza wa TBC au gazeti la Uhuru, maana unaandika UONGO mtupu🙄
Mfano mmoja tu:
Bomba la gesi toka Urusi kwenda EU (Nord Stream 2) linapitia ujerumani, na lilifungwa na serikali ya Ujeramani muda mfupi kabla ya uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. We unadanganya kuwa Urusi ndo ililifunga!!!
![]()
Germany freezes Nord Stream 2 gas project as Ukraine crisis deepens
Germany on Tuesday halted the Nord Stream 2 Baltic Sea gas pipeline project, designed to double the flow of Russian gas direct to Germany, after Russia formally recognised two breakaway regions in eastern Ukraine.www.reuters.com
😂😂Mleta mada ana upeo mdogo sana lakini kaja CV yenye mivyeti kibao wakati kichwani mweupe
Kabisa nakubaliana na wewe😂😂
Labda hizo shahada ni za kununua.. hata mh. Joseph Musukuma ana PhD !
Huyu tembo anasubiri wafe wangapi ndio aingie kuokoa jahazi! Asijekuwa tembo mweupe.Vijana Wana njaaa sana. mrusi anaweza kupambana na tembo USA, France, UK, Italy, Germany, Canada na Japan
Pale maskini wanapojifariji.URUSI NA CHINA;KUANGUKA KWA DOLA NA KUINUKA KWA YUAN.
Leo 14:30pm 06/03/2022
Rais wa Urusi,Vladimir Putin hakuivamia Ukraine bila mipango (kwa bahati mbaya),Urusi haifanyi kitu chochote bila mipango,Urusi na China wameisubiri siku hii kwa muda mrefu na sasa wameipata fursa adimu ya kuiangusha dola,tarehe 24/02/2022 haikuwa siku ya bahati mbaya kwa Urusi kuivamia Ukraine,Urusi ilitoa tahadhari mapema ya kwamba NATO kujitanua ndani ya Ukraine ni mstari mwekundu usiovumilika kwa Urusi,
Urusi na China zilitambua kuivamia Ukraine hakuzuiliki na itasababisha vikwazo kama kutolewa kwenye mfumo wa kuhamisha dola kupitia Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunications (SWIFT system) na vikwazo vya kiuchumi,hivyo basi Urusi na China wamejiandaa kwa jawabu la tatizo hilo kwa miaka mingi wakisubiri siku hiyo swift system itakapofungwa kwa wao kukatazwa kuitumia,China na Urusi wanayo Yuan-Ruble system,Kwa ufupi wapo Waafrika waliojaribu kuupinga mfumo wa malipo ya dola hata kuuliza kwa nini dola zichapishwe tu na nchi nyingine ziwe zinaomba kibali kuchapisha pesa zao,kwa nini tusitumie Dhahabu kama mfumo wa malipo ya Kimataifa badala ya kutumia dola tu.
-Kampuni zilizokodisha ndege Urusi kulipwa kwa pesa ya China,Yuan.
Makampuni ya ndege ya Ulaya mfano Boeing wameikodishia Urusi ndege zaidi ya 500 na makampuni hayo yanategemea Urusi iwalipe ili yaweze kuendelea na shughuli zake,Urusi ipo tayari kulipa fedha hizo lakini tatizo Urusi imefungiwa kulipa dola kwa mfumo wa SWIFT,kwa maana hiyo mfumo uliopo ni wa YUAN,hivyo basi Urusi inaweza kulipa kwa mfumo wa YUAN! Je makampuni hayo ya Ulaya yatakataa kulipwa kwa kutumia YUAN!? basi wazichukue ndege zao lakini je zitapita katika anga lipi wakati Mrusi kafunga anga lote la Soviet Union,je makampuni mengine hayakuja kumkodishia ndege mrusi kwa malipo ya YUAN!? tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini.
-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.
Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).
-Kufungua bomba la Mafuta na Gesi kwa malipo ya Yuan na sio dola tena.
Kwa miaka mingi Urusi na China imekuwa ikiisubiri siku hii,kutumia dhahabu kama mfumo wa malipo na kuutokomeza mfumo wa SWIFT unaotumia dola,nakumbuka Rais Magufuli alikuwa na ndoto hizi za kutumia rasilimali zetu na aliagiza benki kuu yetu iwe na akiba ya kutosha ya dola,Vita ya Urusi na Ukraine umefikia lengo la kuitokomeza dola,Urusi sasa inaweza kutangaza kutotumia tena mfumo wa kuhamisha dola kwa SWIFT,Urusi sasa inaweza kusema tutafungua mabomba ya mafuta na Gesi kwa malipo ya pesa ya China ya YUAN tu.Kwa yeyote mwenye kutaka mafuta ya Urusi au Gesi ya Urusi basi alipe kwa dhahabu au atumie mfumo wa ruble-yuan gold payment system,asiyetaka atakufa na baridi kwa kukosa gesi kuleta joto nyumbani na watakufa na njaa kwa kupungua uzalishwaji wa ngano katika bara la Ulaya.
-China yupo upande gani kwenye mgogoro wa Urusi na Ukraine.
Nani yupo kimya pasipo kusema lolote kwenye mgogoro wa Urusi na China!? Kimya wanasema kinamaanisha ndio,China hamtupi ndugu yake,atampa mkono rafiki "strategic partner" kwenye suala la Mafuta,Gesi na Kilimo cha ngano,mfumo wa Yuan-Ruble utaanza rasmi na kusaidiana na mfumo wa malipo ya dhahabu,kufikia hapa Vladimir Putin atahitimisha rasmi mfumo wa Petro-Dollar yaani malipo ya Dola kwenye soko la mafuta kwa kukasimiwa,kukaimiwa ama kuchukuliwa na mfumo Yuan-Ruble,Hivyo basi NATO wasahau kumtoa Putin kwa urahisi kama walivyomtoa Charles De Gaulle au Gaddafi baada ya kuchallenge Petro-Dollar system.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Hizo zilitarajiwa ila kwa kuwa Wana nguvu ya uchumi na tech wanahamia huku 👇Budget ipi wewe mkuu Ujerumani Sasa mafuta Lira Euro 2. Karibu kila kitu juu. Mambo ya ujenzi 200%. Nk. Hatari. So Acha hadithi mambo magumu
URUSI NA CHINA;KUANGUKA KWA DOLA NA KUINUKA KWA YUAN.
Leo 14:30pm 06/03/2022
Rais wa Urusi,Vladimir Putin hakuivamia Ukraine bila mipango (kwa bahati mbaya),Urusi haifanyi kitu chochote bila mipango,Urusi na China wameisubiri siku hii kwa muda mrefu na sasa wameipata fursa adimu ya kuiangusha dola,tarehe 24/02/2022 haikuwa siku ya bahati mbaya kwa Urusi kuivamia Ukraine,Urusi ilitoa tahadhari mapema ya kwamba NATO kujitanua ndani ya Ukraine ni mstari mwekundu usiovumilika kwa Urusi,
Urusi na China zilitambua kuivamia Ukraine hakuzuiliki na itasababisha vikwazo kama kutolewa kwenye mfumo wa kuhamisha dola kupitia Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunications (SWIFT system) na vikwazo vya kiuchumi,hivyo basi Urusi na China wamejiandaa kwa jawabu la tatizo hilo kwa miaka mingi wakisubiri siku hiyo swift system itakapofungwa kwa wao kukatazwa kuitumia,China na Urusi wanayo Yuan-Ruble system,Kwa ufupi wapo Waafrika waliojaribu kuupinga mfumo wa malipo ya dola hata kuuliza kwa nini dola zichapishwe tu na nchi nyingine ziwe zinaomba kibali kuchapisha pesa zao,kwa nini tusitumie Dhahabu kama mfumo wa malipo ya Kimataifa badala ya kutumia dola tu.
-Kampuni zilizokodisha ndege Urusi kulipwa kwa pesa ya China,Yuan.
Makampuni ya ndege ya Ulaya mfano Boeing wameikodishia Urusi ndege zaidi ya 500 na makampuni hayo yanategemea Urusi iwalipe ili yaweze kuendelea na shughuli zake,Urusi ipo tayari kulipa fedha hizo lakini tatizo Urusi imefungiwa kulipa dola kwa mfumo wa SWIFT,kwa maana hiyo mfumo uliopo ni wa YUAN,hivyo basi Urusi inaweza kulipa kwa mfumo wa YUAN! Je makampuni hayo ya Ulaya yatakataa kulipwa kwa kutumia YUAN!? basi wazichukue ndege zao lakini je zitapita katika anga lipi wakati Mrusi kafunga anga lote la Soviet Union,je makampuni mengine hayakuja kumkodishia ndege mrusi kwa malipo ya YUAN!? tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini.
-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.
Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).
-Kufungua bomba la Mafuta na Gesi kwa malipo ya Yuan na sio dola tena.
Kwa miaka mingi Urusi na China imekuwa ikiisubiri siku hii,kutumia dhahabu kama mfumo wa malipo na kuutokomeza mfumo wa SWIFT unaotumia dola,nakumbuka Rais Magufuli alikuwa na ndoto hizi za kutumia rasilimali zetu na aliagiza benki kuu yetu iwe na akiba ya kutosha ya dola,Vita ya Urusi na Ukraine umefikia lengo la kuitokomeza dola,Urusi sasa inaweza kutangaza kutotumia tena mfumo wa kuhamisha dola kwa SWIFT,Urusi sasa inaweza kusema tutafungua mabomba ya mafuta na Gesi kwa malipo ya pesa ya China ya YUAN tu.Kwa yeyote mwenye kutaka mafuta ya Urusi au Gesi ya Urusi basi alipe kwa dhahabu au atumie mfumo wa ruble-yuan gold payment system,asiyetaka atakufa na baridi kwa kukosa gesi kuleta joto nyumbani na watakufa na njaa kwa kupungua uzalishwaji wa ngano katika bara la Ulaya.
-China yupo upande gani kwenye mgogoro wa Urusi na Ukraine.
Nani yupo kimya pasipo kusema lolote kwenye mgogoro wa Urusi na China!? Kimya wanasema kinamaanisha ndio,China hamtupi ndugu yake,atampa mkono rafiki "strategic partner" kwenye suala la Mafuta,Gesi na Kilimo cha ngano,mfumo wa Yuan-Ruble utaanza rasmi na kusaidiana na mfumo wa malipo ya dhahabu,kufikia hapa Vladimir Putin atahitimisha rasmi mfumo wa Petro-Dollar yaani malipo ya Dola kwenye soko la mafuta kwa kukasimiwa,kukaimiwa ama kuchukuliwa na mfumo Yuan-Ruble,Hivyo basi NATO wasahau kumtoa Putin kwa urahisi kama walivyomtoa Charles De Gaulle au Gaddafi baada ya kuchallenge Petro-Dollar system.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
URUSI NA CHINA;KUANGUKA KWA DOLA NA KUINUKA KWA YUAN.
Leo 14:30pm 06/03/2022
Rais wa Urusi,Vladimir Putin hakuivamia Ukraine bila mipango (kwa bahati mbaya),Urusi haifanyi kitu chochote bila mipango,Urusi na China wameisubiri siku hii kwa muda mrefu na sasa wameipata fursa adimu ya kuiangusha dola,tarehe 24/02/2022 haikuwa siku ya bahati mbaya kwa Urusi kuivamia Ukraine,Urusi ilitoa tahadhari mapema ya kwamba NATO kujitanua ndani ya Ukraine ni mstari mwekundu usiovumilika kwa Urusi,
Urusi na China zilitambua kuivamia Ukraine hakuzuiliki na itasababisha vikwazo kama kutolewa kwenye mfumo wa kuhamisha dola kupitia Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunications (SWIFT system) na vikwazo vya kiuchumi,hivyo basi Urusi na China wamejiandaa kwa jawabu la tatizo hilo kwa miaka mingi wakisubiri siku hiyo swift system itakapofungwa kwa wao kukatazwa kuitumia,China na Urusi wanayo Yuan-Ruble system,Kwa ufupi wapo Waafrika waliojaribu kuupinga mfumo wa malipo ya dola hata kuuliza kwa nini dola zichapishwe tu na nchi nyingine ziwe zinaomba kibali kuchapisha pesa zao,kwa nini tusitumie Dhahabu kama mfumo wa malipo ya Kimataifa badala ya kutumia dola tu.
-Kampuni zilizokodisha ndege Urusi kulipwa kwa pesa ya China,Yuan.
Makampuni ya ndege ya Ulaya mfano Boeing wameikodishia Urusi ndege zaidi ya 500 na makampuni hayo yanategemea Urusi iwalipe ili yaweze kuendelea na shughuli zake,Urusi ipo tayari kulipa fedha hizo lakini tatizo Urusi imefungiwa kulipa dola kwa mfumo wa SWIFT,kwa maana hiyo mfumo uliopo ni wa YUAN,hivyo basi Urusi inaweza kulipa kwa mfumo wa YUAN! Je makampuni hayo ya Ulaya yatakataa kulipwa kwa kutumia YUAN!? basi wazichukue ndege zao lakini je zitapita katika anga lipi wakati Mrusi kafunga anga lote la Soviet Union,je makampuni mengine hayakuja kumkodishia ndege mrusi kwa malipo ya YUAN!? tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini.
-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.
Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).
-Kufungua bomba la Mafuta na Gesi kwa malipo ya Yuan na sio dola tena.
Kwa miaka mingi Urusi na China imekuwa ikiisubiri siku hii,kutumia dhahabu kama mfumo wa malipo na kuutokomeza mfumo wa SWIFT unaotumia dola,nakumbuka Rais Magufuli alikuwa na ndoto hizi za kutumia rasilimali zetu na aliagiza benki kuu yetu iwe na akiba ya kutosha ya dola,Vita ya Urusi na Ukraine umefikia lengo la kuitokomeza dola,Urusi sasa inaweza kutangaza kutotumia tena mfumo wa kuhamisha dola kwa SWIFT,Urusi sasa inaweza kusema tutafungua mabomba ya mafuta na Gesi kwa malipo ya pesa ya China ya YUAN tu.Kwa yeyote mwenye kutaka mafuta ya Urusi au Gesi ya Urusi basi alipe kwa dhahabu au atumie mfumo wa ruble-yuan gold payment system,asiyetaka atakufa na baridi kwa kukosa gesi kuleta joto nyumbani na watakufa na njaa kwa kupungua uzalishwaji wa ngano katika bara la Ulaya.
-China yupo upande gani kwenye mgogoro wa Urusi na Ukraine.
Nani yupo kimya pasipo kusema lolote kwenye mgogoro wa Urusi na China!? Kimya wanasema kinamaanisha ndio,China hamtupi ndugu yake,atampa mkono rafiki "strategic partner" kwenye suala la Mafuta,Gesi na Kilimo cha ngano,mfumo wa Yuan-Ruble utaanza rasmi na kusaidiana na mfumo wa malipo ya dhahabu,kufikia hapa Vladimir Putin atahitimisha rasmi mfumo wa Petro-Dollar yaani malipo ya Dola kwenye soko la mafuta kwa kukasimiwa,kukaimiwa ama kuchukuliwa na mfumo Yuan-Ruble,Hivyo basi NATO wasahau kumtoa Putin kwa urahisi kama walivyomtoa Charles De Gaulle au Gaddafi baada ya kuchallenge Petro-Dollar system.
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Nimeangalia uandishi na elimu ya mleta maada, nikasikitika sanaSiku nyingine ukiandika, andika heading kwa herufi ndogo, ili usimpe moderator kazi ya kubadilisha Mwande na Mndewa
Huko kumeonekana sio jambo raisi; wazungu si kama wa Tanzania ambao kila kitu kimepabda bei na tumekaa kimya. Wataandamana mda si mrefu we ngoja wakose gesi uoneHizo zilitarajiwa ila kwa kuwa Wana nguvu ya uchumi na tech wanahamia huku [emoji116]
View attachment 2142457
Yaani inatisha degree kibao kichwani hamna kituNimeangalia uandishi na elimu ya mleta maada, nikasikitika sana
Mrusi katoa onyo mapema; bomba la gesi kwenda Ujerumani atafunga muda wowote atakapoona inafaa kulipiza kuzuiwa Nord Stream 2.Huko kumeonekana sio jambo raisi; wazungu si kama wa Tanzania ambao kila kitu kimepabda bei na tumekaa kimya. Wataandamana mda si mrefu we ngoja wakose gesi uone