Urusi na China; Kuanguka kwa Dola na kuinuka kwa Yuan

Urusi na China; Kuanguka kwa Dola na kuinuka kwa Yuan

-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.

Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).
Wewe waweza kuwa kilaza wa TBC au gazeti la Uhuru, maana unaandika UONGO mtupu🙄

Mfano mmoja tu:
Bomba la gesi toka Urusi kwenda EU (Nord Stream 2) linapitia ujerumani, na lilifungwa na serikali ya Ujeramani muda mfupi kabla ya uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. We unadanganya kuwa Urusi ndo ililifunga!!!
 
Marahemu Gadaffi aliupigania mfumo wa Gold, ila US na NATO matumbo joto
 
Wewe waweza kuwa kilaza wa TBC au gazeti la Uhuru, maana unaandika UONGO mtupu🙄

Mfano mmoja tu:
Bomba la gesi toka Urusi kwenda EU (Nord Stream 2) linapitia ujerumani, na lilifungwa na serikali ya Ujeramani muda mfupi kabla ya uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. We unadanganya kuwa Urusi ndo ililifunga!!!
Mleta mada ana upeo mdogo sana lakini kajaza CV yenye mivyeti kibao wakati kichwani mweupe
 
Vijana Wana njaaa sana. mrusi anaweza kupambana na tembo USA, France, UK, Italy, Germany, Canada na Japan
Huyu tembo anasubiri wafe wangapi ndio aingie kuokoa jahazi! Asijekuwa tembo mweupe.
 
URUSI NA CHINA;KUANGUKA KWA DOLA NA KUINUKA KWA YUAN.

Leo 14:30pm 06/03/2022

Rais wa Urusi,Vladimir Putin hakuivamia Ukraine bila mipango (kwa bahati mbaya),Urusi haifanyi kitu chochote bila mipango,Urusi na China wameisubiri siku hii kwa muda mrefu na sasa wameipata fursa adimu ya kuiangusha dola,tarehe 24/02/2022 haikuwa siku ya bahati mbaya kwa Urusi kuivamia Ukraine,Urusi ilitoa tahadhari mapema ya kwamba NATO kujitanua ndani ya Ukraine ni mstari mwekundu usiovumilika kwa Urusi,

Urusi na China zilitambua kuivamia Ukraine hakuzuiliki na itasababisha vikwazo kama kutolewa kwenye mfumo wa kuhamisha dola kupitia Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunications (SWIFT system) na vikwazo vya kiuchumi,hivyo basi Urusi na China wamejiandaa kwa jawabu la tatizo hilo kwa miaka mingi wakisubiri siku hiyo swift system itakapofungwa kwa wao kukatazwa kuitumia,China na Urusi wanayo Yuan-Ruble system,Kwa ufupi wapo Waafrika waliojaribu kuupinga mfumo wa malipo ya dola hata kuuliza kwa nini dola zichapishwe tu na nchi nyingine ziwe zinaomba kibali kuchapisha pesa zao,kwa nini tusitumie Dhahabu kama mfumo wa malipo ya Kimataifa badala ya kutumia dola tu.

-Kampuni zilizokodisha ndege Urusi kulipwa kwa pesa ya China,Yuan.

Makampuni ya ndege ya Ulaya mfano Boeing wameikodishia Urusi ndege zaidi ya 500 na makampuni hayo yanategemea Urusi iwalipe ili yaweze kuendelea na shughuli zake,Urusi ipo tayari kulipa fedha hizo lakini tatizo Urusi imefungiwa kulipa dola kwa mfumo wa SWIFT,kwa maana hiyo mfumo uliopo ni wa YUAN,hivyo basi Urusi inaweza kulipa kwa mfumo wa YUAN! Je makampuni hayo ya Ulaya yatakataa kulipwa kwa kutumia YUAN!? basi wazichukue ndege zao lakini je zitapita katika anga lipi wakati Mrusi kafunga anga lote la Soviet Union,je makampuni mengine hayakuja kumkodishia ndege mrusi kwa malipo ya YUAN!? tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini.

-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.

Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).

-Kufungua bomba la Mafuta na Gesi kwa malipo ya Yuan na sio dola tena.

Kwa miaka mingi Urusi na China imekuwa ikiisubiri siku hii,kutumia dhahabu kama mfumo wa malipo na kuutokomeza mfumo wa SWIFT unaotumia dola,nakumbuka Rais Magufuli alikuwa na ndoto hizi za kutumia rasilimali zetu na aliagiza benki kuu yetu iwe na akiba ya kutosha ya dola,Vita ya Urusi na Ukraine umefikia lengo la kuitokomeza dola,Urusi sasa inaweza kutangaza kutotumia tena mfumo wa kuhamisha dola kwa SWIFT,Urusi sasa inaweza kusema tutafungua mabomba ya mafuta na Gesi kwa malipo ya pesa ya China ya YUAN tu.Kwa yeyote mwenye kutaka mafuta ya Urusi au Gesi ya Urusi basi alipe kwa dhahabu au atumie mfumo wa ruble-yuan gold payment system,asiyetaka atakufa na baridi kwa kukosa gesi kuleta joto nyumbani na watakufa na njaa kwa kupungua uzalishwaji wa ngano katika bara la Ulaya.

-China yupo upande gani kwenye mgogoro wa Urusi na Ukraine.

Nani yupo kimya pasipo kusema lolote kwenye mgogoro wa Urusi na China!? Kimya wanasema kinamaanisha ndio,China hamtupi ndugu yake,atampa mkono rafiki "strategic partner" kwenye suala la Mafuta,Gesi na Kilimo cha ngano,mfumo wa Yuan-Ruble utaanza rasmi na kusaidiana na mfumo wa malipo ya dhahabu,kufikia hapa Vladimir Putin atahitimisha rasmi mfumo wa Petro-Dollar yaani malipo ya Dola kwenye soko la mafuta kwa kukasimiwa,kukaimiwa ama kuchukuliwa na mfumo Yuan-Ruble,Hivyo basi NATO wasahau kumtoa Putin kwa urahisi kama walivyomtoa Charles De Gaulle au Gaddafi baada ya kuchallenge Petro-Dollar system.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Pale maskini wanapojifariji.

Kwa Uchumi gani alionao Urusi na China Ili Dunia ifuate?

By the way waliundaga brics unajua ilikoishiaga?
 
Budget ipi wewe mkuu Ujerumani Sasa mafuta Lira Euro 2. Karibu kila kitu juu. Mambo ya ujenzi 200%. Nk. Hatari. So Acha hadithi mambo magumu
Hizo zilitarajiwa ila kwa kuwa Wana nguvu ya uchumi na tech wanahamia huku 👇

Screenshot_20220307-090340.png
 
URUSI NA CHINA;KUANGUKA KWA DOLA NA KUINUKA KWA YUAN.

Leo 14:30pm 06/03/2022

Rais wa Urusi,Vladimir Putin hakuivamia Ukraine bila mipango (kwa bahati mbaya),Urusi haifanyi kitu chochote bila mipango,Urusi na China wameisubiri siku hii kwa muda mrefu na sasa wameipata fursa adimu ya kuiangusha dola,tarehe 24/02/2022 haikuwa siku ya bahati mbaya kwa Urusi kuivamia Ukraine,Urusi ilitoa tahadhari mapema ya kwamba NATO kujitanua ndani ya Ukraine ni mstari mwekundu usiovumilika kwa Urusi,

Urusi na China zilitambua kuivamia Ukraine hakuzuiliki na itasababisha vikwazo kama kutolewa kwenye mfumo wa kuhamisha dola kupitia Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunications (SWIFT system) na vikwazo vya kiuchumi,hivyo basi Urusi na China wamejiandaa kwa jawabu la tatizo hilo kwa miaka mingi wakisubiri siku hiyo swift system itakapofungwa kwa wao kukatazwa kuitumia,China na Urusi wanayo Yuan-Ruble system,Kwa ufupi wapo Waafrika waliojaribu kuupinga mfumo wa malipo ya dola hata kuuliza kwa nini dola zichapishwe tu na nchi nyingine ziwe zinaomba kibali kuchapisha pesa zao,kwa nini tusitumie Dhahabu kama mfumo wa malipo ya Kimataifa badala ya kutumia dola tu.

-Kampuni zilizokodisha ndege Urusi kulipwa kwa pesa ya China,Yuan.

Makampuni ya ndege ya Ulaya mfano Boeing wameikodishia Urusi ndege zaidi ya 500 na makampuni hayo yanategemea Urusi iwalipe ili yaweze kuendelea na shughuli zake,Urusi ipo tayari kulipa fedha hizo lakini tatizo Urusi imefungiwa kulipa dola kwa mfumo wa SWIFT,kwa maana hiyo mfumo uliopo ni wa YUAN,hivyo basi Urusi inaweza kulipa kwa mfumo wa YUAN! Je makampuni hayo ya Ulaya yatakataa kulipwa kwa kutumia YUAN!? basi wazichukue ndege zao lakini je zitapita katika anga lipi wakati Mrusi kafunga anga lote la Soviet Union,je makampuni mengine hayakuja kumkodishia ndege mrusi kwa malipo ya YUAN!? tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini.

-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.

Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).

-Kufungua bomba la Mafuta na Gesi kwa malipo ya Yuan na sio dola tena.

Kwa miaka mingi Urusi na China imekuwa ikiisubiri siku hii,kutumia dhahabu kama mfumo wa malipo na kuutokomeza mfumo wa SWIFT unaotumia dola,nakumbuka Rais Magufuli alikuwa na ndoto hizi za kutumia rasilimali zetu na aliagiza benki kuu yetu iwe na akiba ya kutosha ya dola,Vita ya Urusi na Ukraine umefikia lengo la kuitokomeza dola,Urusi sasa inaweza kutangaza kutotumia tena mfumo wa kuhamisha dola kwa SWIFT,Urusi sasa inaweza kusema tutafungua mabomba ya mafuta na Gesi kwa malipo ya pesa ya China ya YUAN tu.Kwa yeyote mwenye kutaka mafuta ya Urusi au Gesi ya Urusi basi alipe kwa dhahabu au atumie mfumo wa ruble-yuan gold payment system,asiyetaka atakufa na baridi kwa kukosa gesi kuleta joto nyumbani na watakufa na njaa kwa kupungua uzalishwaji wa ngano katika bara la Ulaya.

-China yupo upande gani kwenye mgogoro wa Urusi na Ukraine.

Nani yupo kimya pasipo kusema lolote kwenye mgogoro wa Urusi na China!? Kimya wanasema kinamaanisha ndio,China hamtupi ndugu yake,atampa mkono rafiki "strategic partner" kwenye suala la Mafuta,Gesi na Kilimo cha ngano,mfumo wa Yuan-Ruble utaanza rasmi na kusaidiana na mfumo wa malipo ya dhahabu,kufikia hapa Vladimir Putin atahitimisha rasmi mfumo wa Petro-Dollar yaani malipo ya Dola kwenye soko la mafuta kwa kukasimiwa,kukaimiwa ama kuchukuliwa na mfumo Yuan-Ruble,Hivyo basi NATO wasahau kumtoa Putin kwa urahisi kama walivyomtoa Charles De Gaulle au Gaddafi baada ya kuchallenge Petro-Dollar system.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
URUSI NA CHINA;KUANGUKA KWA DOLA NA KUINUKA KWA YUAN.

Leo 14:30pm 06/03/2022

Rais wa Urusi,Vladimir Putin hakuivamia Ukraine bila mipango (kwa bahati mbaya),Urusi haifanyi kitu chochote bila mipango,Urusi na China wameisubiri siku hii kwa muda mrefu na sasa wameipata fursa adimu ya kuiangusha dola,tarehe 24/02/2022 haikuwa siku ya bahati mbaya kwa Urusi kuivamia Ukraine,Urusi ilitoa tahadhari mapema ya kwamba NATO kujitanua ndani ya Ukraine ni mstari mwekundu usiovumilika kwa Urusi,

Urusi na China zilitambua kuivamia Ukraine hakuzuiliki na itasababisha vikwazo kama kutolewa kwenye mfumo wa kuhamisha dola kupitia Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunications (SWIFT system) na vikwazo vya kiuchumi,hivyo basi Urusi na China wamejiandaa kwa jawabu la tatizo hilo kwa miaka mingi wakisubiri siku hiyo swift system itakapofungwa kwa wao kukatazwa kuitumia,China na Urusi wanayo Yuan-Ruble system,Kwa ufupi wapo Waafrika waliojaribu kuupinga mfumo wa malipo ya dola hata kuuliza kwa nini dola zichapishwe tu na nchi nyingine ziwe zinaomba kibali kuchapisha pesa zao,kwa nini tusitumie Dhahabu kama mfumo wa malipo ya Kimataifa badala ya kutumia dola tu.

-Kampuni zilizokodisha ndege Urusi kulipwa kwa pesa ya China,Yuan.

Makampuni ya ndege ya Ulaya mfano Boeing wameikodishia Urusi ndege zaidi ya 500 na makampuni hayo yanategemea Urusi iwalipe ili yaweze kuendelea na shughuli zake,Urusi ipo tayari kulipa fedha hizo lakini tatizo Urusi imefungiwa kulipa dola kwa mfumo wa SWIFT,kwa maana hiyo mfumo uliopo ni wa YUAN,hivyo basi Urusi inaweza kulipa kwa mfumo wa YUAN! Je makampuni hayo ya Ulaya yatakataa kulipwa kwa kutumia YUAN!? basi wazichukue ndege zao lakini je zitapita katika anga lipi wakati Mrusi kafunga anga lote la Soviet Union,je makampuni mengine hayakuja kumkodishia ndege mrusi kwa malipo ya YUAN!? tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini.

-Urusi kufunga bomba lake la Mafuta na Gesi.

Baada ya kuivamia Ukraine,ikiwa na maana Urusi kuivamia NATO,ama kwa namna nyingine nchi zinazotegemea mafuta na Gesi ya Mrusi kuisaidia Ukraine basi Mrusi amefunga bomba lake la Mafuta na Gesi,Je kufungwa kwa bomba la Mafuta na Gesi kutaiathiri Urusi,jibu ni hapana,Mrusi amejiandaa kwa miaka kusubiri siku hii adimu ya yeye kuwafungia mafuta na Gesi mataifa ya Ulaya,Kwa taarifa tu Urusi imekuwa ikiweka akiba ya dhahabu na akiba ya pesa ya Yuan kwa muda mrefu,hivyo basi Urusi ina akiba kubwa ya Yuan na Dhahabu kiasi cha kutotikiswa kwa namna yoyote ile na kukosa pesa ya mafuta na Gesi kutoka nchi za Ulaya,kukosekana kwa mafuta na Gesi katika nchi za Ulaya kutasababisha bei ya gesi na mafuta kupanda kwa nchi za Ulaya hivyo basi kusababisha kuyumba kwa upatikanaji wa dola,kusababisha mfumuko wa dola katika mfumo wa kifedha (Monetary system).

-Kufungua bomba la Mafuta na Gesi kwa malipo ya Yuan na sio dola tena.

Kwa miaka mingi Urusi na China imekuwa ikiisubiri siku hii,kutumia dhahabu kama mfumo wa malipo na kuutokomeza mfumo wa SWIFT unaotumia dola,nakumbuka Rais Magufuli alikuwa na ndoto hizi za kutumia rasilimali zetu na aliagiza benki kuu yetu iwe na akiba ya kutosha ya dola,Vita ya Urusi na Ukraine umefikia lengo la kuitokomeza dola,Urusi sasa inaweza kutangaza kutotumia tena mfumo wa kuhamisha dola kwa SWIFT,Urusi sasa inaweza kusema tutafungua mabomba ya mafuta na Gesi kwa malipo ya pesa ya China ya YUAN tu.Kwa yeyote mwenye kutaka mafuta ya Urusi au Gesi ya Urusi basi alipe kwa dhahabu au atumie mfumo wa ruble-yuan gold payment system,asiyetaka atakufa na baridi kwa kukosa gesi kuleta joto nyumbani na watakufa na njaa kwa kupungua uzalishwaji wa ngano katika bara la Ulaya.

-China yupo upande gani kwenye mgogoro wa Urusi na Ukraine.

Nani yupo kimya pasipo kusema lolote kwenye mgogoro wa Urusi na China!? Kimya wanasema kinamaanisha ndio,China hamtupi ndugu yake,atampa mkono rafiki "strategic partner" kwenye suala la Mafuta,Gesi na Kilimo cha ngano,mfumo wa Yuan-Ruble utaanza rasmi na kusaidiana na mfumo wa malipo ya dhahabu,kufikia hapa Vladimir Putin atahitimisha rasmi mfumo wa Petro-Dollar yaani malipo ya Dola kwenye soko la mafuta kwa kukasimiwa,kukaimiwa ama kuchukuliwa na mfumo Yuan-Ruble,Hivyo basi NATO wasahau kumtoa Putin kwa urahisi kama walivyomtoa Charles De Gaulle au Gaddafi baada ya kuchallenge Petro-Dollar system.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.

Umesema kweli, hoja zako zina mashiko japo watu wengi watakupinga humu kwa mihemko. This is for really going to happen.

Wao wanapanga na Allah anapanga, hakika Allah ni mbora wa mipango.
 
Huko kumeonekana sio jambo raisi; wazungu si kama wa Tanzania ambao kila kitu kimepabda bei na tumekaa kimya. Wataandamana mda si mrefu we ngoja wakose gesi uone
Mrusi katoa onyo mapema; bomba la gesi kwenda Ujerumani atafunga muda wowote atakapoona inafaa kulipiza kuzuiwa Nord Stream 2.

Ulaya watatafutana.
 
Back
Top Bottom