Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Inaonesha ujinga wakuchagua baadhi ya wajinga halaf wengine ukawaachaKwa hiyo ndio inaondoa ujinga wa kumshabikia shetani Asad anayemwaga damu za mamilioni ya raia wake kwa gharama za kubaki madarakani?