Isoko isongole
Senior Member
- Sep 12, 2024
- 105
- 124
Inamaana Saudi Arabia,Qatar hadi Oman sio waislam ila wewe ni mwislam kuliko wao?Mtu anaye mpa support US na Israel hawezi kuwa Muislam hata siku moja, hao ISIS ni watumishi wa US hakukosea Trump aliposema ISIS ilianzishwa na Obama.