Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Uingereza ni constitutional monarchy, sera zote za kuongoza nchi zinawekwa na bunge. Kodi, uhamiaji, sera za mambo ya nje, ulinzi n.k vinafanywa kwa muongozo wa bunge, hata brexit iliamuliwa na raia kwa pamoja na bunge.
Hakuna maamuzi yeyote yanayo husu msitakabali wa taifa yanayo weza kupitishwa bila kuridhiwa na familia ya kifalme acha kudanganya watu.
 
Hakuna maamuzi yeyote yanayo husu msitakabali wa taifa yanayo weza kupitishwa bila kuridhiwa na familia ya kifalme acha kudanganya watu.
Tatizo JF imekuwa ya ubishani hata kama mtu anajua ukweli.Malkia/mfalme ana nguvu ya maamuzi zaidi ya katiba yao na akiamua kwa kauli yake anaweza kulivunja bunge au kutengua uongozi wowote mahakama,serikali au bunge.
Sasa akija mtu kusema UK wana demokrasia huwa namuangalia tu.
 
mkuu sijataja Biden wala Netanyau , nchi sio. ya Assad , nchi j wasyria wote , Assad asizani yeye kazaliwa kuwa rais tu , apishe wengine mustakabari wa wasyria , mbona Boris alipisha , Nyiny ndo mnasababisha wasyria kwa kushabikia mtu ambaye tyr analeta mgawanyiko ndani ya syria , apishe kabla mambo hayajawa mabaya zaid , uwepo wake madarakan ndo unatumiwa na watu wabaya kwenda kuleta fujo ndan ya syria
Mbona saudia Qatari wanaviongizi wa kudumu
 
Uingereza ni constitutional monarchy, sera zote za kuongoza nchi zinawekwa na bunge. Kodi, uhamiaji, sera za mambo ya nje, ulinzi n.k vinafanywa kwa muongozo wa bunge, hata brexit iliamuliwa na raia kwa pamoja na bunge.
Uko sawa,lakini uingereza haiongozwi na waziri mkuu,inaongozwa na Malikia or mfalime...!!

Hyo mifumo yote iko chini ya ufamle na marikia
 
Tatizo JF imekuwa ya ubishani hata kama mtu anajua ukweli.Malkia/mfalme ana nguvu ya maamuzi zaidi ya katiba yao na akiamua kwa kauli yake anaweza kulivunja bunge au kutengua uongozi wowote mahakama,serikali au bunge.
Sasa akija mtu kusema UK wana demokrasia huwa namuangalia tu.
Umeielezea vzuri sana kama mtu bado hajaelewa uingereza inaongozwa na nani badi anashida ya uelewa
 
Irani na Urusi wameukimbia moto wa waasi,inashangaza sana waaasi wame mwangusha Asad licha ya Kambi ya Urusi kuwepo Syria na hv sasa Rasia na Iran wanatorosha wanajeshi wao nankilipua maghala ya siraha yasiangukie mikononi mwa waasi lkn pia Asad kakimbia nchi
 
Kiko wapi sasa? Iran na Russia hawajawahi kuwa na mafanikio yoyote kwenye sehemu ambayo US na West kwa ujumla wana interests pia
 
Kiko wapi sasa? Iran na Russia hawajawahi kuwa na mafanikio yoyote kwenye sehemu ambayo US na West ukkwa ujumla wana interests pia
Umeshajiuliza mbona hamna mapambano yoyote wanajeshi na silaha wameenda wapi?
 
Irani na Urusi wameukimbia moto wa waasi,inashangaza sana waaasi wame mwangusha Asad licha ya Kambi ya Urusi kuwepo Syria na hv sasa Rasia na Iran wanatorosha wanajeshi wao nankilipua maghala ya siraha yasiangukie mikononi mwa waasi lkn pia Asad kakimbia nchi
Hujui mgogoro wa Syria wewe wanaepusha mauaji kama ya mwanzo ndiyo maana umeona jeshi limekimbilia Iraq, kujipanga na vita.
 
Kiko wapi sasa? Iran na Russia hawajawahi kuwa na mafanikio yoyote kwenye sehemu ambayo US na West kwa ujumla wana interests pia
Hapa kikubwa ni mrusi,,,,,,,,ujio wa Trump watu wameshakubaliana mambo,,,,,mashariki ya kati itabaki tu kwa ajili ya interest za marekani na Trump ndo anaingia kuweka msisitizo hapo.......Mrusi ni kama kuna kitu ameshaahidiwa kule Ukraine ndo maana huku kwengine hakazi kamba
 
Hujui mgogoro wa Syria wewe wanaepusha mauaji kama ya mwanzo ndiyo maana umeona jeshi limekimbilia Iraq, kujipanga na vita.
Huo ni uongo wa kitoto peleka huko,ukweli umedhihirika walizidiwa nguvu labda kama umeamua kujifariji kwa kujidanganya mwenyewe
 
Back
Top Bottom