Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.
Tupe maoni yako leo. Ahahahahaha!!!
 
We jamaa ni mjinga iran na urusi wangebaki wanapigane kuliko kukimbia
Wewe punguani kweli yaani unataka Iran na Urusi watumie fikra zako wewe upo Uyole unaumwa ITI sugu, hivyo ni vita lazima wakajipange.
 
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.
 
Operesheni hii ya waasi wa Syria ilikuwa tofauti na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu Marekani iko mashariki mwa Syria na walizuia uimarishaji wowote kutoka Iraq na Iran kusaidia serikali ya Syria.
 
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.
Naona baada ya kushindwa umebadili maneno na mtazamo. Pole sana ndugu yangu, vita sio jambo la kufurahia na kushangilia. Jifunze kitu sasa.

Ukweli ni kwamba, Assad alikuwa anabebwa na Russia, Iran na Lebanon, na kwa kipindi hiki wote hao wako kwenye hali ngumu kivita, wamechoka, wanateseka na wamepigika kimtindo, lingekuwa ni jambo la kijinga na kipumbavu kwa wao kupeleka nguvu kubwa kule Syria kumlinda Assad wakati wao wenyewe wamekalia kuti kavu. Ni bora kupoteza moja ili ubakie na moja, mtaka vyote ana hatari ya kupoteza vyote.
 
Assad baada ya kuona namna Gaza na Lebanon ilivyosambaratishwa vibaya, ni wazi akajua safari hii hatoboi tena.
 
Naona baada ya kushindwa umebadili maneno na mtazamo. Pole sana ndugu yangu, vita sio jambo la kufurahia na kushangilia. Jifunze kitu sasa.

Ukweli ni kwamba, Assad alikuwa anabebwa na Russia, Iran na Lebanon, na kwa kipindi hiki wote hao wako kwenye hali ngumu kivita, wamechoka, wanateseka na wamepigika kimtindo, lingekuwa ni jambo la kijinga na kipumbavu kwa wao kupeleka nguvu kubwa kule Syria kumlinda Assad wakati wao wenyewe wamekalia kuti kavu. Ni bora kupoteza moja ili ubakie na moja, mtaka vyote ana hatari ya kupoteza vyote.
Pole ya nini unanipa? Mimi nafuatulia huu mgogoro miaka najua kinachotokea ndiyo nakileta hapa siyo fikra zangu halafu mimi siyo shabiki mandazi kama wewe unaonekana vitu vingi hufahamu kuhusu Syria.
 
Kuanguka kwa Assad ni habari mbaya mnoo kwa Pro Russia&Iran. Huu ni ushindi kwa western.
 
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.
Sasa tunajua Israel ndo boss middle east.
Hizbullah nchale,hamas nchale,houthi nchale,Iran nchale viongozi wote wa magaidi nchale,axis of resistance nchale,na mwisho syria nchale.
Matokeo ya 07/10 ndo haya.
 
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.
Hezbollah wamepeleka Wanamgambo ila Israel ikaomba kazi ya Kudeal na hao kima.

Inshort Waasi walipata air cover kutoka kwa Israel.

Kambi za Silaha muhimu zote zimekuwa zikishambuliwa na Israel pamoja na madaraja yanayounganisha Syria na Lebanon
 
Pole ya nini unanipa? Mimi nafuatulia huu mgogoro miaka najua kinachotokea ndiyo nakileta hapa siyo fikra zangu halafu mimi siyo shabiki mandazi kama wewe unaonekana vitu vingi hufahamu kuhusu Syria.
Kwa hiyo umefurahi kuanguka kwa utawala wa Assad uliokuwa unaungwa mkono na Russia, Iran, Lebanon?

Kama ni kweli basi rasmi wewe ni mfuasi mzuri wa NATO.
 
Back
Top Bottom