Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Hizo fikra zako Assad kauzwa na Sunni na Jeshi lake pia kulikuwa hamna vita ni mapinduzi jeshi lilikataa kupigana unajua kama Assad no Shia na Syria 75% ni Sunni maana hapo Qatar, Saudia. Uturuki, Oman, Jordan, Kuwait wamehusika kulikuwa na vikao kati ya Saudia na Urusi, nakupa darsa.
Ukoo wa utawala wa Assad (ambao ni Shia) umekuwepo muda wote huko Syria ambapo sunni ni wengi, mbona haukutoka madarakani kipindi chote hicho mpaka sasa hivi, ikiwa haya yanayoendelea sasa dunia (kuchoka kijeshi kwa Hezbollah, Iran na Russia) hayahusiki?

Turudi kwenye mada yako (Russia na Iran hawatakubali kamwe utawala wa Assad uanguke) ambayo umeiandika siku kumi tu zilizopita hapa JF. Nini kimebadilika ghafla hivyo mpaka Assad kafumuliwa na kumtimuliwa kirahisi sana?
 
Ukoo wa utawala wa Assad (ambao ni Shia) umekuwepo muda wote huko Syria ambapo sunni ni wengi, mbona haukutoka madarakani kipindi chote hicho mpaka sasa hivi, ikiwa haya yanayoendelea sasa dunia (kuchoka kijeshi kwa Hezbollah, Iran na Russia) hayahusiki?

Turudi kwenye mada yako (Russia na Iran hawatakubali kamwe utawala wa Assad uanguke) ambayo umeiandika siku kumi tu zilizopita hapa JF. Nini kimebadilika ghafla hivyo mpaka Assad kafumuliwa na kumtimuliwa kirahisi sana?
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi,

Nipo pembeni nimejibanza nasubiri maswali yako maana ni mazuri wasomaji wanapata faida.
 
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi,

Nipo pembeni nimejibanza nasubiri maswali yako maana ni mazuri wasomaji wanapata faida.
Tafuta tiba muda unaoa
 
Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.

UP DATE===============

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.


View: https://x.com/mylordbebo/status/1865630687757230397?


View:
Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.

UP DATE===============

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.


View: https://x.com/mylordbebo/status/1865630687757230397?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Pole sana ustaadh kapumzike kwanza sonona itakutesa sana
 
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi,

Nipo pembeni nimejibanza nasubiri maswali yako maana ni mazuri wasomaji wanapata faida.
Kichwa cha thread yako kinasemaje na hoja yako ilikuwa ni ipi? Maana naona ni kama unajishambulia
 
🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi,

Nipo pembeni nimejibanza nasubiri maswali yako maana ni mazuri wasomaji wanapata faida.
Unabugia matapishi yako kwa uchingu sana🤣🤣🤣
Usijaribu kumpigania mtu na kumpa ushindi kama Yanga na Simba ambao hishinda kwa midomo.

Hata Putin wenu huko Ukrsine atashindwa siku moja.

Iran wenu naye atapigwa tu ni suala la muda
 
Hayo haukuyajua kabla?
kingereza huwenda kinasumbua.

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi,
 
kingereza huwenda kinasumbua.

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi,
Hayo yote ulikuwa hauyajui wakati unaanzisha uzi wako?
 
Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.

UP DATE===============

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.


View: https://x.com/mylordbebo/status/1865630687757230397?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ujinga mtupu!
 
kingereza huwenda kinasumbua.

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi,
Sasa mbona ulituaminisha kuwa Urusi na Iran hawatakubali utawala wa Assad uanguke?
 
Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.

UP DATE===============

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.


View: https://x.com/mylordbebo/status/1865630687757230397?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/clashreport/status/1865681284728524806?t=vWUc01dkZQtU1L-WUPjc-A&s=19
 
Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.

UP DATE===============

🇸🇾 Kwa nini Urusi au Iran haikumsaidia Assad?

Washirika wa Assad hawakusaidia, kwa sababu jeshi na watu wa Syria hawakupigana.

Kimsingi hapakuwa na vita kubwa hata moja, lakini kama kwenye video wanajeshi wa Syria waliondoka tu.

Kwa hivyo washirika wakasema: "Kwa nini tupigane, ikiwa hawapigani?"

  • 🇷🇺 Warusi walifanya mashambulizi kadhaa mwanzoni, lakini walisimama mara tu ilipoona kuwa serikali ya Syria haipingi.
  • 🇮🇷 Iran ilijadili kupelekwa kwa wanajeshi, lakini vivyo hivyo iliachana na wazo hilo.
  • 🇱🇧 Hezbollah haijatuma wanajeshi, madai yote yalikuwa ya uwongo
  • 🇮🇶 Wanamgambo wote waliokuwa njiani walisimama mpakani na viongozi wakatangaza kuwa hawataingilia kati.

-> Hakuna mtu anayepaswa kuingilia kati ikiwa hakuna vita! Kimsingi hapakuwa na vita, ni waasi tu waliokuwa wakiendesha gari kuelekea Damascus na jeshi kujisalimisha.

Kwa maana hiyo, hiyo ilikuwa sahihi kutoingilia Syria. Kwa sababu watu hawakutaka kupigana, bali kumuondoa Assad.

Natumai watu wa Syria walifanya chaguo sahihi, hongera.


View: https://x.com/mylordbebo/status/1865630687757230397?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Upo Ritz...au Aljazeera wanadanganya...?

EXPLAINER
News|Syria's War

What happened in Syria? How did al-Assad fall?​

Opposition forces have taken control of the capital after a significant offensive. Here is how it unravelled.
 
Back
Top Bottom