Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Inaonesha ujinga wakuchagua baadhi ya wajinga halaf wengine ukawaachaKwa hiyo ndio inaondoa ujinga wa kumshabikia shetani Asad anayemwaga damu za mamilioni ya raia wake kwa gharama za kubaki madarakani?
We kweli dish limeyumba,wajinga gani walioachwa?Inaonesha ujinga wakuchagua baadhi ya wajinga halaf wengine ukawaacha
Bora mimi limeyumba ila nna akili wewe sasaWe kweli dish limeyumba,wajinga gani walioachwa?
Ni akili fupi pekee ndio inayoweza kumlisha mtu maneno
Halafu napoteza muda kujadiliana na empty set,ni kupoteza muda tu..we ni wa kuwekwa ignore listBora mimi limeyumba ila nna akili wewe sasa
We jomba unaonekana zwazwa wa kununua udongo kwa Buku kumi embu jibu tujue ww sio zwazwa Assad na Netanyahu nani muuwaji zaidi. mbona atujawai ona ukimlalamikia Netanyahu muuaji anaetambuliwa na ICCHalafu napoteza muda kujadiliana na empty set,ni kupoteza muda tu..we ni wa kuwekwa ignore list
Bangi peleka hukohukoWe jomba unaonekana zwazwa wa kununua udongo kwa Buku kumi embu jibu tujue ww sio zwazwa Assad na Netanyahu nani muuwaji zaidi. mbona atujawai ona ukimlalamikia Netanyahu muuaji anaetambuliwa na ICC
Mimi ni mweupe Ila wewe ni kichwa waziDuuuh kumbe wewe ni mweupe hivi!?
Umesoma ulichokileta vizuri??
Shebah farms tangu 2006 ilitumika kama buffer zone wala haijashikiliwa kama unavyodai.
Na hiyo Shebah farm nusu ni buffer zone ya Israel na nusu ipo ndani ya utawala wa Hizbollah Kusini.
Tutajie vijiji anavyoshikilia Israel tangu aanze operations mwezi wa 10 mwaka huu.
Unasikitisha sana.Mimi ni mweupe Ila wewe ni kichwa wazi
Kupuuzwa na mpuuzi sio tatizoHalafu napoteza muda kujadiliana na empty set,ni kupoteza muda tu..we ni wa kuwekwa ignore list
Huyu jamaa mmemfanya nini mbona analalamika sana!?Kupuuzwa na mpuuzi sio tatizo
Huyo usimcheleweshe tia kwenye bin.we ni wa kuwekwa ignore list
Takataka kabisaHuyo usimcheleweshe tia kwenye bin.
πππhizi vita zinawachanganya sana kobazi wanashindwa kabisa kujenga hoja za kusimamia,mwingine anadai baada ya marekani na Israel kushindwa Lebanon wameamua kuhamia Syria. Nabaki nacheka tuKwa hiyo Turkey na Israel wameungana dhidi ya Mshirika wa Urusi na maslahi ya Urusi? Una maanisha Turkey na Urusi wamepingulua urafiki wao? Au mimi ndiye sijaelewa? Turkey na Iran na wao wamenuniana?
Hawa ndugu zetu akilizao ni kama za hao wanaowashangilia,hawa wamatumbi wa huku wakisikia mapigano ya huko wanajua ni magharibi ndio kasababisha hawajui ni sunni au shia ndio maana wanachanganyikiwa hawaelewi washike lipiππππ
Ila Kobazi Israel na Ulaya zinaingiaje wakati vita ni Kobazi kwa kobazi
Mkuu Yoda anasema Bashar Al Assad regime is lesser evil than the rebels.Wanaukumbi.
Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.
Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.
Sasa wewe unataka uwakosoe wenye majinayao? Huku kwetu tunakoiga majina tunajua Nasra ni jina la kike ila kwa wenyenalo jina hilo anaitwa mwanaume inamaana nae alikua shoga?Nchi ya nani sasa ya Shetanyahu na Biden, eti Joe jina lenyewe lakishoga shoga tu, kuna mwanaume anaitwa Joe.