Urusi ndiyo iliyeweka vikwazo kwa Dunia, si Dunia iliyomwekea vikwazo Urusi

Urusi ndiyo iliyeweka vikwazo kwa Dunia, si Dunia iliyomwekea vikwazo Urusi

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,134
Reaction score
4,124
Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.

Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?

Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.

Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.

Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.
 
Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
 
Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo Marekani anahaki ya kuingia Syria na kuweka jeshi lake kwenye nchi huru, Israel inahaki ya kupiga makombora Damascus kila mara mbona hao hawawekewi vikwazo.

Unaona kibanzi kwa mwenzako huoni boriti kwako
 
kwa namna dunia ilikofikia mambo ya kupigana mavita ni ya kishamba.
vita ina hasara mara nyingi kuliko faida,kama si vita ya kagera leo tungekuwa mbali sana.
Bila vita hakuna superpower, ni vita pekee inaonyesha who's stronger, then inakuja vita ya kiuchumi.

Unaona USA anaingilia uhuru wa nchi yoyote duniani, ni kwa vile jeshi lake linaaminika kuwa imara kuliko jeshi lolote duniani, technolojia yake ni kubwa, uchumi wake ni mkubwa. Ili kuiangusha USA, ni lazima vita mbili zipigwe, economic war na vita ya mabomu na risasi, so the world should know who's stronger.

Hata nyakati za manabii, walitandikana sana, wacha watu wapigane...the world is never fair.
 
Bila vita hakuna superpower, ni vita pekee inaonyesha who's stronger, then inakuja vita ya kiuchumi.

Unaona USA anaingilia uhuru wa nchi yoyote duniani, ni kwa vile jeshi lake linaaminika kuwa imara kuliko jeshi lolote duniani, technolojia yake ni kubwa, uchumi wake ni mkubwa. Ili kuiangusha USA, ni lazima vita mbili zipigwe, economic war na vita ya mabomu na risasi, so the world should know who's stronger.

Hata nyakati za manabii, walitandikana sana, wacha watu wapigane...the world is never fair.
us mwenyewe hatii mguu sehemu kizembe lazima ibidi sana.
 
Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.

Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?

Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.

Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.

Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.
Nafaka hasa Ngano zinalimwa sana Ukrein na Urusi saivi Russia kashikilia maghala ya Nafaka za Ukrein hapo ndipo dunia inaposoma namba sasa, Ulaya inategemea Gas ya Urusi kwa 60% na tunaelekea kwenye baridi, mbona wataelewa tu
 
Kwa namna dunia ilikofikia mambo ya kupigana mavita ni ya kishamba.

Vita ina hasara mara nyingi kuliko faida, kama si vita ya Kagera leo tungekuwa mbali sana.
Vita ina hasara kwa wewe hata bomu la kurusha kwa mkono unategemea kupewa msaada ila nchi Kama urusi ni sawa yupi kwenye majaribio ya siraha zake na kuangamiza siraha chakavu
 
Nafaka hasa Ngano zinalimwa sana Ukrein na Urusi saivi Russia kashikilia maghala ya Nafaka za Ukrein hapo ndipo dunia inaposoma namba sasa, Ulaya inategemea Gas ya Urusi kwa 60% na tunaelekea kwenye baridi, mbona wataelewa tu
Badiri inaanza mwezi November, bado sana kipindi cha baridi. Wenzetu sasa ndio wanaanza kipindi cha joto, then September wanakuwa na autumn.
 
Kwa hiyo Marekani anahaki ya kuingia Syria na kuweka jeshi lake kwenye nchi huru, Israel inahaki ya kupiga makombora Damascus kila mara mbona hao hawawekewi vikwazo.

Unaona kibanzi kwa mwenzako huoni boriti kwako
Hakuna cha kibanzi wala nini Damascus wakorofi. Huoni.wanavurumsha maroket upande wa Israel. Wanaenda kujitoa mhanga Israel. Hao wataachwa vipi ili-hali wao ndio wakorofi?. Tofauti na Ukraine ilikalia kimya. Nyie warusi kutwa kuitaka Ukraine isifanye mambo yake kwa uhuru. Nyie warusi mnataka muwaamulie nyie kenge cha kufanya Ukraine. Wapi umewahi kuona Tanzania inaamua namna ya watu wa Kenya wanavyotakiwa waishi kwa kufuata maamuzi ya Tz?
 
Vita hii imethibitisha kuwa pamoja na mbwembwe nyingi sana sijui Kilimo kwanza sijui Uchumi wa Kilimo kumbe fix tupu

Ukraine na Russia pekee wanalisha nusu ya Dunia

Changamoto ya chakula na Mbolea kwa sasa Duniani ni kubwa kuliko hata wakati wa Vita ya ghuba ya 1991
 
Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.

Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?

Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.

Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.

Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.
kawahi mirembe,utopolo mtupu
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin alijadili ushirikiano wa kisiasa, kibiashara na kiuchumi, pamoja na athari za vikwazo vya Magharibi na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) na Rais wa Senegal Macky Sall katika mji wa Sochi kusini mwa Urusi hapo jana (Ijumaa).

Putin na Sall walizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano, ikiwa ni pamoja na umuhimu wa kuimarisha mazungumzo ya kisiasa pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kibinadamu kati ya Urusi na nchi za Afrika, Kremlin ilisema.

Putin alisema kuwa Urusi iko tayari kuendeleza uhusiano wa kibinadamu na nchi za Afrika, akitaja nia kubwa ya Urusi katika utamaduni wa Kiafrika.

Sall pia alibainisha athari za vikwazo vya Magharibi kwa Urusi, akiongeza kuwa nchi nyingi za Afrika ziliathiriwa moja kwa moja na mzozo wa Russia na Ukraine.

"Vikwazo dhidi ya Urusi vimezidisha hali hii, na kwa sasa hatuna nafaka kutoka Urusi, hasa ngano ... muhimu zaidi, hatuna mbolea ... na hii ina madhara kwa usalama wa chakula katika Afrika," Sall alinukuliwa na Kremlin akisema.
 
Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Period [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Bila vita hakuna superpower, ni vita pekee inaonyesha who's stronger, then inakuja vita ya kiuchumi.

Unaona USA anaingilia uhuru wa nchi yoyote duniani, ni kwa vile jeshi lake linaaminika kuwa imara kuliko jeshi lolote duniani, technolojia yake ni kubwa, uchumi wake ni mkubwa. Ili kuiangusha USA, ni lazima vita mbili zipigwe, economic war na vita ya mabomu na risasi, so the world should know who's stronger.

Hata nyakati za manabii, walitandikana sana, wacha watu wapigane...the world is never fair.
For sure Dunia sio sehemu salama ,
 
Back
Top Bottom