Urusi ni super power ya mdomoni, jana nilitaka kusafiri nikakumbana na haya ndani ya ndege za Urusi

Urusi ni super power ya mdomoni, jana nilitaka kusafiri nikakumbana na haya ndani ya ndege za Urusi

Maelezo mengi, halafu hakuna mantiki yoyote ile! Zaidi tu umejishebedua.

How come, mtu unayefanya kazi za inside job, ukose ufahamu wowote ule kuhusu nchi ya Russia kuwekewa vikwazo na nchi za Magharibi pamoja na Marekani, baada ya kuivamia Ukraine?
Sahihi kabisa!
 
Najua wewe lazima utakuwa ni mfuatliaji wa matukio mbalimbali, japo sina uhakika kama lile tamko la mkuu wa Nato ulilisikia.

Mwakajana NATO walisema kuwa uwezo wa kivita wa Urusi, ulikuwa exagerated. Kumbuka Urusi walipoivamia Ukraine, na kudai ile operation itachukua siku 3, hakuna nchi yoyote iliyoipa Ukraine msaada wowote, kwa sababu nchi zote, kwa kile walichokiamini nguvu ya kijeshi ya Urusi, kisingekuwa na maana yoyote. Baada ya Ukraine kumfurusha mrusi Kyiv, na mrusi kukimbilia ile mikoa ya Mashariki, ndipo Dunia ilipoona kuwa kumve uwezo wa Urusi wa kivita ni wa kawaida sana. Nguvu pekee kubwa ya mrusi anayoitegemea nibmakombora ya nuklia, sawa na ilivyo North Korea.

Kumbuka, hata katika kipindi cha kawaida, uchumi wa Urusi ni mdogo sana. GDP yake ni ya chini kupindukia ukilinganishia na mataifa kama US, Germany, France, n.k. Uchumi wa Urusi ni mdogo kuliko wa South Korea.

Sarafu ya Urusi iliporomoka ghafla baada ya ule uvamizi kutokana na hofu. Baadaye ikaimarika kutokana na mauzo ya mafuta. Lakini mwaka huu imekuwa ikiporomoka, na haitegemewi kunyanyuka tena, labda vita ikome. Ikumbukwe kuwa sarafu ya Urusi ilipanda kutokana na kupanda sana kwa bei ya mafuta, na wakati huo huo mataifa hayo ya Magjaribi yalikuwa hayajapata mbadala wa mafuta na gas ya Urusi. Kwa sasa mataifa hayo yamepata alternative sources, na yanazaidi kufuta mahusianobya kibiashara wajati tayari kulikuwa na miundombinu iliyokuwa imejengwa toka Urusi kwenda Ulaya kwaajili ya gas na mafuta. Miundombinu hiyo haina kazi tena, na kujenga mingine kwenda mataifa kama ya China au India, siyo kazi ya muda mfupi.

Mnunuzi mkubwa wa mafuta ya Urusi ni India, lakini India imekuwa inafanya processing ya hayo mafuta kwaajili ya kutoa products mbalimbali kama vile mafuta ya jet engines, soko kuu likiwa Ulaya. Lakini sasa tayari India imekwishatangaziwa tishio kuwa kwa vile zile products zinatokana na mafuta ya Urusi, hazitaruhusiwa kuingia Ulaya. Hiyo ina maana kuna uwezekano wa India kuacha kununua mafuta toka Urusi ili kuokoa soko lake la bidhaa zitokanazo na mafuta.

Ikumbukwe pia, ndege na zana mbalimbali, vipuli vyake vilikuwa vinatoka Ulaya, na Urusi haina uwezo wa ndani. Kwa sasa Urusi inaitegemea China kuziba hilo pengo, lakini China nayo ina mapungufu mengi kwenye ubora. Makampuni yanayotengeneza bidhaa zenye ubora yaliyopo China, ni makampuni ya Ulaya yaliyowekeza China ambayo yanalazimiki ku-comply na masharti ya mataifa yao ambako ndikobyaliko makao makuubya makampuni yao.

Vijana wengi wasomi na wenye uwezo wa kifedha, wanafanya kila namna kuondoka Urusi. Na hao ndio wazalishaji na wataalam ambao wangekuwa na mchango kwa Urusi, sasa wanaondoka.

Pole sana. Lakini utegemee mabaya zaidi kadiri siku ziendavyo. Labda vita isimame. Mataifa ya Magharibi, kama alivyosema Biden, yataendelea kuisaidia Ukraine mpaka watakapohakikisha Urusi siyo tishio kwa nchi yoyote Duniani. Wanataka wammalize mrusi kiuchumi na kitekinolojia na katika nguvu za kivita. Baada ya hapo wataijenga Ukraine kama walivyofanya kwa Korea Kusini, na warusi wengi watahangaika sana kutaka kuhamia Ukraine kwa sababu huko kutakuwa na maisha bora zaidi ukilinganisha na Urusi, nchi ambayo kwa muda mrefu imeishi kwenye uchumi duni na udikteta.
Exactly umeeleza vema mi NIKO Russia Mwaka wa 14 sasa unachoeleza ni kile kile
 
Nijuavyo "superpower" ni ile nchi yenye uwezo wa kuunda na jutumia nguvu za nyukika (nuclear) bila kusaidiwa na mwengine yeyote.

Sasa wewe kwa u "superpower" unamaanisha nini?
JUTUMIA?
 
Israel inavyoua wapalestina unaona ni sadaka kwa mungu wako?
Ushoga na ufiraji unavyoenezwa duniani ndio maadili ya haki ya mungu wako?.
NATO inajipanua kueneza dini ya mungu yupi?
Nchi ya Ukraine imekubali itumike kama medium kuenezwa uovu acha ipigwe tu. Hakuna namna
Argue sensibly.

Usiwe mropokaji, itakujengea mazoea mabaya na baadaye itakujengea tabia.

Ufahamu kuwa kosa moja halihalalishi jingine.

Hapa kuna mtu amesema kuwa kuuawa wapalestina ni halali au sahihi?

Lakini pia kama una uelewa hata ule wa kawaida tu, matukio hayo mawili, Ukraine na Palestina utagunfua ni tofauti kabisa kihistoria, matendo na hata suluhisho.

Wapalestina na wayahudi wanagombea mipaka ya mataifa yao. Makundi yenye itikadi kali ya Wapalestina ndio wakati wote wanaoanzisha mapambano ya kivita kwa kuwashambulia wayahudi kwa makombara, na kuyarusha nchini Israel kwa madai kuwa wwyahudi wameyakalia maeneo yao. Siyo wayahudi wanaonzisha mashambulizi dhidi ya Wapalestina. Wayahudi wanapojihami dhidi ya mashambulio hayo hutumia nguvu kubwa ambayo wengi wanaona ni unproportional. Mashambulio hayo yanaishia kuwaua wapalestina wengi wasio na hatia. Mataifa karibia yote yanaikubali haki ya Waisrael kujikinda dhidi ya makundi hayo yenye siasa kali lakini yanapinga matumizi ya nguvu kubwa za Israel katika kuyatokomeza makundi hayo. Makundi hayo pia mara nyingi yamekuwa yakipingana na mamlaka za ndani za utawala wa Wapalestina zinaxotaka mgogoro umalizwe kwa njia ya mazungumzo.

Urusi 2014 iliivamia Ukraine na baadaye kulichukua eneo lote la Cremia. Pamoja na uovu huo wa Urusi, Ukraine haikuwahi kurusha hata kombora moja kwa Urusi, tofauti na huko Palestina ambako kila mara makundi kama Hamas hurusha mamua ya makombora nchini Israel.

Licha ya Ukraine kuukubali unyonge wake dhidi ya mbabe Russia aliyekuwa ameamua kuutwaa mkoa wote wa Cremia, bado Russia haijaridhika, sasa inataka kuitwaa Ukraine yote. Ukraine imevamiwa, inapigana kutetea nchi yake ambayo Urusi inataka kuifuta na kuifanya sehemu ya Russia kama ilivyofanya nyakati za kuunda USSR.

Hayo mengine, sijui ushoga au nini, ni upuuzi. Wewe kama utakuwa shoga ni kwa sababu umeamua mwenyewe kuwa shoga, sijasikia kama kuna mtu amewahi kulazimishwa kuwa shoga. Kama hawajawalazimisha watu wao wote huku kwa kuwa mashoga, ndiyo watakuja kukulazimisha wewe? Ushoga mtu huufanya kwenye mwili wake, humharibu yeye mtu binafsi, lakini vita huwaua na kuwaathiri watu wote, wanaopenda vita na wasiopenda, wenye hatia na wasio na hatia.
 
Wakati marekani anaua raia wa nchi zingine uko upande gani
Hivi katika uonevu na haki hutegemea ni nani anafanya uonevu au haki?

Bila ya kujali ni nani anafanya, uonevu na ushetani utabakia na tafsiri hiyo hiyo.

Kama ambavyo tunavyomlaani mwarabu wa kale kwa kuwafanya babu zetu bidhaa kama ilivyo punda au nguo, kama tunavyomlaani mjerumani kwa kuwavamia babu zetu na kuwanyonga viongozi wao waliopalinga uvamizi, kama tunavyolaani dhuluma ya Wamarekani na China walivyofanya kwa Wavietnamu, ndivyo tutakavyoendelea kulaani kwa mwingien yeyote. Tunaangalia matendo na siyo aliyetenda.

Ukraine ameonewa, wananchi wa Ukraine wanaonewa na mwenye nguvu, ni halali, ni haki na jambo jema kuisaidia Ukraine.
 
Naongea nachokiishi siyo nachosimuliwa, kabla mrusi wa buza hujaanza kunibishia shiba sana kwanza vitumbua kwa mama willy hapo Tandale, nakusisitiza kabisa ichaji techno ya shangazi yako unayotumia kwa kujiiba ku comment jf, nasisitiza hakikisha una pitia notice ulizokalili kuhusu uchumi kwa mkandawile na vibatu vyenye harufu ya bamia,

Bwana last week nikawa na kazi sehemu kama kawida yangu, nikatafta booking ya ndege nilikuwa naenda Nchi fulan kwa ajili ya kazi (inside job) nikapitia kurasa kadhaa za kutangaza safari za ndege za shirika la urusi maarufu kama Russia airline, na wajanja sana wao wanachofanya wanakwambia kwamba ndege hii inasafiri hadi uingereza au kokote dunian ila wanachofanya wanakukatia kufaulisha maana hawawezi toboa dunian kulingana na mzozo wake na Dunia, nchi pekee ambazo ndege za urusi zina access ya kuingia ni Iran, Turkmenistan, North Korea, Nicaragua, na hapo kwa north korea bado kuna matatizo kulingana na wateja kukosa huko hivo wanalazimika kuacha route hiyo iwe dominated na air koryo tu ya nk,

Ndege zina hitlafu sana hazifunction inavyotakiwa na wahudumu au raia mnakuwa strictly prohibited kupiga picha na kusambaza, nje ya hapo utakipata cha mtema kuni,

Ratiba zao za ndege Magumashi kama air Tanzania kwa sasa, muda wa kuondoka mnaandikiwa saa 4 lakin mnachelewa mpaka masaa 2 mbele bila sababu za msingi, kichekesho zaidi yan Urusi yangu hii ina matatizo ndege inasukumwa na mikono kuingia kwenye run way nikajiuliza hivi vile vi gari vya kusukuma havipo au wana sababu zao nyingine za kiusalama?

Kwakweli huduma zao ni za hovyo sana kabisa kwa karne hii ya 21 na technology waliyo nayo urusi tunayoaminishwa wanayo, nimejiuliza mengi ni ama urusi ni majigambo kama mtu fulan hapo Tanzania au ni shida ya vita ndo imemlegeza hivi?

Maana hata wapiganaji wa kuendeleza vita baada ya bajeti na nguvu kazi kukata nimeona juzi wanalazimisha watu wa kada kadhaa kwenda mapiganoni ilihali hawana ujuzi na si hiari yao, naona wameleta makundi yaliyokuwa ya Islamic states ndo yasaidie pia katika kupigana na dubwana liitwalo Ukraine,

Nataman hii vita waimalize watu waishi kwa raha kama zamani, tunaambia thamani ya sarafu ya urusi imeimarika lakin kwenye makaratasi, ila tulioko ground kazi ni ngumu na mambo ni Magumu sana, ingekuwa ni hiari yangu bila kushinikizwa na kazi ni bora nikahamia nchi nyingine kuliko urusi

Wameanzisha mfuko maalumu wa kuwalazimisha wafany biashara kutozwa tozo ya 12% extra ya mapato yao ku supplement matumizi ya serikali ya Putin, GTI9-0 , Wafanya biashara wakilalamika ndo inakula kwao ni ama wapotezwe au biashara yote inachukuliwa kimafia,

Kwa sasa wapinzani wameanza kumpa joto Putin kwakuwa uchaguzi unakaribia, ila kapiga marufuku hakuna mikutano kisiasa hali haija kaa sawa kiusalama wa nchi

Je hii ndo Superpower?

Britanicca
Umejiuliza wanapigana na mataifa mangapi?
Tuko kwenye mihogo ya kukaanga Tandale we ukila broilled pork chops na sauted potatoes pia unakunywa French Cabarnet Sauvignon Blanc huku unavuta Habana Cigar, acha dharau za hovyo
 
Huyu jamaa siku hizi haaminiki naona...watu mwanzo mwisho wanakushurukia tu....Tuliishakufahamu wewe...uongo mwingi sana....
 
Wameanzisha mfuko maalumu wa kuwalazimisha wafany biashara kutozwa tozo ya 12% extra ya mapato yao ku supplement matumizi ya serikali ya Putin, GTI9-0 , Wafanya biashara wakilalamika ndo inakula kwao ni ama wapotezwe au biashara yote inachukuliwa kimafia,

Kwa sasa wapinzani wameanza kumpa joto Putin kwakuwa uchaguzi unakaribia, ila kapiga marufuku hakuna mikutano kisiasa hali haija kaa sawa kiusalama wa nchi
... Super Power wa ukweli akiwa vitani wala wananchi hawawezi kugundua kama nchi iko vitani; ni mwendo wa bata kwa kwenda mbele. La mchongo sasa; hadi soda na vitoweo vinaadimika isipokuwa kwa elites tu!
 
Argue sensibly.

Usiwe mropokaji, itakujengea mazoea mabaya na baadaye itakujengea tabia.

Ufahamu kuwa kosa moja halihalalishi jingine.

Hapa kuna mtu amesema kuwa kuuawa wapalestina ni halali au sahihi?

Lakini pia kama una uelewa hata ule wa kawaida tu, matukio hayo mawili, Ukraine na Palestina utagunfua ni tofauti kabisa kihistoria, matendo na hata suluhisho.

Wapalestina na wayahudi wanagombea mipaka ya mataifa yao. Makundi yenye itikadi kali ya Wapalestina ndio wakati wote wanaoanzisha mapambano ya kivita kwa kuwashambulia wayahudi kwa makombara, na kuyarusha nchini Israel kwa madai kuwa wwyahudi wameyakalia maeneo yao. Siyo wayahudi wanaonzisha mashambulizi dhidi ya Wapalestina. Wayahudi wanapojihami dhidi ya mashambulio hayo hutumia nguvu kubwa ambayo wengi wanaona ni unproportional. Mashambulio hayo yanaishia kuwaua wapalestina wengi wasio na hatia. Mataifa karibia yote yanaikubali haki ya Waisrael kujikinda dhidi ya makundi hayo yenye siasa kali lakini yanapinga matumizi ya nguvu kubwa za Israel katika kuyatokomeza makundi hayo. Makundi hayo pia mara nyingi yamekuwa yakipingana na mamlaka za ndani za utawala wa Wapalestina zinaxotaka mgogoro umalizwe kwa njia ya mazungumzo.

Urusi 2014 iliivamia Ukraine na baadaye kulichukua eneo lote la Cremia. Pamoja na uovu huo wa Urusi, Ukraine haikuwahi kurusha hata kombora moja kwa Urusi, tofauti na huko Palestina ambako kila mara makundi kama Hamas hurusha mamua ya makombora nchini Israel.

Licha ya Ukraine kuukubali unyonge wake dhidi ya mbabe Russia aliyekuwa ameamua kuutwaa mkoa wote wa Cremia, bado Russia haijaridhika, sasa inataka kuitwaa Ukraine yote. Ukraine imevamiwa, inapigana kutetea nchi yake ambayo Urusi inataka kuifuta na kuifanya sehemu ya Russia kama ilivyofanya nyakati za kuunda USSR.

Hayo mengine, sijui ushoga au nini, ni upuuzi. Wewe kama utakuwa shoga ni kwa sababu umeamua mwenyewe kuwa shoga, sijasikia kama kuna mtu amewahi kulazimishwa kuwa shoga. Kama hawajawalazimisha watu wao wote huku kwa kuwa mashoga, ndiyo watakuja kukulazimisha wewe? Ushoga mtu huufanya kwenye mwili wake, humharibu yeye mtu binafsi, lakini vita huwaua na kuwaathiri watu wote, wanaopenda vita na wasiopenda, wenye hatia na wasio na hatia.
Unapoamua kuwa mkweli tumia akili. Nami nakuomba tumia sasa akili zako zote.
Unaposema Haki unamaanisha haki kweli,. Je hujui kama palestina ni taifa lenye mipaka? Historia unayoidai inatambuliwa na UN?
Kufa kwa wapalestina ni sawa na kifo cha wengine.
Kwani hujui kuwa NATO na washirika wake wamekuwa wakianzisha vita duniani kwa mwamvuli wa demokrasia?.
Ningeona uko neutral kama kama ungeilaumu pia ukraine kwa kutumiwa kama kondom ili NATO anatanue wigo wake na kukiuka mkataba wa Minsk, uongozi mbovu ndio unaochangia kuua raia wake.
 
Maelezo mengi, halafu hakuna mantiki yoyote ile! Zaidi tu umejishebedua.

How come, mtu unayefanya kazi za inside job, ukose ufahamu wowote ule kuhusu nchi ya Russia kuwekewa vikwazo na nchi za Magharibi pamoja na Marekani, baada ya kuivamia Ukraine?
Mwananchiiiiii vimba mwananchiiiii
 
Ndege za Russia ni manual, yaani zisukumwe, zishituliwe ndio ziwake, au sio Bob?
Naongea nachokiishi siyo nachosimuliwa, kabla mrusi wa buza hujaanza kunibishia shiba sana kwanza vitumbua kwa mama willy hapo Tandale, nakusisitiza kabisa ichaji techno ya shangazi yako unayotumia kwa kujiiba ku comment JF, nasisitiza hakikisha una pitia notice ulizokalili kuhusu uchumi kwa mkandawile na vibatu vyenye harufu ya bamia.

Bwana last week nikawa na kazi sehemu kama kawida yangu, nikatafta booking ya ndege nilikuwa naenda Nchi fulan kwa ajili ya kazi (inside job) nikapitia kurasa kadhaa za kutangaza safari za ndege za shirika la urusi maarufu kama Russia airline, na wajanja sana wao wanachofanya wanakwambia kwamba ndege hii inasafiri hadi uingereza au kokote dunian ila wanachofanya wanakukatia kufaulisha maana hawawezi toboa dunian kulingana na mzozo wake na Dunia, nchi pekee ambazo ndege za urusi zina access ya kuingia ni Iran, Turkmenistan, North Korea, Nicaragua, na hapo kwa north korea bado kuna matatizo kulingana na wateja kukosa huko hivo wanalazimika kuacha route hiyo iwe dominated na air koryo tu ya nk,

Ndege zina hitlafu sana hazifunction inavyotakiwa na wahudumu au raia mnakuwa strictly prohibited kupiga picha na kusambaza, nje ya hapo utakipata cha mtema kuni.

Ratiba zao za ndege Magumashi kama Air Tanzania kwa sasa, muda wa kuondoka mnaandikiwa saa 4 lakin mnachelewa mpaka masaa 2 mbele bila sababu za msingi, kichekesho zaidi yan Urusi yangu hii ina matatizo ndege inasukumwa na mikono kuingia kwenye run way nikajiuliza hivi vile vi gari vya kusukuma havipo au wana sababu zao nyingine za kiusalama?

Kwakweli huduma zao ni za hovyo sana kabisa kwa karne hii ya 21 na technology waliyo nayo urusi tunayoaminishwa wanayo, nimejiuliza mengi ni ama urusi ni majigambo kama mtu fulan hapo Tanzania au ni shida ya vita ndo imemlegeza hivi?

Maana hata wapiganaji wa kuendeleza vita baada ya bajeti na nguvu kazi kukata nimeona juzi wanalazimisha watu wa kada kadhaa kwenda mapiganoni ilihali hawana ujuzi na si hiari yao, naona wameleta makundi yaliyokuwa ya Islamic states ndo yasaidie pia katika kupigana na dubwana liitwalo Ukraine.

Nataman hii vita waimalize watu waishi kwa raha kama zamani, tunaambia thamani ya sarafu ya urusi imeimarika lakin kwenye makaratasi, ila tulioko ground kazi ni ngumu na mambo ni Magumu sana, ingekuwa ni hiari yangu bila kushinikizwa na kazi ni bora nikahamia nchi nyingine kuliko Urusi.

Wameanzisha mfuko maalumu wa kuwalazimisha wafany biashara kutozwa tozo ya 12% extra ya mapato yao ku supplement matumizi ya serikali ya Putin, GTI9-0, Wafanya biashara wakilalamika ndo inakula kwao ni ama wapotezwe au biashara yote inachukuliwa kimafia.

Kwa sasa wapinzani wameanza kumpa joto Putin kwakuwa uchaguzi unakaribia, ila kapiga marufuku hakuna mikutano kisiasa hali haija kaa sawa kiusalama wa nchi.

Je, hii ndo Superpower?

Britanicca
 
Naongea nachokiishi siyo nachosimuliwa, kabla mrusi wa buza hujaanza kunibishia shiba sana kwanza vitumbua kwa mama willy hapo Tandale, nakusisitiza kabisa ichaji techno ya shangazi yako unayotumia kwa kujiiba ku comment JF, nasisitiza hakikisha una pitia notice ulizokalili kuhusu uchumi kwa mkandawile na vibatu vyenye harufu ya bamia.

Bwana last week nikawa na kazi sehemu kama kawida yangu, nikatafta booking ya ndege nilikuwa naenda Nchi fulan kwa ajili ya kazi (inside job) nikapitia kurasa kadhaa za kutangaza safari za ndege za shirika la urusi maarufu kama Russia airline, na wajanja sana wao wanachofanya wanakwambia kwamba ndege hii inasafiri hadi uingereza au kokote dunian ila wanachofanya wanakukatia kufaulisha maana hawawezi toboa dunian kulingana na mzozo wake na Dunia, nchi pekee ambazo ndege za urusi zina access ya kuingia ni Iran, Turkmenistan, North Korea, Nicaragua, na hapo kwa north korea bado kuna matatizo kulingana na wateja kukosa huko hivo wanalazimika kuacha route hiyo iwe dominated na air koryo tu ya nk,

Ndege zina hitlafu sana hazifunction inavyotakiwa na wahudumu au raia mnakuwa strictly prohibited kupiga picha na kusambaza, nje ya hapo utakipata cha mtema kuni.

Ratiba zao za ndege Magumashi kama Air Tanzania kwa sasa, muda wa kuondoka mnaandikiwa saa 4 lakin mnachelewa mpaka masaa 2 mbele bila sababu za msingi, kichekesho zaidi yan Urusi yangu hii ina matatizo ndege inasukumwa na mikono kuingia kwenye run way nikajiuliza hivi vile vi gari vya kusukuma havipo au wana sababu zao nyingine za kiusalama?

Kwakweli huduma zao ni za hovyo sana kabisa kwa karne hii ya 21 na technology waliyo nayo urusi tunayoaminishwa wanayo, nimejiuliza mengi ni ama urusi ni majigambo kama mtu fulan hapo Tanzania au ni shida ya vita ndo imemlegeza hivi?

Maana hata wapiganaji wa kuendeleza vita baada ya bajeti na nguvu kazi kukata nimeona juzi wanalazimisha watu wa kada kadhaa kwenda mapiganoni ilihali hawana ujuzi na si hiari yao, naona wameleta makundi yaliyokuwa ya Islamic states ndo yasaidie pia katika kupigana na dubwana liitwalo Ukraine.

Nataman hii vita waimalize watu waishi kwa raha kama zamani, tunaambia thamani ya sarafu ya urusi imeimarika lakin kwenye makaratasi, ila tulioko ground kazi ni ngumu na mambo ni Magumu sana, ingekuwa ni hiari yangu bila kushinikizwa na kazi ni bora nikahamia nchi nyingine kuliko Urusi.

Wameanzisha mfuko maalumu wa kuwalazimisha wafany biashara kutozwa tozo ya 12% extra ya mapato yao ku supplement matumizi ya serikali ya Putin, GTI9-0, Wafanya biashara wakilalamika ndo inakula kwao ni ama wapotezwe au biashara yote inachukuliwa kimafia.

Kwa sasa wapinzani wameanza kumpa joto Putin kwakuwa uchaguzi unakaribia, ila kapiga marufuku hakuna mikutano kisiasa hali haija kaa sawa kiusalama wa nchi.

Je, hii ndo Superpower?

Britanicca
Hilo gap la kufanyia kazi urusi nitupie mimi
 
How come, mtu unayefanya kazi za inside job, ukose ufahamu wowote ule kuhusu nchi ya Russia kuwekewa vikwazo na nchi za Magharibi pamoja na Marekani, baada ya kuivamia Ukraine?
Hata mabishano yana sheria, Usikimbilie kubisha tu, muulize kwanza Inside what job? Inside job where au inside who job? How inside job? Ili mkubaliane kuwa your inside job ndo hiyo hiyo ya kwake halafu mbishane.
 
Unapoamua kuwa mkweli tumia akili. Nami nakuomba tumia sasa akili zako zote.
Unaposema Haki unamaanisha haki kweli,. Je hujui kama palestina ni taifa lenye mipaka? Historia unayoidai inatambuliwa na UN?
Kufa kwa wapalestina ni sawa na kifo cha wengine.
Kwani hujui kuwa NATO na washirika wake wamekuwa wakianzisha vita duniani kwa mwamvuli wa demokrasia?.
Ningeona uko neutral kama kama ungeilaumu pia ukraine kwa kutumiwa kama kondom ili NATO anatanue wigo wake na kukiuka mkataba wa Minsk, uongozi mbovu ndio unaochangia kuua raia wake.
Kuhusu Wapalestina, sielewi kama unaujua kikamilifu huo mgogoro. Ungekuwa unaufahamu wala usingelinganisha mgogoro huo na wa Ukraine na Russia.

Ufahamu kuwa Ukraine ni nchi, na Russia ni nchi. Nchi moja imeenda kuivamia nchi nyingine.

Mgogoro wa Wayahudi na wapalestina, kwa urahisi ungeweza kusema ni mgogoro wa kijamii, yaani jamii mbili, jamii ya wayahudi na jamii ya Wapalestina, lakini wote wakiwa kwenye nchi moja.

Jamii ya Wapalestina inaona inaonewa na jamii ya Wayahudi kwa kunyang'anywa ardhi yao. Kwa miaka mingi, kwa sababu ni ndani ya nchi moja, imekuwa ni shida sana mataifa mengine kuingilia mgogoro huo moja kwa moja. Na pia kitendo cha makundi ya itikadi kali kutoka kwa Wapalestina mara kwa mara kurusha makombora kwa wayahudi, tena yakilenga raia, kumeyafanya makundi hayo kuonekana ya kigaidi, na hivyo kutoonewa huruma. Makundi hayo yamekuwa yakiua hata viongozi wa kipalestina wanaoonekana kutaka kufanya mazungumzo na Israel.

Mwaka 1988, ndipo kwa mara ya kwanza wanaharakati wa Palestina walitangaza kuwa Palestina ni nchi huru, na hawatakuwa chini ya Israel. Hata hivyo, azimio hilo halikutambuliwa na jamii ya kimataifa. Miaka ya karibuni, kwa usimamizi wa UN, kumeundwa mamlaka ya Palestina (haina hata kiti UN). Kuna maazimio mengi UN kuhusiana na mgogoro kati ya mamlaka ya Palestina na Serikali ya Israel. Mipaka ya mamlaka ya Palestina inafahamika, na wala haijaingiliwa na Israel. Hata hivyo kilio cha Wapelestina ni yale maeneo ambayo yalichukuliwa na Wayahudi mwaka 1967.

Na ukumbuke kuwa kwa miaka mingi Palestina imekuwa inapigania ardhi siyo utaifa kwa sababu hakuna nchi inayoitwa Palestina.

Kwa hiyo mgogoro wa Wapalestina na Wayahudi siyo mgogoro wa nchi na nchi bali ni mgogoro wa jamii mbili ndani ya nchi moja.

Lakini, iwe Palestina ni Taifa kamili au mamlaka, wananchi wake wana haki zote, ikiwepo haki ya kuishi, kama binadamu wengine. Lakini kutokywepo kwa hali hiyo, atizo halipo kwa wayahudi pekee, na huenda zaidi lipo upande wa makundi yenye itikadi kali ya Wapalestina. Mathalani Hamas, hawautambui hata uongozi wa mamlaka ya Wapalestina, nao wamejitwalia sehemu ya ardhi iliyo chini ya mamlaka ya Wapalestina na kulitawala, na kisha kursha makombora dhidi ya Israel kutokea maeneo hayo.

Na haya makundi hayataki mazungumzo yoyote na wayahudi, na wao wanaamini na wametangaza wazi kuwa suluhisho la mgogoro huo ni kufutwa kwa wayahudi Duniani. Sasa kwa fikra hizo, unadhani utaungwa mkono na jamii ya kimataifa?

Kwa wanaojua historia, neno Wapalestina linatokana na neno la kigiriki 'Philistines' (wafilisti - kwa Kiswahili). Hawa waliishi kwenye nchi ya Judea, na Judea ni jina lililotokana na jina la Judah (Yuda, mtoto wa kwanza wa Yakobo). Ni katika nchi hii ya Judea, ndiko Yesu alizaliwa, wayahudi na Wafilisti waliishi maeneo hayo pamoja lakinj kwa uhasama. Hivyo Judea (leo inajumuisha Israel na Palestine) ni nchi ya jamii hizo zote mbili. Kama wote wangejaliwa hekima, wangetafuta namna ya kuishi pamoja na siyo hizo fikra za kwamba kuna jamii mojawapo inatakiwa kupotezwa, isiwepo duniani.

Kuhusu mkataba wa Minsk, nadhani hata huuelewi. Kwanza haukuwa na kipengere cha kuizuia Ukraine kujiunga na EU au NATO. Na pia mkataba huo ambao uliosainiwa mwaka 2014, haukuheshimiwa, na kiongozi wa waasi, ndiye alikuwa wa kwanza kusema mkataba huo hawautaki na wameuvunjilia mbali. Hivyo mwaka 2015, ulivunjika rasmi.

Soma hapa chini utaelewa zaidi:

Text of the protocol

The text of the protocol consists of twelve points:[13]

To ensure an immediate bilateral ceasefire.

To ensure the monitoring and verification of the ceasefire by the OSCE.

Decentralisation of power, including through the adoption of the Ukrainian law "On temporary Order of Local Self-Governance in Particular Districts of Donetsk and Luhansk Oblasts".

To ensure the permanent monitoring of the Ukrainian-Russian border and verification by the OSCE with the creation of security zones in the border regions of Ukraine and the Russian Federation.

Immediate release of all hostages and illegally detained persons.

A law preventing the prosecution and punishment of people in connection with the events that have taken place in some areas of Donetsk and Luhansk Oblasts.

To continue the inclusive national dialogue.

To take measures to improve the humanitarian situation in Donbas.

To ensure early local elections in accordance with the Ukrainian law "On temporary Order of Local Self-Governance in Particular Districts of Donetsk and Luhansk Oblasts".

To withdraw illegal armed groups and military equipment as well as fighters and mercenaries from the territory of Ukraine.

To adopt a programme of economic recovery and reconstruction for the Donbas region.

To provide personal security for participants in the consultations.
 
Hata mabishano yana sheria, Usikimbilie kubisha tu, muulize kwanza Inside what job? Inside job where au inside who job? How inside job? Ili mkubaliane kuwa your inside job ndo hiyo hiyo ya kwake halafu mbishane.
You are so intelligent man
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Hata mabishano yana sheria, Usikimbilie kubisha tu, muulize kwanza Inside what job? Inside job where au inside who job? How inside job? Ili mkubaliane kuwa your inside job ndo hiyo hiyo ya kwake halafu mbishane.
Umemaliza
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuhusu Wapalestina, sielewi kama unaujua kikamilifu huo mgogoro. Ungekuwa unaufahamu wala usingelinganisha mgogoro huo na wa Ukraine na Russia.

Ufahamu kuwa Ukraine ni nchi, na Russia ni nchi. Nchi moja imeenda kuivamia nchi nyingine.

Mgogoro wa Wayahudi na wapalestina, kwa urahisi ungeweza kusema ni mgogoro wa kijamii, yaani jamii mbili, jamii ya wayahudi na jamii ya Wapalestina, lakini wote wakiwa kwenye nchi moja.

Jamii ya Wapalestina inaona inaonewa na jamii ya Wayahudi kwa kunyang'anywa ardhi yao. Kwa miaka mingi, kwa sababu ni ndani ya nchi moja, imekuwa ni shida sana mataifa mengine kuingilia mgogoro huo moja kwa moja. Na pia kitendo cha makundi ya itikadi kali kutoka kwa Wapalestina mara kwa mara kurusha makombora kwa wayahudi, tena yakilenga raia, kumeyafanya makundi hayo kuonekana ya kigaidi, na hivyo kutoonewa huruma. Makundi hayo yamekuwa yakiua hata viongozi wa kipalestina wanaoonekana kutaka kufanya mazungumzo na Israel.

Mwaka 1988, ndipo kwa mara ya kwanza wanaharakati wa Palestina walitangaza kuwa Palestina ni nchi huru, na hawatakuwa chini ya Israel. Hata hivyo, azimio hilo halikutambuliwa na jamii ya kimataifa. Miaka ya karibuni, kwa usimamizi wa UN, kumeundwa mamlaka ya Palestina (haina hata kiti UN). Kuna maazimio mengi UN kuhusiana na mgogoro kati ya mamlaka ya Palestina na Serikali ya Israel. Mipaka ya mamlaka ya Palestina inafahamika, na wala haijaingiliwa na Israel. Hata hivyo kilio cha Wapelestina ni yale maeneo ambayo yalichukuliwa na Wayahudi mwaka 1967.

Na ukumbuke kuwa kwa miaka mingi Palestina imekuwa inapigania ardhi siyo utaifa kwa sababu hakuna nchi inayoitwa Palestina.

Kwa hiyo mgogoro wa Wapalestina na Wayahudi siyo mgogoro wa nchi na nchi bali ni mgogoro wa jamii mbili ndani ya nchi moja.

Lakini, iwe Palestina ni Taifa kamili au mamlaka, wananchi wake wana haki zote, ikiwepo haki ya kuishi, kama binadamu wengine. Lakini kutokywepo kwa hali hiyo, atizo halipo kwa wayahudi pekee, na huenda zaidi lipo upande wa makundi yenye itikadi kali ya Wapalestina. Mathalani Hamas, hawautambui hata uongozi wa mamlaka ya Wapalestina, nao wamejitwalia sehemu ya ardhi iliyo chini ya mamlaka ya Wapalestina na kulitawala, na kisha kursha makombora dhidi ya Israel kutokea maeneo hayo.

Na haya makundi hayataki mazungumzo yoyote na wayahudi, na wao wanaamini na wametangaza wazi kuwa suluhisho la mgogoro huo ni kufutwa kwa wayahudi Duniani. Sasa kwa fikra hizo, unadhani utaungwa mkono na jamii ya kimataifa?

Kwa wanaojua historia, neno Wapalestina linatokana na neno la kigiriki 'Philistines' (wafilisti - kwa Kiswahili). Hawa waliishi kwenye nchi ya Judea, na Judea ni jina lililotokana na jina la Judah (Yuda, mtoto wa kwanza wa Yakobo). Ni katika nchi hii ya Judea, ndiko Yesu alizaliwa, wayahudi na Wafilisti waliishi maeneo hayo pamoja lakinj kwa uhasama. Hivyo Judea (leo inajumuisha Israel na Palestine) ni nchi ya jamii hizo zote mbili. Kama wote wangejaliwa hekima, wangetafuta namna ya kuishi pamoja na siyo hizo fikra za kwamba kuna jamii mojawapo inatakiwa kupotezwa, isiwepo duniani.

Kuhusu mkataba wa Minsk, nadhani hata huuelewi. Kwanza haukuwa na kipengere cha kuizuia Ukraine kujiunga na EU au NATO. Na pia mkataba huo ambao uliosainiwa mwaka 2014, haukuheshimiwa, na kiongozi wa waasi, ndiye alikuwa wa kwanza kusema mkataba huo hawautaki na wameuvunjilia mbali. Hivyo mwaka 2015, ulivunjika rasmi.

Soma hapa chini utaelewa zaidi:

Text of the protocol

The text of the protocol consists of twelve points:[13]

To ensure an immediate bilateral ceasefire.

To ensure the monitoring and verification of the ceasefire by the OSCE.

Decentralisation of power, including through the adoption of the Ukrainian law "On temporary Order of Local Self-Governance in Particular Districts of Donetsk and Luhansk Oblasts".

To ensure the permanent monitoring of the Ukrainian-Russian border and verification by the OSCE with the creation of security zones in the border regions of Ukraine and the Russian Federation.

Immediate release of all hostages and illegally detained persons.

A law preventing the prosecution and punishment of people in connection with the events that have taken place in some areas of Donetsk and Luhansk Oblasts.

To continue the inclusive national dialogue.

To take measures to improve the humanitarian situation in Donbas.

To ensure early local elections in accordance with the Ukrainian law "On temporary Order of Local Self-Governance in Particular Districts of Donetsk and Luhansk Oblasts".

To withdraw illegal armed groups and military equipment as well as fighters and mercenaries from the territory of Ukraine.

To adopt a programme of economic recovery and reconstruction for the Donbas region.

To provide personal security for participants in the consultations.
Bams watu wengi hawaelewi wanachosema na wananishangaza sana
 
Back
Top Bottom