Nothing will deter Ukraine from hitting Russians[emoji635][emoji1255][emoji779]️From today, Vladimir Zelensky should be declared a terrorist, a blow is needed to convince the enemy that Russia has the opportunity to punish such actions to death, Oleg Morozov, deputy of the State Duma from United Russia, told RIA Novosti.
Imerushwa na hao Kremlin wenyewe au Warusi wanaopinga uvamizi na Putin.Kwa Nchi kama Russia ilitakiwa ijue mapema vinginevyo twaamini kairusha yeye au imetokea ndani ya Russia
A senior Ukrainian presidential official said Kyiv had nothing to do with the purported incidentNothing will deter Ukraine from hitting Russians
Zelensky in Finland denied that Ukraine had attacked the Kremlin: “We are not attacking Putin or Moscow. We are fighting on our own territory… We don’t have enough, you know, weapons for this.”Wamlipue akiwa Finland au?
Hajatishia kulipua nuclear??BREAKING: Russia's Medvedev calls for the 'elimination' of Ukraine's president Zelensky after Kremlin drone attack.
Nnavyowaambiwa kiama kina kuja kwa ukraine nna maana yanguHajatishia kulipua nuclear??
Hajatishia mkuuHajatishia kulipua nuclear??
Sio mara ya kwanzaPutin ameagiza viongizi wote wa Ukraine akiwemo zelensky wauwawe.
Leta ushahidiSio mara ya kwanza
Nuckear ya nn? Yaani tutapiga dole mpaka wake chini.Hajatishia kulipua nuclear??
ukraine ndo anacheka na kima tangu 2014 Ukraine wanatumia busara zaid ila Putin anawaona wenzie wajinga kwa kukaa kimya , sasa wameona wasipoteze pekee yaoKuna mawili,
1.Ukraine imekuwa desperate kuona Bakhmut inaanguka,kaamua liwalo naliwe.
2. Huenda ni inside job ya Urusi kuhalalisha kutangaza vita kamili.
Anyway,Kwa Putin ajifunze sasa,anacheka na kima sasa anavuna mabua.
bado unawaona NATO wabaya kwenye huu mgogoro kwann wao warusi wasijitoe ukraine ? mpk sasa unaona lengo la NATO ni usalama wa Ukraine wala sio kuizuru Urusi ila Urusi ndo anajitafutia matatizoSio Putin tu,hata NATO wanamzuia Ukraine kushambulia Urusi Kwa silaha wanazompa!
Supa pawa ya kubeti auKwa sababu Urusi ni Supa-pawa...
ila yeye asiuawe kisa Ukraine ni kwa bibi yakePutin ameagiza viongizi wote wa Ukraine akiwemo zelensky wauwawe.
mnavyoa andika muwe na utafit kabla , warusi wenyew wanalia wanakuwa koloni la china kisa hii vita , yaan kila bidhaa hadi technology inaanza kuwa chini ya ChinaChoka mbaya wamagharibi wangekua wanalialia na vikwazo........ Tena vita kua ndefu imekua advantage kwa urusi. Kwenye kuishusha dola na kuipa nguvu BRICS
kwan hazijatumika ? au hizi alizisahau buza ?Naona mnavyojichekesha kumbe mwenzetu Putin kapata sababu ya kumla Zelensky kichwa.
Now hypersonic zitatua pale Ikulu kwa zele