Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Unaona ulivyo unachekesha!!?
Kwahiyo mtu akijiita alshabaab basi yeye muislam??
Hivi unajua alshabaab wale wanapigania madaraka ya kikabila la AMHAR litawale Somalia kwa mwamvuli wa kidini???
Na ndio maana kiongozi atayeingia kama haendani na kabila lao wanampangia assassination attempt.
Bokoharam wako kwa minajili ya kisiasa kupitia mwamvuli wa kidini nenda kasome kisa chao vizuri.
Una mengi huyajui.
Kwanin wakiua wanasema allah akbar
 
Na waislmu walishindwa kushambaza uislamu europe kwa mabavu kupitia crusader

Middle east walifanikiwa ila walipojaribubkwenda europe walishindwa
Nikiongea mimi nitaonekana muongo.
CRUSADE WAR ILIKUA NI VITA YA MSALABA NA WALIANZISHA WAKATOLIKI.
Soma hizo hapo articles chini maana nikiongea mimi nitaonekana muongo.
Screenshot_2024-03-25-12-02-31-89_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-25-12-02-49-28_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Unaona ulivyo unachekesha!!?
Kwahiyo mtu akijiita alshabaab basi yeye muislam??
Hivi unajua alshabaab wale wanapigania madaraka ya kikabila la AMHAR litawale Somalia kwa mwamvuli wa kidini???
Na ndio maana kiongozi atayeingia kama haendani na kabila lao wanampangia assassination attempt.
Bokoharam wako kwa minajili ya kisiasa kupitia mwamvuli wa kidini nenda kasome kisa chao vizuri.
Una mengi huyajui.
Sasa kama wanatumia mwavuli wa dini kwanini watumie Dini ya Kiislam wasiende kutumia ukristo au sijui ulokole?
Wote hao wawe wanatumia mwamvuli wa Uislam tu??

Na kama wanatumia mwamvuli wenu ili kuwachafua ni kwanini nyie wahusika wenyewe wenye dini msiwachukulie hatua kwa kuchafua dini yenu?
 
Acha kuropoka takataka kama umekunywa maji machafu.
1)VITA YA KWANZA YA DUNIA ALIANZISHA MUISLAM?
2)VITA YA PILI YA DUNIA ALIANZISHA MUISLAM.
3)UKOLONI NA MAUAJI YA KIMBALI YALOFANYIKA KATIKA MAKOLONI HUSUSAN YA KIINGEREZA NA KIJERUMANI YALIANZISHWA NA MUISLAM??
4)VITA YA UKRAINE ALIANZISHA MUISLAM??
5)KUIVUNJA USSR ALIANZISHA MUISLAM??
6)VITA ZA IRAQ NA SYRIA NA LIBYA ALIANZISHA MUISLAM??
FALA MKUBWA WEWE.
Embu jibu hayo maswali kwanza.
BILA UISLAM DUNIA INGEKUWA MAHALI SALAMA PA KUISHI!

Hayo maswali wapelekee Masheikh wakujibu!
 
Nikiongea mimi nitaonekana muongo.
CRUSADE WAR ILIKUA NI VITA YA MSALABA NA WALIANZISHA WAKATOLIKI.
Soma hizo hapo articles chini maana nikiongea mimi nitaonekana muongo.View attachment 2944217View attachment 2944218
Hatukatai huko tulikotoka hizi dini zetu zote zina historia ya kupigana vita.
Hata ukisoma Biblia, ukisoma quran zote zina simulizi za mapigano ya vita. Lakini hizo zote ni way back tushatoka huko zamani sana.

Sasa nyie ndugu zetu bado mpo humo tu, kila siku mnatutesa kusikia habari zenu za kujitoa mhanga na kuua mamia ya watu huku mkisema allah akbar
 
Sasa kama wanatumia mwavuli wa dini kwanini watumie Dini ya Kiislam wasiende kutumia ukristo au sijui ulokole?
Wote hao wawe wanatumia mwamvuli wa Uislam tu??

Na kama wanatumia mwamvuli wenu ili kuwachafua ni kwanini nyie wahusika wenyewe wenye dini msiwachukulie hatua kwa kuchafua dini yenu?
Labda unashindwa kuelewa kitu kimoja.
Hata hao USA wanatumia mwamvuli wa uislam kutimiza yao mathalan kuivunja USSR walitumika Mujaheddin(Taliban).
Watu wasio na mlengwa mzuri hutumia vijana kwa kuwa brainwash kuwa wanapombana wanapambania dini yao ya kiislam kumbe badala yake wanapigania maslahi ya watu binafsi ya kisiasa.
Na Uislam tokea miaka ya nyuma umezoeleka kuwa ni dini ya ITIKADI KALI ndio maana watu hutumia udhaifu huo.
Katizame wapiganaji wengi wa alshabaab na Bokoharam masikini ni vijana wadogo waliokua brainwashed kuwa wanapigana jihad na wakidanganywa na fedha za hapa na pale kumbe wanapigania maslahi ya watu binafsi ya kisiasa.
 
Labda unashindwa kuelewa kitu kimoja.
Hata hao USA wanatumia mwamvuli wa uislam kutimiza yao mathalan kuivunja USSR walitumika Mujaheddin(Taliban).
Watu wasio na mlengwa mzuri hutumia vijana kwa kuwa brainwash kuwa wanapombana wanapambania dini yao ya kiislam kumbe badala yake wanapigania maslahi ya watu binafsi ya kisiasa.
Na Uislam tokea miaka ya nyuma umezoeleka kuwa ni dini ya ITIKADI KALI ndio maana watu hutumia udhaifu huo.
Katizame wapiganaji wengi wa alshabaab na Bokoharam masikini ni vijana wadogo waliokua brainwashed kuwa wanapigana jihad na wakidanganywa na fedha za hapa na pale kumbe wanapigania maslahi ya watu binafsi ya kisiasa.
Sasa swali langu ni kwamba ni kwanini Uislam tu ndyo utumike? Ni kutokana na mapungufu yake pamoja na kujengwa na misingi ya Violence.

Tunarudi palepale kuwa, Bila uislam dunia ingekuwa sehemu salama sana ya kuishi
 
Hatukatai huko tulikotoka hizi dini zetu zote zina historia ya kupigana vita.
Hata ukisoma Biblia, ukisoma quran zote zina simulizi za mapigano ya vita. Lakini hizo zote ni way back tushatoka huko zamani sana.

Sasa nyie ndugu zetu bado mpo humo tu, kila siku mnatutesa kusikia habari zenu za kujitoa mhanga na kuua mamia ya watu huku mkisema allah akbar
Hivi unafuatilia mratibu wa hizi vita ni nani??
Wacha nikupe homework ukaifanye:
1)Kafuatilie nani anawafadhili ISIS Iraq na Syria.
2Kafuatilie nani anawafadhili PKK kurdish fighters Syria na Turkiye na Iraq.
3)Kafuatilie nani kafadhili mauaji ya Mohammed Morsi ili Elsisi aingie madarakani.
4)Kafuatilie nani aliratibu vita za Yemeni tokea 2014 mpaka 2021.
Chanzo hamkijui mnaongea tu.
Embu kafuatilie hayo kesha urejee.
 
Hivi unafuatilia mratibu wa hizi vita ni nani??
Wacha nikupe homework ukaifanye:
1)Kafuatilie nani anawafadhili ISIS Iraq na Syria.
2Kafuatilie nani anawafadhili PKK kurdish fighters Syria na Turkiye na Iraq.
3)Kafuatilie nani kafadhili mauaji ya Mohammed Morsi ili Elsisi aingie madarakani.
4)Kafuatilie nani aliratibu vita za Yemeni tokea 2014 mpaka 2021.
Chanzo hamkijui mnaongea tu.
Embu kafuatilie hayo kesha urejee.
Nadhani Bado kuna mambo ya msingi hatuelewani hapa.

Anyways, Sawa. Naingia chimbo kufuatilia haya kisha nirudi hapa
 
Sasa swali langu ni kwamba ni kwanini Uislam tu ndyo utumike? Ni kutokana na mapungufu yake pamoja na kujengwa na misingi ya Violence.

Tunarudi palepale kuwa, Bila uislam dunia ingekuwa sehemu salama sana ya kuishi
Unakosea.
Mwenye lengo ovu ndio asingekua duniani basi dunia ingekua sehemu salama.
Sawa sawa useme kuhusu pesa.
Wapo wanaotumia pesa kununulia malaya,kulewa na kufadhili mauaji je kisa ya hicho ndio PESA USEME NI SHETANI??
Shetani pesa ama mtumiaji wa pesa kulingana na matumizi ndio shetani??
Kwani waislam hawana mazuri??
Tukija tu Tanzania hii nchi kipindi inapata uhuru waislam wana mchango mkubwa sana.
 
We ndo ufuatulie sisi mimi
Uko bize kukariri juzuu huwezi nielewa
😂😂😂😂😂Aisee unanichekesha we jamaa.
Kafuatilie jamii ya uzao wa Pakistani imetokea wapi na kwanini wakajiita Pakistani descendants.
Bangladesh mpaka leo wanajulikana ni Indian descendants pamoja na Nepal ila mbona Pakistan hao hujinasibu kama Pakistani??
 
Afghanistan na Pakistan kiasili wanaendana na Tajikistan na hao Uzbekistan.
Afghani na Paki sio Indian origin hata kidogo wana unasaba mkubwa wa kiajemi .
Pakistan na India ni Nchi moja imegawanywa tu juzi juzi, asilimia kubwa ya Wapakistan ni Punjabi, ambao ndio hao hao wapo India kwa wingi.

WA Afghanistan wengi ni pashtun ambao pia wapo kwa wingi Pakistan na India. Kuna Makabila madogo madogo ya Afghanistan ambayo yana relate Na Iran na uzbek kama vile Hazara.

Hii study inaelezea vizuri

Kwa case yetu hapa Tunaongelea Taliban ambao ni Pashtun na wanarelate zaidi na Pakistan na west India.

Hawa ndio hazara
images (16).jpeg

images (17).jpeg

By appearance unawaona ni kweli wana asili ya huko Uzbek

Na hawa pashtun
images (18).jpeg


Wakipita mtaani hutofautishi na wale Tabligh wa kipakistan.
 
Pakistan na India ni Nchi moja imegawanywa tu juzi juzi, asilimia kubwa ya Wapakistan ni Punjabi, ambao ndio hao hao wapo India kwa wingi.

WA Afghanistan wengi ni pashtun ambao pia wapo kwa wingi Pakistan na India. Kuna Makabila madogo madogo ya Afghanistan ambayo yana relate Na Iran na uzbek kama vile Hazara.

Hii study inaelezea vizuri

Kwa case yetu hapa Tunaongelea Taliban ambao ni Pashtun na wanarelate zaidi na Pakistan na west India.

Hawa ndio hazara
View attachment 2944266
View attachment 2944267
By appearance unawaona ni kweli wana asili ya huko Uzbek

Na hawa pashtun
View attachment 2944268

Wakipita mtaani hutofautishi na wale Tabligh wa kipakistan.
Kuwa Pakistan na India kuwa taifa moja hilo halipingiki mkuu.
Ila asili ya Pakistan sio uhindi.
 
Vita vya dunia walikua wanapigania maslai na sio dini
Hawa ndugu zako wakiua wanasema allah akbar

Crusade roma empire walikuwa wanajilinda dhid ya caliphate za kiislamu zilizokua zinawalazamisha kuwa waislamu ndo maana ya crusade

Kama sio uimara wa roma empire western europe yote ingechukuliwa na waislamu na wote kuwa magaidi
Bora ungekaa kimya unazidi kuonyesha ujinga wako wewe upo Uloye unapinga msome Papa kabla ya kifo chake.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Pope John Paul II made many apologies. During his long reign as Pope, he apologized to Jews, women, people convicted by the Inquisition, Muslims killed by the Crusaders and almost everyone who had suffered at the hands of the Catholic Church over the years. Even before he became the Pope, he was a prominent editor and supporter of initiatives like the Letter of Reconciliation of the Polish Bishops to the German Bishops from 1965. As Pope, he officially made public apologies for over 100 of these wrongdoings, including:

Christians involved in the African slave trade (14 August 1985, also at various points in the 1990s)
The Church's role in burnings at the stake and the religious wars that followed the Protestant Reformation (May 1995, in the Czech Republic).
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Unapoteza muda wako kupambana na Uislam kuna wenzako toka karne ya 7 walikuwa wanapambana na Uislam leo wapo wapi na Uislam upo wapi?
🤣🤣
 
Back
Top Bottom