Urusi waanza kutumia bidhaa za Kichina na Kihindi

Urusi waanza kutumia bidhaa za Kichina na Kihindi

Sio china ni makampuni ya.marekani yaliyowekeza industrial base China sababu ya cheap production costs.Yanazalishia China na kuuza America kwao kwa bei ya juu

Trump alishawahi kuyatishia hayo makampuni ya Marekani yaliyowekeza industrial base china kuwa yasiporudisha industrial base zao Amerika atapandisha Kodi na ushuru wa bidhaa zao wanazozalisha China sababu wana create ajira China na kuacha waamerika hawana ajira
i, Kwa hiyo baada ya kupandisha ushuru wa bidhaa zinazoingia U.S.A kutoka China unafahamu ni nini kilitokea?

ii, Unafahamu ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na wawekezaji kutoka nje ya China?

iii, Unafahamu pia ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na serikali ya China?

iv, Unafahamu sheria za uwekezaji za China zinasemaje?

V, Unafahamu ni kwa nini matajiri wa marekani walimgomea Trump kurudisha viwanda marekani? baada yake matajiri ndio wanazidi kwenda kuwekeza China?

Vi, Unadhani ni marekani pekee ndio amewekeza viwanda China . Unafahamu ni sababu zipi zina wasukuma matajiri mbalimbali duniani kwenda kuwekeza viwanda China na sio marekani?
 
i, Kwa hiyo baada ya kupandisha ushuru wa bidhaa zinazoingia U.S.A kutoka China unafahamu ni nini kilitokea?

ii, Unafahamu ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na wawekezaji kutoka nje ya China?

iii, Unafahamu pia ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na serikali ya China?

iv, Unafahamu sheria za uwekezaji za China zinasemaje?

V, Unafahamu ni kwa nini matajiri wa marekani walimgomea Trump kurudisha viwanda marekani? baada yake matajiri ndio wanazidi kwenda kuwekeza China?

Vi, Unadhani ni marekani pekee ndio amewekeza viwanda China . Unafahamu ni sababu zipi zina wasukuma matajiri mbalimbali duniani kwenda kuwekeza viwanda China na sio marekani?
Maswali yote hayo jibu wewe unayejua
 
Maswali yote hayo jibu wewe unayejua
Onyo: Usijifanye kila kitu una kijua achana na China hilo ni jitu kubwa lililo nje ya uwezo wako Hilo jitu lina historia ya uwepo wake hapa duniani Kama taifa kwa zaidi ya miaka 5000. Sidhani hata taifa lako la Tanganyika limefikisha miaka 200
 
Tatizo lipo wanatoka kwenye kutumia bidhaa za high quality,durable na high price wanahamia kwenye bidhaa low quality,low price na zisizodumu za India na China kama Sisi watanzania na nchi za dunia ya Tatu

Hilo ni wazi kuwa mrusi kafilisika wanahama kutoka high life kwenda low life
Nani kakwambia kuwa China na India hawana bidhaa zenye high quality na durable??

Tatizo mnaamini sana West.
 
Nani kakwambia kuwa China na India hawana bidhaa zenye high quality na durable??

Tatizo mnaamini sana West.
Kwa hiyo tukuamini wewe mvaa mitumba ya west na mwendesha gari mtumba iliyookotwa jalalani west na japan ukauziwa wewe
 
Ndugu hawa vijana wa humu JF muda mwingine waangalie tu alafu kaa kimya maana daaah wanasikitisha . Robo tatu ya dunia inaitegemea china kwa bidhaa za viwandani hakuna nchi duniani utaenda ukakosa bidhaa ya kichina iwe unataka iwe autaki lakini iyo habadiliki itabaki kuwa hivyo. China ni number one exporter wa industrial products in America , Africa, Asia, Europe , Australia, South America . China ni number one exporter wa industrial products in the world
Ungejua nusu ya viwanda vinavyotengeneza hizo bidhaa ni za wazungu pamoja na teknolojia usingeongea, nawe ni wale wale wa ushabiki maandazi.
 
i, Kwa hiyo baada ya kupandisha ushuru wa bidhaa zinazoingia U.S.A kutoka China unafahamu ni nini kilitokea?

ii, Unafahamu ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na wawekezaji kutoka nje ya China?

iii, Unafahamu pia ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na serikali ya China?

iv, Unafahamu sheria za uwekezaji za China zinasemaje?

V, Unafahamu ni kwa nini matajiri wa marekani walimgomea Trump kurudisha viwanda marekani? baada yake matajiri ndio wanazidi kwenda kuwekeza China?

Vi, Unadhani ni marekani pekee ndio amewekeza viwanda China . Unafahamu ni sababu zipi zina wasukuma matajiri mbalimbali duniani kwenda kuwekeza viwanda China na sio marekani?
Acha uongo bwana, uwekezaji wa wamarekani China umepungua mno kwa miaka mitano iliyopita na uwekezaji mwingi umehamia nchi zingine kama Vietnam, Thailand, Cambodia, Philippines, Mexico nk.

China waliambiwa warekebishe balance of trade wakashindwa Marekani wakaamua kufanya disinvestment from China.
 
Idadi Vs Purchasing power ndivyo vitakavyoamua anguko la mmoja kibiashara. Muda utasema.
images (3).png
 
Acha uongo bwana, uwekezaji wa wamarekani China umepungua mno kwa miaka mitano iliyopita na uwekezaji mwingi umehamia nchi zingine kama Vietnam, Thailand, Cambodia, Philippines, Mexico nk.

China waliambiwa warekebishe balance of trade wakashindwa Marekani wakaamua kufanya disinvestment from China.
Hapo juu umesema kuwa karibu nusu ya viwanda vya china ni vya west alafu hapa unasema viwanda vimepungua kuwa na misimamo mmoja ueleweke . Inshort hakuna kitu kinachoitwa nusu ya viwanda vya china ni vya west hii sio china ya wakati ule wa Deng Xiaoping hii Ni china ya Xi Jinping karibu asilimia 60% ya viwanda vya china ni vya serikali ya china , Ina fuatia matajiri wa kichina Mwisho ni vya wawekezaji wa nje ya china
 
Hapo juu umesema kuwa karibu nusu ya viwanda vya china ni vya west alafu hapa unasema viwanda vimepungua kuwa na misimamo mmoja ueleweke . Inshort hakuna kitu kinachoitwa nusu ya viwanda vya china ni vya west hii sio china ya wakati ule wa Deng Xiaoping hii Ni china ya Xi Jinping karibu asilimia 60% ya viwanda vya china ni vya serikali ya china , Ina fuatia matajiri wa kichina Mwisho ni vya wawekezaji wa nje ya china
Achana na awa vichaa WA internet wawekezaji wote WA nje wakijaa kuwekeza ndani ya China lazima washere uwekezaji uwo na wazawa hii Sheria Hadi kipindi cha Trump walivunja uwekezaji WA matajiri WA China ndani ya Marekani maana wachina wengi saivi wananunua makampuni mengi ya ulaya na Marekani Ila Kwa alichokipata Rusia kwenye makampuni Yao yalio ndani ya ulaaya na Marekani naoana wachina wengi watanunua makampuni ya ulaaya nankupeleka teknolojia yote China ili yasiwatokee kama warusia walivyofanyiwa
 
Achana na awa vichaa WA internet wawekezaji wote WA nje wakijaa kuwekeza ndani ya China lazima washere uwekezaji uwo na wazawa hii Sheria Hadi kipindi cha Trump walivunja uwekezaji WA matajiri WA China ndani ya Marekani maana wachina wengi saivi wananunua makampuni mengi ya ulaya na Marekani Ila Kwa alichokipata Rusia kwenye makampuni Yao yalio ndani ya ulaaya na Marekani naoana wachina wengi watanunua makampuni ya ulaaya nankupeleka teknolojia yote China ili yasiwatokee kama warusia walivyofanyiwa
Tatizo la hawa vijana wengi wa humu JF wanajifanya wanajua kila kitu alafu wanapenda kuyaona mataifa ambayo hayapo mlengo moja na marekani na magharibi Ni dhaifu kwa kila kitu . Mtu aina hivi hudiliki kusema kuwa China sio lolote mbele ya marekani nadhani hata leo ukimwamsha kitandani Biden halafu umwambie akuelezee nguvu ya China kiuchumi ilivyo na hakika atailezea kwa ukubwa zaidi tofauti na vijana wengi wa humu jf
 
Tatizo lipo wanatoka kwenye kutumia bidhaa za high quality,durable na high price wanahamia kwenye bidhaa low quality,low price na zisizodumu za India na China kama Sisi watanzania na nchi za dunia ya Tatu

Hilo ni wazi kuwa mrusi kafilisika wanahama kutoka high life kwenda low life
Mkuu, bidhaa zina categories! High quality product za kichina huwezi kuzikuta Africa sabab ya gharama!

Sasa sidhani kama Russia anaweza kubali kuuziwa bidhaa zenye kiwango duni kama ilivyo kwa sisi Africa.

Bidhaa zitakazouzwa Russia zitakuwa bora kama zinazouzwa USA kutoka China.
 
Ndio maana yake na kuanza kutumia vyakula vya kihindi baada ya McDonalds nk kuondoka na kutumia vifaa vya ujenzi vya China kama sisi

Bidhaa za kichina zilizojaa kwetu ndizo hizo utazikuta Urusi
Unajidanganya,mchina anatengeneza bidhaa kulingana a uwezo wa watu wa nchi husika,kuna simu zinatengezwa China, lakini haziruhusiwi kuja Afrika,nenda eBay uone.
 
Achana na awa vichaa WA internet wawekezaji wote WA nje wakijaa kuwekeza ndani ya China lazima washere uwekezaji uwo na wazawa hii Sheria Hadi kipindi cha Trump walivunja uwekezaji WA matajiri WA China ndani ya Marekani maana wachina wengi saivi wananunua makampuni mengi ya ulaya na Marekani Ila Kwa alichokipata Rusia kwenye makampuni Yao yalio ndani ya ulaaya na Marekani naoana wachina wengi watanunua makampuni ya ulaaya nankupeleka teknolojia yote China ili yasiwatokee kama warusia walivyofanyiwa
Nimemuuliza swali moja je anafahamu sheria za uwekezaji China zinasemaje ? Hakika akijibu hili swali atafahamu ni kwa namna gani wachina ni smart Sana hapa duniani
 
Hapo juu umesema kuwa karibu nusu ya viwanda vya china ni vya west alafu hapa unasema viwanda vimepungua kuwa na misimamo mmoja ueleweke . Inshort hakuna kitu kinachoitwa nusu ya viwanda vya china ni vya west hii sio china ya wakati ule wa Deng Xiaoping hii Ni china ya Xi Jinping karibu asilimia 60% ya viwanda vya china ni vya serikali ya china , Ina fuatia matajiri wa kichina Mwisho ni vya wawekezaji wa nje ya china
Na bidhaa nyingi zinazopelekwa nchi za magharibi hutengenezwa na viwanda vyao vilivyoko China na vile vya kichina bidhaa zake nyingi huuzwa katika nchi za dunia ya tatu hasa Afrika, because they've no name for quality.
 
i, Kwa hiyo baada ya kupandisha ushuru wa bidhaa zinazoingia U.S.A kutoka China unafahamu ni nini kilitokea?

ii, Unafahamu ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na wawekezaji kutoka nje ya China?

iii, Unafahamu pia ni asilimia ngapi za viwanda vilivyopo China vinamilikiwa na serikali ya China?

iv, Unafahamu sheria za uwekezaji za China zinasemaje?

V, Unafahamu ni kwa nini matajiri wa marekani walimgomea Trump kurudisha viwanda marekani? baada yake matajiri ndio wanazidi kwenda kuwekeza China?

Vi, Unadhani ni marekani pekee ndio amewekeza viwanda China . Unafahamu ni sababu zipi zina wasukuma matajiri mbalimbali duniani kwenda kuwekeza viwanda China na sio marekani?
Sasa niambie kwanini hapo awali Urusi alikuwa anatumia bidhaa za Ulaya na Marekani kama China anazalisha bidhaa bora?

Kwanini sasahivi aamue kuhamia China na sio alipozoea kununua?

Ukweli ni kwamba China anazalisha bidhaa feki kwahiyo Urusi ameamua kununua bidhaa feki kwakuwa hana namna.
 
Ndio maana yake na kuanza kutumia vyakula vya kihindi baada ya McDonalds nk kuondoka na kutumia vifaa vya ujenzi vya China kama sisi

Bidhaa za kichina zilizojaa kwetu ndizo hizo utazikuta Urusi
Tatizo lako ni kukosa exposure tu. Ndio maana unajidhalilisha kutwa kwa kuja na vihoja dhaifu. Aliyekwambia ati bidhaa za China ziendazo Ulaya na Tanzania ni sawa ni nani?
 
Cha mchina ni cha mchina tu
Ingekuwa hivyo Tanzania yasingejaa magari ya Toyota.

Nitajie gari yeyote ndogo ya mchina waliyowahi iona Tanzania

Urusi nao hamna kitu kuna gari ndogo gani ya kutembelea ya mrusi ulishawahi iona Tanzania
China anagari nyingi ndogo sema watu wamechanjiwa mabati ya Toyota hata vyuma vya bavaria wanaogopa kununua china anafanya vizhri kwa sasa kwa magari ya umeme
 
Kama Sungura vile
Sizitaki mbichi hizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa niambie kwanini hapo awali Urusi alikuwa anatumia bidhaa za Ulaya na Marekani kama China anazalisha bidhaa bora?

Kwanini sasahivi aamue kuhamia China na sio alipozoea kununua?

Ukweli ni kwamba China anazalisha bidhaa feki kwahiyo Urusi ameamua kununua bidhaa feki kwakuwa hana namna.
 
Back
Top Bottom