Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ile sio operation ya kijeshi, ule ni uvamizi.
Mimi nimekuuliza bara la Afrika Lina nchi ngapi . Ila sijakuuliza ni nchi gani kutoka bara la Afrika iliyounga mkono operation ya kijeshi ya urusi pale Ukraine