Urusi waanza kutumia bidhaa za Kichina na Kihindi

Urusi waanza kutumia bidhaa za Kichina na Kihindi

Sasa niambie kwanini hapo awali Urusi alikuwa anatumia bidhaa za Ulaya na Marekani kama China anazalisha bidhaa bora?

Kwanini sasahivi aamue kuhamia China na sio alipozoea kununua?

Ukweli ni kwamba China anazalisha bidhaa feki kwahiyo Urusi ameamua kununua bidhaa feki kwakuwa hana namna.
Naomba unitofautishie kwa njia ya maelezo kati ya bidhaa fake na bidhaa za first standard, second standard na third standard?. Ukishajua tofauti ya hayo maneno hakika utajua china anauza
bidhaa gani Africa. je ni fake au ni third standard na pia utajua China anauza bidhaa gani Ulaya na marekani je Second standard au ni first standard
 
Sasa niambie kwanini hapo awali Urusi alikuwa anatumia bidhaa za Ulaya na Marekani kama China anazalisha bidhaa bora?

Kwanini sasahivi aamue kuhamia China na sio alipozoea kununua?

Ukweli ni kwamba China anazalisha bidhaa feki kwahiyo Urusi ameamua kununua bidhaa feki kwakuwa hana namna.
Urusi alikuwa anatumia bidhaa za ulaya na hata za China . Kama ambavyo alivyokuwa anauza mafuta na gesi Ulaya na China Ila baada ya Vikwazo mbalimbali vya kibiashara urusi akawa amebakisha business partner wachache hasa hasa china na India Ila mataifa ya Ulaya yaliyo mengi yalijitenga nae ndio maana akaongeza uuzaji wa mafuta na gesi china na India kitu ambacho awali ilikuwa sivyo , pia hivyo biashara Kati ya china na urusi imeongezeka maradufu tofauti na awali.
 
Simu gani ya Mchina inayoweza kuuzwa Ulaya au US ikanunulika?
Gari gani la China linaloweza kuuzwa Ulaya au US?
Brand gani ya computer ya China inaweza kuuzwa US au Ulaya?
Naomba unitofautishie kwa njia ya maelezo kati ya bidhaa fake na bidhaa za first standard, second standard na third standard?. Ukishajua tofauti ya hayo maneno hakika utajua china anauza
bidhaa gani Africa. je ni fake au ni third standard na pia utajua China anauza bidhaa gani Ulaya na marekani je Second standard au ni first standard
 
Simu gani ya Mchina inayoweza kuuzwa Ulaya au US ikanunulika?
Gari gani la China linaloweza kuuzwa Ulaya au US?
Brand gani ya computer ya China inaweza kuuzwa US au Ulaya?
Unafahamu ni kuhusu simu za Huwawei mpaka zikaipita I- phone kimauzo duniani huku Samsung ikiongoza kumbuka walikuwa wanauza kwa Sana huko huko U.S.A na Ulaya , Unafahamu kuhusu Xiamo
 
Hizi ni bidhaa zenu Ulimwengu wa tatu na wa Pili. Nitajie bidhaa za kiteknolojia za Kichina zinazowezwa kuuzika soko la US na Ulaya.
Unafahamu ni kuhusu simu za Huwawei mpaka zikaipita I- phone kimauzo duniani huku Samsung ikiongoza kumbuka walikuwa wanauza kwa Sana huko huko U.S.A na Ulaya , Unafahamu kuhusu Xiamo
 
Hizi ni bidhaa zenu Ulimwengu wa tatu na wa Pili. Nitajie bidhaa za kiteknolojia za Kichina zinazowezwa kuuzika soko la US na Ulaya.
Kwa hiyo Huwawei ilikuwa bidhaa ya ulimwengu wa tatu mpaka ikapewa tenda ya kufunga 5G England?.🤔angalau ungeniambia kuhusu Tecno, Itel, Infinix ningekuelewa
 
China anauza US furniture, midoli, nguo, vyombo, plastiki, aluminium, mashine nyepesi na vifaa simple vya umeme.
Anafanya biashara kubwa sana US na Ulaya kwa aina hiyo ya bidhaa na pia biashara nyingine kubwa duniani anafanya kwa bidhaa nyingi ila hawezi kuwafikia US au Ulaya kwa bidhaa za Teknolojia complicated zenye ubora wa juu hata kwa miaka 20 ijayo.
Unafahamu ni kuhusu simu za Huwawei mpaka zikaipita I- phone kimauzo duniani huku Samsung ikiongoza kumbuka walikuwa wanauza kwa Sana huko huko U.S.A na Ulaya , Unafahamu kuhusu Xiamo
 
Ndugu hawa vijana wa humu JF muda mwingine waangalie tu alafu kaa kimya maana daaah wanasikitisha . Robo tatu ya dunia inaitegemea china kwa bidhaa za viwandani hakuna nchi duniani utaenda ukakosa bidhaa ya kichina iwe unataka iwe autaki lakini iyo habadiliki itabaki kuwa hivyo. China ni number one exporter wa industrial products in America , Africa, Asia, Europe , Australia, South America . China ni number one exporter wa industrial products in the world
Kuna wakati nilikutana na Mchina huko USA. Siku moja tukaenda kufanya shopping kwenye Supermarket moja. Yeye shopping yake ilikuwa kubwa, hivyo akaona anunue begi jipya ili kuhifadhi zawadi zake atakazopeleka kwao China. Supermarket yote kulikuwa na mabegi yote kutoka China.

Ilibidi aghairi kununua begi kwa siku hiyo, ili ajaribu kutafuta kwenye maduka mengine endapo angepata begi lililotengezwa US au kutoka nchi nyingine. Hakutaka kurudi nyumbani China na begi lililoandikwa "Made in China" halafu kalinunua US.
 
Tatizo lipo wanatoka kwenye kutumia bidhaa za high quality,durable na high price wanahamia kwenye bidhaa low quality,low price na zisizodumu za India na China kama Sisi watanzania na nchi za dunia ya Tatu

Hilo ni wazi kuwa mrusi kafilisika wanahama kutoka high life kwenda low life
India wanajitahidi sana kwenye ubora kuliko unavyofikiria..
 
China anauza US furniture, midoli, nguo, vyombo, plastiki, aluminium, mashine nyepesi na vifaa simple vya umeme.
Anafanya biashara kubwa sana US na Ulaya kwa aina hiyo ya bidhaa na pia biashara nyingine kubwa duniani anafanya kwa bidhaa nyingi ila hawezi kuwafikia US au Ulaya kwa bidhaa za Teknolojia complicated zenye ubora wa juu hata kwa miaka 20 ijayo.
Ndugu you are misleading china anaexport bidhaa hizi hapa U.S.A👇
Screenshot_20220707-210425.jpg

Screenshot_20220707-210507.jpg

Screenshot_20220707-210516.jpg

Screenshot_20220707-210526.jpg
Screenshot_20220707-210554.jpg
Screenshot_20220707-210607.jpg

Screenshot_20220707-210622.jpg

Screenshot_20220707-210634.jpg

Screenshot_20220707-210646.jpg

Screenshot_20220707-210659.jpg

Screenshot_20220707-210713.jpg

Screenshot_20220707-210723.jpg

Screenshot_20220707-210736.jpg

Screenshot_20220707-210748.jpg

Screenshot_20220707-210800.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220707-210634.jpg
    Screenshot_20220707-210634.jpg
    34.7 KB · Views: 5
Kuna wakati nilikutana na Mchina huko USA. Siku moja tukaenda kufanya shopping kwenye Supermarket moja. Yeye shopping yake ilikuwa kubwa, hivyo akaona anunue begi jipya ili kuhifadhi zawadi zake atakazopeleka kwao China. Supermarket yote kulikuwa na mabegi yote kutoka China.

Ilibidi aghairi kununua begi kwa siku hiyo, ili ajaribu kutafuta kwenye maduka mengine endapo angepata begi lililotengezwa US au kutoka nchi nyingine. Hakutaka kurudi nyumbani China na begi lililoandikwa "Made in China" halafu kalinunua US.
Je alipata begi lililoandikwa made in US?🤔
 
China anauza US furniture, midoli, nguo, vyombo, plastiki, aluminium, mashine nyepesi na vifaa simple vya umeme.
Anafanya biashara kubwa sana US na Ulaya kwa aina hiyo ya bidhaa na pia biashara nyingine kubwa duniani anafanya kwa bidhaa nyingi ila hawezi kuwafikia US au Ulaya kwa bidhaa za Teknolojia complicated zenye ubora wa juu hata kwa miaka 20 ijayo.
Bidhaa gani zenye teknolojia complicated mchina hawezi kufanya mchina huyu ambaye ndie anayeongoza kwa kuzalisha na kuuza magari ya umeme duniani, mchina huyu huyu anayeongoza kwa kuzalisha na kuuza solar duniani? Mchina huyu huyu ambaye ndio nchi pekee inayo miliki kituo Cha anga Cha pekee yake hapa duniani, mchina huyu huyu anaye Tengeneza ndege, Train za kasi za umeme hapa duniani, mchina huyu alitengeneza jua la bandia ,mchina huyu anarusha roketi za Kisayansi kwenda mwezini, Mars au mkuu ulikuwa una maanisha mchina mwengine?🤔
 
Simu gani ya Mchina inayoweza kuuzwa Ulaya au US ikanunulika?
Gari gani la China linaloweza kuuzwa Ulaya au US?
Brand gani ya computer ya China inaweza kuuzwa US au Ulaya?
Mjinga mkubwa kabisa kabla ya sanction simu ambazo zilikuwa zinauza sana ulaya ni HUAWEI ata baada ya kupigwa sanction simu zinazouza snaa Kwa sasa nyuma ya Samsung ni Xiaomi alafu oppo alafu realmee zote izo ni za China Xiaomi ni simu ya tatu Kwa mauzo makubwa duniani na inauza bars ulaya na Marekani
 
China anauza US furniture, midoli, nguo, vyombo, plastiki, aluminium, mashine nyepesi na vifaa simple vya umeme.
Anafanya biashara kubwa sana US na Ulaya kwa aina hiyo ya bidhaa na pia biashara nyingine kubwa duniani anafanya kwa bidhaa nyingi ila hawezi kuwafikia US au Ulaya kwa bidhaa za Teknolojia complicated zenye ubora wa juu hata kwa miaka 20 ijayo.
Wewe kweli ni mjinga asiyetaka kujifunza useless kabisa
 
Back
Top Bottom