Urusi waanza kutumia bidhaa za Kichina na Kihindi

Urusi waanza kutumia bidhaa za Kichina na Kihindi

Unaona sasa umetukimbizia kijana wetu[emoji16][emoji16][emoji16]
Ungeacha kwanza tumpige msasa kuhusu UCHINA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tatizo la vijana wa humu jf wanaojitanabaisha Kama wafuasi wa west huyaona mataifa yanayofuata mlengo wa kimashariki Kama ni masikini yasiyojiweza kwa lolote . Aina hii ya vijana walidiriki kusema kuwa Russia sio lolote ni taifa masikini hawawezi kushinda vikwazo vya kiuchumi vya magharibi hana ushawishi wowote duniani baada ya kuanguka hawezi kuendelea na operation yake ya kijeshi hapo Ukraine ndani ya mwezi moja watakuwa Kama Zimbabwe naona ni kwa namna gani Russia amewaonesha ni kwa Jinsi gani alivyo na nguvu na ushawishi kwenye nchi mbalimbali. Kaiingiza pesa ya kutosha ndani ya mwezi moja tu kipindi hiki Cha operation ya kijeshi , ushawishi wake wala haujapotea, nguvu ya kijeshi anayo, dunia inamtegemea kwa kiasi kikubwa kwa gas na mafuta pamoja na chakula na Russia kaonesha ni kwa namna gani anaweza kuyumbisha uchumi wa duniani kwa kiwango kikubwa Sana . Kama walivyomdharau Russia na kumuona sio chochote wala lolote ndivyo hivyo hivyo wanamdharu mchina , pia hivyo hivyo wanamdharua Iran , Korea ya kaskazini wanasahau haya mataifa mawili yamaeishi na vikwazo vya kiuchumi vya marekani na magharibi kwa takribani zaidi ya miaka 50 mpaka Sasa Hilo wanasahau na hakuna siku wameenda marekani na ulaya na kuanza kuwalamba Wazungu makalio ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji Kama ambavyo wanapewa mataifa yetu yanayoongozwa na viongozi wajinga na wapumbavu kutwa kucha kuwalamba makalio mabwana zao wa magharibi ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji.
KAMA AMBAVYO WANAYAHESHIMU MATAIFA YA MLENGO WA KIMAGHARIBI PIA WANAPASWA KUYAHESHIMU MATAIFA YENYE MLENGO WA KIMASHARIKI
 
Kuna wakati nilikutana na Mchina huko USA. Siku moja tukaenda kufanya shopping kwenye Supermarket moja. Yeye shopping yake ilikuwa kubwa, hivyo akaona anunue begi jipya ili kuhifadhi zawadi zake atakazopeleka kwao China. Supermarket yote kulikuwa na mabegi yote kutoka China.

Ilibidi aghairi kununua begi kwa siku hiyo, ili ajaribu kutafuta kwenye maduka mengine endapo angepata begi lililotengezwa US au kutoka nchi nyingine. Hakutaka kurudi nyumbani China na begi lililoandikwa "Made in China" halafu kalinunua US.
Kula ugali apoo kwenu uzaramoni Acha kujichetua
 
Sio china ni makampuni ya.marekani yaliyowekeza industrial base China sababu ya cheap production costs.Yanazalishia China na kuuza America kwao kwa bei ya juu

Trump alishawahi kuyatishia hayo makampuni ya Marekani yaliyowekeza industrial base china kuwa yasiporudisha industrial base zao Amerika atapandisha Kodi na ushuru wa bidhaa zao wanazozalisha China sababu wana create ajira China na kuacha waamerika hawana ajira
Hivi watu kwa akili yako hii bado hawakujui tu wanabishana na wewe 😂😂😂 ⁉️ hujui unachokikubali na unachokataa ni kipi.
 
 Hii ionwe na pro NATO wote
IMG_20220708_171508_662.jpg


 
Hivi watu kwa akili yako hii bado hawakujui tu wanabishana na wewe 😂😂😂 ⁉️ hujui unachokikubali na unachokataa ni kipi.
Lengo lake huyo na yule Yoda ni kuhamisha mjadala hule wa Demilitarization and denazification of Ukraine Kwenda kwenye ubishi huu usio na kichwa lakini una miguu!!!
 
Mkuu tatizo la vijana wa humu jf wanaojitanabaisha Kama wafuasi wa west huyaona mataifa yanayofuata mlengo wa kimashariki Kama ni masikini yasiyojiweza kwa lolote . Aina hii ya vijana walidiriki kusema kuwa Russia sio lolote ni taifa masikini hawawezi kushinda vikwazo vya kiuchumi vya magharibi hana ushawishi wowote duniani baada ya kuanguka hawezi kuendelea na operation yake ya kijeshi hapo Ukraine ndani ya mwezi moja watakuwa Kama Zimbabwe naona ni kwa namna gani Russia amewaonesha ni kwa Jinsi gani alivyo na nguvu na ushawishi kwenye nchi mbalimbali. Kaiingiza pesa ya kutosha ndani ya mwezi moja tu kipindi hiki Cha operation ya kijeshi , ushawishi wake wala haujapotea, nguvu ya kijeshi anayo, dunia inamtegemea kwa kiasi kikubwa kwa gas na mafuta pamoja na chakula na Russia kaonesha ni kwa namna gani anaweza kuyumbisha uchumi wa duniani kwa kiwango kikubwa Sana . Kama walivyomdharau Russia na kumuona sio chochote wala lolote ndivyo hivyo hivyo wanamdharu mchina , pia hivyo hivyo wanamdharua Iran , Korea ya kaskazini wanasahau haya mataifa mawili yamaeishi na vikwazo vya kiuchumi vya marekani na magharibi kwa takribani zaidi ya miaka 50 mpaka Sasa Hilo wanasahau na hakuna siku wameenda marekani na ulaya na kuanza kuwalamba Wazungu makalio ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji Kama ambavyo wanapewa mataifa yetu yanayoongozwa na viongozi wajinga na wapumbavu kutwa kucha kuwalamba makalio mabwana zao wa magharibi ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji.
KAMA AMBAVYO WANAYAHESHIMU MATAIFA YA MLENGO WA KIMAGHARIBI PIA WANAPASWA KUYAHESHIMU MATAIFA YENYE MLENGO WA KIMASHARIKI
Sinalakuongeza MKUU umemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa za US au Ulaya kuja Africa sio msaada tu, kuna za biashara pia.

Kabla ya Covid19 US, UK, Italia, Netherlands, Spain, Ujerumani, Ufaransa ndizo zilikuwa zinaongoza kuteletea trillion katika utalii na maelfu ya ajira kwa vijana, biashara kwenye hotel na magari ya utalii.
Mkuu tatizo la vijana wa humu jf wanaojitanabaisha Kama wafuasi wa west huyaona mataifa yanayofuata mlengo wa kimashariki Kama ni masikini yasiyojiweza kwa lolote . Aina hii ya vijana walidiriki kusema kuwa Russia sio lolote ni taifa masikini hawawezi kushinda vikwazo vya kiuchumi vya magharibi hana ushawishi wowote duniani baada ya kuanguka hawezi kuendelea na operation yake ya kijeshi hapo Ukraine ndani ya mwezi moja watakuwa Kama Zimbabwe naona ni kwa namna gani Russia amewaonesha ni kwa Jinsi gani alivyo na nguvu na ushawishi kwenye nchi mbalimbali. Kaiingiza pesa ya kutosha ndani ya mwezi moja tu kipindi hiki Cha operation ya kijeshi , ushawishi wake wala haujapotea, nguvu ya kijeshi anayo, dunia inamtegemea kwa kiasi kikubwa kwa gas na mafuta pamoja na chakula na Russia kaonesha ni kwa namna gani anaweza kuyumbisha uchumi wa duniani kwa kiwango kikubwa Sana . Kama walivyomdharau Russia na kumuona sio chochote wala lolote ndivyo hivyo hivyo wanamdharu mchina , pia hivyo hivyo wanamdharua Iran , Korea ya kaskazini wanasahau haya mataifa mawili yamaeishi na vikwazo vya kiuchumi vya marekani na magharibi kwa takribani zaidi ya miaka 50 mpaka Sasa Hilo wanasahau na hakuna siku wameenda marekani na ulaya na kuanza kuwalamba Wazungu makalio ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji Kama ambavyo wanapewa mataifa yetu yanayoongozwa na viongozi wajinga na wapumbavu kutwa kucha kuwalamba makalio mabwana zao wa magharibi ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji.
KAMA AMBAVYO WANAYAHESHIMU MATAIFA YA MLENGO WA KIMAGHARIBI PIA WANAPASWA KUYAHESHIMU MATAIFA YENYE MLENGO WA KIMASHARIKI
 
Pesa za US au Ulaya kuja Africa sio msaada tu, kuna za biashara pia.

Kabla ya Covid19 US, UK, Italia, Netherlands, Spain, Ujerumani, Ufaransa ndizo zilikuwa zinaongoza kuteletea trillion katika utalii na maelfu ya ajira kwa vijana, biashara kwenye hotel na magari ya utalii.
Elewa mada ilipoanzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kampuni nyingi sana za US, Ulaya na Japan zinazounda(kufanya assemble) China. Badala ya kurukia tu takwimu za exports za China mtandaoni ungetaja majina ya brands za bidhaa za Kichina zinazotengenezwa kwa Teknolojia ya Kichina na kuuzwa soko la US na Ulaya.

Taja brand zipi za Simu, magari, laptops, saa, ndege, pikipiki, redio, friji ambazo ni za kamapuni za Kichina na zinauzwa US au Ulaya. Rejea kwenye vinywaji kama mfano, taja ni brand gani ya Kinywaji cha kichina kama Coca-Cola au Pepsi inauzwa Ulaya.
 
Sio rahisi akuelewe.
Na bidhaa nyingi zinazopelekwa nchi za magharibi hutengenezwa na viwanda vyao vilivyoko China na vile vya kichina bidhaa zake nyingi huuzwa katika nchi za dunia ya tatu hasa Afrika, because they've no name for quality.
 
Huwa mnaelewa maana ya taifa kuwa na ushawishi juu ya taifa lingine au mnatamka tu haya maneno??!

Taifa moja kuwa na ushawashi juu ya taifa fulani ni kuweza kulifanya hilo taifa libadili sera zake au kuathiri muenendo wake katika siasa, uchumi na utamaduni. Sasa Russia anaweza au ameweza kufanya hivyo kwenye taifa gani la Africa?!

Eleweni unapoongelea ushawashi unazungumzia Structural adjustment programs (SAPs), AGOA, PEPFAR, Feed the Future, Power Africa, Hollywood, Pop, Rap, RnB, World Bank, mabasi ya mwendokasi n.k
Ushawashi hauji kwa kulazimisha na vita za kipuuzi.
Mkuu tatizo la vijana wa humu jf wanaojitanabaisha Kama wafuasi wa west huyaona mataifa yanayofuata mlengo wa kimashariki Kama ni masikini yasiyojiweza kwa lolote . Aina hii ya vijana walidiriki kusema kuwa Russia sio lolote ni taifa masikini hawawezi kushinda vikwazo vya kiuchumi vya magharibi hana ushawishi wowote duniani baada ya kuanguka hawezi kuendelea na operation yake ya kijeshi hapo Ukraine ndani ya mwezi moja watakuwa Kama Zimbabwe naona ni kwa namna gani Russia amewaonesha ni kwa Jinsi gani alivyo na nguvu na ushawishi kwenye nchi mbalimbali. Kaiingiza pesa ya kutosha ndani ya mwezi moja tu kipindi hiki Cha operation ya kijeshi , ushawishi wake wala haujapotea, nguvu ya kijeshi anayo, dunia inamtegemea kwa kiasi kikubwa kwa gas na mafuta pamoja na chakula na Russia kaonesha ni kwa namna gani anaweza kuyumbisha uchumi wa duniani kwa kiwango kikubwa Sana . Kama walivyomdharau Russia na kumuona sio chochote wala lolote ndivyo hivyo hivyo wanamdharu mchina , pia hivyo hivyo wanamdharua Iran , Korea ya kaskazini wanasahau haya mataifa mawili yamaeishi na vikwazo vya kiuchumi vya marekani na magharibi kwa takribani zaidi ya miaka 50 mpaka Sasa Hilo wanasahau na hakuna siku wameenda marekani na ulaya na kuanza kuwalamba Wazungu makalio ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji Kama ambavyo wanapewa mataifa yetu yanayoongozwa na viongozi wajinga na wapumbavu kutwa kucha kuwalamba makalio mabwana zao wa magharibi ili wawape vijimisaada vya kinyonyaji.
KAMA AMBAVYO WANAYAHESHIMU MATAIFA YA MLENGO WA KIMAGHARIBI PIA WANAPASWA KUYAHESHIMU MATAIFA YENYE MLENGO WA KIMASHARIKI
 
Kuna kampuni nyingi sana za US, Ulaya na Japan zinazounda(kufanya assemble) China. Badala ya kurukia tu takwimu za exports za China mtandaoni ungetaja majina ya brands za bidhaa za Kichina zinazotengenezwa kwa Teknolojia ya Kichina na kuuzwa soko la US na Ulaya.

Taja brand zipi za Simu, magari, laptops, saa, ndege, pikipiki, redio, friji ambazo ni za kamapuni za Kichina na zinauzwa US au Ulaya. Rejea kwenye vinywaji kama mfano, taja ni brand gani ya Kinywaji cha kichina kama Coca-Cola au Pepsi inauzwa Ulaya.
Mkuu nikuulize swali jepesi tu wakati wewe unasema china Wana export toys , plastics, aluminum na vifaa vya kawaida vya kieletroniki kwenda marekanai je ulisema ni vya viwanda vya kimarekani vilivyopo China au viwanda vya wachina wenyewe?. Maana ulitaja bidhaa tu zitokazo china kwenda marekani bila kutaja viwanda vya kimarekani au vya kichina pia na Mimi nimeorodhesha bidhaa za kichina ziendazo marekani pasipo kuandika kuwa hizi bidhaa ni za kiwanda cha marekani china na hizi bidhaa za kichina kutoka kiwanda cha kichina je mimi nimekosea kufanya hivyo wakati wewe haukufanya hivyo awali?🤔
 
Mkuu nikuulize swali jepesi tu wakati wewe unasema china Wana export toys , plastics, aluminum na vifaa vya kawaida vya kieletroniki kwenda marekanai je ulisema ni vya viwanda vya kimarekani vilivyopo China au viwanda vya wachina wenyewe?. Maana ulitaja bidhaa tu zitokazo china kwenda marekani bila kutaja viwanda vya kimarekani au vya kichina pia na Mimi nimeorodhesha bidhaa za kichina ziendazo marekani pasipo kuandika kuwa hizi bidhaa ni za kiwanda cha marekani china na hizi bidhaa za kichina kutoka kiwanda cha kichina je mimi nimekosea kufanya hivyo wakati wewe haukufanya hivyo awali?[emoji848]
 
Huwa mnaelewa maana ya taifa kuwa na ushawashi juu ya taifa lingine au mnatamka tu haya maneno??!

Taifa moja kuwa kuwa na ushawashi juu ya taifa fulani ni kuweza kulifanya hilo taifa libadili sera zake au muenendo wake katika siasa, uchumi na utamaduni. Sasa Russia anaweza au ameweza kufanya hivyo kwenye taifa gani la Africa?!

Elewenu unapoongelea ushawashi unazungumzia Structural adjustment programs (SAPs), AGOA, PEPFAR, Feed the Future, Power Africa, Hollywood, Pop, Rap, RnB, World Bank, mabasi ya mwendokasi n.k
Ushawashi hauji kwa kulazimisha na vita za kipuuzi.
Unafahamu ushawishi wa China,Cuba , Vietnam, Korea kaskazini, kuwa nchi ya kijamaa walipata wapi . Unafahamu ni kwa nini Venezuela wanamtegemea russia kiusalama, unafahamu ni kwa nini Mali wamejisogeza kwa urusi kwa ajili ya kiusalama, unafahamu ni kwa nini Syria inamuhuitaji urusi kiusalama? unafahamu ni kwa nini Iran wamejisogeza karibu na urusi kiusalama na kibiashara, unafahamu, unafahamu ni kwanini mataifa ya Africa yaliyo mengi na Asia ya mbali yameshindwa kukemea operation ya kijeshi urusi , je unafahamu historia na mchango wa urusi kuhusu ukombozi wa Africa kutoka mikononi mwa wauaji wakoloni kutoka ulaya?🤔
 
Kenya, Botswana, Rwanda, Ghana, Zambia Comoro, DRCongo ,Gambia, Lesotho, Liberia, Malawi, Mauritius, Niger, Nigeria, Seychelles, Sierra Leone, Tunisia ni baadhi ya nchi zilizounga azimio la UN kuulani uvamizi wa Russia mwezi March.
Unafahamu ushawishi wa China,Cuba , Vietnam, Korea kaskazini, kuwa nchi ya kijamaa walipata wapi . Unafahamu ni kwa nini Venezuela wanamtegemea russia kiusalama, unafahamu ni kwa nini Mali wamejisogeza kwa urusi kwa ajili ya kiusalama, unafahamu ni kwa nini Syria inamuhuitaji urusi kiusalama? unafahamu ni kwa nini Iran wamejisogeza karibu na urusi kiusalama na kibiashara, unafahamu, unafahamu ni kwanini mataifa ya Africa yaliyo mengi na Asia ya mbali yameshindwa kukemea operation ya kijeshi urusi , je unafahamu historia na mchango wa urusi kuhusu ukombozi wa Africa kutoka mikononi mwa wauaji wakoloni kutoka ulaya?[emoji848]
 
Kenya, Botswana, Rwanda, Ghana, Zambia Comoro, DRCongo ,Gambia, Lesotho, Liberia, Malawi, Mauritius, Niger, Nigeria, Seychelles, Sierra Leone, Tunisia ni baadhi ya nchi zilizounga azimio la UN kuulani uvamizi wa Russia mwezi March.
Bara la Afrika lina nchi ngapi mkuu?🤔
 
Ukiondoa mapambano ya uhuru wa Africa Kusini ambayo Russia iliyapa support kwa sababu za vita baridi ni nchi gani nyingine ya Africa iliwahi kupata msaada kutoka Urusi au China katika kuutafuta uhuru wake?

USSR ilianza kuingia kwa nguvu Africa kusambaza itikadi yake mbovu na ya hovyo ya ujamaa baada ya nchi nyingi kupata uhuru wake miaka ya 60. Baada ya Ukomunisti na Ujamaa kuanguka na kushindwa vibaya miaka ya 80 Urusi nayo ikapotea kabisa katika bara la Africa.
Unafahamu ushawishi wa China,Cuba , Vietnam, Korea kaskazini, kuwa nchi ya kijamaa walipata wapi . Unafahamu ni kwa nini Venezuela wanamtegemea russia kiusalama, unafahamu ni kwa nini Mali wamejisogeza kwa urusi kwa ajili ya kiusalama, unafahamu ni kwa nini Syria inamuhuitaji urusi kiusalama? unafahamu ni kwa nini Iran wamejisogeza karibu na urusi kiusalama na kibiashara, unafahamu, unafahamu ni kwanini mataifa ya Africa yaliyo mengi na Asia ya mbali yameshindwa kukemea operation ya kijeshi urusi , je unafahamu historia na mchango wa urusi kuhusu ukombozi wa Africa kutoka mikononi mwa wauaji wakoloni kutoka ulaya?[emoji848]
 
Kama unataka nchi ya Africa iliyounga mkono uvamizi wa Russia ni Eritrea peke yake.
Mimi nimekuuliza bara la Afrika Lina nchi ngapi . Ila sijakuuliza ni nchi gani kutoka bara la Afrika iliyounga mkono operation ya kijeshi ya urusi pale Ukraine
 
Back
Top Bottom