Urusi waanza kutumia vifaru ya miaka ya 60s, wamepoteza idadi inayojumuisha mataifa kumi ya Afrika

Urusi waanza kutumia vifaru ya miaka ya 60s, wamepoteza idadi inayojumuisha mataifa kumi ya Afrika

Hadi sasa Urusi wamepoteza zaidi ya vifary 1,500 na ili kupata picha ya hasara yote hiyo, waza kwamba JWTZ ya Tanzania, yaani jeshi la nchi yote Tanzania lina vifaru 156, hivyo hasara aliyoingia Urusi inaweza ikafyeka mataifa yote ya EAC na kati na mpaka ufike Afrika magharibi, licha ya hasara yote hiyo, ameambulia tumiji twa huko mpakani wa Ukraine na bado twenyewe tunampa shida.

Sasa ameanza kutumia vifaru ya miaka ya 60s yaani T62 na Ukraine walivyo na jeuri ya kutokua na huruma, wameanza kuvifyeka, kuna hii video inaonyesha wanavyovishushia mabomu kwa drones.
===


Some weeks ago we learned that Russia was mobilizing T-62 tanks from its long term storage facilities; predictably enough, they are not faring well. The first one to show up on the battlefield became a target for a Ukrainian drone which dropped a hand grenade right through the driver’s hatch.

Russia’s tanks have taken a severe beating on the frontline, as increasing numbers of Javelins and other anti-tank weapons supplied by the West are reaching Ukrainian forces, and as Ukrainian artillery hone their skills at hitting individual vehicles with the aid of drones. According to the listing by independent analysts Oryx, who painstakingly document every single vehicle loss which can be confirmed, Russia has now lost at least 836 tanks, out of an estimated 2,800. Those are the confirmed losses, there may be many more not documented.

These staggering losses – more than the total number of tanks possessed by Germany, France and the U.K. put together – mean that Russia is having to draw on stocks of vehicles in ins strategic reserves, giant warehouses and vehicles parks with vehicles previously retired from active duty. Among the oldest of these are the venerable T-62s, a type first introduced in the 1960s. The last one rolled off the production line in 1973.


Ila wana karakana kubwa ya vifaru ndio maana hawaishwi kabisa kabisa, kweli akiba haiozi.
 
Yaani inventory ya mataifa kumi hivi ya Afrika na mpaka sasa mumeambulia tumiji twa huko mpakani.....inapaswa waarabu wa Bongo muwe mumechoka kusapoti hawa supapawa mchongo..
Njoo na jambo jipya,hizo sentensi kila siku lazima urudierudie!Nadhani hata NATO wenzako wamekuchoka unavyowachoresh!
 
Njoo na jambo jipya,hizo sentensi kila siku lazima urudierudie!Nadhani hata NATO wenzako wamekuchoka unavyowachoresh!

Jambo ni lile lile na halibadiliki, kipigo kile kile mpaka mwisho.....
 
Umesahau kuweka na picha ya ramani!

Hii hapa, kila nikiiangalia nacheka sana... Waarabu wa Bongo ifike wakati mpate aibu.

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Hii hapa, kila nikiiangalia nacheka sana... Waarabu wa Bongo ifike wakati mpate aibu.

where-are-ukraine-&-russia.jpg
Aibu unapata wewe,unazoziona na hoja watu timamu wanakucheka Kwa kuonesha ufinyu wako wa maarifa hadharani!
 
Hadi sasa Urusi wamepoteza zaidi ya vifary 1,500 na ili kupata picha ya hasara yote hiyo, waza kwamba JWTZ ya Tanzania, yaani jeshi la nchi yote Tanzania lina vifaru 156, hivyo hasara aliyoingia Urusi inaweza ikafyeka mataifa yote ya EAC na kati na mpaka ufike Afrika magharibi, licha ya hasara yote hiyo, ameambulia tumiji twa huko mpakani wa Ukraine na bado twenyewe tunampa shida.

Sasa ameanza kutumia vifaru ya miaka ya 60s yaani T62 na Ukraine walivyo na jeuri ya kutokua na huruma, wameanza kuvifyeka, kuna hii video inaonyesha wanavyovishushia mabomu kwa drones.
===


Some weeks ago we learned that Russia was mobilizing T-62 tanks from its long term storage facilities; predictably enough, they are not faring well. The first one to show up on the battlefield became a target for a Ukrainian drone which dropped a hand grenade right through the driver’s hatch.

Russia’s tanks have taken a severe beating on the frontline, as increasing numbers of Javelins and other anti-tank weapons supplied by the West are reaching Ukrainian forces, and as Ukrainian artillery hone their skills at hitting individual vehicles with the aid of drones. According to the listing by independent analysts Oryx, who painstakingly document every single vehicle loss which can be confirmed, Russia has now lost at least 836 tanks, out of an estimated 2,800. Those are the confirmed losses, there may be many more not documented.

These staggering losses – more than the total number of tanks possessed by Germany, France and the U.K. put together – mean that Russia is having to draw on stocks of vehicles in ins strategic reserves, giant warehouses and vehicles parks with vehicles previously retired from active duty. Among the oldest of these are the venerable T-62s, a type first introduced in the 1960s. The last one rolled off the production line in 1973.


KUNA WATU MNAULEVI SIO BURE.
UNATUITA TUMIJI WAKATI WENZAKO WAMEKIMBIA? UNGEKUA WA MAANA UNGEENDA KUPIGANIA HUTO TUMIJI
 
Aibu unapata wewe,unazoziona na hoja watu timamu wanakucheka Kwa kuonesha ufinyu wako wa maarifa hadharani!

Wala sipati aibu, yaani napata raha hadi naumwa...kwanza limsafara lilinitia hofu sana ila kwa namna vijana wa mjini wabeba javelin walivyolifyeka...kha!!
Aibu muipate nyie waarabu wa Bongo kwa supapawa mliyemtegemea eti mbabe wa Marekani kalizwa na kajirani hapo.
 
KUNA WATU MNAULEVI SIO BURE.
UNATUITA TUMIJI WAKATI WENZAKO WAMEKIMBIA? UNGEKUA WA MAANA UNGEENDA KUPIGANIA HUTO TUMIJI

Ulevi ni kushindwa kufumua haka kainchi saizi ya mkoa mmoja wa Urusi hapo jirani, na kupoteza zana za kila aina likiwemo limeli libwaku na pia majenerali kufa kama senene....

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Wala sipati aibu, yaani napata raha hadi naumwa...kwanza limsafara lilinitia hofu sana ila kwa namna vijana wa mjini wabeba javelin walivyolifyeka...kha!!
Aibu muipate nyie waarabu wa Bongo kwa supapawa mliyemtegemea eti mbabe wa Marekani kalizwa na kajirani hapo.
Akili Yako ndipo ilipoishia!Endelea kujificha kwenye kichaka Cha Ujinga!
 
Akili Yako ndipo ilipoishia!Endelea kujificha kwenye kichaka Cha Ujinga!

Ha ha ha!! Mimi hata waarabu wenyewe kule Quara wamenishindwa sembuse nyie mliojipandikiza uarabu hapo Bongo.....
 
Hadi sasa Urusi wamepoteza zaidi ya vifary 1,500 na ili kupata picha ya hasara yote hiyo, waza kwamba JWTZ ya Tanzania, yaani jeshi la nchi yote Tanzania lina vifaru 156, hivyo hasara aliyoingia Urusi inaweza ikafyeka mataifa yote ya EAC na kati na mpaka ufike Afrika magharibi, licha ya hasara yote hiyo, ameambulia tumiji twa huko mpakani wa Ukraine na bado twenyewe tunampa shida.

Sasa ameanza kutumia vifaru ya miaka ya 60s yaani T62 na Ukraine walivyo na jeuri ya kutokua na huruma, wameanza kuvifyeka, kuna hii video inaonyesha wanavyovishushia mabomu kwa drones.
===


Some weeks ago we learned that Russia was mobilizing T-62 tanks from its long term storage facilities; predictably enough, they are not faring well. The first one to show up on the battlefield became a target for a Ukrainian drone which dropped a hand grenade right through the driver’s hatch.

Russia’s tanks have taken a severe beating on the frontline, as increasing numbers of Javelins and other anti-tank weapons supplied by the West are reaching Ukrainian forces, and as Ukrainian artillery hone their skills at hitting individual vehicles with the aid of drones. According to the listing by independent analysts Oryx, who painstakingly document every single vehicle loss which can be confirmed, Russia has now lost at least 836 tanks, out of an estimated 2,800. Those are the confirmed losses, there may be many more not documented.

These staggering losses – more than the total number of tanks possessed by Germany, France and the U.K. put together – mean that Russia is having to draw on stocks of vehicles in ins strategic reserves, giant warehouses and vehicles parks with vehicles previously retired from active duty. Among the oldest of these are the venerable T-62s, a type first introduced in the 1960s. The last one rolled off the production line in 1973.


Umeingizwa mkenge na propaganda ya nchi za magharibi!! Ujue Ukraine na Urusi wanamiliki silaha zinazofanana maana wote wamevirithi kutoka kwa iliyokuwa USSR. Vifaru vya ukraine vilivyokuwa vinabanguliwa mwanzoni kabisa mwa vita picha yake inatumiwa kana kwamba vifaru vya urusi vikibanguliwa!! Ingekuwa hayo yanayosemwa ni kweli, jimbo la Luhansky lisingekombolewa!! wala Mariupol isingetekwa!!

Putin kaziambia nchi za magharibi zilizokuwa zinadai urusi itashindwa kwenye uwanja wa vita, basi waendelee kama wanaweza!! Ukweli ni kwamba Ukraine ilishashindwa vita, kinachoendelea ni uhaini tu wa kujaribu kuua wananchi wa jimbo la Donbas kwa kutumia maroketi ya masafa marefu toka marekani ambayo [pia mengi yameshaharibiwa tayari.
 
Hadi sasa Urusi wamepoteza zaidi ya vifary 1,500 na ili kupata picha ya hasara yote hiyo, waza kwamba JWTZ ya Tanzania, yaani jeshi la nchi yote Tanzania lina vifaru 156, hivyo hasara aliyoingia Urusi inaweza ikafyeka mataifa yote ya EAC na kati na mpaka ufike Afrika magharibi, licha ya hasara yote hiyo, ameambulia tumiji twa huko mpakani wa Ukraine na bado twenyewe tunampa shida.

Sasa ameanza kutumia vifaru ya miaka ya 60s yaani T62 na Ukraine walivyo na jeuri ya kutokua na huruma, wameanza kuvifyeka, kuna hii video inaonyesha wanavyovishushia mabomu kwa drones.
===


Some weeks ago we learned that Russia was mobilizing T-62 tanks from its long term storage facilities; predictably enough, they are not faring well. The first one to show up on the battlefield became a target for a Ukrainian drone which dropped a hand grenade right through the driver’s hatch.

Russia’s tanks have taken a severe beating on the frontline, as increasing numbers of Javelins and other anti-tank weapons supplied by the West are reaching Ukrainian forces, and as Ukrainian artillery hone their skills at hitting individual vehicles with the aid of drones. According to the listing by independent analysts Oryx, who painstakingly document every single vehicle loss which can be confirmed, Russia has now lost at least 836 tanks, out of an estimated 2,800. Those are the confirmed losses, there may be many more not documented.

These staggering losses – more than the total number of tanks possessed by Germany, France and the U.K. put together – mean that Russia is having to draw on stocks of vehicles in ins strategic reserves, giant warehouses and vehicles parks with vehicles previously retired from active duty. Among the oldest of these are the venerable T-62s, a type first introduced in the 1960s. The last one rolled off the production line in 1973.


Hivi unajua kiasi cha vifaru vya ukraine, ndege za kivita na magari ya kivita yaliyoharibiwa!! Tafuta hiyo halafu uje hapa kuleta mrejesho kama ubavu huo unao!!
 
Back
Top Bottom