URUSI: Wananchi wanapiga kura kuongeza muda wa Rais Putin

URUSI: Wananchi wanapiga kura kuongeza muda wa Rais Putin

Halaf usisahau kuniletea navigezo vya nchi zadunia yatatu MKUU ili tueke mambo sawa.....
Nimegundua kitu hapa! Kwanza kabisa vigezo vya developed na developing nations vimetengenezwa na west hasa US. Kwa mfano kigezo Cha demokrasi Kama ile ya US unapelekea hata nchi zingine Kama Iran ,turkey, iliyokuwa Libya kuonekana ni less developed. Hivyo Basi kwa kudakwa na vigezo hivi wengi wamedondokea kuamini hivi.
Lakini hata hivyo mie nilikua "nimechomekea"" kidogo tu ili kuibua mjadala mpya.
Mimi ni miongoni mwa wasioamini katika inferiority ya Russia inayojengwa na west
 
Nimegundua kitu hapa! Kwanza kabisa vigezo vya developed na developing nations vimetengenezwa na west hasa US. Kwa mfano kigezo Cha demokrasi Kama ile ya US unapelekea hata nchi zingine Kama Iran ,turkey, iliyokuwa Libya kuonekana ni less developed. Hivyo Basi kwa kudakwa na vigezo hivi wengi wamedondokea kuamini hivi.
Lakini hata hivyo mie nilikua "nimechomekea"" kidogo tu ili kuibua mjadala mpya.
Mimi ni miongoni mwa wasioamini katika inferiority ya Russia inayojengwa na west
West wapuuzi taifa la 11 katika UCHUMI imara kwaduniani huwez ukaliita MASKINI kwakigezo chochote kile kiwacho

Wanaleta upuuzi wao ila ukweli utabakia yakwamba RUSSIA nimoja yataifa Tajiri Kabisa ULIMWENGUNI nahaliwez kua third kwasasa labda kwa baadae tena kama vitatokea vita

RUSSIA ipo vyema kila nyanja ambayo inaonesha kama taifa fulani ni endelevu kiviwanda kimiundo maingi kifedha namengineyo


Waache wamagharibi wapige kelele tu.....
 
mkuu malizia stori nzima unakimbilia wapi? nimeangalia Al Jazeera leo! tukumbuke Putin ni dikteta na anaipenda Africa na wale watawala wake wapumbavu wasiong’oka madarakani! hili amezungumza mwenyewe! Putin ana laana sababu anahudumia vita nyingi za mashariki ya kati mf Syria na Africa mf Libya ambako mamilioni ya watu wasio na hatia kama watoto na kinamama na wazee wanakufa na kukimbia ovyo! Putin ana makosa mengi ya mauaji ndani na nje ya Urusi anaogopa mkono wa sheria kiti cha urais kinamlinda!

Kuhusu kura za maoni wamesema Al Jazeera kuwa asilimia zaidi ya sitini ya vijana wanapinga hawamtaki, theluthi moja tu ya vijana ndio wanaomkubali, wanaopigania avunje katiba kwa ulafi wake wa madaraka na kuongeza tena vipindi viwili ni wazee wajinga wachumia tumbo na wapumbavu kama ilivyo hapa bongo ambao wengi wao wamebakiza miongo miwili tu kuaga dunia kwa takwimu za life span ya mtu mweusi si kwa mujibu wa Allah of course!

Putin kaona viongozi wajinga wanavunja katiba Afrika raia wako kimya hadi wajifie wenyewe kama Nkurunzinza basi kawaiga ili aendelee kutesa watu duniani!

ikumbukwe pia Putin ni mmoja wa genge la majasusi la Urusi ambao ni matajiri wakubwa na kutoka kwake madarakani ni kudhoofisha pia uchumi wa kundi hilo na genge haliko tayari kwa hilo(Russian oligarchy)

Bongo tunaelewa pia siasa za nje hatuna la kuiga kutoka kwa Putin!
Uko sahihi kabisa.
 
mkuu malizia stori nzima unakimbilia wapi? nimeangalia Al Jazeera leo! tukumbuke Putin ni dikteta na anaipenda Africa na wale watawala wake wapumbavu wasiong’oka madarakani! hili amezungumza mwenyewe! Putin ana laana sababu anahudumia vita nyingi za mashariki ya kati mf Syria na Africa mf Libya ambako mamilioni ya watu wasio na hatia kama watoto na kinamama na wazee wanakufa na kukimbia ovyo! Putin ana makosa mengi ya mauaji ndani na nje ya Urusi anaogopa mkono wa sheria kiti cha urais kinamlinda!

Kuhusu kura za maoni wamesema Al Jazeera kuwa asilimia zaidi ya sitini ya vijana wanapinga hawamtaki, theluthi moja tu ya vijana ndio wanaomkubali, wanaopigania avunje katiba kwa ulafi wake wa madaraka na kuongeza tena vipindi viwili ni wazee wajinga wachumia tumbo na wapumbavu kama ilivyo hapa bongo ambao wengi wao wamebakiza miongo miwili tu kuaga dunia kwa takwimu za life span ya mtu mweusi si kwa mujibu wa Allah of course!

Putin kaona viongozi wajinga wanavunja katiba Afrika raia wako kimya hadi wajifie wenyewe kama Nkurunzinza basi kawaiga ili aendelee kutesa watu duniani!

ikumbukwe pia Putin ni mmoja wa genge la majasusi la Urusi ambao ni matajiri wakubwa na kutoka kwake madarakani ni kudhoofisha pia uchumi wa kundi hilo na genge haliko tayari kwa hilo(Russian oligarchy)

Bongo tunaelewa pia siasa za nje hatuna la kuiga kutoka kwa Putin!
Vladmir sio dikteita kwan c anapigiwa kura nawananchi MKUU ama kajiongezea kinguvu hayo mamlaka ?!

Kama kupenda watawala wpumbavu wasiopenda kutoka madarakani US anaongoza kuaanzia kwa SAUDIA QATAR BAHRAIN YEMEN KUWAIT UAE nakwengineko

Muache kua wanafiq aseee....
 
Vladmir sio dikteita kwan c anapigiwa kura nawananchi MKUU ama kajiongezea kinguvu hayo mamlaka ?!

Kama kupenda watawala wpumbavu wasiopenda kutoka madarakani US anaongoza kuaanzia kwa SAUDIA QATAR BAHRAIN YEMEN KUWAIT UAE nakwengineko

Muache kua wanafiq aseee....
what is your definition of dictatorship mkuu?
ni kina nani wanampigia kura za ndiyo Putin unawajua? wanaopiga kura wana maslahi gani kutokana na Putin kuendelea madarakani unajua mkuu? ukijibu hayo maswali utaelewa mi sina unafiki kwani warusi wakimsimika Putin kuwa dikteta wao wa maisha mimi binafsi huku mfereji wa wima Zenj napungua nini mkuu? si naendelea tu kula urojo supu ya pweza na mapembe?! Karl Marx anasema all decisions people make have material gain motives inside sijui hata kama una elimu kiasi gani unasumbua tu!

msingi wa comment yangu ni kupinga nia ya uzi huu kutaka kutumia mfano wa Putin kuendeleza harakati za kipumbavu za warangi (mkamia maji ) na wagogo ( nduguye) kumsimika mkulu hapa kwetu kwa kipindi kingine wakati mazingira ya kiuchumi, kidini na kisiasa hayakubali! vita ikizuka bongo kwa raia kupinga ukurunzinza wa kubakwa katiba yao maana yake nasi bongo tuwe wakimbizi ndicho wanachotaka kina mkamia maji na genge lake la wachumia tumbo!

kwanza na sie wazenj waislamu ni zamu yetu kutawala baada ya mkulu kutoka angalau basi Maalim aongoze serikali ya muungano ijayo kwa maana yakhe tushachoka kuongozwa na machogo na kanisa lao! miaka mitano ya kanisa iliyobaki twaiona kama karne nzima!! nyie huko makanisani mngetulia kusikia Jakaya anataka kuongeza muda wa kusalia madarakani? mngekubali muislam atawale maisha bongo?
 
what is your definition of dictatorship mkuu?
ni kina nani wanampigia kura za ndiyo Putin unawajua? wanaopiga kura wana maslahi gani kutokana na Putin kuendelea madarakani unajua mkuu? ukijibu hayo maswali utaelewa mi sina unafiki kwani warusi wakimsimika Putin kuwa dikteta wao wa maisha mimi binafsi huku mfereji wa wima Zenj napungua nini mkuu? si naendelea tu kula urojo supu ya pweza na mapembe?! Karl Marx anasema all decisions people make have material gain motives inside sijui hata kama una elimu kiasi gani unasumbua tu!

msingi wa comment yangu ni kupinga nia ya uzi huu kutaka kutumia mfano wa Putin kuendeleza harakati za kipumbavu za warangi (mkamia maji ) na wagogo ( nduguye) kumsimika mkulu hapa kwetu kwa kipindi kingine wakati mazingira ya kiuchumi, kidini na kisiasa hayakubali! vita ikizuka bongo kwa raia kupinga ukurunzinza wa kubakwa katiba yao maana yake nasi bongo tuwe wakimbizi ndicho wanachotaka kina mkamia maji na genge lake la wachumia tumbo!

kwanza na sie wazenj waislamu ni zamu yetu kutawala baada ya mkulu kutoka angalau basi Maalim aongoze serikali ya muungano ijayo kwa maana yakhe tushachoka kuongozwa na machogo na kanisa lao! miaka mitano ya kanisa iliyobaki twaiona kama karne nzima!! nyie huko makanisani mngetulia kusikia Jakaya anataka kuongeza muda wa kusalia madarakani? mngekubali muislam atawale maisha bongo?
Lengo langu hapa wala sio kuwaongelea huko bongo land sababu mnajijua wenyewe mnavyoendesha chaguzi zenu huko mtajijua tu wenyewe kiukweli


Hapa lengo langu nikuonesha yakwamba PUTIN before akichaguliwa kwakupigiwa kura nawakati huu pia anapigiwa kura yakubadilisha katiba

Pia jengine kuhusiana na masuala yakimaslahi kila mtu anampigia mtu anaemtaka kura sababu yamaslahi yake anayoyajua yeye sasa kwanini ushangazwe nawanaompigia kura PUTIN kwamaslahi yao

Election is all about Maslahi kwampiga kura nampigiwa kura

Dictator nilile jitu linalong-ang-ana madarakani bila ridhaa yawananchi wake kama alivyo ELIZABETH amaniyule anaekaa madarakani kwakupitia mapinduzi nakuendeleza ama kudumisha mfumo ule


Bongo(AFRIKA) Namashariki yakati (BARA ARABU) mfumo wakiutawala wademokrasia mnalazimishwa tu ila sio mfumo ambao mnaupenda namnauweza kwahio juu yenu sasa kuamua namna bora yakuufuata mfumo bora mnaouweza nakuupenda ambao utakua namaslahi nanyi

Mataifa yote DUNIANI yalikuja kugawanyika kuufata Mfumo fulani wakiutawala ama kisiasa kipindi chavita baridi


Kuhusiana na elimu yangu mimi ni form Nne failure MKUU.....
 
Lengo langu hapa wala sio kuwaongelea huko bongo land sababu mnajijua wenyewe mnavyoendesha chaguzi zenu huko mtajijua tu wenyewe kiukweli


Hapa lengo langu nikuonesha yakwamba PUTIN before akichaguliwa kwakupigiwa kura nawakati huu pia anapigiwa kura yakubadilisha katiba

Pia jengine kuhusiana na masuala yakimaslahi kila mtu anampigia mtu anaemtaka kura sababu yamaslahi yake anayoyajua yeye sasa kwanini ushangazwe nawanaompigia kura PUTIN kwamaslahi yao

Election is all about Maslahi kwampiga kura nampigiwa kura

Dictator nilile jitu linalong-ang-ana madarakani bila ridhaa yawananchi wake kama alivyo ELIZABETH amaniyule anaekaa madarakani kwakupitia mapinduzi nakuendeleza ama kudumisha mfumo ule


Bongo(AFRIKA) Namashariki yakati (BARA ARABU) mfumo wakiutawala wademokrasia mnalazimishwa tu ila sio mfumo ambao mnaupenda namnauweza kwahio juu yenu sasa kuamua namna bora yakuufuata mfumo bora mnaouweza nakuupenda ambao utakua namaslahi nanyi

Mataifa yote DUNIANI yalikuja kugawanyika kuufata Mfumo fulani wakiutawala ama kisiasa kipindi chavita baridi


Kuhusiana na elimu yangu mimi ni form Nne failure MKUU.....
mkuu kote nimekubaliana nawe ila hapa unaposema definition ya dikteta upaangalie, mfumo unaweza kuonesha Rais anakubalika na akapigiwa kura zikaonesha ameshinda kumbe waliopiga kura ni ten percent tu! mf bongo ina 60 million people na wapiga kura huwa 6 million tu!!! hapa mkulu akiwin uchaguzi kwa kishindo na kutaka aendelee kung’ang’ana madarakani kwa kisingizio kuwa anapendwa utamwitaje kama sio dikteta?

kuna wabunge wapumbavu sana bongo wanataka kutumia vyeo vyao na platform ya bunge kuhalalisha upumbavu wao wa kuvunja katiba kwa kusimika watu urais wa maisha ili walinde matumbo yao na iwapo watapata uungwaji mkono wanaweza kufanikisha hili je watu hao utawaitaje kama sio majuha na malofa?
 
mkuu kote nimekubaliana nawe ila hapa unaposema definition ya dikteta upaangalie, mfumo unaweza kuonesha Rais anakubalika na akapigiwa kura zikaonesha ameshinda kumbe waliopiga kura ni ten percent tu! mf bongo ina 60 million people na wapiga kura huwa 6 million tu!!! hapa mkulu akiwin uchaguzi kwa kishindo na kutaka aendelee kung’ang’ana madarakani kwa kisingizio kuwa anapendwa utamwitaje kama sio dikteta?

kuna wabunge wapumbavu sana bongo wanataka kutumia vyeo vyao na platform ya bunge kuhalalisha upumbavu wao wa kuvunja katiba kwa kusimika watu urais wa maisha ili walinde matumbo yao na iwapo watapata uungwaji mkono wanaweza kufanikisha hili je watu hao utawaitaje kama sio majuha na malofa?
MKUU utanisameh kwakisasi fulani sipendi kuiongelea ama kuziongelea siasa za Afrika mashariki especially TANZANIA

Ila kuhusiana nasuala zima lataifa fulani kua nawatu MILLION 60 tuseme halafu wachache wakaenda kumpigia kura fulani let say CCM ama CHADEMA ATC n.k rais huyo lazma tumajaji kama anapendwa sababu mfumo halisi ambao umeekwa kumchagua kiongozi umempitisha yeye

Hapa inatakiwa wananchi naviongozi wataifa husika wawaelimishe rais wao kuhusiana naumuhimu wakura kuna mataifa ya ulaya scandnavia kule kura ni lazima nakama ukijulikana hujapiga kura kuja faini kabisa MKUU inatakiwa RAIA waelewe umuhimu wakura naserikali ieleweshe umuhimu huo

Mwanzo kama sijakosea kwenye uzi huu nilikwambia magaifa mengi(yote) yaafrika na Mashariki yakati (BARA ARABU) yaliamua kufuata ama kufuata mfumo wademokrasia kwamashinikizo tu ila sio kama wanapenda ama wanaweza nandio maana unakutana nasintofahamu zakutosha katika mataifa mengi/mingi kutoka katika mabara tajwa hapo juu nandio maana katika mataifa tele yakiafrika ukifuatilia chaguzi zao nyingi huambatana namachafuko refer Kenya,Ivory coast n.k


Kwahio waafrika wanafuata kibubusa mfumo wakisiasa wakidemokrasia sababu yamashinikizo tu ila nimfumo ambao hawauwezi nahauendani nao nahawaupendi

Siasa zakiafrika vyama vyote kiwe tawala ama pinzani hakiaminiki sababu nilazima vitakua vinafadhiliwa nahao hao wazungu kwanamna moja ama myengine

Kwahio usitegemee mabadiliko kwachama tawala ama pinzani(ila kwakua washaamua kufuata mfumo fulani lazima wafuate) sababu wote wakishashinda kwanza lazma warudi kwawadhamini wao wawasikilize wanamaoni gani halaf waje waamue kuiendesha nchi kwakufuata matakwa fulani

Mwisho:-bara la AFRIKA ili liweze kujiendesha nakujitosheleza kimaamuzi lazima lijitegemee KISIASA KIUCHUMI KIJESHI n.k

Leo hii unaona mataifa Mengi ama yote yabara ASIA(ukitoa mashariki yakati) wamejipanga kisiasa kiuchumi nakijeshi pia wanaweza kua namaamuzi yao kwakiasi fulani angalia INDIA



mkuu hanatosha naona naandika tu [emoji4][emoji23][emoji16][emoji2]
 
mkuu malizia stori nzima unakimbilia wapi? nimeangalia Al Jazeera leo! tukumbuke Putin ni dikteta na anaipenda Africa na wale watawala wake wapumbavu wasiong’oka madarakani! hili amezungumza mwenyewe! Putin ana laana sababu anahudumia vita nyingi za mashariki ya kati mf Syria na Africa mf Libya ambako mamilioni ya watu wasio na hatia kama watoto na kinamama na wazee wanakufa na kukimbia ovyo! Putin ana makosa mengi ya mauaji ndani na nje ya Urusi anaogopa mkono wa sheria kiti cha urais kinamlinda!

Kuhusu kura za maoni wamesema Al Jazeera kuwa asilimia zaidi ya sitini ya vijana wanapinga hawamtaki, theluthi moja tu ya vijana ndio wanaomkubali, wanaopigania avunje katiba kwa ulafi wake wa madaraka na kuongeza tena vipindi viwili ni wazee wajinga wachumia tumbo na wapumbavu kama ilivyo hapa bongo ambao wengi wao wamebakiza miongo miwili tu kuaga dunia kwa takwimu za life span ya mtu mweusi si kwa mujibu wa Allah of course!

Putin kaona viongozi wajinga wanavunja katiba Afrika raia wako kimya hadi wajifie wenyewe kama Nkurunzinza basi kawaiga ili aendelee kutesa watu duniani!

ikumbukwe pia Putin ni mmoja wa genge la majasusi la Urusi ambao ni matajiri wakubwa na kutoka kwake madarakani ni kudhoofisha pia uchumi wa kundi hilo na genge haliko tayari kwa hilo(Russian oligarchy)

Bongo tunaelewa pia siasa za nje hatuna la kuiga kutoka kwa Putin!
Tulia mkuu ... Msiba wa mchina wewe mbongo una kuhusu nini ilhali hata hamkuwa mkijuana na marehemu
 
Habari nimeangalia mwenyewe leo asubuhi Al Jazeera imesema two third ya vijana hawamtaki Putin! ni wazee na genge lake wanalazimisha! hayo mengine ni news from other sources! usidanganywe mkuu uwe unacheki Al Jazeera na France 24 English daily!
Sasa habari umeangalia aljazeera sawa hii. Habari aliyoleta mtoa mada amei copy BBC ... How come una muambia kuwa aimalizie wakati vyombo vilivyo tumika kutoa habari za puttin ni vyombo viwili tofauti ...!!?
 
wewe unatazama na kuchambua vizuri ulielewaje mkuu? nisaidie uchambuzi pale!

kiufupi ili unielewe natumia combination ya habari na maoni katika aina yangu ya uandishi naiita ‘provocative’ , yani wahusika bongo kama wewe nawachukiza kwa kuwachana live humo humo!

mtu afanyae mabaya hawezi kujirudi kama hukumchukiza kwa kumchana na kukemea upumbavu wake!

unajifanya hamnazo eti hujui kuwa msingi wa huu uzi ni kuendeleza harakati za kipumbavu za washamba kutaka kumbakisha Rais wa bongo kwa kipindi cha tatu kama Nkurunzinza hiyo sio bongo wakafanye Burundi

sera ya kubaka katiba kwa kuongeza muda wa urais ni ulaya huko ila kwa Africa huleta vita na hatukubaliani nayo hapa bongo ni kwetu sote si kwa yule mgogo na yule mrangi mjinga peke yao , yule mrangi mpumbavu alieanzisha hiyo mada! kwanza akitoka Magu ni zamu yetu wazenji na ni zamu ya Rais muislam msitutoe kwenye mada miaka kumi tutakuwa tumechoka hoi kabisa kuongozwa na machogo na kanisa! Ni zamu ya Maalim sasa.

ukiwa mvivu wa kufikiri na uko mbali na update za siasa za bongo na za nje huwezi kunielewa kamwe!!
Hahaha wewe jamaa .. Unaleta vituko sasa kumbe unaleta udini katika masuala ya utawala
 
Back
Top Bottom