Kwa nchi kama urusi,China,Korea,
Kiongozi kuongezewa muda wa kukaa madarskani,kuna faida kubwa,kwa sababu hapa yanaangaliwa maslahi mapana ya nchi,
Mfumo kama wa China,kila anayeingia kuwa raisi anazingatia maslahi mapana ya nchi,hata raisi akila rushwa,anakula shaba tu,
Hivi ukiwa na raisi kama wa China,anayeifsnya nchi yake inakuwa superpower,ktk kila sekta,tekinolojia,jeshi,kilimo,usalama,utataka atoke??
Tofauti yetu na wao,sie huku,wanataka waongezewe muda,ili walinde maslahi ya chama,na ya kwao binafsi,hawana master plan ya kunufaisha nchi nzima,wanawaza kunufsisha mikoa yao,kabila lao,familia zao,hawana vision ya kuifsnya bongo iwe kama Malaysia,Philippine,SA,au India,wao ni majigmbo,uteuzi,matusi,chuki,