Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Huyo aliye reply post yako inaonyesha hakuna anachokijuwa kuhusu nyuklia.Kama umenisoma previous posst mimi mambo ya Nyuklia siyajui vizuri, Mkuu fulani hapo juu kaniambia tatizo sio Nyuklia chache, bali ikiwa nyingi kwenye vita ndio wote duniani hatuko salama,
Sababu za marekani kuchochea ch
Sababu ya USA kuchochea china vs taiwan ni sababu za kiuchumi USA anataka china iingie kwenye mgogoro na taiwan kitu ambacho kitanaweza kuathiri uchumi wa china kwa wakati kama huu china ikiwa kwenye harakati za kupanua uchumi wake pia ziko sababu kadhaa na kadhaa USA kuchochea kwa upande wa urusi hana tatizo na USA ila USA aliihatarisha usalama wa urusi pale alipotaka kuinganisha ukraine na NATO kitu ambacho ni tishio kwa urusi kwani NATO wangeenda kambi yao ya kijeshi mpakani kwa ukraine na urusi kitu ambacho hatari kwa urusi ni sawa na adui kukufata mpaka chumbani urusi iliionya ukraine iache mara moja mpango wa kujiunga na nato lakini ukraine kwa kiburi na majivuno akakaidi hapo ndio mwanzo wa vita hiyo ni kwa ufupi tu ila zipo sababu nyingi ambazo zimechangia hii vita sema USA yeye kamdomo ndo kanamponza kuingia yasio muhusu ukraine na urusi ni habari ndefu ilianzia pale umoja wa kisoviet ulipoagawanyika
Asante mkuu, kuna hatari kubwa sana mbele yetu, huyo ni Russia tu, na wengine wakiweka zao, hakuna hata nzi atakaye survive...Huyo aliye reply post yako inaonyesha hakuna anachokijuwa kuhusu nyuklia.
Wakati marekani anaipiga Japan na nyuklia 1945 Fat boy na Little boy zilikuwa ni silaha ndogo sana kiuwezo/capability ukilinganisha na hizi za leo.Hizo nyuklia za wakati huo uzito wake haukuzid hata kg 50.
But today silaha zina hata megaton 1000 na kuendelea.Kwa mfano silaha la Urusi inayoitwa Sartan 1 ina weka ku flat Ufaransa yote ndani ya muda mfupi.
Ujinga Tu , Kwani hizo nuclear war heads anazo yeye Tu ? au Kwa akili yako fupi kama kisoda unafikiri akijaribu kuzitumia mataifa mengine yatamwacha Tu na kumwangalia au sio ?Inategemea yatatumika kwa kiasi kipi kama urusi ikitumia kwa ukraine inaweza kubadili hali kutoka urusi vs ukraine kuwa WW3 vita ya tatu ya dunia na urusi imeapa yoyote atakajaribu kuingia pua atajibiwa kwa nyuklia yakitokea haya lazima athari zitafika mpaka huku afrika maana nyuklia itatumika kwa kiasi kikubwa lakini kama urusi ataipiga ukraine pekee na nyuklia athari haziwezi kufika huku afrika labla kama njaa na nyingine mfano uchumi kuyumba kwani kwa dunia ina mhitaji urusi kuliko urusi anavo hitaji dunia maana akitumia nyuklia ataongezewa vikwazo ambayo vitatuathiri mpaka sisi waafrika kuhusu chakula kitakua vizuri tu endapo haitazuka WW3 mbali na hapo mjipange maana vita haina macho kwa kifupi sisi hatuathiriki kwa chochote na hiyo nyuklia mpaka itakapotumika kwa wingi lakini itaacha madhara kwa ukraine na hata baadhi ya nchi alizopakana nazo inategemea na umbali gani litakapo angushiwa hilo bomu
BAHATI NZURI MAJESHI YA US YAKO KARIBU KABISA NA URUSI, LABDA AANZE KUYAPIGA HAYO.Urussi anatakaje kuiangamiza dunia?kwani US ilipoipiga makombora ya atomic Japan dunia iliangamia?
Ukute ana mapembe mkuu 😀 😀Ha ha ha ..wee jamaa muoga Sana
Eti "Sijui Putin ndio devil mwenyewe?"[emoji28]
Mataifa yenye Nuclear Arsenal kubwa duniani ni Urusi na Marekani, Urusi akiwa ni kiranja wa Ligi.Marekani na Urusi walisha sign mikata mbalimbali kwa lengo la kupunguza Arsenal zao lakini baada ya muda walishindwa kuendelea na mkataba wao.Waliwahi ku sign INF(intermediate Nuclear forces) lakini alipoiingia Trump alivuruga mkataba.Sasa hawa miamba kila mmoja kwa wakati wake huwa anaboresha namna ya ku deliver nyuklia kwa adui yake.Urusi ana kitu ambacho kinasababisha Nyuklia tsunami.Hii ngoma kama itapigwa Uingereza basi kwisha habari zakeAsante mkuu, kuna hatari kubwa sana mbele yetu, huyo ni Russia tu, na wengine wakiweka zao, hakuna hata nzi atakaye survive...
Ujinga Tu , Kwani hizo nuclear war heads anazo yeye Tu ? au Kwa akili yako fupi kama kisoda unafikiri akijaribu kuzitumia mataifa mengine yatamwacha Tu na kumwangalia au sio ?
Hivi nyie madogo wampumbavu mnaoanzisha mada za kipuuzi hivi huwa mna akili za wapi ? , Hivi hata huwa mnasoma hata history ya Huu ulimwengu kweli nyinyi ?
Mnajua chochote labda kuhusu hii kitu " US-Russia mutual destruction pact "
Mnakurupuka Tu from nowhere baada ya Kula viazi maharagwe yaliyo cha-cha mnakuja kujaza servers humu .
Mods sijui huwa kazi yenu ni nini humu , hawa watoto wapumbav WA Facebook wamezidi kuharibu hii platform kila kukicha Kwa kuanzisha no brainer threads kama hizi , ni ujinga Huu .
Unaambiwa yale ya Nagasaki na Hiroshima ni primitive atomic bombsUrussi anatakaje kuiangamiza dunia?kwani US ilipoipiga makombora ya atomic Japan dunia iliangamia?
You wife [emoji777] Your wife [emoji736]Even if you wife dines you sex you would blame America.
Haya Sasa ngoja nikuulize wewe Gen. Wa jeshi la sungusungua,France yenye ukubwa wa km sq 543,940 ikipigwa bomu ikafutika yote dunia inaathirikaje?Huyo aliye reply post yako inaonyesha hakuna anachokijuwa kuhusu nyuklia.
Wakati marekani anaipiga Japan na nyuklia 1945 Fat boy na Little boy zilikuwa ni silaha ndogo sana kiuwezo/capability ukilinganisha na hizi za leo.Hizo nyuklia za wakati huo uzito wake haukuzid hata kg 50.
But today silaha zina hata megaton 1000 na kuendelea.Kwa mfano silaha la Urusi inayoitwa Sartan 1 ina weka ku flat Ufaransa yote ndani ya muda mfupi.
Umeelewa kwanza msingi wa reply yangu hapo juu.Kama haujaelewa nakushauri nenda ukasome tena.Sartan 1 ni silaha moja tu ya Nyuklia yenye nuclear warhead nyingi, sasa kama silaha hiyo inaweza kumeza ufaransa yote je vipi zikiwa kama 500 hivi.Umejaribu kuwazaHaya Sasa ngoja nikuulize wewe Gen. Wa jeshi la sungusungua,France yenye ukubwa wa km sq 543,940 ikipigwa bomu ikafutika yote dunia inaathirikaje?
Unawaendekeza hao USA na EU kwa kuwafumbia macho nakati wao ndiyo chanzo cha yote hayo yalipofikia na yanavyoendelea.ASante mkuu kwa kunielimisha, Urusi anataka kutufuta uso wa dunia haki ya nani, saa nyingine unaweza kuwa smart ila usiwe wise...huyu Putin ndio mmoja wao...lol...nimeona hapo News, wanasema Ukraine haitatumia silaha za Marekani kwa sasa..mimi nahisi ni wazo zuri,wameona dunia nzima tutaisha...sababu Putin is soo dangerous for the world, sijui ndio Devil mwenyewe..au ndio kiama kinakuja sasa..tutubu
Mataifa yenye Nuclear Arsenal kubwa duniani ni Urusi na Marekani, Urusi akiwa ni kiranja wa Ligi.Marekani na Urusi walisha sign mikata mbalimbali kwa lengo la kupunguza Arsenal zao lakini baada ya muda walishindwa kuendelea na mkataba wao.Waliwahi ku sign INF(intermediate Nuclear forces) lakini alipoiingia Trump alivuruga mkataba.Sasa hawa miamba kila mmoja kwa wakati wake huwa anaboresha namna ya ku deliver nyuklia kwa adui yake.Urusi ana kitu ambacho kinasababisha Nyuklia tsunami.Hii ngoma kama itapigwa Uingereza basi kwisha habari zake
hahaha ila Rebeca 83 sasa unanifurahisha.Very sad, Marekani kuipiga Iraq kwa kuituhumu ina ' weapons of mass destruction'' wakati kuna kina Putin, nao walikosea...hivi hio Nyuklia si ndio hio hio.. weapon of mass destruction au?!.. msinicheke eti, najifunza kutoka kwenu...
Tuseme nini mkuu.North Korea anajaribu kill kukicha,mbona hamumsemi?
Tueleze tu kwa kifupi,kwa mfano TSAR bomb(World nuclear Biggest Bomb) likipigwa Ukraine Ni madhara gani Tz itayapata?Unaambiwa yale ya Nagasaki na Hiroshima ni primitive atomic bombs
Ya tekinolojia ya sasa ni noma
Eti mfumo imara wa anga? Hivi vichekesho tunavipatajeWacheza mpira hua wanafanya mazoezi kila siku nje ya uwanja wa mpira kwani siku ya mechi hua wakiingia uwanja hua wanabutua tu si wanapasha kwa misuli joto
Sio kwamba anazo siraha za nyuklia tu na bado yeye ndio kunara wa sihara za nyuklia ndio nchi yenye siraha nyingi zaidi dunia za nyuklia na mfumo imara wa anga