Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Eti vumbi[emoji2][emoji2]ckombora ligeuze ardhi ya 900000+ kilometers square kuwa vumbi [emoji2]
 
Mmh sijui nani aliwaroga maana daah hujui usemalo
 
Ww jamaa unachekesha kwl hakuna Bomu linaloweza igeuza Tanzania nzima majivu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hilo Bomu halipo [emoji23]

Usiwarishe Propaganda Watu.
 
Kuchapia kidogo sio kigezo cha kujifunza kukosea ni sifa ya mwanadamu yoyote hakuna mkamilifu
tofautisha kuchapia na kukosea uandishi wa sarufi.

naungana na aliyekwambia ukajifunze Kiswahili vyema.

Kitu kingine, jifunze kukubali kukosolewa.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]$66b wenzake wako kwa$700b na hawaringi[emoji2]
Ndio maana yakiambiwa kichwa sio kwa ajili ya kufugia nywele,unawajua Lockheed Martin and other Military complex wanafanyaje kazi na US?Na unajua Russia anazalishaje silaha zake?

Jipigie zako puli ulale tu.
 
ILA WABONGO KWA SIFA MMENIZIDI TABIA SASA NDO MSHANGILIE VITA WAKATI HAPA MLIPO TU MNALIALIA KISA MFUMUKO WA BEI ALAFU MTU ANAKUJA KUSHANGILIA VITA YA NUCLEAR
 
Jamaa yupo anawalisha propaganda za vijiweni, na anavimba kwl kwl [emoji23][emoji23]
Hii vita Russia ametoa somo namna ya kutumia rasilimali zako lakini kwa sababu huko nchi ambayo in shamba la Bibi huwezi kuelewa chochote zaidi ya propaganda za BBC na cnn
 
Hii vita Russia ametoa somo namna ya kutumia rasilimali zako lakini kwa sababu huko nchi ambayo in shamba la Bibi huwezi kuelewa chochote zaidi ya propaganda za BBC na cnn
Ww hizi propaganda zako ni za wap?, Nataka niongeze zingine.
 
Hapo mfumo imara wa anga ondoa, kutokana na hii vita ya ukraine, imeonesha silaha za russia ni za viwango vya kawaida.
 
Hapo mfumo imara wa anga ondoa, kutokana na hii vita ya ukraine, imeonesha silaha za russia ni za viwango vya kawaida.
Kama hufatilii vita au huijui RUSSIA vizuri ni heri ukatulia tulia huwezi kutaja maswala ya anga bila kuitaja RUSSIA ndio nchi yenye uwezo mkubwa sana kwenye masuala ya anga usichokijua hata NASA na CIA wanatumia mfumo wa anga wa URUSSI
 
Mna akili za kimahaba sana, watu wenye uelewa wanabaki kuwasoma na kuona vile mlivyo na mahaba na russia. Unazungumzia nato kuiengage moja kwa moja ukraine kuwa hawawezi kutokana na uimara wa russia. Sijui ni hujui historia au vipi, kwani russia hajawahi kutoa msaada kwa mataifa ambayo US na allies wake waliwahi kuvamia? Kuna vita ya tatu ya dunia ilitokea? Sasa russia ni nani mpaka alete hiyo vita ya dunia? Sio russia huyu huyu alosema nchi yoyote ambayo ikiisaidia Ukraine itafutwa ktk uso wa dunia, nchi ngapi zinaisaidia ukraine, tena nchi ambazo yeye amepakana nazo kabisa, hili pia hulijui? Hakuna vita ya tatu inaweza iktokea kisa mpuuzi mmoja kama putin atake vita itokee.
 
Kwani sasa hivi hajaiweka?
 
Yaani Ukraine kapewa makombora ya kawaida tu (kwa vigezo vya USA), urusi kaanza mchecheto
Sio kwa vigezo tu vya US, ila ni kweli hizo silaha ni za kawaida lakini povu analotoka mrusi sio la kitoto. Tuliwahi kusema humu, US ndie muamuzi wa huu mtanange, akisema mtanange uende hadi 2025 basi ni kweli utafika huko mtanange.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…