Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Hivi unaijua nyuklia kweli wewe au unaijua WW3 kweli wewe [emoji2] au unaanza kujipa faida za kua super power bila kujua ikipigwa WW3 dunia nzima lazima iingize majeshi vitani sio wewe wala sio kenya mfano RUSSIA ana kombora la SATAN I NA SATAN II haya tu yanatosha ukigeuza TZ vumbi ikipigwa vita ya dunia au ikitumia kunyuklia ni sawa na kusema ndio mwisho wa kuishi kwa viumbe hai katika hii dunia ila inategemea itatumika kwa kiasi kipi ndo maana kila mtu hataki vita ya nuclear wewe tayari unawaza kuwa super power [emoji16]
Eti vumbi[emoji2][emoji2]ckombora ligeuze ardhi ya 900000+ kilometers square kuwa vumbi [emoji2]
 
Wapigane ulaya na marekani Mimi nahusika vipi, ww1 na 2 mataifa ya afrika yalikuwa yanatawaliwa ndio maana mababu zetu walilazimishwa kupigana lakini ww3 no nchi yenyewe itakayoamua kupigana na sio kulazimishwa kwa kifupi naombea sana wapigane tuanze kuwapokea kama wakimbizi
Mmh sijui nani aliwaroga maana daah hujui usemalo
 
Hivi unaijua nyuklia kweli wewe au unaijua WW3 kweli wewe [emoji2] au unaanza kujipa faida za kua super power bila kujua ikipigwa WW3 dunia nzima lazima iingize majeshi vitani sio wewe wala sio kenya mfano RUSSIA ana kombora la SATAN I NA SATAN II haya tu yanatosha ukigeuza TZ vumbi ikipigwa vita ya dunia au ikitumia kunyuklia ni sawa na kusema ndio mwisho wa kuishi kwa viumbe hai katika hii dunia ila inategemea itatumika kwa kiasi kipi ndo maana kila mtu hataki vita ya nuclear wewe tayari unawaza kuwa super power [emoji16]
Ww jamaa unachekesha kwl hakuna Bomu linaloweza igeuza Tanzania nzima majivu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hilo Bomu halipo [emoji23]

Usiwarishe Propaganda Watu.
 
Kuchapia kidogo sio kigezo cha kujifunza kukosea ni sifa ya mwanadamu yoyote hakuna mkamilifu
tofautisha kuchapia na kukosea uandishi wa sarufi.

naungana na aliyekwambia ukajifunze Kiswahili vyema.

Kitu kingine, jifunze kukubali kukosolewa.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]$66b wenzake wako kwa$700b na hawaringi[emoji2]
Ndio maana yakiambiwa kichwa sio kwa ajili ya kufugia nywele,unawajua Lockheed Martin and other Military complex wanafanyaje kazi na US?Na unajua Russia anazalishaje silaha zake?

Jipigie zako puli ulale tu.
 
ILA WABONGO KWA SIFA MMENIZIDI TABIA SASA NDO MSHANGILIE VITA WAKATI HAPA MLIPO TU MNALIALIA KISA MFUMUKO WA BEI ALAFU MTU ANAKUJA KUSHANGILIA VITA YA NUCLEAR
 
Jamaa yupo anawalisha propaganda za vijiweni, na anavimba kwl kwl [emoji23][emoji23]
Hii vita Russia ametoa somo namna ya kutumia rasilimali zako lakini kwa sababu huko nchi ambayo in shamba la Bibi huwezi kuelewa chochote zaidi ya propaganda za BBC na cnn
 
Wacheza mpira hua wanafanya mazoezi kila siku nje ya uwanja wa mpira kwani siku ya mechi hua wakiingia uwanja hua wanabutua tu si wanapasha kwa misuli joto

Sio kwamba anazo siraha za nyuklia tu na bado yeye ndio kunara wa sihara za nyuklia ndio nchi yenye siraha nyingi zaidi dunia za nyuklia na mfumo imara wa anga
Hapo mfumo imara wa anga ondoa, kutokana na hii vita ya ukraine, imeonesha silaha za russia ni za viwango vya kawaida.
 
Hapo mfumo imara wa anga ondoa, kutokana na hii vita ya ukraine, imeonesha silaha za russia ni za viwango vya kawaida.
Kama hufatilii vita au huijui RUSSIA vizuri ni heri ukatulia tulia huwezi kutaja maswala ya anga bila kuitaja RUSSIA ndio nchi yenye uwezo mkubwa sana kwenye masuala ya anga usichokijua hata NASA na CIA wanatumia mfumo wa anga wa URUSSI
 
Pale Ulaya nzima hakuna nchi ambayo inaifikia Urusi kwa stocks za silaha na hakuna nchi ambayo itaenda vitani peke take dhidi ya Urusi.

Watu wanasahau kujua kua pale Ukraine Urusi hajafanya vita serious kabisa yaani ile full engagement,bali kutokana na Ukraine kuwatumia wananchi kama ngao,amechagua maeneo kadhaa ya kushambulia kuidhohofisha Ukraine ili isaini agreements.

Ukraine ashambuliwe kwa makombora ndani ya Urusi, halfu tuone. Ama hata hao wafadhili wake waingie wazi wazi vitani kama walivyofanya Libya,Iraq,Syria, Afghanistan etc halafu tuone kama Vita ya 3 ya dunia haitalipuka!!
Mna akili za kimahaba sana, watu wenye uelewa wanabaki kuwasoma na kuona vile mlivyo na mahaba na russia. Unazungumzia nato kuiengage moja kwa moja ukraine kuwa hawawezi kutokana na uimara wa russia. Sijui ni hujui historia au vipi, kwani russia hajawahi kutoa msaada kwa mataifa ambayo US na allies wake waliwahi kuvamia? Kuna vita ya tatu ya dunia ilitokea? Sasa russia ni nani mpaka alete hiyo vita ya dunia? Sio russia huyu huyu alosema nchi yoyote ambayo ikiisaidia Ukraine itafutwa ktk uso wa dunia, nchi ngapi zinaisaidia ukraine, tena nchi ambazo yeye amepakana nazo kabisa, hili pia hulijui? Hakuna vita ya tatu inaweza iktokea kisa mpuuzi mmoja kama putin atake vita itokee.
 
Vipi Marekani alipomuondoa Gadafi Libya?!! Ilikua sahihi?!! Gadafi alikua tishio kwa dunia kwa kipi?!! Je walipomuondoa Sadam Iraq?!! Je walipojaribu kumuondoa Assad Syria Ila wakashindwa baada ya Urusi kuingia?!! Je walipotaka kumuondoa raisi wa Venezuela?!!

Marekani ndio anaongoza kwa kumiliki hizo silaha na ndio anaongoza kwa kuanzisha vita kwa maslahi ya kiuchumi tu,hakuna hatari anayoleta?!! Dunia ili iwe na amani,kunahitajia mataifa makubwa na mababe zaidi yasiyo rafiki ili kuwepo na balance of power!!!

Katazame leo baraza la usalama la kimataifa,mataifa yenye kura za veto!!!

Bila ya hivyo USA angeiweka kiganjani dunia nzima!!
Kwani sasa hivi hajaiweka?
 
Yaani Ukraine kapewa makombora ya kawaida tu (kwa vigezo vya USA), urusi kaanza mchecheto
Sio kwa vigezo tu vya US, ila ni kweli hizo silaha ni za kawaida lakini povu analotoka mrusi sio la kitoto. Tuliwahi kusema humu, US ndie muamuzi wa huu mtanange, akisema mtanange uende hadi 2025 basi ni kweli utafika huko mtanange.
 
Back
Top Bottom