Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

wakiyapiga hayo mabomu, kila kitu kitaathirrika, hewa, maji,Ozone,joto la dunia nk. Inawezekana wakiyapiga vya kutosha ndio ukawa mwisho wa maisha kwenye hii sayari tunayoiiita Dunia
Hakuna mwanadamu mwenye uthubutu huo, dunia imekuwepo kwa maelfu ya miaka na bado itakuwepo kwa maelfu mbeleni.

Only creator of the earth can.

Who is Putin bwana? Hizo nuclear anazotishia si kitu. Bado kuna mfululizo wa gunduzi za silaha za maangamizi bora kuliko nuclear ambazo dunia itashuhudia zikitengenezwa hata baada ya kizazi chetu kupita lakini zitaishia kukaa ghalani.

Putin akae kwa kutulia.
 
Hakuna mwanadamu mwenye uthubutu huo, dunia imekuwepo kwa maelfu ya miaka na bado itakuwepo kwa maelfu mbeleni.

Only the creator of the earth can.

Who is Putin bwana? Hizo nuclear anazotishia si kitu. Bado kuna mfululizo wa gunduzi za silaha za maangamizi bora kuliko nuclear ambazo dunia itashuhudia zikitengenezwa hata baada ya kizazi chetu kupita lakini zitaishia kukaa ghalani.

Putin akae kwa kutulia.
Ni kweli dunia imekuwepo kwa mabilioni ya miaka,lakini maisha duniani ni mapya kuliko dunia yenyewe, hivyo viumbe vyote kufa na kuiacha dunia inawezekana.
Only creator can?? Sasa kama ingekuwa hivyo basi kuua mtu/kiumbe chochote isingewezekana kwasababu creator hajaruhusu.
Sasa kama creator karuhusu maelfu na maelfu ya viumbe wake kuuwawa...atakataaje wote kufa dunia ibaki yenyewe?
 
Liwalo na liwe mentality, kwake bora Dunia iishe kuliko Urusi kuanguka
Embu kuwa serious, kuna maisha mazuri Russia bila uwepo wa Putin.

Warussia binafsi hawataki wachomeke kama mkaa. Ni kiongozi mmoja mbinafsi anaeplan haya mambo.
 
Kwa hiyo Russia hawezi kuzichapa kavukavu bila hizo silaha za maangamizi, Russia bila nuclear ni jeshi la Burundi iliyochangamka.
 
Ni kweli dunia imekuwepo kwa mabilioni ya miaka,lakini maisha duniani ni mapya kuliko dunia yenyewe, hivyo viumbe vyote kufa na kuiacha dunia inawezekana.
Only creator can?? Sasa kama ingekuwa hivyo basi kuua mtu/kiumbe chochote isingewezekana kwasababu creator hajaruhusu.
Sasa kama creator karuhusu maelfu na maelfu ya viumbe wake kuuwawa...atakataaje wote kufa dunia ibaki yenyewe?
Huu uzi udumu, tutakutana wakati ujao wakati Putin hayupo tena na dunia ikiwa salama.
Tuombeane uzima.
 
This is sad, sikujua before Russia wana silaha za Nyuklia, kumbe walikua wana wasema North Korea tu buree...inaelekea labda nchi nyingi zina hizo silaha za Nyuklia...yakifumuka ya kufumuka huko tobaaaa...
Russia ina hazina kubwa ya mabomu ya nyuklia ikifuatiwa na Marekani..

Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app
 
Jambo kubwa hili boss. Si mazoezi tu, Ni mazoezi dhidi ya maangamizi ya ulimwengu. Russia kujaribu nuklia Ni hatari coz si NATO Wala us atavumilia watApigana na tutakwisha
Mkuu makombora ya nyuklia hayawezi kupigwa afric kitakachotufikia ni madhara ya haya makombora. Ila yataelekezwa kqenye nchi maadui
 
Yawezekana Putin akapandikwa kizimbani kwa kosa la Uhalifu dhidi ya binadamu?

Ukraine war: Investigators look into alleged Russian war crimes​



Ukraine war: Investigators look into alleged Russian war crimesClose

Investigators have been searching for evidence of alleged Russian war crimes, in apartment blocks in the Ukrainian city of Kharkiv.
War crimes include the use of weapons that cause indiscriminate or appalling suffering, genocide and the abuse of the rights of prisoners of war.
Since Russia began its invasion of Ukraine on 24 February, nearly 15,000 war crimes have been alleged across the country, with 200 to 300 more being reported daily, according to Ukraine's chief prosecutor, Iryna Venediktova.
 
Marekan anatuletea balaa kubwa sasa
kupigina na mrusi ni sawa na kupigana na mtu asiye na nguvu.... mawe, kinyesi, bisibisi, pilipili, upupu yaani chochote atatumia ili akuumize.

Marekani alienda Libya, je walivunja majengo na uharibifu kama huu?
Marekani alienda Iraq, je walivunja majengo na miundombinu na kushambulia hovyo wakati watu wakiwemo ndani ya majengo?

Je ni nini kinafanya Urusi kushambulia chochote kilichopo mbele yao? uwonga, kukosa mbinu, kutumia silaha za kizamani zisizo na shabaha, ama ni ujeuri tu ailionao Putin.

Je unafikiri Dunia nzima itamwacha Putin afanya anavyotaka? au yeye Putin kaamua kuangamiza binadamu sababu tayari yeye ana miaka 70 na hana cha kupoteza tena ?

Think twice.
 
Hamna kitu kama hcho boss , hzo ni imagination tuu , yeye kama anatumia atumie tuu , na maisha yataendelea, mda wote wenzake walikuwa wanajipanga namna ya kudhibiti hzo nyuklia endapo atazitumia, ndo mana sa hv wamemwacha hata akitumia fresh tuu
Mmatumbi unasema akitumia fresh tu [emoji23][emoji23][emoji16]
 
Tueleze tu kwa kifupi,kwa mfano TSAR bomb(World nuclear Biggest Bomb) likipigwa Ukraine Ni madhara gani Tz itayapata?
Hiyo haiwezi kupigwa Ukraine hiyo IPO kwa sababu ya wakubwa.ukraiene bomu dogodogo linatosha.
 
Yawezekana Putin akapandikwa kizimbani kwa kosa la Uhalifu dhidi ya binadamu?

Ukraine war: Investigators look into alleged Russian war crimes​



Ukraine war: Investigators look into alleged Russian war crimesClose

Investigators have been searching for evidence of alleged Russian war crimes, in apartment blocks in the Ukrainian city of Kharkiv.
War crimes include the use of weapons that cause indiscriminate or appalling suffering, genocide and the abuse of the rights of prisoners of war.
Since Russia began its invasion of Ukraine on 24 February, nearly 15,000 war crimes have been alleged across the country, with 200 to 300 more being reported daily, according to Ukraine's chief prosecutor, Iryna Venediktova.
Nani dunia hii wa kumpandisha kizimbani hakuna fala yoyote anayeweza.
 
Kwa hiyo Russia hawezi kuzichapa kavukavu bila hizo silaha za maangamizi, Russia bila nuclear ni jeshi la Burundi iliyochangamka.
Anaweza ndo maan eneo lote la mashariki mwa Ukraine ni Russia Sasa hivi mfano sea of azor ni ya Russia forever.
 
Back
Top Bottom