Urusi yaapa kurudisha maeneo yote yaliyotekwa na Ukraine

Urusi yaapa kurudisha maeneo yote yaliyotekwa na Ukraine

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
Msemaji huyo wa Kremlin Dmitry Peskov ameiambia BBC kuwa Russia itachukua maeneo yote ambayo kwa sasa inayakimbia. Pia ameongeza kuwa "maeneo yaliyonyakuliwa yatakuwa ya russia daima dumu na hayakuja kurudi Ukraine"

Screenshot_20221005-144532_Chrome.jpg
 
Mimi simuamini Putin tena sijui hao majenerali wanafanyaje kazi na mtu wa aina hiyo.
Mpaka sasa wanajeshi zaidi ya elfu 60wamepoteza maisha Ukraine.
Warusi kama wana akili timamu wamgeuzie kibao Putin badala ya kupigana na Ukraine🤔
 
Mimi simuamini Putin tena sijui hao majenerali wanafanyaje kazi na mtu wa aina hiyo.
Mpaka sasa wanajeshi zaidi ya elfu 60wamepoteza maisha Ukraine.
Warusi kama wana akili timamu wamgeuzie kibao Putin badala ya kupigana na Ukraine🤔
Anawapa hope za uongo sana akubali mfupa umemshinda atakua wa-kwanza marekani wenyewe walifail Vietnam na Afghanistan
 
Msemaji huyo wa Kremlin Dmitry Peskov ameiambia BBC kuwa Russia itachukua maeneo yote ambayo kwa sasa inayakimbia. Pia ameongeza kuwa "maeneo yaliyonyakuliwa yatakuwa ya russia daima dumu na hayakuja kurudi Ukraine"

View attachment 2377871
Putin hakuwa na strategies wenzake vichwa vinafanya kazi na jamaa hawatamuacha tena abadan ndo kwisha tena nchi iitwayo Russia, yaani Urusi ana hesabu za kitoto sana uchukue eneo kwa nguv za kijeshi halafu likutoke baadae ulikomboe tena.,
 
Putin ni kiboko ya mabeberu wa Ulaya na Marekani.

Na bado - akiwageuzia kibao wale wote wanao mbeza beza wataanza kumtafuta kwa udi na uvumba na aibu juu, ni suala la muda tu - kabla ya January Zelensky na familia yake watakua wamekwisha kimbilia uhamishoni Miami Florida kwenye Mansion yake - amekwisha tajirika kupitia dubious deals zake za uuuzaji silaha nk. Zelensky hana uchungu wowote kuhusu Taifa la Ukraine wala Waukraine wenzake.
 
Kila mtu kwa sasa anajua Russia imechoka na kachapika vibaya, ground battle tayari Russia ilishapoteza toka kitambo, alikuwa anategemea air forces ambazo kwa sasa zimepukutishwa kwa zaidi ya 50%. Msaada wa mitambo ya kivita ambayo Ukraine wameipata kutoka USA imemvuruga Russia kupita maelezo.

Majimbo yote manne ambayo Russia ilitangaza kuyatwaa huenda ndani ya miezi mitatu ijayo yatakuwa mikononi mwa Ukraine.

Kwa sasa Russia ni bora ikaelekeza nguvu zake kuidhibiti Crimea, maana vita ya Ukraine chimbuko lake ni huko na hitimisho lake huenda likawa huko huko.
 
Msemaji huyo wa Kremlin Dmitry Peskov ameiambia BBC kuwa Russia itachukua maeneo yote ambayo kwa sasa inayakimbia. Pia ameongeza kuwa "maeneo yaliyonyakuliwa yatakuwa ya russia daima dumu na hayakuja kurudi Ukraine"

View attachment 2377871
Ahh huyu naye mbona anaharibu sasa kwan mandonga russia si huwa mashabiki maandazi wake husemaga hapa jukwaan kuwa hakuna maeneo yaliyonyakuliwa🤣
 
Back
Top Bottom