Mbona sijakuona ukiwatetea wapalestina! na marekani anafanya nini Sirya?jibu la mtu ni kipimo cha akil yake , sijaona sehem katajwa Biden , akili yako ni USA vs RUSSIA , hlf ww si raia wa nchi mojawapo , wenzio tunatetea uhuru wa kujitawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sijakuona ukiwatetea wapalestina! na marekani anafanya nini Sirya?jibu la mtu ni kipimo cha akil yake , sijaona sehem katajwa Biden , akili yako ni USA vs RUSSIA , hlf ww si raia wa nchi mojawapo , wenzio tunatetea uhuru wa kujitawala
Hawa majenerali wanatakiwa kummaliza Putin ili iwe salama kwao kabla hajawamaliza!
Ulishawahi kukaa kijiweni, na akatokea mmoja wenu akafanya jambo la aibu? Kinachoendelea atakuwa anajishtukia kuondoka akidhani akiondoka tu mtapata muda wa kumsema na kumcheka.Putin hakuwa na strategies wenzake vichwa vinafanya kazi na jamaa hawatamuacha tena abadan ndo kwisha tena nchi iitwayo Russia, yaani Urusi ana hesabu za kitoto sana uchukue eneo kwa nguv za kijeshi halafu likutoke baadae ulikomboe tena.,
kwan huu.mjadala unawahusu Palestina ?narudia tena jibu la.mtu ni kipimo chake cha akiliMbona sijakuona ukiwatetea wapalestina! na marekani anafanya nini Sirya?
Inatubidi tufahamu sheria na taratibu za Urusi zipoje: Kwa nilivyofuatilia kwa juu juu nimeona rais anasaini makubaliano kisha yanapelekwa Duma kisha federation huko kote wanaidhinisha majimbo kukubaliwa ndani ya Urusi kwa kuangalia na kukipitisha kile rais alichokiwasilisha. Kikipita kote huko rais anasaini rasmi hayo majimbo kukubaliwa na hivyo kwa mujibu wa sheria zao yanakuwa rasmi chini ya nchi ya Urusi.
Na kitendo hiki cha majimbo yaliyopiga kura kujiunga na nchi ya Urusi yameidhinishwa leo na rasmi leo yamekuwa ndani ya federation ya Urusi.
Suala la Urusi kuacha maeneo mkuu wa majeshi wa Israel kalizungumzia kwa ufafanuzi: Russia imeivamia Ukraine kwa kutumia askari 200,000. Nchi ambayo ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Majimbo aliyoyakamata ni makubwa ni kama nchi ya Portugal na mengine kama nchi ya Belgium. Huwezi kulinda eneo kubwa kama hilo kwa askari wachache hao wakati Ukraine ana askari wengi. Hili ndilo linalomgharimu Urusi mpaka anafanya partial mobilization nchini mwake.
Hili suala kwa ukraine imekuwa ni advantage yenye disadvantage: advantage ni kwamba kwa kugundua Russia wapo wachache wao eneo moja wanaenda na askari wengi. Ikiwa piga nikupige Urusi lazima irudi nyuma kwa sababu Ukraine inashambulia kwa kutumia askari wengi. Na ikiwa wanakiendea kijiji walipo Urusi itamfanya Urusi arudi nyuma kwa sababu kwa wingi wao na wao wanazana za kivita na kiidadi wamewazidi wanajeshi wa Urusi kwa Ukraine inakuwa ni rahisi kuweza kuwazunguka na kuwaweka kati Urusi.
Ili kuepuka kuwekwa kati Mrusi ana retreat mapema anaviacha vijiji wazi kwa kurudi nyuma na kukusanya askari wa kutoka maeneo mengine wawe wengi na kutengeneza safu ya ushambuliaji mpya itakayoweza kuendana kukabiliana na wengi wa Ukraine.
Disadvantage kwa Ukraine ni kuwa: Wanapata hasara ya askari na vifaa! Askari wao wanauliwa wengi kwa kuwa askari wa Urusi defensive line yao ni wachache wao Ukraine wanaenda wengi wote kwa wakati mmoja kwa msururu kwa sababu wanajua wamewazidi kiidadi hivyo wengine wakifa wengine ni lazima watawafikia tu. Na ndiyo maana wakifanya offensive wanaweza wakapata kijiji lakini idadi ya wanajeshi wanaokufa inafika mpaka 2000 kwa siku 2.
Sasa hili suala lililofanyika leo kutambuliwa hayo majimbo kama sehemu ya Urusi ni suala ambalo lipo wazi ni kuwa Urusi sasa imevamiwa yeye. Hivyo nguvu itakayotumia ni tofauti na nguvu iliyotumiwawakati wakiivamia Ukraine kwa sababu kipindi wanavamia Ukraine nchi yao ilikuwa safe kwa sasa hapana! Hivyo Urusi kwa wakati huu ina uwezo wa kusogeza wanajeshi wake wa ndani kwa wingi na kutumia jeshi lake la anga na ardhini kwa ufanisi mkubwa kwa sababu kwa sasa Urusi imevamiwa sio tena Ukraine. Na ndiyo maana wachambuzi wanasema askari wa Ukraine waliyopo kwenye hayo majimbo wana mawili: watatangaziwa na jeshi la Urusi waondoke na warudi kwenye nchi yao. Wakikataa kitakachofanyika ni Urusi kutangaza CTO na si tena SMO. Na CTO ni mbaya zaidi kuliko SMO.
Putin ni mjanja! Kurudi nyuma kwa majeshi yake siyo kushindwa vita.Subiri mziki uone,hata nchi za NATO sasa hivi hazitulii,hazijui nini Putin anachopanga kufanya.
Yaani wewe kwa dhati kabisa unaamini kuwa Kherson ni sehemu ya Urusi kwa sababu eti Putin katia saini sehemu?Inatubidi tufahamu sheria na taratibu za Urusi zipoje: Kwa nilivyofuatilia kwa juu juu nimeona rais anasaini makubaliano kisha yanapelekwa Duma kisha federation huko kote wanaidhinisha majimbo kukubaliwa ndani ya Urusi kwa kuangalia na kukipitisha kile rais alichokiwasilisha. Kikipita kote huko rais anasaini rasmi hayo majimbo kukubaliwa na hivyo kwa mujibu wa sheria zao yanakuwa rasmi chini ya nchi ya Urusi.
Na kitendo hiki cha majimbo yaliyopiga kura kujiunga na nchi ya Urusi yameidhinishwa leo na rasmi leo yamekuwa ndani ya federation ya Urusi.
Suala la Urusi kuacha maeneo mkuu wa majeshi wa Israel kalizungumzia kwa ufafanuzi: Russia imeivamia Ukraine kwa kutumia askari 200,000. Nchi ambayo ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Majimbo aliyoyakamata ni makubwa ni kama nchi ya Portugal na mengine kama nchi ya Belgium. Huwezi kulinda eneo kubwa kama hilo kwa askari wachache hao wakati Ukraine ana askari wengi. Hili ndilo linalomgharimu Urusi mpaka anafanya partial mobilization nchini mwake.
Hili suala kwa ukraine imekuwa ni advantage yenye disadvantage: advantage ni kwamba kwa kugundua Russia wapo wachache wao eneo moja wanaenda na askari wengi. Ikiwa piga nikupige Urusi lazima irudi nyuma kwa sababu Ukraine inashambulia kwa kutumia askari wengi. Na ikiwa wanakiendea kijiji walipo Urusi itamfanya Urusi arudi nyuma kwa sababu kwa wingi wao na wao wanazana za kivita na kiidadi wamewazidi wanajeshi wa Urusi kwa Ukraine inakuwa ni rahisi kuweza kuwazunguka na kuwaweka kati Urusi.
Ili kuepuka kuwekwa kati Mrusi ana retreat mapema anaviacha vijiji wazi kwa kurudi nyuma na kukusanya askari wa kutoka maeneo mengine wawe wengi na kutengeneza safu ya ushambuliaji mpya itakayoweza kuendana kukabiliana na wengi wa Ukraine.
Disadvantage kwa Ukraine ni kuwa: Wanapata hasara ya askari na vifaa! Askari wao wanauliwa wengi kwa kuwa askari wa Urusi defensive line yao ni wachache wao Ukraine wanaenda wengi wote kwa wakati mmoja kwa msururu kwa sababu wanajua wamewazidi kiidadi hivyo wengine wakifa wengine ni lazima watawafikia tu. Na ndiyo maana wakifanya offensive wanaweza wakapata kijiji lakini idadi ya wanajeshi wanaokufa inafika mpaka 2000 kwa siku 2.
Sasa hili suala lililofanyika leo kutambuliwa hayo majimbo kama sehemu ya Urusi ni suala ambalo lipo wazi ni kuwa Urusi sasa imevamiwa yeye. Hivyo nguvu itakayotumia ni tofauti na nguvu iliyotumiwawakati wakiivamia Ukraine kwa sababu kipindi wanavamia Ukraine nchi yao ilikuwa safe kwa sasa hapana! Hivyo Urusi kwa wakati huu ina uwezo wa kusogeza wanajeshi wake wa ndani kwa wingi na kutumia jeshi lake la anga na ardhini kwa ufanisi mkubwa kwa sababu kwa sasa Urusi imevamiwa sio tena Ukraine. Na ndiyo maana wachambuzi wanasema askari wa Ukraine waliyopo kwenye hayo majimbo wana mawili: watatangaziwa na jeshi la Urusi waondoke na warudi kwenye nchi yao. Wakikataa kitakachofanyika ni Urusi kutangaza CTO na si tena SMO. Na CTO ni mbaya zaidi kuliko SMO.
Wewe ndio huna akili kabisa. Eti unatetea uhuru wa kujitawara, alafu unakuwa na double standard.kwan huu.mjadala unawahusu Palestina ?narudia tena jibu la.mtu ni kipimo chake cha akili
NATO wa maporini mbona hamueleweki? Urusi hawezi kuyakomboa maeneo aliyoyapoteza! Mbona Ukraine anayakomboa maeneo aliyowahi kuyapotezaPutin hakuwa na strategies wenzake vichwa vinafanya kazi na jamaa hawatamuacha tena abadan ndo kwisha tena nchi iitwayo Russia, yaani Urusi ana hesabu za kitoto sana uchukue eneo kwa nguv za kijeshi halafu likutoke baadae ulikomboe tena.,
Hiyo miji aliyopiga kura ijumaa jumamosi ilianza kumtoka, Putin ndio kiongoz wa kwanza kuiba ardhi tokea vita ya pili ya dunia halafu siku ya pili hayo maeneo yakamtoka., wachambuz wanamsema putin ana jeshi dhaifu sana na hana mipango ya vita ni mweupe kabisaNATO wa maporini mbona hamueleweki? Urusi hawezi kuyakomboa maeneo aliyoyapoteza! Mbona Ukraine anayakomboa maeneo aliyowahi kuyapoteza
Hongera sana mkuu,umeongea vizuri sana bila mihemkoInatubidi tufahamu sheria na taratibu za Urusi zipoje: Kwa nilivyofuatilia kwa juu juu nimeona rais anasaini makubaliano kisha yanapelekwa Duma kisha federation huko kote wanaidhinisha majimbo kukubaliwa ndani ya Urusi kwa kuangalia na kukipitisha kile rais alichokiwasilisha. Kikipita kote huko rais anasaini rasmi hayo majimbo kukubaliwa na hivyo kwa mujibu wa sheria zao yanakuwa rasmi chini ya nchi ya Urusi.
Na kitendo hiki cha majimbo yaliyopiga kura kujiunga na nchi ya Urusi yameidhinishwa leo na rasmi leo yamekuwa ndani ya federation ya Urusi.
Suala la Urusi kuacha maeneo mkuu wa majeshi wa Israel kalizungumzia kwa ufafanuzi: Russia imeivamia Ukraine kwa kutumia askari 200,000. Nchi ambayo ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Majimbo aliyoyakamata ni makubwa ni kama nchi ya Portugal na mengine kama nchi ya Belgium. Huwezi kulinda eneo kubwa kama hilo kwa askari wachache hao wakati Ukraine ana askari wengi. Hili ndilo linalomgharimu Urusi mpaka anafanya partial mobilization nchini mwake.
Hili suala kwa ukraine imekuwa ni advantage yenye disadvantage: advantage ni kwamba kwa kugundua Russia wapo wachache wao eneo moja wanaenda na askari wengi. Ikiwa piga nikupige Urusi lazima irudi nyuma kwa sababu Ukraine inashambulia kwa kutumia askari wengi. Na ikiwa wanakiendea kijiji walipo Urusi itamfanya Urusi arudi nyuma kwa sababu kwa wingi wao na wao wanazana za kivita na kiidadi wamewazidi wanajeshi wa Urusi kwa Ukraine inakuwa ni rahisi kuweza kuwazunguka na kuwaweka kati Urusi.
Ili kuepuka kuwekwa kati Mrusi ana retreat mapema anaviacha vijiji wazi kwa kurudi nyuma na kukusanya askari wa kutoka maeneo mengine wawe wengi na kutengeneza safu ya ushambuliaji mpya itakayoweza kuendana kukabiliana na wengi wa Ukraine.
Disadvantage kwa Ukraine ni kuwa: Wanapata hasara ya askari na vifaa! Askari wao wanauliwa wengi kwa kuwa askari wa Urusi defensive line yao ni wachache wao Ukraine wanaenda wengi wote kwa wakati mmoja kwa msururu kwa sababu wanajua wamewazidi kiidadi hivyo wengine wakifa wengine ni lazima watawafikia tu. Na ndiyo maana wakifanya offensive wanaweza wakapata kijiji lakini idadi ya wanajeshi wanaokufa inafika mpaka 2000 kwa siku 2.
Sasa hili suala lililofanyika leo kutambuliwa hayo majimbo kama sehemu ya Urusi ni suala ambalo lipo wazi ni kuwa Urusi sasa imevamiwa yeye. Hivyo nguvu itakayotumia ni tofauti na nguvu iliyotumiwawakati wakiivamia Ukraine kwa sababu kipindi wanavamia Ukraine nchi yao ilikuwa safe kwa sasa hapana! Hivyo Urusi kwa wakati huu ina uwezo wa kusogeza wanajeshi wake wa ndani kwa wingi na kutumia jeshi lake la anga na ardhini kwa ufanisi mkubwa kwa sababu kwa sasa Urusi imevamiwa sio tena Ukraine. Na ndiyo maana wachambuzi wanasema askari wa Ukraine waliyopo kwenye hayo majimbo wana mawili: watatangaziwa na jeshi la Urusi waondoke na warudi kwenye nchi yao. Wakikataa kitakachofanyika ni Urusi kutangaza CTO na si tena SMO. Na CTO ni mbaya zaidi kuliko SMO.
umeupiga mwingi mpaka unamwagikaInatubidi tufahamu sheria na taratibu za Urusi zipoje: Kwa nilivyofuatilia kwa juu juu nimeona rais anasaini makubaliano kisha yanapelekwa Duma kisha federation huko kote wanaidhinisha majimbo kukubaliwa ndani ya Urusi kwa kuangalia na kukipitisha kile rais alichokiwasilisha. Kikipita kote huko rais anasaini rasmi hayo majimbo kukubaliwa na hivyo kwa mujibu wa sheria zao yanakuwa rasmi chini ya nchi ya Urusi.
Na kitendo hiki cha majimbo yaliyopiga kura kujiunga na nchi ya Urusi yameidhinishwa leo na rasmi leo yamekuwa ndani ya federation ya Urusi.
Suala la Urusi kuacha maeneo mkuu wa majeshi wa Israel kalizungumzia kwa ufafanuzi: Russia imeivamia Ukraine kwa kutumia askari 200,000. Nchi ambayo ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Majimbo aliyoyakamata ni makubwa ni kama nchi ya Portugal na mengine kama nchi ya Belgium. Huwezi kulinda eneo kubwa kama hilo kwa askari wachache hao wakati Ukraine ana askari wengi. Hili ndilo linalomgharimu Urusi mpaka anafanya partial mobilization nchini mwake.
Hili suala kwa ukraine imekuwa ni advantage yenye disadvantage: advantage ni kwamba kwa kugundua Russia wapo wachache wao eneo moja wanaenda na askari wengi. Ikiwa piga nikupige Urusi lazima irudi nyuma kwa sababu Ukraine inashambulia kwa kutumia askari wengi. Na ikiwa wanakiendea kijiji walipo Urusi itamfanya Urusi arudi nyuma kwa sababu kwa wingi wao na wao wanazana za kivita na kiidadi wamewazidi wanajeshi wa Urusi kwa Ukraine inakuwa ni rahisi kuweza kuwazunguka na kuwaweka kati Urusi.
Ili kuepuka kuwekwa kati Mrusi ana retreat mapema anaviacha vijiji wazi kwa kurudi nyuma na kukusanya askari wa kutoka maeneo mengine wawe wengi na kutengeneza safu ya ushambuliaji mpya itakayoweza kuendana kukabiliana na wengi wa Ukraine.
Disadvantage kwa Ukraine ni kuwa: Wanapata hasara ya askari na vifaa! Askari wao wanauliwa wengi kwa kuwa askari wa Urusi defensive line yao ni wachache wao Ukraine wanaenda wengi wote kwa wakati mmoja kwa msururu kwa sababu wanajua wamewazidi kiidadi hivyo wengine wakifa wengine ni lazima watawafikia tu. Na ndiyo maana wakifanya offensive wanaweza wakapata kijiji lakini idadi ya wanajeshi wanaokufa inafika mpaka 2000 kwa siku 2.
Sasa hili suala lililofanyika leo kutambuliwa hayo majimbo kama sehemu ya Urusi ni suala ambalo lipo wazi ni kuwa Urusi sasa imevamiwa yeye. Hivyo nguvu itakayotumia ni tofauti na nguvu iliyotumiwawakati wakiivamia Ukraine kwa sababu kipindi wanavamia Ukraine nchi yao ilikuwa safe kwa sasa hapana! Hivyo Urusi kwa wakati huu ina uwezo wa kusogeza wanajeshi wake wa ndani kwa wingi na kutumia jeshi lake la anga na ardhini kwa ufanisi mkubwa kwa sababu kwa sasa Urusi imevamiwa sio tena Ukraine. Na ndiyo maana wachambuzi wanasema askari wa Ukraine waliyopo kwenye hayo majimbo wana mawili: watatangaziwa na jeshi la Urusi waondoke na warudi kwenye nchi yao. Wakikataa kitakachofanyika ni Urusi kutangaza CTO na si tena SMO. Na CTO ni mbaya zaidi kuliko SMO.
Ni kweli tuliaminishwa hivyo kwa muda mrefu sana,kumbe si lolote,yaani oparation tu imemchukua miezi 8 sasa!!wakati alipanga wiki tatu tu!!na maeneo aliyoyachukua sasa yanarudi,kwa underdog wa vita!!hilo beberu kubwa duniani linatoa vi silaha vidogo vidogo tu,sasa likisema liingie front si ni siku moja tu watakuwa moscow??Putin ni kiboko ya mabeberu wa Ulaya na Marekani.
mkuu kajaribu kufuatilia vizuri, kinachomsaidia Ukraine kwa sasa kuweza kusonga mbele kwa nguvu wala sio idadi kubwa ya wanajeshi alionao,bali ni ubora wa silaha alizo nazo kwa sasa,zina uwezo mzuri sana wa kushambulia na zina shabaha nzuri sana,hivyo zina shambulia toka mbali ana.Inatubidi tufahamu sheria na taratibu za Urusi zipoje: Kwa nilivyofuatilia kwa juu juu nimeona rais anasaini makubaliano kisha yanapelekwa Duma kisha federation huko kote wanaidhinisha majimbo kukubaliwa ndani ya Urusi kwa kuangalia na kukipitisha kile rais alichokiwasilisha. Kikipita kote huko rais anasaini rasmi hayo majimbo kukubaliwa na hivyo kwa mujibu wa sheria zao yanakuwa rasmi chini ya nchi ya Urusi.
Na kitendo hiki cha majimbo yaliyopiga kura kujiunga na nchi ya Urusi yameidhinishwa leo na rasmi leo yamekuwa ndani ya federation ya Urusi.
Suala la Urusi kuacha maeneo mkuu wa majeshi wa Israel kalizungumzia kwa ufafanuzi: Russia imeivamia Ukraine kwa kutumia askari 200,000. Nchi ambayo ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Majimbo aliyoyakamata ni makubwa ni kama nchi ya Portugal na mengine kama nchi ya Belgium. Huwezi kulinda eneo kubwa kama hilo kwa askari wachache hao wakati Ukraine ana askari wengi. Hili ndilo linalomgharimu Urusi mpaka anafanya partial mobilization nchini mwake.
Hili suala kwa ukraine imekuwa ni advantage yenye disadvantage: advantage ni kwamba kwa kugundua Russia wapo wachache wao eneo moja wanaenda na askari wengi. Ikiwa piga nikupige Urusi lazima irudi nyuma kwa sababu Ukraine inashambulia kwa kutumia askari wengi. Na ikiwa wanakiendea kijiji walipo Urusi itamfanya Urusi arudi nyuma kwa sababu kwa wingi wao na wao wanazana za kivita na kiidadi wamewazidi wanajeshi wa Urusi kwa Ukraine inakuwa ni rahisi kuweza kuwazunguka na kuwaweka kati Urusi.
Ili kuepuka kuwekwa kati Mrusi ana retreat mapema anaviacha vijiji wazi kwa kurudi nyuma na kukusanya askari wa kutoka maeneo mengine wawe wengi na kutengeneza safu ya ushambuliaji mpya itakayoweza kuendana kukabiliana na wengi wa Ukraine.
Disadvantage kwa Ukraine ni kuwa: Wanapata hasara ya askari na vifaa! Askari wao wanauliwa wengi kwa kuwa askari wa Urusi defensive line yao ni wachache wao Ukraine wanaenda wengi wote kwa wakati mmoja kwa msururu kwa sababu wanajua wamewazidi kiidadi hivyo wengine wakifa wengine ni lazima watawafikia tu. Na ndiyo maana wakifanya offensive wanaweza wakapata kijiji lakini idadi ya wanajeshi wanaokufa inafika mpaka 2000 kwa siku 2.
Sasa hili suala lililofanyika leo kutambuliwa hayo majimbo kama sehemu ya Urusi ni suala ambalo lipo wazi ni kuwa Urusi sasa imevamiwa yeye. Hivyo nguvu itakayotumia ni tofauti na nguvu iliyotumiwawakati wakiivamia Ukraine kwa sababu kipindi wanavamia Ukraine nchi yao ilikuwa safe kwa sasa hapana! Hivyo Urusi kwa wakati huu ina uwezo wa kusogeza wanajeshi wake wa ndani kwa wingi na kutumia jeshi lake la anga na ardhini kwa ufanisi mkubwa kwa sababu kwa sasa Urusi imevamiwa sio tena Ukraine. Na ndiyo maana wachambuzi wanasema askari wa Ukraine waliyopo kwenye hayo majimbo wana mawili: watatangaziwa na jeshi la Urusi waondoke na warudi kwenye nchi yao. Wakikataa kitakachofanyika ni Urusi kutangaza CTO na si tena SMO. Na CTO ni mbaya zaidi kuliko SMO.
Si ubora wa silaha!mkuu kajaribu kufuatilia vizuri, kinachomsaidia Ukraine kwa sasa kuweza kusonga mbele kwa nguvu wala sio idadi kubwa ya wanajeshi alionao,bali ni ubora wa silaha alizo nazo kwa sasa,zina uwezo mzuri sana wa kushambulia na zina shabaha nzuri sana,hivyo zina shambulia toka mbali ana.
Hii vita mwambie Russia itakuwa active hata Kwa miaka 10 ijayo. Russia alipga hesabu zake vibaya.Si ubora wa silaha!
Hizi takwimu zipo wazi: wapiganaji kutoka sehemu tofauti hususani kutoka kwenye hii jumuiaya inayoitwa jumuiya ya Kimataifa wameenda wengi sana kuisaidia Ukraine kwenye pambano. NATO nao wakasonga mbele! Wanaisaidia Ukraine kiintelijensia kwa maana wapi pa kupiga na wapi si kwa kupiga, silaha za kivita, wanatumia satellite ambazo si za kijeshi bali ni za kiraia kumsaidia kukusanya data Ukraine na kutumia satellite ya kiraia ni makosa. Haya yote yanafanyika.
Mbali na hilo! Kwa ukubwa wa nchi ya Ukraine, ubora wa silaha na wingi wake na ukubwa wa jeshi, nchi pekee yenye uwezo wa kupigana na Ukraine Nato kwa nchi zilizopo barani Ulaya ni Turkey pekee! Hivi ni vitu ambavyo inabidi tuvifahamu!
Russia nao intelijenisa yao haijalala inafahamu haya yote. Yakupasa ufahamu jeshi la ardhini ndilo linalochukua maeneo na kusimika mamlako yako! Inatupasa tufahamu vilevile Ukraine ni nchi ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Hivyo, ili Russia aweze kuteka maeneo mengi inamwajibikia asambaze wanajeshi wengi wa ardhini.
Ukraine tangu mwanzo ana ubora wa silaha za kijeshi. Umeona Jumuiya ya Kimataifa jinsi ilivyomsaidia Ukraine kwa kuruhusu wapiganaji nchini mwao kwenda kupambana na Russia. Umeona NATO jinsi wanavyomsaidia Ukraine kiintelijijsia mpaka kwenye kwenye silaha. Hii operation imeanza mwezi wa 2 mpaka sasa wa 10. Na kwa ukubwa wa nchi ya Ukraine na kwa misaada anayoipata, Russia ingelipeleka askari wengi Ukraine angelipungukiwa na askari nchini mwake. Vipi kama mahasimu wake wangeitumia hii advantage kuitumia? Usalama wa Russia ungelikuwa wapi? Kwa sababu ni nchi kubwa sana! Kwa kulijua hili ndiyo maana askari waliyopelekwa Ukraine ni 200,000 tu!
Kwa nchi kama Ukraine yenye wanajeshi millioni+ kupeleka idadi hiyo ya wanajeshi ni lazima utatepweta. Hutoweza kuihodhi Ukraine yote! Na ndiyo maana Russia upigaji wake ulikuwa haueleweki eleweki na lengo ni kuwapoteza maboya Ukraine kwa sababu kiwango cha askari walichoingia nacho ni kidogo!
Maeneo aliyoyateka Russia anaacha askari wa kulinda 5000 wakati Ukraine akienda kufanya offensive eneo hilo anaenda na askari 20,000. Huwezi ukapambana na kiasi hicho cha askari. Ndiyo maana Russia akiona askari wa Ukraine wanaokuja ni wengi ana retreat akihofia kupoteza askari wengi na kuzungukwa.
Anachokifanya anarudi nyuma na kuviacha vijiji na ukiwa unafuatilia sehemu nyingi Russia imeachia maeneo pasipo pambano na Ukraine la aina yoyote. Hofu yake ni kuwa atapoteza askari wengi kwa ukraine ambaye anafanya counter offensive akiwa na wanajeshi 20,000+
Ili Russia aweke defensive nzuri unakuta vijiji 3-5vyote wamevitelekeza. Hao askari wote wanawekwa kwenye line moja ili angalau uwiano usiachane sana na hii yote ni kuwa ana upungufu wa askari nchini ukraine na ndicho kitu kinachomgharimu. Na hiki ndicho kitu pekee kinachomsaidia Ukraine, anapeleka askari wengi kwa wakati mmoja. Mtapiga mizinga hata mkiua 2000 lakini 18,000wamefika na wamechukua eneo na wanasonga mbele.
Nd I yo maana Russia imefanya partial mobilization tena kwa raia waliyopitia mafunzoni na wenye uzoefu wa kijeshi ili apunguze hilo ombwe! Kwa sababu hayo majimbo yaliyojiunga Russia atashindwa kuyalinda.