google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Hata hajachangamka kumzidi mandonga wetuPutin ni Mandonga aliye changamka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hajachangamka kumzidi mandonga wetuPutin ni Mandonga aliye changamka.
Kwan Nuke anayo yeye pekeake ?Mziki wa Putin, wamarekani hawauwezi, ngoja aanze kushusha vitu vya nuclear ndio mtamjua vizuri
Safi sana. Uchambuzi muruaInatubidi tufahamu sheria na taratibu za Urusi zipoje: Kwa nilivyofuatilia kwa juu juu nimeona rais anasaini makubaliano kisha yanapelekwa Duma kisha federation huko kote wanaidhinisha majimbo kukubaliwa ndani ya Urusi kwa kuangalia na kukipitisha kile rais alichokiwasilisha. Kikipita kote huko rais anasaini rasmi hayo majimbo kukubaliwa na hivyo kwa mujibu wa sheria zao yanakuwa rasmi chini ya nchi ya Urusi.
Na kitendo hiki cha majimbo yaliyopiga kura kujiunga na nchi ya Urusi yameidhinishwa leo na rasmi leo yamekuwa ndani ya federation ya Urusi.
Suala la Urusi kuacha maeneo mkuu wa majeshi wa Israel kalizungumzia kwa ufafanuzi: Russia imeivamia Ukraine kwa kutumia askari 200,000. Nchi ambayo ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Majimbo aliyoyakamata ni makubwa ni kama nchi ya Portugal na mengine kama nchi ya Belgium. Huwezi kulinda eneo kubwa kama hilo kwa askari wachache hao wakati Ukraine ana askari wengi. Hili ndilo linalomgharimu Urusi mpaka anafanya partial mobilization nchini mwake.
Hili suala kwa ukraine imekuwa ni advantage yenye disadvantage: advantage ni kwamba kwa kugundua Russia wapo wachache wao eneo moja wanaenda na askari wengi. Ikiwa piga nikupige Urusi lazima irudi nyuma kwa sababu Ukraine inashambulia kwa kutumia askari wengi. Na ikiwa wanakiendea kijiji walipo Urusi itamfanya Urusi arudi nyuma kwa sababu kwa wingi wao na wao wanazana za kivita na kiidadi wamewazidi wanajeshi wa Urusi kwa Ukraine inakuwa ni rahisi kuweza kuwazunguka na kuwaweka kati Urusi.
Ili kuepuka kuwekwa kati Mrusi ana retreat mapema anaviacha vijiji wazi kwa kurudi nyuma na kukusanya askari wa kutoka maeneo mengine wawe wengi na kutengeneza safu ya ushambuliaji mpya itakayoweza kuendana kukabiliana na wengi wa Ukraine.
Disadvantage kwa Ukraine ni kuwa: Wanapata hasara ya askari na vifaa! Askari wao wanauliwa wengi kwa kuwa askari wa Urusi defensive line yao ni wachache wao Ukraine wanaenda wengi wote kwa wakati mmoja kwa msururu kwa sababu wanajua wamewazidi kiidadi hivyo wengine wakifa wengine ni lazima watawafikia tu. Na ndiyo maana wakifanya offensive wanaweza wakapata kijiji lakini idadi ya wanajeshi wanaokufa inafika mpaka 2000 kwa siku 2.
Sasa hili suala lililofanyika leo kutambuliwa hayo majimbo kama sehemu ya Urusi ni suala ambalo lipo wazi ni kuwa Urusi sasa imevamiwa yeye. Hivyo nguvu itakayotumia ni tofauti na nguvu iliyotumiwawakati wakiivamia Ukraine kwa sababu kipindi wanavamia Ukraine nchi yao ilikuwa safe kwa sasa hapana! Hivyo Urusi kwa wakati huu ina uwezo wa kusogeza wanajeshi wake wa ndani kwa wingi na kutumia jeshi lake la anga na ardhini kwa ufanisi mkubwa kwa sababu kwa sasa Urusi imevamiwa sio tena Ukraine. Na ndiyo maana wachambuzi wanasema askari wa Ukraine waliyopo kwenye hayo majimbo wana mawili: watatangaziwa na jeshi la Urusi waondoke na warudi kwenye nchi yao. Wakikataa kitakachofanyika ni Urusi kutangaza CTO na si tena SMO. Na CTO ni mbaya zaidi kuliko SMO.
Mziki WA niokoPutin ni mjanja! Kurudi nyuma kwa majeshi yake siyo kushindwa vita.Subiri mziki uone,hata nchi za NATO sasa hivi hazitulii,hazijui nini Putin anachopanga kufanya.
Kawasaidie ulinziHawatapata tena rais mzalendo kama Putin, anatakiwa kulindwa mnoooo.
Hivi kweli mkashindwa kuteka Kyiv, leo ndo Zele akimbie?Na bado - akiwageuzia kibao wale wote wanao mbeza beza wataanza kumtafuta kwa udi na uvumba na aibu juu, ni suala la muda tu - kabla ya January Zelensky na familia yake watakua wamekwisha kimbilia uhamishoni Miami Florida kwenye Mansion yake - amekwisha tajirika kupitia dubious deals zake za uuuzaji silaha nk. Zelensky hana uchungu wowote kuhusu Taifa la Ukraine wala Waukraine wenzake.
Litakuwa kosa kubwa litalomtoa Putin madarakani, na huenda kitafanyika hichoKila mtu kwa sasa anajua Russia imechoka na kachapika vibaya, ground battle tayari Russia ilishapoteza toka kitambo, alikuwa anategemea air forces ambazo kwa sasa zimepukutishwa kwa zaidi ya 50%. Msaada wa mitambo ya kivita ambayo Ukraine wameipata kutoka USA imemvuruga Russia kupita maelezo.
Majimbo yote manne ambayo Russia ilitangaza kuyatwaa huenda ndani ya miezi mitatu ijayo yatakuwa mikononi mwa Ukraine.
Kwa sasa Russia ni bora ikaelekeza nguvu zake kuidhibiti Crimea, maana vita ya Ukraine chimbuko lake ni huko na hitimisho lake huenda likawa huko huko.
Sirya ndiyo nini?Mbona sijakuona ukiwatetea wapalestina! na marekani anafanya nini Sirya?
Kwa hiyo wewe unajua apangacho Putin?Putin ni mjanja! Kurudi nyuma kwa majeshi yake siyo kushindwa vita.Subiri mziki uone,hata nchi za NATO sasa hivi hazitulii,hazijui nini Putin anachopanga kufanya.
Mchokozi ni Palestina, hataonewa hurumaWewe ndio huna akili kabisa. Eti unatetea uhuru wa kujitawara, alafu unakuwa na double standard.
Hivi kweli mkashindwa kuteka Kyiv, leo ndo Zele akimbie?
Wakati ana zana zinazowarudisha nyuma
😃😃😃Putin ni Mandonga aliye changamka.
Huwa nacheka sana kwa matisho ya kitoto.Mziki wa Putin, wamarekani hawauwezi, ngoja aanze kushusha vitu vya nuclear ndio mtamjua vizuri
Kwa hiyo wewe unajua apangacho Putin?
Putin hana jeshi la kufanya lolote kwa sasa
Mobilization hadi watu wafundishwe, msimu wa baridi kali huu hapa, muda huo hutaona kelele sana maana visibility itakuwa zero
Na huo ndio ukweli wenyewe litapigwa Jitu mpaka lichakae subiri uonemaeneo yaliyonyakuliwa yatakuwa ya russia daima dumu na hayakuja kurudi Ukraine
Acha kujitoa ufahamuUna ushahidi gani wa kuthibitisha kwamba Putin alikuwa. na lengo la kuteka na kukalia jiji la Kiev?? Mbona matra hiyo mnairudia rudia kila mara??
Kuna mbumbumbu aliekaza ubongo ambae yupo kwa mtogole shimoni kidongo chekundu kwa dumba bado atakua anajifanya hajakuelewa ulichokielezaInatubidi tufahamu sheria na taratibu za Urusi zipoje: Kwa nilivyofuatilia kwa juu juu nimeona rais anasaini makubaliano kisha yanapelekwa Duma kisha federation huko kote wanaidhinisha majimbo kukubaliwa ndani ya Urusi kwa kuangalia na kukipitisha kile rais alichokiwasilisha. Kikipita kote huko rais anasaini rasmi hayo majimbo kukubaliwa na hivyo kwa mujibu wa sheria zao yanakuwa rasmi chini ya nchi ya Urusi.
Na kitendo hiki cha majimbo yaliyopiga kura kujiunga na nchi ya Urusi yameidhinishwa leo na rasmi leo yamekuwa ndani ya federation ya Urusi.
Suala la Urusi kuacha maeneo mkuu wa majeshi wa Israel kalizungumzia kwa ufafanuzi: Russia imeivamia Ukraine kwa kutumia askari 200,000. Nchi ambayo ya pili kwa ukubwa barani Ulaya. Majimbo aliyoyakamata ni makubwa ni kama nchi ya Portugal na mengine kama nchi ya Belgium. Huwezi kulinda eneo kubwa kama hilo kwa askari wachache hao wakati Ukraine ana askari wengi. Hili ndilo linalomgharimu Urusi mpaka anafanya partial mobilization nchini mwake.
Hili suala kwa ukraine imekuwa ni advantage yenye disadvantage: advantage ni kwamba kwa kugundua Russia wapo wachache wao eneo moja wanaenda na askari wengi. Ikiwa piga nikupige Urusi lazima irudi nyuma kwa sababu Ukraine inashambulia kwa kutumia askari wengi. Na ikiwa wanakiendea kijiji walipo Urusi itamfanya Urusi arudi nyuma kwa sababu kwa wingi wao na wao wanazana za kivita na kiidadi wamewazidi wanajeshi wa Urusi kwa Ukraine inakuwa ni rahisi kuweza kuwazunguka na kuwaweka kati Urusi.
Ili kuepuka kuwekwa kati Mrusi ana retreat mapema anaviacha vijiji wazi kwa kurudi nyuma na kukusanya askari wa kutoka maeneo mengine wawe wengi na kutengeneza safu ya ushambuliaji mpya itakayoweza kuendana kukabiliana na wengi wa Ukraine.
Disadvantage kwa Ukraine ni kuwa: Wanapata hasara ya askari na vifaa! Askari wao wanauliwa wengi kwa kuwa askari wa Urusi defensive line yao ni wachache wao Ukraine wanaenda wengi wote kwa wakati mmoja kwa msururu kwa sababu wanajua wamewazidi kiidadi hivyo wengine wakifa wengine ni lazima watawafikia tu. Na ndiyo maana wakifanya offensive wanaweza wakapata kijiji lakini idadi ya wanajeshi wanaokufa inafika mpaka 2000 kwa siku 2.
Sasa hili suala lililofanyika leo kutambuliwa hayo majimbo kama sehemu ya Urusi ni suala ambalo lipo wazi ni kuwa Urusi sasa imevamiwa yeye. Hivyo nguvu itakayotumia ni tofauti na nguvu iliyotumiwawakati wakiivamia Ukraine kwa sababu kipindi wanavamia Ukraine nchi yao ilikuwa safe kwa sasa hapana! Hivyo Urusi kwa wakati huu ina uwezo wa kusogeza wanajeshi wake wa ndani kwa wingi na kutumia jeshi lake la anga na ardhini kwa ufanisi mkubwa kwa sababu kwa sasa Urusi imevamiwa sio tena Ukraine. Na ndiyo maana wachambuzi wanasema askari wa Ukraine waliyopo kwenye hayo majimbo wana mawili: watatangaziwa na jeshi la Urusi waondoke na warudi kwenye nchi yao. Wakikataa kitakachofanyika ni Urusi kutangaza CTO na si tena SMO. Na CTO ni mbaya zaidi kuliko SMO.
Litapigwa Jitu hadi mbwa koko waliopo humu watashangaa na kuanza kuuliza Putin ni shetani au ni nani? Subiri uonePutin ni mjanja! Kurudi nyuma kwa majeshi yake siyo kushindwa vita.Subiri mziki uone,hata nchi za NATO sasa hivi hazitulii,hazijui nini Putin anachopanga kufanya.
Ushashiba ugoro au unalopoka tu?Russia ajiandae uchumi wake kuporomoka vya kutosha