Urusi yaapa kurudisha maeneo yote yaliyotekwa na Ukraine

Urusi yaapa kurudisha maeneo yote yaliyotekwa na Ukraine

Most of Tanzanians they frontier chokolization that make them be like fool's on the other part of the planetarium, give them lecturing may be they will understand the meaning
Poor Kenyans don't know what is going on.. They just condemn on trivial matters
 
Sema unachotaka, mnacho sahau ni kwamba "Ivan the terrible" si binadamu wa kuchukulia kimzaaa zaa hata kidogo - atakuja kuwashangaza wengi - nawakumbuseni kila mara kwamba Putin kapeleka wanajeshi 200,000 tu wa Urusi kwenda Ukraine - bado ana akiba ya wananajeshi karibu 2.3 millioni na zana zao nzito zaidi ambazo kaziweka kiporo kuwasubiri NATO/US wafanye fyoko - hapo ndipo mtatambua umahili wa jeshi la Urusi - msione hawasemi mengi mkadhani ni mbumbumbu - nyie subirini tu NATO/US wa-cross threshold walio jiwekea wao -patachimbika nawambieni - jamaa watatimka kushinda mbio walizo timuka huko VietNam,Kabul Afghanistan na Syria, likumbekeni sana hilo.

Wewe hiyo idadi ya 2.3 million umeitoa wapi?!

Putin orders Russia to increase size of armed forces by 137,000
President orders Russian military to increase its number of soldiers to a total of 1.15 million.


The decree issued on Thursday will boost the overall number of Russian military personnel to 2,039,758, including 1,150,628 servicemen. A previous order put the military’s numbers at 1,902,758 and 1,013,628 respectively at the start of 2018.

Tatizo Lenu mna mentality za enzi ya kale kwamba ukiwa na wanajeshi wengi eti ndo umeshinda Vita wakati siku hizi mambo yamebadilika, technology ndo kila kitu. Huo ubora na mbinu za wanajeshi wa Russia tungeuona kule Ukraine,Putin maneno mengi kusifia zana za vita za Russia lakini zikija kwenye uwanja wa Vita hazina tofauti na mandonga Mtu kazi. Zile defense systems mlizokua mnazisifia humu ziko wapi, Makombora ya HIMARS kila siku yanabomoa command posts,Crimea kwenye kambi kubwa ya jeshi kunashambuliwa,maghala ya silaha yanashambuliwa,huko Kherson supply lines karibu zote zimeshambuliwa...au mnazizima kama mnavyojiteteaga kila siku?!

Halafu ww si ndo mmoja wa waliokua wanasema Ukraine kakomboa centimetres ngapi?! Vipi hali unaionaje ss hv?![emoji38]
 
Hakuna lolote labda awalete wachinjwe na Himars Tu basi na kuchomwa mishkaki na vijana WA Azov battalion ,Maana wanatembeza kipondo hao si poa .Muulize huyo mnywa ulanzi wenu Putin habari anayo
Na wale makomando uchwara wenu na Ile misululu ya km 70 kuelekea Kiev sijui ilishia wapi ,yaani nikikaa na kukumbuka nacheka Sana , [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imagine vifaru ,malori , makomando kipensi , dah halafu kipindi like hata Himars hazikuwepo pale Ukraine , Imagine javellins Tu zikawaponda ponda kama nyanya mbichi mkapoteana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Urusi ni kilaza hata alete jeshi lake Zima pale wanachinjwa kama kuku nakwambia . Huwezi kuwa na jeshi la watu wapuuz ,undisciplined wanaiba washing machines ,nguo na vyakula wanapakia kwenye malori halafu unasema Una jeshi ,lazima uwe kichaa mwenye kamasi kichwani .

Jeshi ambalo halina strategy wala logistics za kueleweka ,linaendeshwa kama mgambo , na hii mentality ya kusacrifice watu kwenye battle field bila strategy na logistics za kueleweka ndio iliyosababisha Russia kupoteza wanajeshi wengi hata WW2 dhidi ya Nazi Germany ,kuna kipindi mpaka walikuwa wanaishiwa mpaka vitu bafic kama risasi na chakula ,wanakula mizoga ya farasi waliofia battle front ,too bad hawajabadilika mpaka leo na kuendana na modern military strategies ,yaani hii vita imeexpose weakness nyingi Sana za wale wanamgambo WA Russia ,hamna kitu pale .


Vita ni actions ,plans ,strategies na logistics si bla bla bla za kipuuz kama za hao wanywa gongo wenu toka Urusi

Mnachekesha sana leo baada ya kuangalia video clip fake iliyo tengenezwa na BBC akishirikiana na wanajeshi wa Ukraine,vifaru na magari ya dereya - yametoka huko yanakimbia wanadai ni wanajedhi wa Urusi wanajisalimisha, mwandishi wa habari wa BBC kavaa bullet proof vest na kofia kashikilia mike anajidai yupo frontline - baadae out of the blue anatokea mwana mama kavaa aplon amebeba masufuria na saani!! Hii wapi na wapi?? Usanii tu wa media za magharibi yenye lengo la kuonyesha kwamba jeshi la Urusi limelemewa -uongo mtupu - Ukraine hata isadiwe vipi haina ubavu wa kushinda jeshi la Urusi - watu watasema mengi a kubeza beza, lakimi ukweli ndio huo, wanao saidia jeshi la Ukraine wanataka kuendeleza mauuaji na mateso kwa Ukraine yenyewe na Urusi lakini hiyo haiwezi kubadirisha chochote kwa matokeo ya vita nchini Ukraine, Urusi bado itashinda tu.
 
Wewe hiyo idadi ya 2.3 million umeitoa wapi?!

Putin orders Russia to increase size of armed forces by 137,000
President orders Russian military to increase its number of soldiers to a total of 1.15 million.


The decree issued on Thursday will boost the overall number of Russian military personnel to 2,039,758, including 1,150,628 servicemen. A previous order put the military’s numbers at 1,902,758 and 1,013,628 respectively at the start of 2018.

Tatizo Lenu mna mentality za enzi ya kale kwamba ukiwa na wanajeshi wengi eti ndo umeshinda Vita wakati siku hizi mambo yamebadilika, technology ndo kila kitu. Huo ubora na mbinu za wanajeshi wa Russia tungeuona kule Ukraine,Putin maneno mengi kusifia zana za vita za Russia lakini zikija kwenye uwanja wa Vita hazina tofauti na mandonga Mtu kazi. Zile defense systems mlizokua mnazisifia humu ziko wapi, Makombora ya HIMARS kila siku yanabomoa command posts,Crimea kwenye kambi kubwa ya jeshi kunashambuliwa,maghala ya silaha yanashambuliwa,huko Kherson supply lines karibu zote zimeshambuliwa...au mnazizima kama mnavyojiteteaga kila siku?!

Halafu ww si ndo mmoja wa waliokua wanasema Ukraine kakomboa centimetres ngapi?! Vipi hali unaionaje ss hv?![emoji38]

Mkuu, hakuna haja ya kiandikia mate wakati wino hupo, tuvute subira mpaka December/January tuone jeshi la Zelensky,mamuluki wake, jeshi la NATO/US walio vaa sare za jeshi Ukraine, wakati huo wa winter watakuwa wanatoa visingizio gani watakapo nyukwa vilivyo na jeshi mahili la Putin - Zelensky na wafadhili wake wanawekewa mtego halafu na wao bila ya kutafakali mwenendo mzima kwanza wanajiingiza kichwa kichwa kwenye meat grinder ya jeshi la Urusi. Nawasikitikia sana sana,ya Syria yatakuja kujirudia tena Ukraine.
 
Mkuu, hakuna haja ya kiandikia mate wakati wino hupo, tuvute subira mpaka December/January tuone jeshi la Zelensky,mamuluki wake, jeshi la NATO/US walio vaa sare za jeshi Ukraine, wakati huo wa winter watakuwa wanatoa visingizio gani watakapo nyukwa vilivyo na jeshi mahili la Putin - Zelensky na wafadhili wake wanawekewa mtego halafu na wao bila ya kutafakali mwenendo mzima kwanza wanajiingiza kichwa kichwa kwenye meat grinder ya jeshi la Urusi. Nawasikitikia sana sana,ya Syria yatakuja kujirudia tena Ukraine.
Sawa Kaka December sio mbali Ila usije kulikimbia jukwaa.

Halafu acheni kutafuta visingizio vya kushindwa, Ukraine hakuna wanajeshi wa NATO,Russia anapigana na Ukraine Peke yake inayosaidiwa silaha na baadhi ya nchi NATO ni Russia Vs Ukraine.

Kuhusu uniform kuna wanajeshi wa Ukraine kibao wamevaa sare za jeshi la Uturuki,kwahiyo unataka kusema Turkey anapigana na Russia kule Ukraine?! Hizo uniform Ukraine wamesaidiwa na nchi washirika na wakati huu wa baridi kuna nchi zimeanza kupeleka uniform maalum za majira ya baridi moja wapo ni Latvia.
 
Duh we jamaa una tathmini za vijiweni kabisa. Air force ya Russia unajua ina ndege ngapi hadi leo utwambie 50% yake imekwenda na maji?

Wanapenda penda ku-exaggerate mambo sijui kwa nini?? After all, Urusi wala haijatumia Air force yake kikamilifu for a good reason - lakini waswahili hapa wanakuja na adithi za kubuni tu - eti Air force ya Urusi imepukutishwa - yaani hata video clips za war games wanazichukulia kama ni real thing sio virtual - tutashuhudia mengi mwaka huu, lakini kikubwa zaidi kuna mashabeki watapata ugonjwa wa moyo pindi jeshi la Zelensky na wafadhili wake wote watakapo thibitiwa kwa kipigo kitakatifu - omba Warusi uwasikie kwenye Radio/TV na sio kukutana nao ana kwa ana - endeleeni kuwakashfu,wabeza na dharau juu,lakini kumbukeni historia hata akina Alexander the Great,Ottman Empire,Napolean Bonaparte,Hitler,ISIS/Daesh wakusaidiwa na US na UK huko Syria - wote tajwa hapo juu kulitokea nini walipo jaribu kupimana nguvu na Urusi - wote waliishia kwenye kapu la historia ya vita wakiwa wameshindwa vibaya sana - sasa nini kinawapa imani kwamba safari hii mambo yatakuwa tofauti kidogo? Someni historia ya kweli kuhusu masuala ya vita sio mnakimbilia kudhani HIMARS na Javelline are cure all like Asprin/Panadol, oh, one more thing wajuzi wa mambo Duniani including western World wanakwambia wanawakumbusha kwamba historia uonyesha/dhiilisha kwamba normally Russians never starts war, but they know how to end it - ni kweli, na ushahidi upo, semeni mnayo taka lakini ukweli utabaki kuwa ukweli daima duni.
 
Back
Top Bottom