Urusi yaapa kurudisha maeneo yote yaliyotekwa na Ukraine

Urusi yaapa kurudisha maeneo yote yaliyotekwa na Ukraine

Mimi simuamini Putin tena sijui hao majenerali wanafanyaje kazi na mtu wa aina hiyo.
Mpaka sasa wanajeshi zaidi ya elfu 60wamepoteza maisha Ukraine.
Warusi kama wana akili timamu wamgeuzie kibao Putin badala ya kupigana na Ukraine🤔
Wewe ngoja kituo kinachofuata, litachafuka Jitu kwa kichapo mpaka ubaki domo wazi
 
Yaani wewe kwa dhati kabisa unaamini kuwa Kherson ni sehemu ya Urusi kwa sababu eti Putin katia saini sehemu?
Kwa yaliyofanyika tukubaliane kwa ukweli. Kukataa kwetu hakubadilishi mazingira. Tusiyatambue hakubadilishi mazingira. Tayari hayo majimbo yameshajiunga Russia na Russia imelitambua hilo na kwa sasa ni sehemu ya Russia na kwa ujumla ndipo mipaka ya nchi ya Russia itakapoishia kuchorwa.

Huu mgogoro tusiangalie matokeo yake tu bali tuungazie wote kwa ujumla! Laiti Ukraine isingelikuwa inawabagua raia wake wenye asili ya Urusi na kuheshimu haki zao, tamaduni zao na uhuru wao haya ambayo unailaumu Russia yasingelitokea.

Mbaya zaidi hizi nchi zina historia ya muingiliano. Majimbo yenye wakazi wa Russia kwa historia ya jamii ya Slavic viongozi wa Russia waliwapatia Ukraine Kama zawadi kwa kuimega kutoka sehemu ya Urusi kwa sababu wote ni jamii moja hawa yaani Slavic. Ikiwa historia mama inatambua hivyo kwa namna yoyote ile bado Russia itahisi ina mafungamano na hayo majimbo.

Kwa ufupi mpaka tumefikia hapa ni ujinga wa viongozi wa Ukraine. Uikandamize watu wako kwenye jamii yako hususani jamii yenye makabila tofauti. Ukipendelea moja na wengine ukiwashurutisha matokeo yanafahamika yatakuwaje!
 
Labda nikusaidie kidogo - chunga sana propaganda za kitoto zinazo sambazwa na inept western media - hawaelezi ukweli kwamba wanajeshi wa Urusi wanao pigana front line hawazidi 200,000 hao ndio wako Ukraine wakipigana bega kwa bega na wana mgamb.

Kwa taarifa yako idadi kamili ya wanajeshi wa Urusi ni 2,500,000 (millioni mbili na nusu),mpaka sasa Putin hajatangaza vita kamili - siku akihamua kutangaza Ukraine nzima itakuwa haikaliki nawabieni, hakuna cha: Jeshi la Zelensky,mamuluki wa magharibi au wanajeshi wa NATO/US walio valia sare za jeshi la Ukraine wataweza kupambana ana kwa ana na jeshi la Urusi wakalishinda -wote watanyonyolewa manyoya na Putin, watakao pona watakwenda makwao kusimulia ubaya wa vita.
- umeandika mengi lakini Putin amefeli mpaka sasa
 
Kama ni kuapa mbona warusi WA buza mtaapa Sana ? ,na bado kuna brand new mashine za kazi zinashuka hapo Ukraine kuanzia mwishoni mwa wiki ijayo toka Kwa Uncle Sam ndio mtajua hamjui .
Kama Himars chache Tu zimewanyoosha hivi jiandaeni kukutana na dhahama , mtapigwa na vitu vizito kichwani mithili ya "mwana ukome" ili iwe funzo na onyo .
 
Labda nikusaidie kidogo - chunga sana propaganda za kitoto zinazo sambazwa na inept western media - hawaelezi ukweli kwamba wanajeshi wa Urusi wanao pigana front line hawazidi 200,000 hao ndio wako Ukraine wakipigana bega kwa bega na wana mgamb.

Kwa taarifa yako idadi kamili ya wanajeshi wa Urusi ni 2,500,000 (millioni mbili na nusu),mpaka sasa Putin hajatangaza vita kamili - siku akihamua kutangaza Ukraine nzima itakuwa haikaliki nawabieni, hakuna cha: Jeshi la Zelensky,mamuluki wa magharibi au wanajeshi wa NATO/US walio valia sare za jeshi la Ukraine wataweza kupambana ana kwa ana na jeshi la Urusi wakalishinda -wote watanyonyolewa manyoya na Putin, watakao pona watakwenda makwao kusimulia ubaya wa vita.
Mrusi WA mchambawima ,endelea Kuota hivyo hivyo , kama wameletwa spetnaz wamelambishwa mchanga wiki iliyopita we sijui unaongea rubbish gani ,aisee Ukraine mlidhania ni Burundi sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mashine zinakuja mtaona balaa lake kuanzia wiki ijayo mwishoni
 
A typical
Mimi simuamini Putin tena sijui hao majenerali wanafanyaje kazi na mtu wa aina hiyo.
Mpaka sasa wanajeshi zaidi ya elfu 60wamepoteza maisha Ukraine.
Warusi kama wana akili timamu wamgeuzie kibao Putin badala ya kupigana na Ukraine🤔
A typical Tanzanian....a lot of blah blah...no analysis but too much shouting....and no substance at all in regards to argument...
 
A typical
A typical Tanzanian....a lot of blah blah...no analysis but too much shouting....and no substance at all in regards to argument...
Most of Tanzanians they frontier chokolization that make them be like fool's on the other part of the planetarium, give them lecturing may be they will understand the meaning
 
Hii vita mwambie Russia itakuwa active hata Kwa miaka 10 ijayo. Russia alipga hesabu zake vibaya.

Biden kama Putin angejua kinachofuatia asingejiingiza kwenye hii vita. Kwa hizi fedha zinazotokewa na USA kusuport hii vita Russia ajiandae uchumi wake kuporomoka vya kutosha !

Wanachokifanya westerners ni kumuharibia Putin uchumi wake kupitia vita!

Wiki hii Jeshi la Urusi limepita Hadi mitaaani kushinikiza vijana waingie jeshini lakini wamekutwa wengi hawana sifa za Jeshi. Sasa itakuaje baada ya miaka miwili au mitatu ?




Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Bahati mbaya umeliangalia kwenye angle moja.

Hii vita imekusanya vita ya aina 2.
(1) Ni vita ya kuvunja unipolar system
(2) Ni vita ya kuvunja uchumi

Na gurudumu ya hayo ya juu ni hii SMO Russia anayoiendesha. Lengo la Russia ni hayo yote 2. Hivyo operation haiwezi kwenda haraka. Kwa vikwazo alivyowekewa Russia kwa short term hasara kwa Russia kwa long term ni faida kwa Russia. Kwa sababu Russia ina vitu ambavyo dunia inavihitaji. Kwa namna yoyote tu mtarudi kwake.

Aliwekewa vikwazo kwenye fertilizer wamerudi kwake na wananunua tani kwa tani. US bado ananunua Uranium kwa kiasi kikubwa Russia kwani ndipo uhai wa vinu vyake vya nuclear. EU wamemuwekea vikwazo kweenye gas haijapita muda wamerudi kwake na kuilipia kwa pesa ya Russia. Walimwekea vikwazo kwenye mafuta mpaka sasa hakuna watu wanaoongoza kununua mafuta Russia kama nchi zilizomwekea vikwazo.

Kwa kuona Russia anapata faida zaidi kwenye mafuta wakapanga kuweka bei elekezi kwa mzalishaji ambaye ni Russia. Jana OPEC wametoa tamko lao wamepunguza kiasi cha uzalishaji wa mafuta kwa siku pipa million 2. Bado itakuwa ni faida kwa Russia! Bei elekezi haina maana kwa namna hiyo!

Hivyo huu mtanange kadri unavyozidi kwenda ndivyo unavyozidi kuwa faida kwa Russia. Kwa nini auwahishe kuumaliza wakati faida zaidi inakuwa kwake na EU uchumi wake unazidi kuporomoka?

Russia amewapa EU gas ndogo sana! Viwanda vikubwa vinafungwa, ni uchumi kuporomoka.

Ngoja niishie hapa nina majukumu mengine. Ila Russia ana clock na time kwenye huu mgogoro!

Ila kingine ambacho unachopaswa ujue: Nchi zilizopitia Ukomonisti au ujamaa zina uzalendo zaidi kuliko unavyofikiri. Raia wengi wamejitokeza kwa mapenzi yao kujiunga na jeshi baada tu ya kutangazwa. Na kwa nchi ya Russia kama hujui raia anapitia jeshini kama kwetu JKT. Walikataliwa ama kutokuwa na sifa ni wanafunzi waliyoko mavyuoni. Hawa ilitangazwa hawatoruhusiwa kujiunga katika jeshi inawabidi waendelee na masomo.
 
Na bado - akiwageuzia kibao wale wote wanao mbeza beza wataanza kumtafuta kwa udi na uvumba na aibu juu, ni suala la muda tu - kabla ya January Zelensky na familia yake watakua wamekwisha kimbilia uhamishoni Miami Florida kwenye Mansion yake - amekwisha tajirika kupitia dubious deals zake za uuuzaji silaha nk. Zelensky hana uchungu wowote kuhusu Taifa la Ukraine wala Waukraine wenzake.
Utaweweseka mpaka ukome mlisema masaa 72 mnaichukua kyiv baada ya kichapo kikali mmehamia kuongeza muda mtapigwa kichapo cha mbwa koko kuanzia donbas hadi humu jf
Zelensky piga mbwaa haoo
 
Back
Top Bottom