Poor Kenyans don't know what is going on.. They just condemn on trivial mattersMost of Tanzanians they frontier chokolization that make them be like fool's on the other part of the planetarium, give them lecturing may be they will understand the meaning
Sema unachotaka, mnacho sahau ni kwamba "Ivan the terrible" si binadamu wa kuchukulia kimzaaa zaa hata kidogo - atakuja kuwashangaza wengi - nawakumbuseni kila mara kwamba Putin kapeleka wanajeshi 200,000 tu wa Urusi kwenda Ukraine - bado ana akiba ya wananajeshi karibu 2.3 millioni na zana zao nzito zaidi ambazo kaziweka kiporo kuwasubiri NATO/US wafanye fyoko - hapo ndipo mtatambua umahili wa jeshi la Urusi - msione hawasemi mengi mkadhani ni mbumbumbu - nyie subirini tu NATO/US wa-cross threshold walio jiwekea wao -patachimbika nawambieni - jamaa watatimka kushinda mbio walizo timuka huko VietNam,Kabul Afghanistan na Syria, likumbekeni sana hilo.
Hakuna lolote labda awalete wachinjwe na Himars Tu basi na kuchomwa mishkaki na vijana WA Azov battalion ,Maana wanatembeza kipondo hao si poa .Muulize huyo mnywa ulanzi wenu Putin habari anayo
Na wale makomando uchwara wenu na Ile misululu ya km 70 kuelekea Kiev sijui ilishia wapi ,yaani nikikaa na kukumbuka nacheka Sana , [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imagine vifaru ,malori , makomando kipensi , dah halafu kipindi like hata Himars hazikuwepo pale Ukraine , Imagine javellins Tu zikawaponda ponda kama nyanya mbichi mkapoteana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Urusi ni kilaza hata alete jeshi lake Zima pale wanachinjwa kama kuku nakwambia . Huwezi kuwa na jeshi la watu wapuuz ,undisciplined wanaiba washing machines ,nguo na vyakula wanapakia kwenye malori halafu unasema Una jeshi ,lazima uwe kichaa mwenye kamasi kichwani .
Jeshi ambalo halina strategy wala logistics za kueleweka ,linaendeshwa kama mgambo , na hii mentality ya kusacrifice watu kwenye battle field bila strategy na logistics za kueleweka ndio iliyosababisha Russia kupoteza wanajeshi wengi hata WW2 dhidi ya Nazi Germany ,kuna kipindi mpaka walikuwa wanaishiwa mpaka vitu bafic kama risasi na chakula ,wanakula mizoga ya farasi waliofia battle front ,too bad hawajabadilika mpaka leo na kuendana na modern military strategies ,yaani hii vita imeexpose weakness nyingi Sana za wale wanamgambo WA Russia ,hamna kitu pale .
Vita ni actions ,plans ,strategies na logistics si bla bla bla za kipuuz kama za hao wanywa gongo wenu toka Urusi
Wewe hiyo idadi ya 2.3 million umeitoa wapi?!
Putin orders Russia to increase size of armed forces by 137,000
President orders Russian military to increase its number of soldiers to a total of 1.15 million.
The decree issued on Thursday will boost the overall number of Russian military personnel to 2,039,758, including 1,150,628 servicemen. A previous order put the military’s numbers at 1,902,758 and 1,013,628 respectively at the start of 2018.
Tatizo Lenu mna mentality za enzi ya kale kwamba ukiwa na wanajeshi wengi eti ndo umeshinda Vita wakati siku hizi mambo yamebadilika, technology ndo kila kitu. Huo ubora na mbinu za wanajeshi wa Russia tungeuona kule Ukraine,Putin maneno mengi kusifia zana za vita za Russia lakini zikija kwenye uwanja wa Vita hazina tofauti na mandonga Mtu kazi. Zile defense systems mlizokua mnazisifia humu ziko wapi, Makombora ya HIMARS kila siku yanabomoa command posts,Crimea kwenye kambi kubwa ya jeshi kunashambuliwa,maghala ya silaha yanashambuliwa,huko Kherson supply lines karibu zote zimeshambuliwa...au mnazizima kama mnavyojiteteaga kila siku?!
Halafu ww si ndo mmoja wa waliokua wanasema Ukraine kakomboa centimetres ngapi?! Vipi hali unaionaje ss hv?![emoji38]
Sawa Kaka December sio mbali Ila usije kulikimbia jukwaa.Mkuu, hakuna haja ya kiandikia mate wakati wino hupo, tuvute subira mpaka December/January tuone jeshi la Zelensky,mamuluki wake, jeshi la NATO/US walio vaa sare za jeshi Ukraine, wakati huo wa winter watakuwa wanatoa visingizio gani watakapo nyukwa vilivyo na jeshi mahili la Putin - Zelensky na wafadhili wake wanawekewa mtego halafu na wao bila ya kutafakali mwenendo mzima kwanza wanajiingiza kichwa kichwa kwenye meat grinder ya jeshi la Urusi. Nawasikitikia sana sana,ya Syria yatakuja kujirudia tena Ukraine.
Duh we jamaa una tathmini za vijiweni kabisa. Air force ya Russia unajua ina ndege ngapi hadi leo utwambie 50% yake imekwenda na maji?alikuwa anategemea air forces ambazo kwa sasa zimepukutishwa kwa zaidi ya 50%.
Kina ZELE ndege zinadondoahwa dailyDuh we jamaa una tathmini za vijiweni kabisa. Air force ya Russia unajua ina ndege ngapi hadi leo utwambie 50% yake imekwenda na maji?
By the way usiku huu Russia kaanza kampeni ya kurejea alikotoka kimkakati yupo Luhansk
Duh we jamaa una tathmini za vijiweni kabisa. Air force ya Russia unajua ina ndege ngapi hadi leo utwambie 50% yake imekwenda na maji?