witzone2
JF-Expert Member
- Jan 14, 2022
- 797
- 1,739
Na Sasa hivi inabidi asitishe ili kugaramia vita. Make garama yake si mchezo. Anachoma huko gasi soko limeyumba sanaHizi si ndio kwanza wanazitengeneza? Ni wapi alipofunga hizi S 500?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Sasa hivi inabidi asitishe ili kugaramia vita. Make garama yake si mchezo. Anachoma huko gasi soko limeyumba sanaHizi si ndio kwanza wanazitengeneza? Ni wapi alipofunga hizi S 500?
Kwa sababu nduli alikuwa na vinasaba vya kidikteta,russia mbwa kabisa.kama ni misaad western inatoa mingi sana kuliko urusi, kwenye budget support kila mwaka western countries zinasaidia Africa na nchi zingine za dunia, budget ya afya ya Tz kwa zaidi ya 60% inafadhiliwa na wahisani halaf urusi wakati wa vita ya idd amin na Tz si ilikuwa ikimsupport idd amin?
Kupigana wapigane wengine na kwengine kabisa nyie mlalamike njaa
Hii SMO imekuja mahsusi ili mjitambue mkishindwa kujitambua hapa musahau kama mutakuja kujitambua tena
Yaani hao wanaopigana hawaliilii njaa kama ninyi
Wenzenu wanapigana kwamaslahi yao nyie kelele na laana zenu hazitasaidia kitu wala hazitaleta matokeo yeyote
Mnalaumu wanaowaongoza kwakutokujua ama kutojitambua
Laana zenu hazitaifikia RUSSIA wala tunaoisapoti hizo ama hayo maneno yamfa maji tuuuu
Mwisho:-tunaunga mkono SMO ya RUSSIA kwanguvu zote na Mungu asimame nao wazidi kufanikisha malengo yao haraka iwezekano eeeh Muumba wasaidie RUSSIA
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ni international platform ,itakuwa umepotea njia bossMngemalizana kwanza na kadhia ya uchaguzi na njaa nchini mwenu ingekuwa poa
Utumwa ulifanyika duniab kote , kutoiona urusi kweny elimu yako isikutie uchiz kuhis hawakufanya utumwa , Utumwa ilikuwa ni lifestyle ya zama hizo sabab viwanda havikutegemea mashine za umeme ( kisasa ) angaliaga hata muvi zao huko Asia na Ulaya zinaelezea vzr tu .Nimeamua kukujib hiyo hoja ila hoja zilizobakia majibu unayoKila siku nawakumbusheni VietNam na Afghanistan lakini mnajifanya kusahau/puuzia, masaa yote mnaikandia Urusi as if iliwahi kumiliki makoloni Barani Afrika au kumiliki black slaves unlike the US and European Nations, Warusi walisaidia sana mataifa mengi ya Africa kujikomboa dhidi ya utawala wa ukoloni hilo wala hamlikumbuki.
wamuachie andunje kuturudisha zama za ukoloni tulizotoka ? yaan mtu avamie na aigeuza ardhi ya wengine iwe sehen yake , wanaosapoti hii ni yale ma primitive mazuzHao wenye dunia yao wanawatoa watu kafara kwa manufaa yao....kumbe hadi wazungu wajinga tu
ulitaka dunia ikae pemben kuona Urusi anavyourudisha ukoloni kweny karne ya 21 ? mnaoshabikia Putin wengi wenu upeo wenu ni mfupi sana hamuoni mbali , ukolon ulianza hv hv mmoja kaja Afrika kajimegea mwingine kaja na mwingine then wakakaa kikao kutugawaNi akili hauna au? Ukraine Hana uwezo wake kupigana na Russia ..inamaana huoni misaada ya wazi wazi anayopewa
anamlinda Assad kwa maslai gan ? ya wananchi wa Syria au ya wananchi wa Urusi ? Hlf mvaa kobaz mweny ngoz ya .... yupo bize kumshabikia Huyu AndunjeUsichokijua ni kuwa kwenye base za za russia nchini syria kuna S400 na kama unavyoijua iyo air defence inadaka adi mchele sasa iyo s300 tumeitoa apo syria kwakuwa tayari mission completed hakuna tena tishio la kutolewa assad madarakani
ww mweny job unafany nn huku ?Jobless
USA inaeza kumuondoa Assad ila gharama zao zitarud ? hiyo ndo inshu , gharama inaeza kuwa kubwa hlf hakuna marejesho , Urusi hanaga mahesab kila kitu mputa mputaHana huo uwezo urusi haijataka
you among themNchi ina vijana wa ovyo wengi sana
ulitak tumuache bwana ako Putin aturudishe zama za ukolon ?Bila vikwazo vya west kwa urusi maisha yangekuwa kawaida
Hahaha kwa hiyo kila kilichoandikwa kwa kiingereza unaamini ?Hiki kifaa kilikua kinalinda Sysria dhidi ya mashambulizi ya angani, ila sasa Mrusi kwa mapigo anayopokea Ukraine ameanza harakati za kunyang'anya wadau aliokua amewapa silaha za aina tofauti, anazirejesha ili walau zimsaidie kupunguza balaa wanazopokea....
![]()
Satellite imagery confirmed Russia redeployed an S-300 surface-to-air missile (SAM) system from Syria, and observers believe the battery is already in transit through the Black Sea to support Russia’s war in Ukraine.
This battery, in particular, arrived in 2018 and was something of a gift to Syrian strongman Bashar Al Assad. It was declared a much-needed upgrade of Syria's ancient, and in some cases dangerous, air defense system. It was not located at Russia's airbase south of Latakia or its prized naval port in Tartus, multiple advanced air defense systems remain at these locations protecting Russian interests. Instead, it sat inland and was supposed to protect critical Syrian targets. While it was claimed to be a Syrian system, in the years that have passed, it became clear that Russia retained control of it. Now Moscow appears to have taken its 'gift' back and shipped it off to the Black Sea.
MSN
www.msn.com
ukute unaish kwa shemej yakoKupigana wapigane wengine na kwengine kabisa nyie mlalamike njaa
Hii SMO imekuja mahsusi ili mjitambue mkishindwa kujitambua hapa musahau kama mutakuja kujitambua tena
Yaani hao wanaopigana hawaliilii njaa kama ninyi
Wenzenu wanapigana kwamaslahi yao nyie kelele na laana zenu hazitasaidia kitu wala hazitaleta matokeo yeyote
Mnalaumu wanaowaongoza kwakutokujua ama kutojitambua
Laana zenu hazitaifikia RUSSIA wala tunaoisapoti hizo ama hayo maneno yamfa maji tuuuu
Mwisho:-tunaunga mkono SMO ya RUSSIA kwanguvu zote na Mungu asimame nao wazidi kufanikisha malengo yao haraka iwezekano eeeh Muumba wasaidie RUSSIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii haijaingia kwenye Combat ndio kwanza inatengenezwa.Na kutokana na vikwazo huenda zoezi lisikamilike🤔![]()
Russia Puts New S-500 Air Defense Missile System into Mass Production
Russia has put its next-generation version of the mobile S-500 air defense system into mass production. The announcement came from Yan Novikov, whocaspiannews.com
Nadhani Habari yako si kweli kwasababu Russia sasa kashusha mzigo S 500 ambayo ni new technology hawezi kujiangaisha na S 300 ambayo ni technology ya zamani.
View attachment 2337268
Sijapotea njia nimemshauri mambo ya nchini mwake ambayo bado ni international issueshii ni international platform ,itakuwa umepotea njia boss
Hahaha kwa hiyo kila kilichoandikwa kwa kiingereza unaamini ?
Ni sawa na kusema Kiwanda cha Samsung kaishiwa na simu ya kutumia kaja kukunyang'anya S5 yako hahaha
ww mweny job unafany nn huku ?
Nasikitika mtu alikuweka miezi Tisa tumboni Toto limezaliwa Hadi linajua ingia jf ni kilaza zero brain, ..hujielewi marekani kaua wangapi , marekani kafanya mangapi umeona urusi tu unajua chanzo ni nini ? Embu kakue Kwanza ..ungefanyiwaga tu abortion wewe huna faidaulitaka dunia ikae pemben kuona Urusi anavyourudisha ukoloni kweny karne ya 21 ? mnaoshabikia Putin wengi wenu upeo wenu ni mfupi sana hamuoni mbali , ukolon ulianza hv hv mmoja kaja Afrika kajimegea mwingine kaja na mwingine then wakakaa kikao kutugawa
Labda muumba mikunduh.Kupigana wapigane wengine na kwengine kabisa nyie mlalamike njaa
Hii SMO imekuja mahsusi ili mjitambue mkishindwa kujitambua hapa musahau kama mutakuja kujitambua tena
Yaani hao wanaopigana hawaliilii njaa kama ninyi
Wenzenu wanapigana kwamaslahi yao nyie kelele na laana zenu hazitasaidia kitu wala hazitaleta matokeo yeyote
Mnalaumu wanaowaongoza kwakutokujua ama kutojitambua
Laana zenu hazitaifikia RUSSIA wala tunaoisapoti hizo ama hayo maneno yamfa maji tuuuu
Mwisho:-tunaunga mkono SMO ya RUSSIA kwanguvu zote na Mungu asimame nao wazidi kufanikisha malengo yao haraka iwezekano eeeh Muumba wasaidie RUSSIA
Sent using Jamii Forums mobile app