The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
Jibu mada njaa ya jirani una kuuma nini we?Mngemalizana kwanza na kadhia ya uchaguzi na njaa nchini mwenu ingekuwa poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu mada njaa ya jirani una kuuma nini we?Mngemalizana kwanza na kadhia ya uchaguzi na njaa nchini mwenu ingekuwa poa
Hujui chochote Russia kashapita S500 Sasa hivi anatengeneza s550Hii haijaingia kwenye Combat ndio kwanza inatengenezwa.Na kutokana na vikwazo huenda zoezi lisikamilike[emoji848]
Hizi S-500 zipo deployed wapi kwenye Combat?Hujui chochote Russia kashapita S500 Sasa hivi anatengeneza s550
Huyo anaechoshwa akichoka,hao wachoshaji watakua wanatambaa.Wenye dunia Yao wamepanga vita hii ifike Hadi December ili kumchosha huyu dikteta uchwara.
wanajua mpaka kufika December mifupa yote itaonekana
Kataarifa ka blog fkan ya uchochoroni huko, kama ni hivyo anga lote la Syria lingekuwa limefunikwa na vivuli vya ndege za Israel 😅😅😅 madude yoote haya akachuku vidude viwili tu vya Syria?Hiki kifaa kilikua kinalinda Sysria dhidi ya mashambulizi ya angani, ila sasa Mrusi kwa mapigo anayopokea Ukraine ameanza harakati za kunyang'anya wadau aliokua amewapa silaha za aina tofauti, anazirejesha ili walau zimsaidie kupunguza balaa wanazopokea....
![]()
Satellite imagery confirmed Russia redeployed an S-300 surface-to-air missile (SAM) system from Syria, and observers believe the battery is already in transit through the Black Sea to support Russia’s war in Ukraine.
This battery, in particular, arrived in 2018 and was something of a gift to Syrian strongman Bashar Al Assad. It was declared a much-needed upgrade of Syria's ancient, and in some cases dangerous, air defense system. It was not located at Russia's airbase south of Latakia or its prized naval port in Tartus, multiple advanced air defense systems remain at these locations protecting Russian interests. Instead, it sat inland and was supposed to protect critical Syrian targets. While it was claimed to be a Syrian system, in the years that have passed, it became clear that Russia retained control of it. Now Moscow appears to have taken its 'gift' back and shipped it off to the Black Sea.
MSN
www.msn.com
Sio kila mzee anabusara wengine wapumbavuKila siku nawakumbusheni VietNam na Afghanistan lakini mnajifanya kusahau/puuzia, masaa yote mnaikandia Urusi as if iliwahi kumiliki makoloni Barani Afrika au kumiliki black slaves unlike the US and European Nations, Warusi walisaidia sana mataifa mengi ya Africa kujikomboa dhidi ya utawala wa ukoloni hilo wala hamlikumbuki.
Unateseka ukiwa wa dada?Ni akili hauna au? Ukraine Hana uwezo wake kupigana na Russia ..inamaana huoni misaada ya wazi wazi anayopewa
Umeleelewa maana ya total production?! Hapo ni jumla ya systems zote ambazo zilitengenezwa,zipo Russia pamoja na nchi nyinginezo ikiwemo za NATO.Kataarifa ka blog fkan ya uchochoroni huko, kama ni hivyo anga lote la Syria lingekuwa limefunikwa na vivuli vya ndege za Israel [emoji28][emoji28][emoji28] madude yoote haya akachuku vidude viwili tu vya Syria?
unajua kwann platform zimetofautishwa ? au unahis wajinga walioamua kuitenga hii platformSijapotea njia nimemshauri mambo ya nchini mwake ambayo bado ni international issues
we si kaz yako kushikiria dela ulopewa na Juma NyossoNaangalia namna unatingisha ukitembea
hujion ulivyo chiz , yaan matukio ya marekan ndo kibali cha nchi nyingine kuua raia wema ? ungekuwa timamu ungetoa sabab za msingi kumtetea Urusi , kuitaja Marekan inaonesha ni ukichaa grade 1 yaan marekan wakifiran@ na nyiny mtafiran@?Nasikitika mtu alikuweka miezi Tisa tumboni Toto limezaliwa Hadi linajua ingia jf ni kilaza zero brain, ..hujielewi marekani kaua wangapi , marekani kafanya mangapi umeona urusi tu unajua chanzo ni nini ? Embu kakue Kwanza ..ungefanyiwaga tu abortion wewe huna faida
Ndo bwana akowe si kaz yako kushikiria dela ulopewa na Juma Nyosso
Hao wasirane wasisirane wewe bado utaendelea sirwahujion ulivyo chiz , yaan matukio ya marekan ndo kibali cha nchi nyingine kuua raia wema ? ungekuwa timamu ungetoa sabab za msingi kumtetea Urusi , kuitaja Marekan inaonesha ni ukichaa grade 1 yaan marekan wakifiran@ na nyiny mtafiran@?