Urusi yainyang'anya Syria ile zawadi ya S-300 SAM, waipeleka Ukraine maana hali noma

Urusi yainyang'anya Syria ile zawadi ya S-300 SAM, waipeleka Ukraine maana hali noma

Hiki kifaa kilikua kinalinda Sysria dhidi ya mashambulizi ya angani, ila sasa Mrusi kwa mapigo anayopokea Ukraine ameanza harakati za kunyang'anya wadau aliokua amewapa silaha za aina tofauti, anazirejesha ili walau zimsaidie kupunguza balaa wanazopokea....


AA11aRiM.img

Satellite imagery confirmed Russia redeployed an S-300 surface-to-air missile (SAM) system from Syria, and observers believe the battery is already in transit through the Black Sea to support Russia’s war in Ukraine.
This battery, in particular, arrived in 2018 and was something of a gift to Syrian strongman Bashar Al Assad. It was declared a much-needed upgrade of Syria's ancient, and in some cases dangerous, air defense system. It was not located at Russia's airbase south of Latakia or its prized naval port in Tartus, multiple advanced air defense systems remain at these locations protecting Russian interests. Instead, it sat inland and was supposed to protect critical Syrian targets. While it was claimed to be a Syrian system, in the years that have passed, it became clear that Russia retained control of it. Now Moscow appears to have taken its 'gift' back and shipped it off to the Black Sea.
Kataarifa ka blog fkan ya uchochoroni huko, kama ni hivyo anga lote la Syria lingekuwa limefunikwa na vivuli vya ndege za Israel 😅😅😅 madude yoote haya akachuku vidude viwili tu vya Syria?
 

Attachments

  • 20220829_125246.jpg
    20220829_125246.jpg
    151 KB · Views: 2
Kila siku nawakumbusheni VietNam na Afghanistan lakini mnajifanya kusahau/puuzia, masaa yote mnaikandia Urusi as if iliwahi kumiliki makoloni Barani Afrika au kumiliki black slaves unlike the US and European Nations, Warusi walisaidia sana mataifa mengi ya Africa kujikomboa dhidi ya utawala wa ukoloni hilo wala hamlikumbuki.
Sio kila mzee anabusara wengine wapumbavu
 
Kataarifa ka blog fkan ya uchochoroni huko, kama ni hivyo anga lote la Syria lingekuwa limefunikwa na vivuli vya ndege za Israel [emoji28][emoji28][emoji28] madude yoote haya akachuku vidude viwili tu vya Syria?
Umeleelewa maana ya total production?! Hapo ni jumla ya systems zote ambazo zilitengenezwa,zipo Russia pamoja na nchi nyinginezo ikiwemo za NATO.
 
Sijapotea njia nimemshauri mambo ya nchini mwake ambayo bado ni international issues
unajua kwann platform zimetofautishwa ? au unahis wajinga walioamua kuitenga hii platform
 
Nasikitika mtu alikuweka miezi Tisa tumboni Toto limezaliwa Hadi linajua ingia jf ni kilaza zero brain, ..hujielewi marekani kaua wangapi , marekani kafanya mangapi umeona urusi tu unajua chanzo ni nini ? Embu kakue Kwanza ..ungefanyiwaga tu abortion wewe huna faida
hujion ulivyo chiz , yaan matukio ya marekan ndo kibali cha nchi nyingine kuua raia wema ? ungekuwa timamu ungetoa sabab za msingi kumtetea Urusi , kuitaja Marekan inaonesha ni ukichaa grade 1 yaan marekan wakifiran@ na nyiny mtafiran@?
 
hujion ulivyo chiz , yaan matukio ya marekan ndo kibali cha nchi nyingine kuua raia wema ? ungekuwa timamu ungetoa sabab za msingi kumtetea Urusi , kuitaja Marekan inaonesha ni ukichaa grade 1 yaan marekan wakifiran@ na nyiny mtafiran@?
Hao wasirane wasisirane wewe bado utaendelea sirwa
 
Back
Top Bottom