Urusi yainyang'anya Syria ile zawadi ya S-300 SAM, waipeleka Ukraine maana hali noma

Kwa sababu nduli alikuwa na vinasaba vya kidikteta,russia mbwa kabisa.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 

Japo Warusi sio watu wa akbar akbar takbir, mnatofautiana kwenye imani...
 
Utumwa ulifanyika duniab kote , kutoiona urusi kweny elimu yako isikutie uchiz kuhis hawakufanya utumwa , Utumwa ilikuwa ni lifestyle ya zama hizo sabab viwanda havikutegemea mashine za umeme ( kisasa ) angaliaga hata muvi zao huko Asia na Ulaya zinaelezea vzr tu .Nimeamua kukujib hiyo hoja ila hoja zilizobakia majibu unayo
 
Hao wenye dunia yao wanawatoa watu kafara kwa manufaa yao....kumbe hadi wazungu wajinga tu
wamuachie andunje kuturudisha zama za ukoloni tulizotoka ? yaan mtu avamie na aigeuza ardhi ya wengine iwe sehen yake , wanaosapoti hii ni yale ma primitive mazuz
 
Ni akili hauna au? Ukraine Hana uwezo wake kupigana na Russia ..inamaana huoni misaada ya wazi wazi anayopewa
ulitaka dunia ikae pemben kuona Urusi anavyourudisha ukoloni kweny karne ya 21 ? mnaoshabikia Putin wengi wenu upeo wenu ni mfupi sana hamuoni mbali , ukolon ulianza hv hv mmoja kaja Afrika kajimegea mwingine kaja na mwingine then wakakaa kikao kutugawa
 
Usichokijua ni kuwa kwenye base za za russia nchini syria kuna S400 na kama unavyoijua iyo air defence inadaka adi mchele sasa iyo s300 tumeitoa apo syria kwakuwa tayari mission completed hakuna tena tishio la kutolewa assad madarakani
anamlinda Assad kwa maslai gan ? ya wananchi wa Syria au ya wananchi wa Urusi ? Hlf mvaa kobaz mweny ngoz ya .... yupo bize kumshabikia Huyu Andunje
 
Hahaha kwa hiyo kila kilichoandikwa kwa kiingereza unaamini ?
Ni sawa na kusema Kiwanda cha Samsung kaishiwa na simu ya kutumia kaja kukunyang'anya S5 yako hahaha
 
ukute unaish kwa shemej yako
 
Hii haijaingia kwenye Combat ndio kwanza inatengenezwa.Na kutokana na vikwazo huenda zoezi lisikamilike🤔
 
hii ni international platform ,itakuwa umepotea njia boss
Sijapotea njia nimemshauri mambo ya nchini mwake ambayo bado ni international issues
 
Nasikitika mtu alikuweka miezi Tisa tumboni Toto limezaliwa Hadi linajua ingia jf ni kilaza zero brain, ..hujielewi marekani kaua wangapi , marekani kafanya mangapi umeona urusi tu unajua chanzo ni nini ? Embu kakue Kwanza ..ungefanyiwaga tu abortion wewe huna faida
 
Labda muumba mikunduh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…