Urusi yaituhumu idara ya Ujasusi ya Uingereza MI6 kuunda kikundi cha mauaji kutoka Ukraine dhidi ya viongozi wa Afrika wanaoshirikiana na Russia

Imejen!!.
Et, makomando mia 1 wa kuua viongozi wa Africa!!
Nchi 54, ulete makomando 100 wa kuua Marais wa hizo Nchi!!.

Ukiamini Urusi inachokisema basi upo kwenye levo ya kuamini chochote kile.
 
Mkuu, hivi Ukraine waichukuliaje?

Ukraine ni nchi ya pili kwa ukubwa barani Ulaya baada ya Russia.

Yaani kikosi cha watu 100 ni vigumu kukitayarisha na special missions?
 
Imejen!!.
Et, makomando mia 1 wa kuua viongozi wa Africa!!
Nchi 54, ulete makomando 100 wa kuua Marais wa hizo Nchi!!.

Ukiamini Urusi inachokisema basi upo kwenye levo ya kuamini chochote kile.
Kwani ni lazima utambue kama wote wapo Afrika?

Unafahamu namna hizi operesheni zinavyofanywa usidhani kwamba utakuja kufahamu ni leo au kesho.

Ndo maana kuna kikosi maalum na chaweza kufanya kazi zake kwa miaka kadhaa na kwa mbinu tofautitofauti.

Na pia si nchi zote 54 zahusika ni baadhi ya nchi za Afrika zilizo na ukaribu na Russia au kuonyesha kuiunga mkono waziwazi.
 
Putini aache chokocho na kujifanya na mapenzi na Africa, kama anawapenda Africa apeleke miradi mikubwa ya maendeleo Africa kama walivyoweza Magharibi na US ambapo miradi yote inayotekelezwa 80% inafadhiliwa na magharibi na US.,

Putini ameshindwa kupeleka umeme wa kudumu South Africa wanalala gizani na huyu ni M-Brics mwenzake tena founder analala gizani.
 
Mkuu, hivi Ukraine waichukuliaje?

Ukraine ni nchi ya pili kwa ukubwa barani Ulaya baada ya Russia.

Yaani kikosi cha watu 100 ni vigumu kukitayarisha na special missions?
Wanajes
Mkuu, hivi Ukraine waichukuliaje?

Ukraine ni nchi ya pili kwa ukubwa barani Ulaya baada ya Russia.

Yaani kikosi cha watu 100 ni vigumu kukitayarisha na special missions?
Wanajeshi 100 tena ambao ni special forces ni wengi Sana kwenye battlefield.Manake huwezi kupeleka wanajeshi wa kawaida kwenye special mission🤔
Kuliko kupelekwa kwingine wangepelekwa frontline kumpelekea moto mvamizi.Vinginevyo Putin atuambie kuna kila dalili Ukraine wanashinda vita dhidi ya Urusi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…