Urusi yalaani shambulizi la Israel ubalozi wa Iran nchini Syria na kumuua jenerali wa Iran

Urusi yalaani shambulizi la Israel ubalozi wa Iran nchini Syria na kumuua jenerali wa Iran

Israel anaogopwa kama ukoma urusi ni weupe sana ka ukraine pamoja na kukavamia gafla kanawatesa mpaka leo
Endelea kukaza fuvu mzee baba na story zako za daudi na Goliath....


Biblia inawadanganya sana wajichanganye!


Mpk leo wamewashindwa Hamas wataweza URUSI inayoogopwa na USA 😁😁😁😁
 
Heheeee... ila Mrusi Ni mshenzi sanaa kwa waarabu. Kama waarabu wapo timamu inabidi wampuuze maraa mojaa, maana kumfwata Mrusi hskujawahi wapa matokeo chanyaa.

Niwakumbushee tuu Mrusi ndiye aliyetoa taarifa za uwongo kwa Misri kwamba Israel anataka kuivamia kitu kilichomfanya Misri kumvaa Israel pupa pupa kwenye six day war
 
Endelea kukaza fuvu mzee baba na story zako za daudi na Goliath....


Biblia inawadanganya sana wajichanganye!


Mpk leo wamewashindwa Hamas wataweza URUSI inayoogopwa na USA 😁😁😁😁
Hamas wepi hawa wanaojificha kama panya buku
 
Kupiga ubalozi wa Iran ni mithili ya kushambulia ndani ya taifa la Iran, Israel wameendelea kuua wakuu wa jeshi la Iran, jana wamepiga ubalozi wa Iran na kuua wakuu wa jeshi humo, nilitegemea Iran ifanye kitu cha maana ila ndio hivyo!

================================

Russia condemned an Israeli strike on the Iranian consulate in Syria, called on the Jewish state to cease such "completely unacceptable" actions, and has requested a meeting with the UN Security Council regarding the strike.

The UNSC will hold an open meeting at Russia's request, according to TASS, citing Dmitry Polyansky, Russia’s First Deputy Permanent Representative to the UN.

"After Israel's airstrike on the Iranian consulate in Damascus today, Iranians have turned to the UN Security Council to condemn this action," Polyansky posted on X. "Following their letter, we have requested an open briefing of the UN Security Council. The Maltese presidency has scheduled it for 3:00 p.m. New York time (10 p.m. Moscow time) on April 2."

The strike

Suspected Israeli warplanes bombed Iran's embassy in Syria on Monday in a strike that Iran said killed seven of its military advisers, including three senior commanders, marking a significant escalation in Israel's war with its regional adversaries.

"We strongly condemn this attack on the Iranian consular mission in Syria," Russia's foreign ministry said. "Such aggressive actions by Israel are absolutely unacceptable and must be stopped."

JPost
Sijaona statement yeyote ya kulaani
 
Sijaona statement yeyote ya kulaani

Mod walibadilisha kichwa cha uzi wangu, walichomekea hilo neno kulaani, tena naona walibadilisha maneno ya utangulizi..... Urusi ni mchumba tu kama alivyo Iran
 
Yaani ndio kitu najiuliza, apigwe Iran ila anayelia sana ni Urusi....
Hapo hilo swali mkuu umechemka , huyu ni mshirika wa silaha anazotumia ukrain pia lazima awe na influence
 
Kupiga ubalozi wa Iran ni mithili ya kushambulia ndani ya taifa la Iran, Israel wameendelea kuua wakuu wa jeshi la Iran, jana wamepiga ubalozi wa Iran na kuua wakuu wa jeshi humo, nilitegemea Iran ifanye kitu cha maana ila ndio hivyo!

================================

Russia condemned an Israeli strike on the Iranian consulate in Syria, called on the Jewish state to cease such "completely unacceptable" actions, and has requested a meeting with the UN Security Council regarding the strike.

The UNSC will hold an open meeting at Russia's request, according to TASS, citing Dmitry Polyansky, Russia’s First Deputy Permanent Representative to the UN.

"After Israel's airstrike on the Iranian consulate in Damascus today, Iranians have turned to the UN Security Council to condemn this action," Polyansky posted on X. "Following their letter, we have requested an open briefing of the UN Security Council. The Maltese presidency has scheduled it for 3:00 p.m. New York time (10 p.m. Moscow time) on April 2."

The strike

Suspected Israeli warplanes bombed Iran's embassy in Syria on Monday in a strike that Iran said killed seven of its military advisers, including three senior commanders, marking a significant escalation in Israel's war with its regional adversaries.

"We strongly condemn this attack on the Iranian consular mission in Syria," Russia's foreign ministry said. "Such aggressive actions by Israel are absolutely unacceptable and must be stopped."

JPost
Ni mapema mno kusema Iran hawatafanya lolote,tusubiri.
 
Back
Top Bottom