Urusi yaonya kuhusu uanachama wa Finland katika NATO

Urusi yaonya kuhusu uanachama wa Finland katika NATO

HERY HERNHO

Senior Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
110
Reaction score
458
Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya Kujihami ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua za kiufundi na kimkakati
65227116_803.jpg

Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua.

Msemaji wa ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi habari mjini Moscow kwamba hatua hii ni shambulizi dhidi ya masilahi ya Urusi na wanalazimika kuchukua hatua za kiufundi na kimkakati bila kutoa maelezo zaidi.

Finland imejiunga na NATO leo na kuwa mwanachama wa 31 wa muungano huo wa kijeshi.

Katika taarifa tofauti wizara ya mambo ya nje ya Urusi imesema kwa kujiunga na NATO, Finland imejipoteza yenyewe na uhuru wowote ilionao.

Wizara hiyo pia imesema hatua zaidi za Urusi zitategemea kanuni za NATO kuijumuisha Finland ikiwa ni pamoja na upelekaji wa miundombinu ya kijeshi na mifumo ya silaza za mashambulizi katika himaya yake.
 
Kwa hiyo siku hizi nchi yoyote ikitaka kujiunga na jumuiya yoyote lazima iombe kibali toka Moscow...!!!

Itachukua muda mrefu sana kwa hawa warussia kuja kuwa na akili kwani kutawaliwa na madikteta ni shida sana, akili zenu zote lazima msalimishe kwake.
 
Umejifunzia wapi na utafiti wako umeufanyia wapi??
nilichojifunza na nimefanyia utafiti wanoiunga wote mkono marekani ni mashoga na wente chembechembe za ushoga sababu kule sheria za kupakuana ruksa hivyo wanajificha katika kichaka hicho, mfuate inbox shabiki yeyote wa marekani anakubali kutinduliwa vizuri tu
 
Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya Kujihami ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua za kiufundi na kimkakatiView attachment 2576402
Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua. Msemaji wa ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi habari mjini Moscow kwamba hatua hii ni shambulizi dhidi ya masilahi ya Urusi na wanalazimika kuchukua hatua za kiufundi na kimkakati bila kutoa maelezo zaidi. Finland imejiunga na NATO leo na kuwa mwanachama wa 31 wa muungano huo wa kijeshi.
Katika taarifa tofauti wizara ya mambo ya nje ya Urusi imesema kwa kujiunga na NATO, Finland imejipoteza yenyewe na uhuru wowote ilionao.

Wizara hiyo pia imesema hatua zaidi za Urusi zitategemea kanuni za NATO kuijumuisha Finland ikiwa ni pamoja na upelekaji wa miundombinu ya kijeshi na mifumo ya silaza za mashambulizi katika himaya yake.
Naona Mrusi amejifunza kitu kutokana na vita yake kule Ukraine.
 
Back
Top Bottom