Kifuatacho kutoka "meza ya wakubwa" ni majadiliano ya namna ya kugawana hiyo "keki"(nchi ya Rusia) iliyosubiriwa kwa muda mrefu.Hakika urusi yamemfika na wamemfikia ss.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifuatacho kutoka "meza ya wakubwa" ni majadiliano ya namna ya kugawana hiyo "keki"(nchi ya Rusia) iliyosubiriwa kwa muda mrefu.Hakika urusi yamemfika na wamemfikia ss.
Kwa akili Yako ingevamiwa nakama ndivo vita ingekua ishaishaKumbe Ukraine ingefanikiwa kujiunga NATO mapema isingevamiwa!
Mhhh. Hapa mm ninaiona Urusi ikimeguka vipande-vipande (kusambaratika)na kuzaliwa kwa vimataifa /nchi huru ndogo ndogo nyingi zinazojitegemea na kutoweka kwa Taifa liitwalo Rusia kwenye ramani ya dunia. Hili linatokana na Rusia kuwa kwenye vita inayoendelea na kutokana na vita hiyo:Ninaona hapa kitakachofuata Urusi kwenda kuweka silaha zake za kimkakati Cuba, Venezuela na baadhi ya nchi mashariki ya kati. Hapo itakuwa ukimwaga mboga, sisi tunamwaga ndodndo
We mnato nyie sie ndo mnalazimisha dunia wanaume waolewe mkiongozwa na basha wenu USA,, mbona kama unataka kuwakatataa wenzio,,,Hata supporters wa mrusi hapa Bongo, ukiwaangalia wengi wana element za u$enge.
kwahiyo yeye kujiungq BRICS sio tishio kwa Finland , Wanaomshabikia Putin ni kama vilaza tu , wao akili inalalia upande mmoja tu
Labda wagawane mashoga wa Ukraine na wapambe wao wakibongoKifuatacho kutoka "meza ya wakubwa" ni majadiliano ya namna ya kugawana hiyo "keki"(nchi ya Rusia) iliyosubiriwa kwa muda mrefu.
Kwanini baadhi ya watu huwa mnahisi nyinyi ndio mna taarifa sahihi zaidi za mambo yanayoendelea duniani kuliko wengine ?Laiti kama ungekuwa unajua kinachoendelea duniani
kwan hujui kuwa wapo kimkakati ? unahisi NATO iliundwa kuivamia Urusi , huo ni umoja wa kujihami , kama Urusi alivyoonesha kutowaheshimu mataifa madogo kama Georgia , Moldova na kaendelea kwa Ukraine , kwann Finland asijihami ?nyiny mlitawaliwa sababu ya akili zilizolala pwani inavamiwa makabila ya ndani badala yaungane kama makabila ya ethiopia , nyiny mnasema ugomvi wao huo sisi hautuhusu , mtu timamu lazima uone keshoBRICS ni muungano wa kibiashara
Dah had matusi kisa BRICS umoja ambao hata haukiutambui , jipime akil mkuuWe mama BRICS sio kikundi cha kigaidi kama NATO...
BRICS ni muungano wa wafanyabiashara wasiofungamana na itikadi za Western counterparts
ushoga na mada iliyopo mezan mbona havina uhusiano? upo timamu kwel ?nilichojifunza na nimefanyia utafiti wanoiunga wote mkono marekani ni mashoga na wente chembechembe za ushoga sababu kule sheria za kupakuana ruksa hivyo wanajificha katika kichaka hicho, mfuate inbox shabiki yeyote wa marekani anakubali kutinduliwa vizuri tu
Estonia na Latvia walipokuwa wanajiongeza Ukraine ilikuwa inakenua tu eti ujiran mwema na mwehu , Beralus pia ndo next stop kwa Urusi , anajibaraguza wanahisi urusi ana urafik au ahadi za kwelKumbe Ukraine ingefanikiwa kujiunga NATO mapema isingevamiwa!
hata China pia anaunga mkono mada hii , haez kubali kuwa jiran na magiants wanne lzm atatakaa mmoja apunguzwe ambaye ni mwehu UrusiKifuatacho kutoka "meza ya wakubwa" ni majadiliano ya namna ya kugawana hiyo "keki"(nchi ya Rusia) iliyosubiriwa kwa muda mrefu.
Wewe mwenyewe "Askari wa Zenji".nilichojifunza na nimefanyia utafiti wanoiunga wote mkono marekani ni mashoga na wente chembechembe za ushoga sababu kule sheria za kupakuana ruksa hivyo wanajificha katika kichaka hicho, mfuate inbox shabiki yeyote wa marekani anakubali kutinduliwa vizuri tu
wewe ndo unajua na hutak andika unachojua ? imbecilz bhn wana vitukoLaiti kama ungekuwa unajua kinachoendelea duniani
Una uhakika hizo akili anazo ?Dah had matusi kisa BRICS umoja ambao hata haukiutambui , jipime akil mkuu
Sawa mkuu wewe NATO si wanakutambua?Dah had matusi kisa BRICS umoja ambao hata haukiutambui , jipime akil mkuu
Mkuu Yoda anajua vzr tu, swali lake ni kama joking kwa waumini wa dini ya mtume mpya Putin.Ukraine ,Sio mwanachama wa NATO , Sasa Finland akiivamia kwasasa au hapo baadae kutokana na Mkataba ,mwanachama wa NATO akiguswa imeguswa NATO yote
.Hivi bado yupo mwenye akili timu ambaye bado anawaamini Russia.