Urusi yaonya kuhusu uanachama wa Finland katika NATO

Urusi yaonya kuhusu uanachama wa Finland katika NATO

Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya Kujihami ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua za kiufundi na kimkakatiView attachment 2576402
Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua. Msemaji wa ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi habari mjini Moscow kwamba hatua hii ni shambulizi dhidi ya masilahi ya Urusi na wanalazimika kuchukua hatua za kiufundi na kimkakati bila kutoa maelezo zaidi. Finland imejiunga na NATO leo na kuwa mwanachama wa 31 wa muungano huo wa kijeshi.
Katika taarifa tofauti wizara ya mambo ya nje ya Urusi imesema kwa kujiunga na NATO, Finland imejipoteza yenyewe na uhuru wowote ilionao.

Wizara hiyo pia imesema hatua zaidi za Urusi zitategemea kanuni za NATO kuijumuisha Finland ikiwa ni pamoja na upelekaji wa miundombinu ya kijeshi na mifumo ya silaza za mashambulizi katika himaya yake.
Dmitry Peskov mbona amejieleza vizuri sana - now the ball is in Finlands court ilifanya ujinga wa kukubali kusimika weka short Range thermonuclear missiles na RADAR za kuongozea missiles za Merikani nchini Finland kwalengo la kuja kutumika hapo baadae kuishambulia Urusi - Finland ikifanya ujinga huo na kukataa kuziondoa basi Finland ikie ikijua kwamba itashamubuliwa kwa nguvu zote na Urusi na ikawa chanzo cha WW3 Duniani.

Mrusi hawezi kuvumilia taifa ambalo ndilo lenye mpaka mrefu sana na Urusi kutumiwa na US/NATO, Finland na NATO wakipuuza concern za Urusi kuhusu usalama wa Taifa lao - Russia itawamaliza wote, yeye alishajipanga kwa miaka mingi jinsi ya ku-deal na such eventuality - mfano kupeleka missiles nchini Cuba, Nicaragua na Venezuela na baadhi ya visiwa vya Caribbean vitakavyo kubari ku-host missiles za Urusi, kuweka submarines drones eas and west coasts za USA including Gulf of Mexico - Warusi wana option nyingi za ku-counter threat ya Merikani kwa usalama wa Taifa na imavyo elekea Biden yupo under pressure ya wapenda vita ndani ya Ikulu ya Merikani na wasjauri wake lumlazimisha Biden aidhinishe WW3 kabla ya term yake in Office haijafikia tamati, ndio maana wanampiga vita saana Donald Trump hasirudi madarakani kwa kuwa wanajua hawezi kuruhusu masuala ya vita.
 
Kwa hiyo siku hizi nchi yoyote ikitaka kujiunga na jumuiya yoyote lazima iombe kibali toka Moscow...!!!

Itachukua muda mrefu sana kwa hawa warussia kuja kuwa na akili kwani kutawaliwa na madikteta ni shida sana, akili zenu zote lazima msalimishe kwake.
Kasome Cuban missile crisis utoe tongotongo kidogo!
 
Ninaona hapa kitakachofuata Urusi kwenda kuweka silaha zake za kimkakati Cuba, Venezuela na baadhi ya nchi mashariki ya kati. Hapo itakuwa ukimwaga mboga, sisi tunamwaga ndodndo
Acha iendelee kunyesha, panapovuja tutapaona tu
 
NATO iliundwa kuidhibiti Urusi na aila zao kama maadui ni vipi aruhusiwe kujiunga NATO? Hizo nchi za ulaya sio zote zina mitazamo ya kujiunga Nato ndio maana kuna ushawishi US anafanya miaka nenda miaka rudi na hatimae wanafanikiwa, na ni kwasababu ile ile kuhakikisha USSR anakosa pumzi kuudhibiti ulimweng

Urusi ndio inaenda zake tena, ni failed state hawakuwa na mikakati madhubuti, Putin alidhani kupeleka silaha za nuclear Belarus atakuwa ame win lakini jibu la Finland kujiunga NATO yeye ameumia zaidi, Belarus ni mshirika wa Urusi lakini asiye na uhakika na anachokifanya ndio maana pamoja na yote hayo anaomba amani vita iishe Ukrean ni vile anatumiliwa na Russia taifa lisilo na uhakika wa hata yeye mwenyewe.
Bado najiuliza unakijua unachoshabikia au unaenda tu kama nanga! unauiona hatari mbeleni huko? unaiona vita ya 3 ya duania ambayo inaenda kuanzshwa na Marekani huku akiwaletea vitabu vya history huku Africa akishutumu Urusu kwa kuanzsha vita ya 3 ya duani?
 
Umejifunzia wapi na utafiti wako umeufanyia wapi??
Jamaa inaonekana ana interest sana na ushoga mpaka kafanya tafiti kabisa, sasa huwezi jua ndani ya hizo tafiti alifanywa / alifanya nini mpaka kupata hiyo conclusion kaandika hapo
 
Jamaa inaonekana ana interest sana na ushoga mpaka kafanya tafiti kabisa, sasa huwezi jua ndani ya hizo tafiti alifanywa / alifanya nini mpaka kupata hiyo conclusion kaandika hapo
nimefria shabiki wote wa usa na magharibi nzima
 
Ninaona hapa kitakachofuata Urusi kwenda kuweka silaha zake za kimkakati Cuba, Venezuela na baadhi ya nchi mashariki ya kati. Hapo itakuwa ukimwaga mboga, sisi tunamwaga ndodndo

sidhani kama hilo linawezekana. Hata walizoweka cuba mwaka 1963 kama sikosei waliweka kisirisiri. US wanashtuka madude yameshachomekwa kuelekea miji yao. Hapa tukiweka ushabiki pembeni,
katika hili swala la kuexpand hii nato kuelekea east hawa jamaa wanazingua.
 
hata China pia anaunga mkono mada hii , haez kubali kuwa jiran na magiants wanne lzm atatakaa mmoja apunguzwe ambaye ni mwehu Urusi
Urusi angetulia hao giants wangeweza kujifunza namna ya kuishi nae hivo-hivo lakini sasa kilichomponza Urusi ni hiyo tabia yake ya kujitutumua.
 
Sio kweli! Hii issue haijanza jana wala juzi! Mkakati huu Marekani anao mda mrefu sana wa kuisogelea urusi wa kutumia mwamvuli wa Nato! mfano kupitia Ukraine tangazo la kwanza lilitolewa na Bush 2008 na lilipingwa vikali na viongozi wenzake wa Germany Bi Angela Merker na pamoja Nickolasy Sykoz wa Ufarana, sababu za kupinga kwao ni eneo la mashariki litaibuka mapigano yasiyo na kikomo kwani Urusi hatokubali! kimsingi Marekani hakukubali akaendelea kuforce kwa propaganda kuwa mtavamiwa na urusi cos anataka kuirudisha USSR ilivyokuwa kwakuwavamia wote.

kwaiyo anachokifanya Marekani ni mkakati ambao anataka kumdhibiti Russia na ikibidi ile nchi igawanyike kabisa kuzalishwe mataifa mengine pale ndani.
Marekani hawezi kuisambaratisha Urusi. Na haitakuja itokee.
 
nilichojifunza na nimefanyia utafiti wanoiunga wote mkono marekani ni mashoga na wente chembechembe za ushoga sababu kule sheria za kupakuana ruksa hivyo wanajificha katika kichaka hicho, mfuate inbox shabiki yeyote wa marekani anakubali kutinduliwa vizuri tu

Ni muda wa Russia kumvamia Finland. Apige huku na kule
 
Ni muda wa Russia kumvamia Finland. Apige huku na kule
Amvamie kwasababu gani? au Finland aombe kujiunga na BRICS? Yeye Rusia wakishidwa nguvu ya ushawishi bora watulie wazoe kuishi na adui karibu.
 
Back
Top Bottom