Urusi yaonya kuhusu uanachama wa Finland katika NATO

Urusi yaonya kuhusu uanachama wa Finland katika NATO

Kwa hiyo siku hizi nchi yoyote ikitaka kujiunga na jumuiya yoyote lazima iombe kibali toka Moscow...!!!

Itachukua muda mrefu sana kwa hawa warussia kuja kuwa na akili kwani kutawaliwa na madikteta ni shida sana, akili zenu zote lazima msalimishe kwake.
Hivi vitu kama huvielewi ni bora ufanye tafiti! Unakumbuka USSR ilifika mpaka Ujeruman? Bas kabla hapo Ujeruman iliienda kuivamia USSR, USSR ikafanya Counter ikaenda kufika mpaka Ujeruman Mashariki, baada ya kuanguka kwa USSR walikubaliana hawa West na Russia kuwa Nato isijitanue kwenda Mashariki na Russia isijatanue kuifata Ulaya! Sababu kuu zilikuwa sababu za kiusalama tu kila mtu akitaka kulinda upande wake na kitendo cha kumsogelea mwenzio anakuwa hakuamini.

Wataalamu wa Masuala ya Kivita huko nyuma waliwah kuwashari Marekan kuwa ili uweze kumdhibiti Urusi basi usiruhusu akusogelee ila wewe ndiyo umsogelee ikibidi ata kuwanunua majiran zake, tishio kuu la kusogea katika mpaka wa Russia kwa Nato ni Marekani kufanya ujasusi dhidi ya Urusi na kuipasua tena, kiukweli Marekan anaona hajamaliza kwa Urusi anataka aendelee kuigawa zitoke nchi nyingine pale katikati ndipo ataweza kuidhoofisha Urusi.


1962 kulikuwa na kitu kinaitwa Cuba Crisis- hapo Marekani alipeleka siraha za maangamizi pale Uturuki target ikiwa amchape USSR, USSR ilishtuka naye akaenda kuweka nyuklia Cuba, kitu ambacho Marekani hakukipenda na akatia kwenda kuivamia Cuba kijeshi, hakupenea cos alijua USSR ataitumia Cuba kumpigia, kwaiyo unachopaswa kuelewa ni kuwa Marekani hataki na hatamani ata sikumoja Russia ajitanue kuelekea kwake cos ni tishio kwa usalama wake. Ni hivohivo kwa Urusi haoni kama ni salama kwake NATO kuisogelea.

Hapa majuzi umesikia Drone ya Marekan kuangushwa kule Black Sea, drone ya marekani black sea ilikuwa inaifanyia ujasusi Urusi, na ile drone ilitokea Itary ambae ni member wa NATO cos Marekani anaitumia NATO kama kichaka dhidi ya wale ambao anaona ni tishio kwake.
 
kwan hujui kuwa wapo kimkakati ? unahisi NATO iliundwa kuivamia Urusi , huo ni umoja wa kujihami , kama Urusi alivyoonesha kutowaheshimu mataifa madogo kama Georgia , Moldova na kaendelea kwa Ukraine , kwann Finland asijihami ?nyiny mlitawaliwa sababu ya akili zilizolala pwani inavamiwa makabila ya ndani badala yaungane kama makabila ya ethiopia , nyiny mnasema ugomvi wao huo sisi hautuhusu , mtu timamu lazima uone kesho
Umeandika UJINGA marekani kwenye hilo group anajiami na nani? Afghanistan, syria, iraq Libya nk nk NATO walikuwa wanajiami nini?

Kwanini NATO kuvamia nchi nyingine kijashi kwa kisingizio cha kujiami ni halali lakini Russia ikiivamia nchi nyingine kwasababu hizo hizo za kujiami ni halamu?
 
Kwa hiyo yeye kujiungq BRICS sio tishio kwa Finland , Wanaomshabikia Putin ni kama vilaza tu , wao akili inalalia upande mmoja tu
Mkuu BRICS siyo umoja wa kijeshi kama NATO
 
Mwanadamu hakubaliki na wote, Hata Mungu hakubaliki na wote sembuse Biden. Msingi wa swali langu ni huu. Kabla Ufini hawajajiunga nato, putin alisema wasijaribu kufanya hivyo. Jamaa wamejiunga na nato. Leo tunaambiwa bado mrusi anaongea utumbo tena. Ndo maana nimeuliza je huyu mrusi aendelee kuaminiwa na wenye akili timamu?.
 
Kwa hiyo yeye kujiungq BRICS sio tishio kwa Finland , Wanaomshabikia Putin ni kama vilaza tu , wao akili inalalia upande mmoja tu
NATO na BRICS unavilinganisha?? NATO ni Mungano wa kijeshi. BRICS ni muungano wa kiuchumi kama tu ilivyo OPEC na COMESA. Hivo ni vitu viwili tofauti. hata kama una mahaba na magharibi basi uwe unaficha uchi wako kidogo.
 
Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya Kujihami ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua za kiufundi na kimkakatiView attachment 2576402
Urusi imeutaja uanachama wa Finland katika jumuiya ya NATO kuwa ni uvamizi dhidi ya usalama wake na kusema itachukua hatua.

Msemaji wa ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amewaambia waandishi habari mjini Moscow kwamba hatua hii ni shambulizi dhidi ya masilahi ya Urusi na wanalazimika kuchukua hatua za kiufundi na kimkakati bila kutoa maelezo zaidi.

Finland imejiunga na NATO leo na kuwa mwanachama wa 31 wa muungano huo wa kijeshi.

Katika taarifa tofauti wizara ya mambo ya nje ya Urusi imesema kwa kujiunga na NATO, Finland imejipoteza yenyewe na uhuru wowote ilionao.

Wizara hiyo pia imesema hatua zaidi za Urusi zitategemea kanuni za NATO kuijumuisha Finland ikiwa ni pamoja na upelekaji wa miundombinu ya kijeshi na mifumo ya silaza za mashambulizi katika himaya yake.
Urusi hakuwa na strategies nzuri juzi aliposema atapeleka mitambo ya nuclear Belarus hakujua atajibiwa kwa kiwango gani., nadhan sasa anashuhudia kile anachopigania Ukrane kumkimbiza NATO karibu yake sasa NATO wanaenda kuhamia Finland,

Ni pigo kubwa sana kwa Urusi kwamba Urusi muda huu anashughulikiwa kupitia Ukraine lakini on the other side Finland NATO wanaenda kujiimarisha zaidi na kuwa karibu yake,

Kinachosikitisha zaidi lengo la Putin ilikuwa ni kuziparaganya wanachama wa NATO lakini ni tofauti NCHI za ulaya bado zinaenda kujiunga na NATO na kuongeza Idadi,

Vita hii ya Ukraine Marekani wamefanikiwa kuizunguka China karibu majirani zake pande zote, South Korea, Japan, Australia, Taiwan lakini sasa anazungukwa Russia kutaka asitake, Finland tayari nadhan Sweden nao wanafuatia, US ni hatari sana

Halafu ubaya wa Putin ndaro zake zina m-cost sana, kabla alisema Finland wakijiunga Nato atashambulia kitovu cha Ulaya lakini sasa yanatokea haya yeye hana la kufanya ni vile amezidiwa sana
 
Ninaona hapa kitakachofuata Urusi kwenda kuweka silaha zake za kimkakati Cuba, Venezuela na baadhi ya nchi mashariki ya kati. Hapo itakuwa ukimwaga mboga, sisi tunamwaga ndodndo
Urusi kesha mkuu, alianzisha vita ukraine kwa sababu ukraine watajiunga na NATO na eti urusi hataki kuwa karibu na NATO sasa kile kile anachopigania ukraine gharama na hasara kibao kwa majeshi wake na vikwazo vyaendelea sasa anaenda kutibuliwa tena upya Finland wanajiunga na NATO, ambapo mpaka baina ya Finland na Russia ni kama 1300km tu,

Maana kiilivyo Urusi sasa analazimika kuivamia Finland lakini anajikuta hana pumzi zozote tena taaban nafsi yake,

Anapigana Ukraine kwa sababu hiyo swali je sasa atapigana Finland? akubali tu yaishe mwenye nguv apishwe
 
Kumbe Ukraine ingefanikiwa kujiunga NATO mapema isingevamiwa!
Unajua kipindi kile hata US walikuwa hawamjui vizuri Urusi ana nguvu kiasi gani ndio maana hawakukazia, US walikuwa na hofu fulani hivi lakini sasa Urusi alivyokuja kuanzisha vita US wakamsoma zile silaha anazotumia na vifaru vya USSR wakapata jibu kwamba jamaa hana kitu wacha tumshughulike sasa, matokeo yake ndio haya.

Urusi bora angetulia kwanza asiivamie ukraine bado ingekuwa ni tishio kwa hisia tu kwamba huenda ana silaha za hatari zaidi lakini saivi mambo yake yoote hadharan, NATO wanamgeuza huku na huku pole pole kumdhoofisha na hili la Finland Putin ndio ataumia zaidi kwa stress
 
Kwa hiyo siku hizi nchi yoyote ikitaka kujiunga na jumuiya yoyote lazima iombe kibali toka Moscow...!!!

Itachukua muda mrefu sana kwa hawa warussia kuja kuwa na akili kwani kutawaliwa na madikteta ni shida sana, akili zenu zote lazima msalimishe kwake.
Hivi vitu kama huvielewi ni bora ufanye tafiti! Unakumbuka USSR ilifika mpaka Ujeruman? Bas kabla hapo Ujeruman iliienda kuivamia USSR, USSR ikafanya Counter ikaenda kufika mpaka Ujeruman Mashariki, baada ya kuanguka kwa USSR walikubaliana hawa West na Russia kuwa Nato isijitanue kwenda Mashariki na Russia isijatanue kuifata Ulaya! Sababu kuu zilikuwa sababu za kiusalama tu kila mtu akitaka kulinda upande wake na kitendo cha kumsogelea mwenzio anakuwa hakuamini.

Wataalamu wa Masuala ya Kivita huko nyuma waliwah kuwashari Marekan kuwa ili uweze kumdhibiti Urusi basi usiruhusu akusogelee ila wewe ndiyo umsogelee ikibidi ata kuwanunua majiran zake, tishio kuu la kusogea katika mpaka wa Russia kwa Nato ni Marekani kufanya ujasusi dhidi ya Urusi na kuipasua tena, kiukweli Marekan anaona hajamaliza kwa Urusi anataka aendelee kuigawa zitoke nchi nyingine pale katikati ndipo ataweza kuidhoofisha Urusi.


1962 kulikuwa na kitu kinaitwa Cuba Crisis- hapo Marekani alipeleka siraha za maangamizi pale Uturuki target ikiwa amchape USSR, USSR ilishtuka naye akaenda kuweka nyuklia Cuba, kitu ambacho Marekani hakukipenda na akatia kwenda kuivamia Cuba kijeshi, hakupenea cos alijua USSR ataitumia Cuba kumpigia, kwaiyo unachopaswa kuelewa ni kuwa Marekani hataki na hatamani ata sikumoja Russia ajitanue kuelekea kwake cos ni tishio kwa usalama wake. Ni hivohivo kwa Urusi haoni kama ni salama kwake NATO kuisogelea.

Hapa majuzi umesikia Drone ya Marekan kuangushwa kule Black Sea, drone ya marekani black sea ilikuwa inaifanyia ujasusi Urusi, na ile drone ilitokea Itary ambae ni member wa NATO cos Marekani anaitumia NATO kama kichaka dhidi ya wale ambao anaona ni tishio kwake.
Sasa wewe mtu wa hapo Gongo la Mboto ndio eti ufahamu mambo classified ya taifa kama Marekani...😛😛😛
 
Kwa hiyo siku hizi nchi yoyote ikitaka kujiunga na jumuiya yoyote lazima iombe kibali toka Moscow...!!!

Itachukua muda mrefu sana kwa hawa warussia kuja kuwa na akili kwani kutawaliwa na madikteta ni shida sana, akili zenu zote lazima msalimishe kwake.

Sasa wewe mtu wa hapo Gongo la Mboto ndio eti ufahamu mambo classified ya taifa kama Marekani...😛😛😛
 
Unajua kipindi kile hata US walikuwa hawamjui vizuri Urusi ana nguvu kiasi gani ndio maana hawakukazia, US walikuwa na hofu fulani hivi lakini sasa Urusi alivyokuja kuanzisha vita US wakamsoma zile silaha anazotumia na vifaru vya USSR wakapata jibu kwamba jamaa hana kitu wacha tumshughulike sasa, matokeo yake ndio haya.

Urusi bora angetulia kwanza asiivamie ukraine bado ingekuwa ni tishio kwa hisia tu kwamba huenda ana silaha za hatari zaidi lakini saivi mambo yake yoote hadharan, NATO wanamgeuza huku na huku pole pole kumdhoofisha na hili la Finland Putin ndio ataumia zaidi kwa stress
Sio kweli! Hii issue haijanza jana wala juzi! Mkakati huu Marekani anao mda mrefu sana wa kuisogelea urusi wa kutumia mwamvuli wa Nato! mfano kupitia Ukraine tangazo la kwanza lilitolewa na Bush 2008 na lilipingwa vikali na viongozi wenzake wa Germany Bi Angela Merker na pamoja Nickolasy Sykoz wa Ufarana, sababu za kupinga kwao ni eneo la mashariki litaibuka mapigano yasiyo na kikomo kwani Urusi hatokubali! kimsingi Marekani hakukubali akaendelea kuforce kwa propaganda kuwa mtavamiwa na urusi cos anataka kuirudisha USSR ilivyokuwa kwakuwavamia wote.

kwaiyo anachokifanya Marekani ni mkakati ambao anataka kumdhibiti Russia na ikibidi ile nchi igawanyike kabisa kuzalishwe mataifa mengine pale ndani.
 
Sio kweli! Hii issue haijanza jana wala juzi! Mkakati huu Marekani anao mda mrefu sana wa kuisogelea urusi wa kutumia mwamvuli wa Nato! mfano kupitia Ukraine tangazo la kwanza lilitolewa na Bush 2008 na lilipingwa vikali na viongozi wenzake wa Germany Bi Angela Merker na pamoja Nickolasy Sykoz wa Ufarana, sababu za kupinga kwao ni eneo la mashariki litaibuka mapigano yasiyo na kikomo kwani Urusi hatokubali! kimsingi Marekani hakukubali akaendelea kuforce kwa propaganda kuwa mtavamiwa na urusi cos anataka kuirudisha USSR ilivyokuwa kwakuwavamia wote.

kwaiyo anachokifanya Marekani ni mkakati ambao anataka kumdhibiti Russia na ikibidi ile nchi igawanyike kabisa kuzalishwe mataifa mengine pale ndani.
Whatever lakini US wamekuja kukazia saivi Urusi ilipoivamia Ukraine, Finland hawakuwa na wazo la kujiunga na NATO wao sera yao ilikuwa ni kutofungamana na upande wowote lakini sasa wamebadili mtazamo na kuona usalama wa Finland ni kujiunga Nato iwavyo na viwe,

Kama ungewauliza Finland kujiunga na Nato kabla ya Urusi kuivamia Ukraine wangekwambia hapana sisi tupo neutral ingawa nafahamu juhusi za US kuisogelea Russia ni mikakati ya kitambo sana tokea kumalizika kwa vita ya pili ya dunia,

Mimi nilikuwa naongelea udhaifu wa russia baada ya kuchagua vita kwa ukraine ndio ulioongeza nguvu zaidi kwa Nato kuharakisha expansion kwa mataifa yaliyobaki yaende zake NATO. Imetimia.
 
Whatever lakini US wamekuja kukazia saivi Urusi ilipoivamia Ukraine, Finland hawakuwa na wazo la kujiunga na NATO wao sera yao ilikuwa ni kutofungamana na upande wowote lakini sasa wamebadili mtazamo na kuona usalama wa Finland ni kujiunga Nato iwavyo na viwe,

Kama ungewauliza Finland kujiunga na Nato kabla ya Urusi kuivamia Ukraine wangekwambia hapana sisi tupo neutral ingawa nafahamu juhusi za US kuisogelea Russia ni mikakati ya kitambo sana tokea kumalizika kwa vita ya pili ya dunia,

Mimi nilikuwa naongelea udhaifu wa russia baada ya kuchagua vita kwa ukraine ndio ulioongeza nguvu zaidi kwa Nato kuharakisha expansion kwa mataifa yaliyobaki yaende zake NATO. Imetimia.
Hakuna kitu ambacho hakikupangwa bwana! kuomba kujiunga NATO na wakakukubalia lazima wakuamini, lazima uwe upande wao! unafikiri leo Belarus anaweza kukubaliwa kujiunga NATO? Unafikiri kwanini Urusi ilipoomba kujiunga na NATO ilikataliwa?
 
Rasimali za Ukraine ndiyo zilikuwa zikiwatoa mate maorigach wa Urus na si insu ya usalama. Urusi haina shida na Nato bali inashida na Rasimali. hata leo Tanzania ingelikuwa imepakana na Urus ingelilazishwa kuwa sehemu ya Urusi.

Jiuliize, why Urus imekuwa na madai tofauti tofauti toka vita ilipoanza!.
Toka dai la Nato expansion hadi kupiga vita dhidi ya ushoga..
Uko kote ni kutafuta huruma toka kwa wajitu mapumbavu.


Jiulize, Why walikuwa tayari kuteketeza maelfu ya raia wa Urus kwasababu ya kugombea kiwanda cha chumvi uko Ukraine?.

Umeona idadi ya Wagner na askari ya urusi wanaopoteza maisha uko Bakhmut?.

Sehemu kubwa ya Crimea imegawanwa matajiri wa Urusi na maofisa wa jeshi..
rasimali za Ukraine ndiyo zinamtoa udenda Putin na genge lake.
Mikono yao imejaa damu and they never never see peace.
 
Hakuna kitu ambacho hakikupangwa bwana! kuomba kujiunga NATO na wakakukubalia lazima wakuamini, lazima uwe upande wao! unafikiri leo Belarus anaweza kukubaliwa kujiunga NATO? Unafikiri kwanini Urusi ilipoomba kujiunga na NATO ilikataliwa?
NATO iliundwa kuidhibiti Urusi na aila zao kama maadui ni vipi aruhusiwe kujiunga NATO? Hizo nchi za ulaya sio zote zina mitazamo ya kujiunga Nato ndio maana kuna ushawishi US anafanya miaka nenda miaka rudi na hatimae wanafanikiwa, na ni kwasababu ile ile kuhakikisha USSR anakosa pumzi kuudhibiti ulimweng

Urusi ndio inaenda zake tena, ni failed state hawakuwa na mikakati madhubuti, Putin alidhani kupeleka silaha za nuclear Belarus atakuwa ame win lakini jibu la Finland kujiunga NATO yeye ameumia zaidi, Belarus ni mshirika wa Urusi lakini asiye na uhakika na anachokifanya ndio maana pamoja na yote hayo anaomba amani vita iishe Ukrean ni vile anatumiliwa na Russia taifa lisilo na uhakika wa hata yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom