Urusi yaonya kuhusu uanachama wa Finland katika NATO

Dmitry Peskov mbona amejieleza vizuri sana - now the ball is in Finlands court ilifanya ujinga wa kukubali kusimika weka short Range thermonuclear missiles na RADAR za kuongozea missiles za Merikani nchini Finland kwalengo la kuja kutumika hapo baadae kuishambulia Urusi - Finland ikifanya ujinga huo na kukataa kuziondoa basi Finland ikie ikijua kwamba itashamubuliwa kwa nguvu zote na Urusi na ikawa chanzo cha WW3 Duniani.

Mrusi hawezi kuvumilia taifa ambalo ndilo lenye mpaka mrefu sana na Urusi kutumiwa na US/NATO, Finland na NATO wakipuuza concern za Urusi kuhusu usalama wa Taifa lao - Russia itawamaliza wote, yeye alishajipanga kwa miaka mingi jinsi ya ku-deal na such eventuality - mfano kupeleka missiles nchini Cuba, Nicaragua na Venezuela na baadhi ya visiwa vya Caribbean vitakavyo kubari ku-host missiles za Urusi, kuweka submarines drones eas and west coasts za USA including Gulf of Mexico - Warusi wana option nyingi za ku-counter threat ya Merikani kwa usalama wa Taifa na imavyo elekea Biden yupo under pressure ya wapenda vita ndani ya Ikulu ya Merikani na wasjauri wake lumlazimisha Biden aidhinishe WW3 kabla ya term yake in Office haijafikia tamati, ndio maana wanampiga vita saana Donald Trump hasirudi madarakani kwa kuwa wanajua hawezi kuruhusu masuala ya vita.
 
Kasome Cuban missile crisis utoe tongotongo kidogo!
 
Ninaona hapa kitakachofuata Urusi kwenda kuweka silaha zake za kimkakati Cuba, Venezuela na baadhi ya nchi mashariki ya kati. Hapo itakuwa ukimwaga mboga, sisi tunamwaga ndodndo
Acha iendelee kunyesha, panapovuja tutapaona tu
 
Bado najiuliza unakijua unachoshabikia au unaenda tu kama nanga! unauiona hatari mbeleni huko? unaiona vita ya 3 ya duania ambayo inaenda kuanzshwa na Marekani huku akiwaletea vitabu vya history huku Africa akishutumu Urusu kwa kuanzsha vita ya 3 ya duani?
 
Umejifunzia wapi na utafiti wako umeufanyia wapi??
Jamaa inaonekana ana interest sana na ushoga mpaka kafanya tafiti kabisa, sasa huwezi jua ndani ya hizo tafiti alifanywa / alifanya nini mpaka kupata hiyo conclusion kaandika hapo
 
Jamaa inaonekana ana interest sana na ushoga mpaka kafanya tafiti kabisa, sasa huwezi jua ndani ya hizo tafiti alifanywa / alifanya nini mpaka kupata hiyo conclusion kaandika hapo
nimefria shabiki wote wa usa na magharibi nzima
 
Ninaona hapa kitakachofuata Urusi kwenda kuweka silaha zake za kimkakati Cuba, Venezuela na baadhi ya nchi mashariki ya kati. Hapo itakuwa ukimwaga mboga, sisi tunamwaga ndodndo

sidhani kama hilo linawezekana. Hata walizoweka cuba mwaka 1963 kama sikosei waliweka kisirisiri. US wanashtuka madude yameshachomekwa kuelekea miji yao. Hapa tukiweka ushabiki pembeni,
katika hili swala la kuexpand hii nato kuelekea east hawa jamaa wanazingua.
 
hata China pia anaunga mkono mada hii , haez kubali kuwa jiran na magiants wanne lzm atatakaa mmoja apunguzwe ambaye ni mwehu Urusi
Urusi angetulia hao giants wangeweza kujifunza namna ya kuishi nae hivo-hivo lakini sasa kilichomponza Urusi ni hiyo tabia yake ya kujitutumua.
 
Marekani hawezi kuisambaratisha Urusi. Na haitakuja itokee.
 

Ni muda wa Russia kumvamia Finland. Apige huku na kule
 
Ni muda wa Russia kumvamia Finland. Apige huku na kule
Amvamie kwasababu gani? au Finland aombe kujiunga na BRICS? Yeye Rusia wakishidwa nguvu ya ushawishi bora watulie wazoe kuishi na adui karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…