Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo wewe unalia na ccm kwa mfumo wao wa wizi wa kura? 😂Hao wazungu acha wapeleke hayo ma S-500 kujilinda fikiria huku kwetu CCM wanafikiria kupeleka mfumo Gani 2025 wa kuiba kura ili wabaki madarakani, maana yake, je yakitokea ya kutokea sisi tukaanze ku claim koloni zetu na kuanzisha mnyukano, ni mfumo gani utatulinda?