Urusi yapeleka Tu 160 (Black Jack) Strategic Nuclear Bomber Sauth Africa

Urusi yapeleka Tu 160 (Black Jack) Strategic Nuclear Bomber Sauth Africa

Sasa haya mandege yana impact gani katika uchumi wa Africa? Huku kote ni kutapa tapa .
 
Russia (USSR) pamoja na kuwa na mshikamano na mataifa mengi maskini ya Afrika kwa miaka mingi, hakuna nchi ya Afrika iliyowahi kunufaika na uhusiano huo kiasi cha kuondokana na umaskini. Mwisho wake na Urusi yenyewe ikaashia kufilisika na kwenda kuwapigia magoti mahasimu wake. Wakamchangia, ndiyo akanyanyuka.

GDP ya Urusi ni dola trillion 2, ya USA ni 24, ya China ni 13. Urusi hata angetamani kusaidia, hana huo uwezo kwani mapato yake bado ni kidogo sana ukilinganisha na mataifa mengine makubwa kama USA, Japan, China, na mataifa ya Ulaya Magharibi kama Germany.

Maskini hata mshikamane vipi, mtazidi kuimarisha umaskini wenu. Mataifa wajanja, kama South Korea, Hong Kong, Singapore, Taiwan, Saudi Arabia, Qatar, UAE, yaliamua kushikamana na USA, leo hayashikiki, wakati kule kwa Un Jong, hata TV kuwa nayo ni shida.

Afrika Kusini, isipoendesha siasa zake kwa ujanja na tahadhari, kuna siku inaqeza kugeuka na kuwa mfano mzuri kwa mataifa yaliyofika hatua fulani halafu yakadondoka mpaka jalalani.
Jamaa una mawazo finyu sana...Kwanza uelewe shida ya Afrika sio kusaidiwa ni kutokua na Viongozi Wazuri hilo ubamlaumu vipi Urusi?? Mfano hapa Tanzania dhahabu yote inasombwa nje pale bank kuu kuna Kg au Ton ngapi za dhahabu??? Urusi ndio atuambie tuwe na Gold Reserve?? Tuna bahari na bandari ujinga wetu wenyewe tunaiba mtu anahomgwa dola laki 2 anatoa maamuzi yanaumiza nchi inakosa dola mil 100!! Unamlaumu Urusi kwa hilo????

Hizo nchi unazotaja Mfano Saudia wana Mafuta lakini pia Viongozi wazuri wanao!! Nigeria , Gabon, Kuna mafuta nenda kaone ujinga unaofanyika pale yaani Miafrika hovyoooo...
Singapore, Thailand ..,!NA Asian Tigers hao uchumi wao umeinuliwa kwa mkakati wa kufanya kazi na uzalendo sisi hatuna tunalolisimamia hata kupanga mji mmoja tu hapa Tanzania tumeshindwa tunafanya uchawa!!! Unamlaumu Urusi kwa hilo???

La Mwisho tena hili lielewe vizuri Urusi ana Mabomu ya Nuclear Mengi sana marekani ikianzaVita na Urusi moja kwa moja hakutakua na Nchi inaitwa USA wala London unayojuia wala Paris!! Hakutakua na mji unaitwa Moscow pia na dunia itaangamia je ndio mnalolitaka???
 
Jamaa una mawazo finyu sana...Kwanza uelewe shida ya Afrika sio kusaidiwa ni kutokua na Viongozi Wazuri hilo ubamlaumu vipi Urusi?? Mfano hapa Tanzania dhahabu yote inasombwa nje pale bank kuu kuna Kg au Ton ngapi za dhahabu??? Urusi ndio atuambie tuwe na Gold Reserve?? Tuna bahari na bandari ujinga wetu wenyewe tunaiba mtu anahomgwa dola laki 2 anatoa maamuzi yanaumiza nchi inakosa dola mil 100!! Unamlaumu Urusi kwa hilo????

Hizo nchi unazotaja Mfano Saudia wana Mafuta lakini pia Viongozi wazuri wanao!! Nigeria , Gabon, Kuna mafuta nenda kaone ujinga unaofanyika pale yaani Miafrika hovyoooo...
Singapore, Thailand ..,!NA Asian Tigers hao uchumi wao umeinuliwa kwa mkakati wa kufanya kazi na uzalendo sisi hatuna tunalolisimamia hata kupanga mji mmoja tu hapa Tanzania tumeshindwa tunafanya uchawa!!! Unamlaumu Urusi kwa hilo???

La Mwisho tena hili lielewe vizuri Urusi ana Mabomu ya Nuclear Mengi sana marekani ikianzaVita na Urusi moja kwa moja hakutakua na Nchi inaitwa USA wala London unayojuia wala Paris!! Hakutakua na mji unaitwa Moscow pia na dunia itaangamia je ndio mnalolitaka???
Mpe elimu huyu gaidi wa Ukraine toka Bumbuli ili atoke ndotoni
 
Iran atatest hiyo THAAD muda sio mrefu
🚨Update: Area protected by the US THAAD anti-ballistic missile batteries, which are capable of engaging targets at ranges of 150 to 200 kilometers.

These US weapons, never used in combat, will be put to the test very soon!!
Arow 3 inakava karibia 2000km .hizi mbwembwe zisikie tu kwenye Wikipedia lakini kwenye real word ni shida
 
Wanazikimbiza wanafahamu Ukraine anaweza kuzilipua muda wowote. Ukrane kaanza kurusha masafa marefu sasa Russia anaogopa sabotage.
 
Kwa mara ya kwanza ndege za Mashambulizi ya Nyuklia za Russia Chapa Tu 160, Il 62 na An 124 zimetua bara la Afrika aidha ni mikakati ya kiulinzi na kivita inaasukwa.

Update: Russia is sending several nuclear bombers to South Africa!! The deployment will include a Il-62, An-124, and Tu-160 strategic bomber aircraft.

It is noted that these aircraft will be landing on the African continent for the first time, specifically at the South African Air Force base Waterkloof in Pretoria.

View attachment 3139232
Hii habari ya lini? Wajinga utawakamata masikio sana, Hii sio Mara ya kwanza TU 160 Kutua south Africa, 2019 zilisha enda huko.
 
Hii habari ya lini? Wajinga utawakamata masikio sana, Hii sio Mara ya kwanza TU 160 Kutua south Africa, 2019 zilisha enda huko.
Unataka source hii hapa sasa naomba unipe source yako ya Hizi Bomber kutua South Africa 2019 usipoleta we utakua mshobokaji tu kama akina aunt Aggrey.
 

Attachments

  • Gallery_1730346629878.jpg
    Gallery_1730346629878.jpg
    251.9 KB · Views: 1
THAAD hatuitaki maana imeshindwa kuzuia nyumba ya Netanyahu isishambuliwe hata na drone 1 tu kutoka kwa vijana wa Houth (Yemen)

Drone inatembea zaidi ya kilometres 200 kutoka mpakani hadi katika mji mkuu na kupiga nyumba ya Netanyahu huku THAAD yako na Iron Dome hazijui kinachoendelea. Huu si ujinga kuiamini!!
😁😁😁
 
Jamaa una mawazo finyu sana...Kwanza uelewe shida ya Afrika sio kusaidiwa ni kutokua na Viongozi Wazuri hilo ubamlaumu vipi Urusi?? Mfano hapa Tanzania dhahabu yote inasombwa nje pale bank kuu kuna Kg au Ton ngapi za dhahabu??? Urusi ndio atuambie tuwe na Gold Reserve?? Tuna bahari na bandari ujinga wetu wenyewe tunaiba mtu anahomgwa dola laki 2 anatoa maamuzi yanaumiza nchi inakosa dola mil 100!! Unamlaumu Urusi kwa hilo????

Hizo nchi unazotaja Mfano Saudia wana Mafuta lakini pia Viongozi wazuri wanao!! Nigeria , Gabon, Kuna mafuta nenda kaone ujinga unaofanyika pale yaani Miafrika hovyoooo...
Singapore, Thailand ..,!NA Asian Tigers hao uchumi wao umeinuliwa kwa mkakati wa kufanya kazi na uzalendo sisi hatuna tunalolisimamia hata kupanga mji mmoja tu hapa Tanzania tumeshindwa tunafanya uchawa!!! Unamlaumu Urusi kwa hilo???

La Mwisho tena hili lielewe vizuri Urusi ana Mabomu ya Nuclear Mengi sana marekani ikianzaVita na Urusi moja kwa moja hakutakua na Nchi inaitwa USA wala London unayojuia wala Paris!! Hakutakua na mji unaitwa Moscow pia na dunia itaangamia je ndio mnalolitaka???
Hongera kwa kutoa somo ila hao mnaobishana nao wanavichwa
 
Kwa mara ya kwanza ndege za Mashambulizi ya Nyuklia za Russia Chapa Tu 160, Il 62 na An 124 zimetua bara la Afrika aidha ni mikakati ya kiulinzi na kivita inaasukwa.

Update: Russia is sending several nuclear bombers to South Africa!! The deployment will include a Il-62, An-124, and Tu-160 strategic bomber aircraft.

It is noted that these aircraft will be landing on the African continent for the first time, specifically at the South African Air Force base Waterkloof in Pretoria.

View attachment 3139232
Muda si mrefu SA ataanza amrisha majiran kwa kujivunia hizo silaha , waafrika wanaendeshwa na hisia na sio akili
 
Ni kuwatafutia S.Africa matatizo tu.Kuanzisha ugomvi na dude kubwa kama USA bila mipango na nguvu-kamili nao ni ujinga mtupu!

Ndo yaleyale ya Iran.. mi naona Urusi sasa hivi anatafuta deal kwa nguvu zote kuna nchi zitapewa zitauziwa silaha hata kwa mali kauli.. ili mradi Urusi apate mianya ya kibiashara.. ameanzisha bric kwa ajili hii kupata mianya mingi ya biashara.

Kwenye huo umoja wa Brics atakaekuwa anauza sana ni Urusi akifatia china na india.. wengine wataambiwa wajiunge kwa masharti ya mikopo nafuu kisha wanaanza kuuziwa au wanauza kwa kupangiwa bei

Sasa SA na ndege za nyuklia za nini.. ana bifu na nan had apewe ulinzi wa ndege za nyuklia.. Urusi anatengeneza mipango hapo.
 
Taifa la kivita mwaka wa tatu bado wanahangaika na Ukraine? Hata mimi sikutegemea mpaka sasa Ukraine itakuwa haija surrender.
People also ask
How many countries are sending military aid to Ukraine?
Countries delivering military aid to Ukraine

The aid has mostly been co-ordinated through the Ukraine Defense Contact Group, whose 57 member countries include all 32 member states of NATO.
 
Back
Top Bottom