green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Alisikika bint mmoja baada kunyimwa ofa ya chips yai na WasovietRussia uwezo hana atabaki tu kubweka bweka kama mbwa koko mbele ya baba lao duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika bint mmoja baada kunyimwa ofa ya chips yai na WasovietRussia uwezo hana atabaki tu kubweka bweka kama mbwa koko mbele ya baba lao duniani.
Weee! Aliye muuwa Gaddafi alishtakiwa wapi? Aliyemuuwa Sadam Husen alishtakiwa wapi? Na uharibifu wa nchi hizo nani analipia? Je uvamizi wa nchi kamaa Syria, Afghastan na kwingineko nani alaumiwe na kushtakiwa? Mbona hapo Sudan hivi sasa hapakaliki vita kali na wao hao wanaojiona wanaustaarabu wanaondoka na kuacha machafuko?Russia waache kelele za kijinga, waondoe wanajeshi wao Ukraine na wawe tayari kulipia hasara waliyoisababishia hiyo nchi na Putin na genge lake wapelekwe mahakamani The Hague. That's all.
Hizi zaidi ya kamasiHahaha..
Wanapeleka mashushushu kama journalists wanataka waruhusiwe?!!!
Halafu yaweza kuwa kisasi maana Russia bado wanamshikilia mwandishi wa US kwa mashtaka ya kubambikiziwa...
"Russian officials are upset that United States visas haven't been issued to Russian reporters amid ongoing efforts by the U.S. to push for the release of Evan Gershkovich, a journalist with The Wall Street Journal who was detained by Russia's Federal Security Service (FSB) at the end of March over espionage allegations..."
Naunga mkono hoja, lakini pia nchi hiyo itakayopewa Makao Makuu ijitolee kuwa mchangiaji Mkubwa wa umoja huo kama inavyofanya sasa Marekani.Yupo sahihi kabisa, waandishi walikuwa waende kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa na sio Marekani. Sasa kisa Umoja upo Marekani basi wanajichukulia sheria mkononi bila kufuata taratibu za Umoja wa Mataifa. Zikiamishwa itatuliza kelele za USA, ingawa Marekani anaweza kuweka pingamizi maana nikama kumnyang'anya madaraka aliyojipa dhidi ya mataifa mengine.
[emoji4][emoji4][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]Russia uwezo hana atabaki tu kubweka bweka kama mbwa koko mbele ya baba lao duniani.
we nae unaishi dunia ipi inaonekana umekurupuka ......em tafuta tafuta basi hata mitandaoni ili ujue lavrov kaenda fanyaje na kwa sasa hivi russia ni nani katika hilo baraza kaa mwezi huuKwanza kaenda New York kufanya nini?
Putin kaanza kujipendekeza kwa US?
dunia ya leo ni lazima uchague upande mzee ama kwa ukae upande wa uchina na russia au upande wa marekani na ulaya huwezi kukaa neutral.....Kwenye kutokufungamana na upande wowote Mtumishi wa MUNGU Julius Kambalage Nyerere alitumia akili kubwa Sana
vipi bush na wenzie ulaya wanawalipa iraq sirya afghanistan kwa uvamizi wao au hizo habar ni za kale 19878 hukoRussia waache kelele za kijinga, waondoe wanajeshi wao Ukraine na wawe tayari kulipia hasara waliyoisababishia hiyo nchi na Putin na genge lake wapelekwe mahakamani The Hague. That's all.
Are you serious!!!?.Russia uwezo hana atabaki tu kubweka bweka kama mbwa koko mbele ya baba lao duniani.
Hajaenda newyork kaenda UNKwanza kaenda New York kufanya nini?
Putin kaanza kujipendekeza kwa US?
Mwache hajielewiAre you serious!!!?.
Hata haujui kinachoendeleaKwanza kaenda New York kufanya nini?
Putin kaanza kujipendekeza kwa US?