Urusi yapendekeza makao makuu ya UN yaondolewe Marekani na kuhamishiwa nchi nyingine

Wamewakomesha waandishi wa habari wa taifa la kipuuuzi la russia. Asilimia kubwa ya waandishi wa habari ni makachero tuuu
 

Kwasabu UN ni kichaka chake.
 
Hili niliwahi kulisema miaka kadhaa iliyopita baada ya US kuzidisha misbehaving!!! Bora, Russia wameuona ukweli!!!
 
vipi bush na wenzie ulaya wanawalipa iraq sirya afghanistan kwa uvamizi wao au hizo habar ni za kale 19878 huko
Akili zako zimefikia hapo? Kwanini Russia hakuwa-army hizo nchi mbele ya USA the way USA wanavyofanya kwa Ukraine???
 
Naunga mkono hoja, lakini pia nchi hiyo itakayopewa Makao Makuu ijitolee kuwa mchangiaji Mkubwa wa umoja huo kama inavyofanya sasa Marekani.
Nani hata Russia hawezi thubutu USA ni level nyingine labda wajinga na waliochanganyikiwa kama akina Putin wanaosakwa kwa kuiba watoto huko, ni ngumu kuhamisha UN pale NY kama dollar tu kushusha tizi je UN wataweza?? labda madikteta waanzishe UN yao but not kuhamiha UN headquater bro!
 
we nae unaishi dunia ipi inaonekana umekurupuka ......em tafuta tafuta basi hata mitandaoni ili ujue lavrov kaenda fanyaje na kwa sasa hivi russia ni nani katika hilo baraza kaa mwezi huu
Nilimuona nikataka kumwelimisha lkn yupo bd sana!
 
Nami nilimaanisha hivyo. Kuna wengine wanafikiria kuhamisha tu bila kuangalia mambo mengine. Na hata hilo wazo la Urusi limechukuliwa kama mzaha tu!
 
Gaddafi aliuawa na wananchi wake na Saddam vilevile aliuliwa na wairaq wenzake kwa kuliwa kitanzi, hivyo usitake kutudanganya. Ushahidi wa matukio yote hayo upo.
 
Hapo kabla nilidhani ukubwa wa michango unatoka na ukubwa wa uchumi wa nchi husika kumbe kwa sababu ya ku host Makao Makuu.

Na AU nasi tuige huu utaratibu Makao tuyapeleke NIGERIA au SOUTH AFRICA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…