Urusi yapendekeza makao makuu ya UN yaondolewe Marekani na kuhamishiwa nchi nyingine

Hawana kigezo chochote cha kupeleka silaha.
Unafuatilia habari au unakaza fuvu? Poland katoa ndgevita Mig.29
Ujerumani katoa vifaru vya Leopard II nchi kibao vimeto silaha. mbalimbali Uturuki alitoa drones za kutosha
 

Hayo ndo yanaitwa mawazo mbadala. kama vile Trumpalivyotamka kwamba marekani ijitoe NATO. Wanaona wenyewe kama pig bank wao.
 
Unafuatilia habari au unakaza fuvu? Poland katoa ndgevita Mig.29
Ujerumani katoa vifaru vya Leopard II nchi kibao vimeto silaha. mbalimbali Uturuki alitoa drones za kutosha
Soma ili uelewe, usisome ili ujibu
 
Marekani ni mhubiri mkuu, lakini ndiye mkiukaji mkuu wa haki za binadamu.
 
Yaende Arusha, wale kina mangi wanaopenda kubinywa binywa matako na wazungu watafurahi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…