Urusi yapokea msaada wa silaha kutoka kwa waasi wa Iraq, kwa kupitia Iran - hali mbaya

Urusi yapokea msaada wa silaha kutoka kwa waasi wa Iraq, kwa kupitia Iran - hali mbaya

So mzee unahisi Russia anatoboa kabisa kwenye hili against the western countries
Russia anaweza akafanikiwa endapo western wakaamua iwe hivyo, lakini wasipoamua ni ngumu Russia kuibeba Ukraine. Vita vya kisasa ni pesa, huwezi kupambana pasipo pesa. Nchi za magharibi zina pesa chafu mno.
 
Russia anaweza akafanikiwa endapo western wakaamua iwe hivyo, lakini wasipoamua ni ngumu Russia kuibeba Ukraine. Vita vya kisasa ni pesa, huwezi kupambana pasipo pesa. Nchi za magharibi zina pesa chafu mno.
Na huo ndiyo ukweli wenyewe,Warusi n watu wa ajabu Sana Yani upigane na western countries ushinde kweli?Hao jamaa ndo wanaendeaha mifumo yote ya uchumi Duniani hivo Wana Kila kitu .Putin akubali yaishe tu Kwa Sababu mwisho wa siku ataumiza Sana nchi yake na huo utakua mwisho wake kama kiongozi wa Russia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China ameanza kuchoka kumbeba huyo Putin wenu kwenye operesheni yake hii, amekua mzigo maana imechukua muda mrefu.

Hakufaulu kubadilisha uongozi Kiev ndani ya siku chache licha ya magharama kama yote, ameishia kukimbizana na tumiji tudogo huko mpakani.

Hebu angalia kwenye hii ramani hako kamji ka Marioupol mlikopigia makelele, kako mbali sana huko mpakani....

ukraine-political-map-vector-id491277690
Acha maneno tuoneshe silaha alizo pewa masaada na china.
 
Na huo ndiyo ukweli wenyewe,Warusi n watu wa ajabu Sana Yani upigane na western countries ushinde kweli?Hao jamaa ndo wanaendeaha mifumo yote ya uchumi Duniani hivo Wana Kila kitu .Putin akubali yaishe tu Kwa Sababu mwisho wa siku ataumiza Sana nchi yake na huo utakua mwisho wake kama kiongozi wa Russia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mara ya ngapi anashinda, Mbona kwa Mariopo hawaja amua asishinde...?, wawafate mateka wao tuone huo uwezo, Crimea ilienda walifanya nn zaidi ya kumtoa G8, kama sijakosea.
Acheni porojo zenu bana.
 
Kwa kweli Urusi imefikia kiwango kipya cha aibu, mpaka wanapokea misaada ya silaha kutoka kwa waasi, kainchi kadogo Ukraine kamekua mfupa uliomshinda fisi....

Iranian networks have been working to smuggle weapons from Iraq to Russia as Moscow’s plans to quickly invade Ukraine’s capital and topple the government failed to succeed, according to intelligence and sources familiar with the matter.

Among the weapons being transferred to Russia are Iran’s Bavar 373 missile system, the Guardian reported late Monday night.

For the latest headlines, follow our Google News channel online or via the app.


Iraq’s Iran-backed Popular Mobilization Forces (PMF), also known as Ḥashd al-Shaabi, reportedly dismantled and sent two Brazilian-designed Astros II rocket-launcher systems to Iran on April 1, the Guardian said.

The PMF sent rocket-propelled grenades and anti-tank missiles to Iran through the Salamja border crossing on March 26. From there, the Iranian military transferred the weapons to Russia by sea, the report cited a commander of the Iran-backed militia as saying.

“We don’t care where the heavy weapons go [because we don’t need them at the moment],” a PMF source told the Guardian. “Whatever is anti-US makes us happy.”

Russia has been hit by crushing economic sanctions from the US and Europe due to its invasion of Ukraine, which is now in its second month.

The sanctions targeted banks, oligarchs, Putin’s family and weapons manufacturers. It has been reported that Moscow is struggling to acquire needed weapons after being unable to take over Ukraine swiftly.

While the US has warned countries - most notably China - against trying to help Russia evade sanctions or provide it with weapons, US officials have not addressed such reports of weapons smuggling from Iran.

The Pentagon said it did not have any comment “as this would be related to intelligence assessments.”

Al Arabiya English has reached out to the State Department for comment.

Baada ya ku post habari hii unalipwa sh ngapi?
 
Kwa kweli Urusi imefikia kiwango kipya cha aibu, mpaka wanapokea misaada ya silaha kutoka kwa waasi, kainchi kadogo Ukraine kamekua mfupa uliomshinda fisi....

Iranian networks have been working to smuggle weapons from Iraq to Russia as Moscow’s plans to quickly invade Ukraine’s capital and topple the government failed to succeed, according to intelligence and sources familiar with the matter.

Among the weapons being transferred to Russia are Iran’s Bavar 373 missile system, the Guardian reported late Monday night.

For the latest headlines, follow our Google News channel online or via the app.

Iraq’s Iran-backed Popular Mobilization Forces (PMF), also known as Ḥashd al-Shaabi, reportedly dismantled and sent two Brazilian-designed Astros II rocket-launcher systems to Iran on April 1, the Guardian said.

The PMF sent rocket-propelled grenades and anti-tank missiles to Iran through the Salamja border crossing on March 26. From there, the Iranian military transferred the weapons to Russia by sea, the report cited a commander of the Iran-backed militia as saying.

“We don’t care where the heavy weapons go [because we don’t need them at the moment],” a PMF source told the Guardian. “Whatever is anti-US makes us happy.”

Russia has been hit by crushing economic sanctions from the US and Europe due to its invasion of Ukraine, which is now in its second month.

The sanctions targeted banks, oligarchs, Putin’s family and weapons manufacturers. It has been reported that Moscow is struggling to acquire needed weapons after being unable to take over Ukraine swiftly.

While the US has warned countries - most notably China - against trying to help Russia evade sanctions or provide it with weapons, US officials have not addressed such reports of weapons smuggling from Iran.

The Pentagon said it did not have any comment “as this would be related to intelligence assessments.”

Al Arabiya English has reached out to the State Department for comment.

Mkubwa anaazilika huko😂
 
Mtoa mada inaonekana Ni mkenya ila hata kingereza hujui,

Tangu lini Kitu Cha ku"Smuggle" kikawa official Kama ulivoandika kwenye heading

Wapi nimetumia neno official, mpaka sasa kila anayempa Putin msaada anafanya kwa siri maana mauaji aliyofanya ya kimbari yamempotezea points nyingi hadi hana uungwaji mikono wa moja kwa moja, hata China walitoa tamko juzi wakasema litafutwe suluhu la huu ugomvi, walitumia maneno ya kiufundi ila ni wazi na wao wamemchoka.
 
Na huo ndiyo ukweli wenyewe,Warusi n watu wa ajabu Sana Yani upigane na western countries ushinde kweli?Hao jamaa ndo wanaendeaha mifumo yote ya uchumi Duniani hivo Wana Kila kitu .Putin akubali yaishe tu Kwa Sababu mwisho wa siku ataumiza Sana nchi yake na huo utakua mwisho wake kama kiongozi wa Russia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo watu wanasifu kuwa uchumi wa Russia bado uko strong licha ya vikwazo vyote, mtu mpaka unajiuliza hivi wana akili timamu kweli? Sanctions zote hizi bado zimuache mtu vile vile kama alivyo?

Wanafika mbali na kusema Ulaya inaumia zaidi, wanaona kama vile US na Ulaya imekurupuka juu ya maamuzi yao. Kitu pekee ninachoona ni kuwa, Westerns wana propaganda saana, wanaweza wakalia wakasema wana njaa ukadhani kweli njaa imewapiga haswa, kumbe walaa kawaida tu.

Hii vita kuna namna anavyotafutwa mtu, ni suala la muda tu. Kwa bahati mbaya saana, ni kosa la jinai vyombo vya habari Urusi kuzungumza kitu negative kuhusiana na mzozo huu la sivyo tungefahamu mengi.
 
Binafsi sikutegemea kama Russia ingewachukua muda mrefu hivi... pengine anasita sita kutumia silaha zake hatari... lakini kama ni taifa kubwa kivita nadhani kama ingewawia vigumu kunaliza shuhuli hapo au wekutana na kitu ambacho hawakukitegemea huko Ukraine
Vp NATO uliwajumuisha kwenye hiyo dhahania yako au la? Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom